Kwa kuwa dada yetu anasema amefaidika kwa sababu yuko njiani kuelekea kwenye [maisha ya] ndoa nadhani ni jambo la busara viongozi wa kijamii wanaofahamu umuhimu wa kueneza maarifa ya kuimarisha ndoa, kama vile wewe, wafahamu kwamba kuna aina mbili za makundi ya kijamii yanayohitajika kusaidiwa kwa mawaidha yanayohusu kuboresha na kudumisha maisha ya ndoa. Makundi hayo ni [kwanza] vijana ambao wanatayarishwa kuingia kwenye ndoa na kundi la pili ni la wazazi ambao ndoa zao zina misukasuko. Kwa hivyo Allah akujaalie uweze kupata maarifa ya kuokoa majahazi ya wanandoa ambayo yanazama hapa na pale. Na Allah akujaalie uweze kupata maarifa kamili kuhusu kuwatayarisha vijana ki akili na ki tabia na ki maongezi etc. kwa sababu ndoa nyingi huwa zinapata misukasuko ambayo inauwezo wa kusababishia kuvunjika na pengine muda mfupi baada ya kufungishwa. Na pia baadhi ya wazazi huwa wanaishi bila kufurahia maisha ya ndoa kwa sababu ya kutoelewa mambo fulani muhimu. kwa hivyo ujue utukufu wa ndoa na ujue kwamba Mtume wetu amesema, kwamba atakapofariki mwanadamu amali zake hukatika ila katika mambo matatu......Na akataja elimu yenye manufaa. Kwa hivyo je! utajua vipi kwamba ilimu unayowafundisha wanandoa ni yenye manufaa?
Ata usiseme Dada wng namfanyia kila kitu TN anajisifu hajapata mke kama mm lkn chakushangaza anatongoza HD shoga zangu lakini talaka hataki kunipa hahaha chezea wanaume we ukiona kakukimbia usifikirie huyawezi no hiyo no tabia ya MTU km Malaya Malaya tu hata umrambe nyao
asante dada lakini maumivu ninayoyapata kwenye ndoa yangu mungu ndo anajua!!!!! tendo la ndoa tu kama sijaanza Mimi kuomba hata tukae mwaka hawezi kuniambia ananihitaji dada
Jina yangu sila mimi ni Congolese naishi USA ,I'm christian ila nakupenda sana dada unamashauri ma zuri ,naona unaongea francais sana uko mcongomani ao ?
Tatizo watu hawapendi kusoma na ndugu zetu wakristo hawana mafunzo haya nunueni vitabu vyandoa vya kiislamu mtayakuta haya Dada Farida zawadi kubwa andika vitabu itakua sadaka watu waelewe kwa upana hongera kwa kujifunza haya maana bila kuyasoma usingeeleza kiufasaha
Kweli dada yang unaweza ukawa muaminfu ukampenda asilimia 100 ukamskizila kila anachokuamlisha pia anachokitaka kwako ukampatia lakini akaja kukufanyia kitu ambacho utakuja kukisahau maisha mwako utakua mtu wa kulia muda wote na yeye wala hajali
Maashaa allah kwakweli lau kama wanawake wote watayafanya hayo uyasemayo kwa ikhlas basi sidhani kama wanaume tungetoka nje.Allaha akupe umri mrefu ili tupate faida zaidi na zaidi.
big farida mie alinikuta msichana Mdogo yeye ndo wa kwanza kwaiyo nikimwambia vipi tena anasema kwamba mpaka akae nusu SAA ndo aje tena lakini mpaka hio nusu SAA ifike ameshalala na mie nishalala kila Siku ndo ivo toka aniowe mwanzoni nilikua sijui ila sai nafahamu
Mke wangu nampenda sana lkn anamaneno sana kwahiyo nikifika home anaanza na swali la kizushi baadae ananiumiza nakosa furaha nalala kwa taabu sana wakati mwingine natamani hata kuachana nae hata furaha ya mapenzi hakuna tena ananijibu vibaya hata hajari kama anamjibu nani unanisaidiaje dadaangu ninayo mengi lkn siwezi kuandika hapa
anthony kimbwene pole sana kaka lakn mie nkwambie ukwel ,Fanya maombi kwa ajili ya mkeo,kuamin nguvu za gza lakn zipo,c kila mtu anafurahia mke na mume wawe na mahusiano mazuri,wanawake wengi wanafanyiwa mambo ya kmazingara wawe hivyo ili mwanaume amwache,nakuomba take time to think nachokwambia na uwanze kusali pamoja na mkeo ,Mungu atawajibu,mitabia mingne ni ya kutupiwa
Da farida si anaweza akakupiga mpaka ukajuta.....hahaha mi naomba uizungumzie hiyo mada...unakuta mwanaume uwezo anao anafanya kazi pesa ipo lakini ukichukuwa hata 10000 ama 5000 uatazuka ungomvi mkubwa na ukimuomba ndio akupi kabisa na unakuta ni mama wanyumbani na hataki ufanye biashara yoyote kifuupi usijishukulishe..unaishi naye vipi?na unakuta nawe unawadogo zako ambayo wanaitaji some time masaada lakini una uwezo na wanonaona umeolewa kenye maisha mazuri unatakiwa uishi naye vp? Ila kwenye mambo ya shuhuli mchango mkubwa yeyoyote no 1....pls da farida lizungumzie hili sawala....
Kweli dada yang unaweza ukawa muaminfu ukampenda asilimia 100 ukamskizila kila anachokuamlisha pia anachokitaka kwako ukampatia lakini akaja kukufanyia kitu ambacho utakuja kukisahau maisha mwako utakua mtu wa kulia muda wote na yeye wala hajali
dada mume unamuweka vizuri kitu gani anachokitaka unampatia lakini mwisho wa. siku anakuwacha wanaume hataumpede vipi hata umpe mkundu lakini mwisho wasiku anakuwacha
Mashaallah nzuri sana uko sawa kabisa ukweli utabaki kuwa ukwelitu na mkataa ukweli mchawi.
Aksante mama. unazungumuza vizuri sana kama wacongomani.
Luc VISSO merci papa😍
Masha Allah Dada upo sahihi maneno yako hongera sana nimependa Darsa lako
Ahsante dear
Nimekuerea dadaang ubarikiw
Asante dada naolewa ivi karibuni so mada zako zanipevusha na kunifungua akili, Allah akubariki.
Ongera mpenzi Allah akuekeye kila lakheri
big farida Amiin
Kwa kuwa dada yetu anasema amefaidika kwa sababu yuko njiani kuelekea kwenye [maisha ya] ndoa nadhani ni jambo la busara viongozi wa kijamii wanaofahamu umuhimu wa kueneza maarifa ya kuimarisha ndoa, kama vile wewe, wafahamu kwamba kuna aina mbili za makundi ya kijamii yanayohitajika kusaidiwa kwa mawaidha yanayohusu kuboresha na kudumisha maisha ya ndoa. Makundi hayo ni [kwanza] vijana ambao wanatayarishwa kuingia kwenye ndoa na kundi la pili ni la wazazi ambao ndoa zao zina misukasuko. Kwa hivyo Allah akujaalie uweze kupata maarifa ya kuokoa majahazi ya wanandoa ambayo yanazama hapa na pale. Na Allah akujaalie uweze kupata maarifa kamili kuhusu kuwatayarisha vijana ki akili na ki tabia na ki maongezi etc. kwa sababu ndoa nyingi huwa zinapata misukasuko ambayo inauwezo wa kusababishia kuvunjika na pengine muda mfupi baada ya kufungishwa. Na pia baadhi ya wazazi huwa wanaishi bila kufurahia maisha ya ndoa kwa sababu ya kutoelewa mambo fulani muhimu. kwa hivyo ujue utukufu wa ndoa na ujue kwamba Mtume wetu amesema, kwamba atakapofariki mwanadamu amali zake hukatika ila katika mambo matatu......Na akataja elimu yenye manufaa. Kwa hivyo je! utajua vipi kwamba ilimu unayowafundisha wanandoa ni yenye manufaa?
mashaallah, Allah akuwepesishe ktkt majambo yako kwa darsa nzuri unazozitoa !!
Ahsante brother
100%nakubali.Yani naridhika kwa somo lako
mashaallah"ni"kweli"dadangu"mungu"akuilimishe"zaidi
Mohamed Adan Aamiyn
ujumbe mzuri sana
Hamad Ali Hamad ahsante brother
Naam, nakubaliana nawe kabisa Bint Juma. Mungu akupe uwezo zaidi kuelimisha ummah In Shaa Allah
sasa dada utapatabidije nawakati shoshoteunamufanyiya unapokeya mutusikilasiku mazarau jounalipwa utaendeleyaje utachokatu dada?
Alice Akilimali ni kweli dear lazma ucoke ila ikiwa ulijitoa kwa moyo msafi mungu atakulipia maana wema hauozi
Hassan Mwachimako aamiyn
upo vizuri sana Dada nakupenda sana! Dash unanipa hisia mpaka basis, andaa DVD,CD au kitabu
Nitaya fanyia kazi brother ahsante kwa advise
We dada una akili ya watu 30 maana unaeleza mambo yenye uhalisia kabisaa,tena kwa lugha nzuri ya uungwana.
Big up sana
Ahsante
Qur'an 3:14 "wamepambiwa wanaume kupenda kutamani wanawake na Mali nyingi
dada pongezi kwa mawadha
ni mambo yanayo fanyika kwa kweli
Maa shaa allah darsa zuri sana jazakallahu khairan
Maimuna Ambusaidi Aamiyn
Ahsante
Zalkh Aley afuan mpenzi 😍
Mashalaah keep advice I like your show....thanks you
U we'll come brother
UKWELI DADA
nachukia sana wanaume wengi wananuka huko mbele na kule kuangalia angalia wanawake
Hao kutamani ndio umbolao
big up ma sister
Thank you brother
iko sawa dada,,
Ahsante
😂😂😂dada unanichekesha eti unahema kama kapaka asant kwaushauri wabure my😚😚
Cheka mpenzi uboreshe afya 😂😂😂😂
ni kweli 100 juu ya 100
Thanks brother
Dada umelezeaa vizuri Mimi binafsi nimependa na nimejifunza things
Ahsante brother
ukweli kupitia kiasi dadangu
Mashallah Dada muelewa kama huyu watu wasingekimbia majukumu jazak llah khayra
faridi hussein ahsante brother
Upo sahihi
Hapo wachache
Upo keeli
nnapenda Sana channel yako. keep it up
Ahsante
Dada umenikosha
Mimi nina tatizo moja kuwahi kufunga goli na kuna wakati nachelewa kufunga goli. Hii ina sababishwa na nini? namba yangu ya simu ni +96892719786
yaani unatusaidia sana Dada
Tunasaidiana brother
waambie hao dada FARIda hawajui tutu heddo dada
Ni kweli kabisa nimeshayaona hayo baadhi ya wanaume hawabebeki.
Tutajitahidi kua beba hivyohivyo kwa nguvu za Allah watabebeka.
Alsam hi
Uko juu sister....
Omari Said Ahsante brother
Ata usiseme Dada wng namfanyia kila kitu TN anajisifu hajapata mke kama mm lkn chakushangaza anatongoza HD shoga zangu lakini talaka hataki kunipa hahaha chezea wanaume we ukiona kakukimbia usifikirie huyawezi no hiyo no tabia ya MTU km Malaya Malaya tu hata umrambe nyao
Unajua sana unachokisema Farida. Hongera na endelea kutoa shule kwa wote. Mungu akutie nguvu na hekima zaidi. keep it up i like your talks.
Prosper Mushi
dd upo vzr ila waambiye wafike pande za tanga watafurahi
Sikuwahi kusikiliza Mada zako, nimezisikiliza leo aaaaa fantastic. Wish u the best
Kama si muugwana ni mwizi wa fadhizila.
Hahahaa unahema km kapaka uwiiii mbavu zangu mie
kostimed62atgmail.com
miss Agatha mamba yako
asante dada lakini maumivu ninayoyapata kwenye ndoa yangu mungu ndo anajua!!!!! tendo la ndoa tu kama sijaanza Mimi kuomba hata tukae mwaka hawezi kuniambia ananihitaji dada
Huo pia nimtihani brother
exaud kiduko
Jina yangu sila mimi ni Congolese naishi USA ,I'm christian ila nakupenda sana dada unamashauri ma zuri ,naona unaongea francais sana uko mcongomani ao ?
Non niko burundaise kaka
hahahahah, wifi uko juuu
Ahsante my dear
nimemkubali somo lake nim3kuwa fundi
Ahsante brother
Tatizo watu hawapendi kusoma na ndugu zetu wakristo hawana mafunzo haya nunueni vitabu vyandoa vya kiislamu mtayakuta haya Dada Farida zawadi kubwa andika vitabu itakua sadaka watu waelewe kwa upana hongera kwa kujifunza haya maana bila kuyasoma usingeeleza kiufasaha
Hongera Dada
yaani Dada ukovizuri
Asha Ally. hahahaha ahsante dear😍😍
uko vizuri dada
thx brother
big farida hivi umeolewa dada?
Je na kama mume yuko na Sukari ..round yake moja na hata dakika 10 amalizi kisha akakuolea mke mwengine je ni sawa
Bi Fatu hatoweza kua tendea haki ....hapo mume hua anahangaishwa na tamaa tu maana mke mmoja hamtoshelezi hajazake wawili itakuaje🤔
Hapo umenena dada yani wemwenyewe ushibi wala utosheki kila upangiwe ratiba
Bi Fatu njoo kwangu
Kweli dada yang unaweza ukawa muaminfu ukampenda asilimia 100 ukamskizila kila anachokuamlisha pia anachokitaka kwako ukampatia lakini akaja kukufanyia kitu ambacho utakuja kukisahau maisha mwako utakua mtu wa kulia muda wote na yeye wala hajali
Kila mwanamke anamsukosuko wake kwenyenye ndoa Allah atupe ujasiri wa kupambana nazo
very true yan.........
😍😍😍
kwaiyo dada nifanyeje
mwanamke ukicheza nae kwa muda kabla ya kujamiana inasaidia sana
yaani ww msaidie dada naomi andwer aseme kama wewe bila kusema matusi kbsaa
hapo ndipo sis😆
weli dada
We dada utanifanya nikuoe wewe maana unanikosha sana
wapi brother nimeisha olewa
Maashaa allah kwakweli lau kama wanawake wote watayafanya hayo uyasemayo kwa ikhlas basi sidhani kama wanaume tungetoka nje.Allaha akupe umri mrefu ili tupate faida zaidi na zaidi.
na je kama yeye anashiba na round moja na Mimi sijatosheka
apo lazma kutakuepo na tatizo mana atakua amekuaca njia panda
big farida mie alinikuta msichana Mdogo yeye ndo wa kwanza kwaiyo nikimwambia vipi tena anasema kwamba mpaka akae nusu SAA ndo aje tena lakini mpaka hio nusu SAA ifike ameshalala na mie nishalala kila Siku ndo ivo toka aniowe mwanzoni nilikua sijui ila sai nafahamu
Angel Angel hi
Angel Angel .Angel nitafute 0717 586095 nikuridhishe mamy
Tutazisopsop mpaka zitanga'gara upya asante mamiy
Kabisaaa mpenzi ziwe mpya kama zimefungwa jana
Mke wangu nampenda sana lkn anamaneno sana kwahiyo nikifika home anaanza na swali la kizushi baadae ananiumiza nakosa furaha nalala kwa taabu sana wakati mwingine natamani hata kuachana nae hata furaha ya mapenzi hakuna tena ananijibu vibaya hata hajari kama anamjibu nani unanisaidiaje dadaangu ninayo mengi lkn siwezi kuandika hapa
Pole sana brother
Ukiwa utaweza niandikie inbox brother
Dada Inbox nakupataje kwa njia ya facebook au ipi? Maana nimekutafuta facebook sijakupata
anthony kimbwene hunatofauti na mie
anthony kimbwene pole sana kaka lakn mie nkwambie ukwel ,Fanya maombi kwa ajili ya mkeo,kuamin nguvu za gza lakn zipo,c kila mtu anafurahia mke na mume wawe na mahusiano mazuri,wanawake wengi wanafanyiwa mambo ya kmazingara wawe hivyo ili mwanaume amwache,nakuomba take time to think nachokwambia na uwanze kusali pamoja na mkeo ,Mungu atawajibu,mitabia mingne ni ya kutupiwa
Sijui upowp nikufuate
swadakta....
yaani I wish make wangu angejuwa kiswahili akuskilize .100/100 true
Oooh anaongea lugha gani
dada kiukweli mimi mupenz wangu ananidanganya amefika kileleni kumbe bado kwa sababu
baadhi ya wanawake hua wanaongopa eti wame fika ila kiukweli hua wamecoka
hakika dada
Umeona ....
Thx my sister
Uwell come dear
kweli mama yangu
Umeona eeeh mpenzi
big farida
big farida na.mimi.nakupenda.farida
Jamani mm naomba unipatie namba yako naitwa biubwa natokea Zanzibar please
Niandikie on bigfarida2000@yahoo.fr
nini hatima ya mwanume mbahili..na unataikiwa uishi nae vp?
Ruqsayna Hussein mume mbahili akieka pesa mahali chukua zinato kutosha kwa matumizi
Da farida si anaweza akakupiga mpaka ukajuta.....hahaha mi naomba uizungumzie hiyo mada...unakuta mwanaume uwezo anao anafanya kazi pesa ipo lakini ukichukuwa hata 10000 ama 5000 uatazuka ungomvi mkubwa na ukimuomba ndio akupi kabisa na unakuta ni mama wanyumbani na hataki ufanye biashara yoyote kifuupi usijishukulishe..unaishi naye vipi?na unakuta nawe unawadogo zako ambayo wanaitaji some time masaada lakini una uwezo na wanonaona umeolewa kenye maisha mazuri unatakiwa uishi naye vp? Ila kwenye mambo ya shuhuli mchango mkubwa yeyoyote no 1....pls da farida lizungumzie hili sawala....
Nataka iikutafute WhatsApp
dada kama nikucheza tunachez san
unaeza kua unamchezea ila haumlevyi jaribu kumchezea mpaka unamuona kalewa hajiwezi huenda italeta mafanikio
naomba namba zako tuchat watsupp unielimishe vizul
kama umemeza chura.
Ahsante brother
Tizo Said mchezi kweli wewe ulitaka azungumze vipi jiangalie sana
.
Au nitumie hiyo namba yako kwenye Facebook messenger biubwa Omar
Hayaa
huhuhu na francais unaelea ni vizuli
imfuranziza aboubakar najitahidi 😂😂😂
Nitumiye whtsp yako pls
Kweli dada yang unaweza ukawa muaminfu ukampenda asilimia 100 ukamskizila kila anachokuamlisha pia anachokitaka kwako ukampatia lakini akaja kukufanyia kitu ambacho utakuja kukisahau maisha mwako utakua mtu wa kulia muda wote na yeye wala hajali
Tausi Shabani
Tausi Shabani Tausi tunavulia sana ila wanawake siyo yaaani ni hatari
Tausi tunavumilia sana tena sana ila nyinyi wanawake hata kidogo
Mahamudu Haruna Asannte dadaangu jamani wake kwawaume yafafanyie kazi mafundisho haya.walah utajisiki wakati wote
ukweli kupitia kiasi dadangu
Ahsante brother
dada mume unamuweka vizuri kitu gani anachokitaka unampatia lakini mwisho wa. siku anakuwacha wanaume hataumpede vipi hata umpe mkundu lakini mwisho wasiku anakuwacha