ILI UFANIKIWE MWAKA HUU LAZIMA UACHANE NA VITU CHAKAVU - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
A simple Gospel but has big power, thank you Servant of God, i.pray that before this year end you may.come into my contry
Nimecheka kwanguvu Asante kwa kutungua baba ubarikiwe sana
Mungu nataka mshahara wangu ipande
Napenda Sana mungu
Mungu hakai kwenye moyo Mchafu 📌Irarueni mioyo yenu .
Maamndalio ya Moyo no yamwanadamu Bali jawabu la ulimi linatoka Kwa Bwana .
Wahubili waziandae kuja kwa yesu wasafise mwoyo yao vingine mungu kutuongezaya
Amina
Nabii hapo Sasa unazingua sana , unadhalilisha madhabahu yako please, tena unachemsha sana kusema neno chupi, sidiria punguza makali baba
Jitambuwe
Ameni ameni nabii Mkuu Safi nimekuelewa aside kuelewa ufahamu wake umeganda na ni kipofu. Baba barikiwa sana msemaji wa serikali ya mbinguni maana wewe unafundisha yote prohibited na mwilini maana mwanadamu yuko ndani na nje nimekuelewa
VIZURI kwa kufundisha u smart
Amina baba son nakuja kubarikiwa nawe
Mtasafisha vitu vyote mvijuavyo lakini kama maisha yenu ni machafu jehanam inawahusu ,safisheni Maisha yenu,mienedo yenu impendeze Mungu na sio miili ambayo ukifa nayo inaoza ,Mungu awasaidie kwa kwer
Amen
hujaelewa.. ila sio mbaya ulichosema.. but dont take it personal.. kama unavyovichakavu tupa tu
😳jamani Mimi naendelea kufagia mpaka kieleweke asante baba nabii mkuu Dr GeorDavie balozi wa jamani uishi daima baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu hawezi ongea na wewe ukiwa mchafu au vitu chakavu. Jamani !!!!!
Hakika mtumishi wa Mungu' Amen
Baba kweli hago watu hatuyajui kama mungu anayaangalia na hayo
Vitu vichakavu vinaadhiri maisha yetu baba, baba umesemaukweli kabisa tuambie tujifunze kabisa.👍🏽
This has to be taken in spirit. Our cleanliness in our hearts and leave our old ungodly way of life
I do agree with you we should take it spiritually 💃🏾
@@irenelyamuya5466 Yes! Sometimes God speaks to us but we fail to interpret the heart of God.
@@jankenkasambala7687 absolutely pal
Huu ujumbe umenipa kujifunza Mtumishi zidi kubarikiwa Sana
Inamaana wew ulikuwa huogi au?
@@robertabel6984 tumia akili yako kufikiri vizuri kabla ya kukument usitie uchizi kwenye coment we vp Nyie ndo wale wale au simu umeanza kuitumia leo Kama unajua akili yako inacoment upupu usirudie Tena kokoment kwenye Acount yang unajua nilimanisha nn kukoment hvo
@@episonfelician7670 au chupi lako limetoboka nn mbona unafoka sasa
@@episonfelician7670 we fara umeshanunua chupi mpya au bado ni lilelile la zamani Mr Buza. Alafu uache tabia yako ya kwenda kanisani na chupi lako hilo umeskia we fara siku nije nikuone utaimba haleluya nitakata hizo pumbu zako na wembe nilishe kunguru😂😂😂😂😂
Amina Baba, ni mahubiri ya ajabu yaliyojaa kweli ambayo watumishi wa Mungu wengi Tanzania hawafundishi, ukweli huo.
Mimi Tayari kilakitu chakavu nimetupa na mbari mwaka uyu mpaka mwisho wa maisha yangu.
Bado sijakuelewa, kama suala la kufundisha usafi ndiyo hivii?
Amen
🤣🤣 ndiyo naendelea kufagia fagia vitu chakavu,Daddy Asante sana 🙏
Hawa waamini wooote hapo, hawajaelewa mpaka leo ni wapi wamepekekwa tu kweli ?
Kuni za moto kweli,,,,😣
Barikiwa Baba
Sio kweli
Yuko sahihi 100%
Nakuelewa. Saana. Nabii
Ahsante sana
Aliyemuona harmorapa Cheka kidogo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 babaaaa imenpasa kucheka kwanza🤣afu jina la Bwana lipewe sifa🙏
ALLAH KUMBE UNAJUA KAMA MUNGU HAPENDI UCHAFU BASI WAFUNZE WANPO KWENDA HAJA WANAWE NA MAJI. NANDO MAANA ALLAH HAWAPENDI MAKAFIRI . HAWAJUI KUNAWA WANAPO KWENDA HAJA.
😳😳😳😳😳😳
Mwamba kasema kweli tupu ✍🏽
Nabii mkuu Naomba umpe pesa huyo dada mwenye Rasta nyeusi akaoshe meno hospital yawe mazuri wachumba wataogopa kumpa kiss
Hii kanisa ipatikana wapi
Mi WA kwanza naanza leo
Yaani mimi inatokeaga tu kilicho chakaa kutupa
Amen baba
Ntafafanya kesho nko kenya
Kabisa baba
Ww mzee huna maana kwa umur huo na mbinguni unafikiri wanaenda wahuni
Kweli kabisa huo ujumbe umeninengs sana mtumishi wa MUNGU,natamani niwe kama ww,ki ufalme wa MUNGU
Kuwa kama Wewe ulivyo sio kuwa kama mwingine, tafuta ufalme wamungu.
Amen mtumishi..Neno linasema..Jiosheni,jitakaseni,fueni mavazi yenu, viraka na nguo mpya visichanganywe. Upya in everything.
AMEEEEN AMEEEN❤️❤️❤️
Ameen BABA.🙏🙏
😂😂😂😂 hili somo watu wataona utani na Kuchekaa lakini kumbee ni ufunguo mkubwa sanaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
Mswiba
Amen 🙏
Huo ndio ukweli baba.
Nikweli
MUNGU wetu Ainuriwe milele na milele tena akubariki unatufariji nakutufurahisha kabisa lazima vitu vyakuzeeka tubitupe mbali kwaimani
Nabii niombee sana mikuu unisubua sana nko Kenya nikekua nauweso ningekamu kisongo
🙏
Manabii wa Karne ya 21 wanazungumza chupi na brazia wanajita wakristo? Bado kitambo kidogo Huyu hatakuwepo "Neno la Mungu"
Asee kwel mm nimwshangaa huyu mtumishi kuzungumsza maneno makali Kama chupi ,sidiria , badala apunguze makali huyu baba anachemsha sana ,
Mtumishi wa Mungu nimecheka sana. Ujumbe umefika. Hiyo si misumari bali ni mabomu ya Osama Bin Laden!
Mungu atusaidie kukwepa Matobo matobo!
Je sasa wewe na misuti yako unataka kutwambia kwamba uko bora kuliko Yohana mbatizaji or Eliya mtishi???wacha kupotosha watu
💪😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi natupa vyote vilivyochakaa,, Tena nimegundua vitu vilivyochakaa vinakaribisha pepo la umaskini
Kweli
Usafi sio lazima uwe tajiri
Mmmh
Huyu ndie nabi wa ukweli
Ahaha Ila ni kweli jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂Nabii Mungu anakuona umetufanya nicheke kwa sauti
Mmmhhh
Eti anaona chupi😁😁
Pepo ww ulaaniwe
Baba wa mbinguni uturehemu
🤣🤣🤣 jamani mi nimwislam Ila umenifurahisha ngoja nikague vitu chakavu
Kukoswa Iman na maneno ya MTume wako wew hujui kuwa hyu ni dajar
Ninazo nguo baba
Mmh
Ha ha haaaa
🙄🤭
🤣🤣🤣 jamani Mimi huyo
Sisi binadamu wenyewe tuna chakaa tuna zeeka MUNGU wa mbinguni bado anatupenda.hata ukiwa kiwete.
😂😂
😂😆🤣🙏
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😍😭
🤣🤣ila ka kweli hivi
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Kama nimasikini wape pesa wakanunue. Kwanza wewe khanithi hayo simaneno wala mafunzo. Isipokua wewe unaufisadi hilo sio somo maluuni wewe kenge huna dini ilaupotosho brazia nineno hili mshenzi wewe malaya mkubwa halafu unajiita nabii. Unabi kakupa nani.
🥺🥺 Usitukane my dear Acha sis tutararua Mioyo na sio Mavazi 🧎.Biblia inasema tusihikumu Tutahukumiwa so no need to insult him 😥🥺but I'm really shocked to hear those things😆😆😆
Amina
🤣🤣🤣😃😃😃😃😃😅😅😅👌❤❤
👏👏👏👏👏👏👏👏🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌❤️❤️❤️♥️
Amen
Amen 🙏
Amen amen !
Pole Sana, na Mungu akusaidie Sana, maana unakwenda kuutimiza unabii ulio tabiliwa katika, mathayo24,, asome na afahamu maneno ya kitabu hiki,, Mungu ametupa ufahamu na tu some wenyewe, Mungu atusaidie tusiwe ni watu wa kuburuzwa,, tunaangamia kwa kukosa maarifa,,
Amen mchungaji nakukubari