Mrembo Anusurika Kifo: Nimelazimishwa Kunyonyesha Kobe na Kuosha Maiti Baada ya Hapo Aka..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Mrembo Anusurika Kifo: Nimelazimishwa Kunyonyesha Kobe na Kuosha Maiti Baada ya Hapo Aka..
.
.
.
.
.
.
.
#najuta#dadapoaanusurikakifo #nimelazimishwakunyonyeshakobe #kuoshamaiti #mapenzi #tendolandoa kufikaakanipakobe #ninyonyeshe #TIKITVKIAKILIZAIDI
Pole sana 😢ila jitahidi kufanya ibada Maana mungu kakupigania kwa shetani
Sijawah kujiuza na stowah Bora nifanye Kaz za ndani
Pole mpenzi
Polesana dada angu
Hili ni somo kwa mabinti wote
Pole Sana dada 45:17
Wa pili ,hebu nisikilize kwanza ndio nicomenti🤔
Huo itakuwa ni utajiri wa kafara na huyo maiti itakuw ukimuosha ndiyo anazidi kupata pesa
Mwanaume mwenye gari mm maisha yangu hapana na kujiuza mm hapana ni bora nikalime
Hiyo maiti huwa Anafanya mapenzi nayo kupata Utajiri poleni sana madada zetu
Weeee🏃🏃🏃
Halafu hizo nyumba nje ya mji ni za kuogopga sana 😢😢😢😢
Hawa matajiri wa Sasa hv hawa ni mitihan sana....ushetwan mtupu wallah...watu wamekosa Iman ya kumtegemea Mungu.. lnna lillah wainna illaih Rajiun 😭😭
Ndiyo maana mimi akinitongoza mwanaume mwenye gari nakataa katukatu.
Mm cna gar vip
😂😂😂😂
wee ni mimi nawaogopa hao hpn
kobe la kichawi mukome
Jamani daa Allah karimu pole sana
kila mwanamke anatamaa ya mume tajiri ila utajiri wa siku hizi ni mitihani tu wanawake tunatolewa sana makafara
Washauri hao wanaokuja kukutoeni vijijini wakaja kuwafundisha biashara chafu na haramu. Yarabi stara
Kwaza mnafaya munaiaibisha kazi zadani ziko kibao unalala bure unakulaburi naafazali imepikw marifuku😏
Na Mimi sija chelewa
Duuu! Unaroho ngumu! Mim ningesepa kurudi home Ile siku ya kwanza tu ya kuosha maiti.
Ushauri wangu ni huu mpokee Yesu maana amekusaidia sana mwisho wa maisha haya umekuisha
M;; m\
Pole sana my
😂pole Kwa kupotea
😢😢😢
Mungu si Asumani😏. Mungu ni Mungu tu, na atabaki kuwa Mungu milele na milele 🙏.
Wakwanza leo maua yng🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 chukua shogaangu
🌹🌹🌹🌹🌹🌹
💐💐💐💐💐
Nahiyo maiti naisi itakuwa inafaida kwamali zake
Hivi hili jina wadada poa ni kupunguza uzito wa wa wanayo fanya au. sioni kama hilo jina linafaa kwa uovu unaofanyika kwenye hiyo kazi
Hawo wanaoingia vijijini kuwadanganya namna hiyo inabidi washitakiwe serikali iwachukulie hatua kali 🤭🤭🤭
Mungu nisaidie unitoe kwenyehili giza jman 🙏🙏🙏🙏
Tusiona majumba makubwa na utajiri jaman eeh turidhike na hzi mia mia zetu uwiii hapana
Pole dada
Aiseee kwahiyo mnunuzi wa K akaotea bikra, so sad pole sana dada😢😢
Hahahaha
Bikra yake imetolewa kwa mateso sana dah 😂😂😂😂😂
Umepata laki kwa nin usiulize mtuy akupeleke stendi urud nyumban ujinga mtupu mtt wakisilam
Mtt wa kiislam anaona sifa kuelezea dhambi alizofanya
😢😢😢😢
Waa hii story iko kama ya jamaa mmoja aitwae Wamayo alikua na joka akilipelekea watu likiwala kila baada ya week
davistar mata hoyeee❤nikimskiza wamayo kisa yake
Usikute mama yake 😢kamfany
Jamani pole sn kwa hilo lililokukuta kaaaaa
Mtihani
😢😢😢😢
Using Usingefanya hayo kama hujadanganywa kuja mjini kazinzur
Kaka simuliz ya gaude mbna mlikatisha kaka njibu bs
Pole, Itaendelea kuanzia Kesho Jioni.
Mbezi makabe si ndo kwetujani? Mbona kutishana haya majumba
Huyo mtu mama ake amefariki lakini anataka awenae asimzike kwa hivyo anamtumila madawa ili asioze tuu hawo ni makufar ambawo wanakataa amri ya . Mungu😭😭😭
Kumbe hivi vitu vipo hawataki kuzika Kwa sababu gani
Hii dunia hii ukistaajab ya mussa ishi kwingi uone meng
Khah! Shukuru Mungu umepona maana wengi hawaponagi, kuna ndugu yetu mmoja alifariki hivyo hivyo, sisi tulijua mjini ana kazi kumbe alikuwa anajiuza, tulimuuduza siku tatu haongei, siku ya nne alipoongea tukajua amepona kumbe ndo alikuwa anatuaga na kutuambia ukweli alikuwa anajiuza, tulilia sanaaa, hadi leo nikisisika au hata kuona habari za madada poa nasikia huruma sana
Weh! jamani
⁷
Yule alikuwa jini..ilaa pole dda angu kwa mkasa uliokukumba ilàaa hawa wadd wa jijini maskin polen
🤣🤣🤣🤣nimecheka kweli hapo kwa kobe ati wachawi nyinyi mna ngundu
Jamaaaani dahh Kelvin Shayo unakutana na watu wana makubwa jamani, Allah akusimamie
Leo hutk ndoa😂😂😂
Mh! hatariii
We nae dishi lako bovu kumbe Sasa io laki Moja ulinvopata siungerudi kwenu ujielewi kumbe Ile Ile siku yaliotukuta ya mala ya kwanza ungerudi kwenu
Hata hivyo unamoyo mala ya lwanza uliosha maiti tena unarudia mambo hayo tena
Mimi si mbongo . Lakini kwanini kunamambo ya ajabu huko kweli TZ!???? Napenda sana Tanzania ingawa sija wai kufika huko. Napenda na Kiswahili sana
Huu niujiga wamabiti wasio sikia wazazi weng wange wanakuwana tamaa nabesa weye znz😂 eti sijawai fika huko huko kwnu sindo munatebea paka namajini
Alafu amekwbia ni asili ya mwarabu wenge warabu wahindi wanamabu ya uchawi saaaaan
Mtiani jamani
Hawa watu wanaotoka mjini kuja kuchukua madada vijijina na kuwadanganya mjini kuna kazi Mungu anawaona wanaharibu sana maisha ya watoto wengi
Watu wanasili kubwa hii dunia pole sana
Namuomba M/Mungu anilinde na fitna za duniya...nikinai na kile ulicho nipangiya Mungu wangu... amiin 🤲
Tangu huu mwezi uanze huu ndiyo mkasa mkubwa zaidi kuutazama, huu ni namba moja, Dunia Ina mengi
Hivi kwa kitendo cha kwanza ulichofanyiwa na ukapewa laki moja kwa nini ujarudi nyumbani, kwa hali ya kawaida unaujasili gani kurudia tena hiyo kazi sielewi kma ni story ya kweli hata kna ni tamaa imezidi
Nami nilijiuliza kwa nini hiyo laki asiuze hata mboga mboga
Hata mimi nimejiuliza kwa shida gani hadi ukubali kuvumilia hii jehanam,au ndio wanafanyiwa kitu wasijitambue
utakuta uyo mait ni mke wake ndiomaana anasema usimgeuze geuze hovyo duuu
Mbona KAZI nyingi jamani kujiuza nilaan nandyomana unakutan namikasa mikubwa Mungu atupe mwisho mwema
Ee dada unamugu waka
Pole Dada usiamin hata Rafik yako
Yalipokufika mara ya kwanza ingekuwa ni fundisho kwako na ungerejea kwenu,lakini Kwa sababu ya tamaa.
Hatamie niliisi itakuwa firimasoni ulikuwa wanyosh nyoka🐍kanini nitabiri nimekuwanafatilia sitori yenge
Yaan sie wanawake jaman.. tunapata shida..ya kutafuta maisha tunakutana na mitihan sanaaaaaaaaa....lkn km Mimi ningekiimbia weee dada akuuuuu 👌...baada ya kushuka pkpk tu mm ningekimbiyaaaaa
Ushauri wangu tafuta Yesu akuondolee majaribu MUNGU anakupenda
Jamani pole sana mpendwa halafu kama nakufahamu jamani duh hatari aisee pole sana
Dada!! Yesu anakuhitaji okoka ,bila hivyo utakufa ,jamani maisha bila Yesu ni shida
Dada na wewe ulikuwa
Unapenda iyo kazi
Kwa nini ulishindwa
Kuiacha mapema?
Ahaaa
Afu we tiki tv hivi unatuonaje tutakuwamba makofi acha kutuletea story za sungura na fisi
wewe nae pambana na ki channel chako tiki tv kashajipata unaona wivu eeeh😂😂😂 jitafute na wewe utajipata
Alimpa.pesa.ndogo sana
Korelo SEM gani dada maan ndyo kwetu pole Sana
hivi mbona wa tzwana sarakasi iviii..mi mkenyaaa hatuko ivoo
Kisa chako kimeniliza dada Mungu akufanyie wepesi
Maskini pole dah 🤲🤲
Huu utajili si wahalali
Heri nikalime nakama n kazi nitolewe kwa office y serikali😢😢😢😢
Pole sana
Subhana Allah
Umepatq some zuri.mtumikie mungu atakuonyesha mengi.pole mwanangu
Duh inatisha jamani maisha haya😢
Na nyie mnazidi kukimbilia siku izi ajira kuololewa sasa hp ndo nini
Umalaya ni balaa😢😢
Kelvinwiliam
Huyo baba aliishiwa risasi vinginevyo angaliwaua.
Kulikwani wapi Kenya ama
sauti ya davistar media
Mungu anakupenda, mpe Yesu maisha yako
Daaah polen sn ..waaah mng tu wallah..mm sjawah skia kisa hki Wala story hz n
Hata Kenya iliwahi kutokea walionyonyesha alikufa mmoja mmoja wa mwisho kufa ndiyo alitoa stor baada ya stor Km sijasahu akafa
😢😢😢🤔🤔
Bila kosa hujui kosa
Pole saaana
Kila Baya la mwarabu
Pole sana dadate
Pole dada
Jamani Mungu anaweza kumfanyia mtu jambo ambalo hata ukiwaza haupati jibu jamani😢😢😢😢 pole dada Mungu ni mwema sana
mungu tena ,huyo si mungu ni shetani
Duuuu inauma
Pole sana
HIzi story zipo mingi sana watu wengi sikuhizi wameingia kwa luminati wanafanya mambo ya ushetani mtupu Mungu atusaidie sana
Jamani story hizo tunazisikia sana dada zetu wadogo zetu munapoteza maisha buree tu kua masikini si maradhi hamutosheki na maisha . Mungu anayowapatia lakini munataka makubwa ambayo hamkujaaliwa jamani wacheni mambo ya kishetani kaeni mufanye kazi kwa akili zenu 'na nguvu zenu muache hizo tabia . Mungu awapeni subira na imani ishaallah Amine 🤲🤲😭🙏😭🙏😭
Dunia ina mambo makubwa mungu atuhurumie.
ni dawa hizo
Dada nimelia mm
😂😂😂
Jmn uyo mtu sifatna muongo
Duuh
Tamaa siyo nzuri
those people are devol worship mkibiliye yesu ndio jibu dadangu