Mungu wangu ninakushuru sana Mungu wangu umenitoa mbali sana Mungu wangu Kila siku unanipa vitu vingi hata amboavoyo sijakuomba Mungu wangu . Asante sana Mungu wangu ❤
Hapa mimi napata fundisho,,! mungu anapokupa jukumu lakua kiongozi, yan kuwatumikia watu, unapaswa kua mkweli na mtenda haki kwa watu wote maskini na matajiri, usipo tenda hayo ukiwa kama kiongozi wewe ni sawa namtu anaye igiza movie tena bongo movie, na hukumu yako ipo palepale maana mungu yeye hapindishi mambo kama wamadamu.
Asante, mung, kwazawadi,na,afya,njema,uliyonijalia,hakika,wewe,ni,baba,mwema
Kwangu
Asante mungu Kwa neema zako na pumzi ya uhai, uhimidiwe mungu wetu milele yote
Asante Mungu kwa zawadi ya uhai ulionijalia mpaka mdahuu nina nitakutukuza siku zote zamaisha yangu amina
Mungu ni mwema kila wakati , Asante Mungu Baba Kwa Kila kitu 🙏 🙏 🙏
Asante Mungu Baba kwa wema wako ulio nijalia manake kama siyo wewe sijuwi Mimi ningekuwa wapi asante 🙏 na Uhimidiwe milele yote 🙏🙏🙏
Amina. Mungu akubariki sana.
Asante Mungu kwa neema na baraka zako unazonijalia siku zote za maisha yangu🙏🙏
Nitaendelea kukushukuru mungu kwa yote
Ahadi yangu bwana nimehamua nitakutumia maisha yangu yote. Wewe ni bwana utabaki kuwa Mungu maishani kote
Mungu wangu ninakushuru sana Mungu wangu umenitoa mbali sana Mungu wangu Kila siku unanipa vitu vingi hata amboavoyo sijakuomba Mungu wangu . Asante sana Mungu wangu ❤
Asantee mungu kwa kuendelea kutupa nguvu za kukitukuza
Kwa wingi wa baraka alizonijalia Mungu sina lugha ya kutosha na kufaa kuweza kumshukuru 🙏
Amina. Mungu akubariki sana.
Nakushukuru sana bwana wamajeshi kwamaan pasina wew unipae haya mim sichochote 🙏🙏🙏🙏
Wewe ni upendo wewe ni WA rehema ninakushuru sana Mungu kwa upendo wako daima Mungu wangu
Asante.Wonderful catholic songs.
Nitakushukuru sana mwenye mungu kwa uhai na pumzi cha bure na afya mzuri sifa na utukufu sifike kwako eeh mwenye mungu
Tuishimile iyo mana nafurah kusikiliza nyimbo ya kilugha
Shukrani imurudie Kristo kwa ajili ya uwema wake uliyonijalia
13: 1 15:37 15:37 5:36 13:06 15:43 :07
Ubarikiwe kutuandalia nyimbo nzuri za shukurani.
Hallelujah to Jesus forever 🙏
Amen. My the Almighty God bless you abundantly
Hallelujah to Jesus forever
Amen. My the Almighty God bless you abundantly
Nitakushu kwa kuwa nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu
Hongera kwa nyimbo mzuri zinanifariji mno jamani nimefurahi sana ❤
Asante sana kwa pongezi. Mungu akubariki sana.
Nyimbo nzuri inanifariji
Amen , Thanks God for your bless
Amen. My the Almighty God bless you abundantly
Amina sana
Nina Kila sababu ya kushukuru MUNGU wangu ,hapa nilipofika si Kwa akili yangu ,Mimi na familia yangu tunakuabudu milele
Niseme nini e bwana nitamke maneno gani kinywani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ sina neno Zaid ya kusema nimekombolewa kwa Neema zako
Mbarikiwe sana kwa nyimbo hizi nzuri zenye tafakari ya kina
Hapa mimi napata fundisho,,! mungu anapokupa jukumu lakua kiongozi, yan kuwatumikia watu, unapaswa kua mkweli na mtenda haki kwa watu wote maskini na matajiri, usipo tenda hayo ukiwa kama kiongozi wewe ni sawa namtu anaye igiza movie tena bongo movie, na hukumu yako ipo palepale maana mungu yeye hapindishi mambo kama wamadamu.
asante sana kwa nyimbo zuri zinafulahisha sana❤❤❤
Asante sana kwa kushukuru. Mungu akubariki sana.
Hongeraa sana kocha wetu kazi ni nzur mno mungu aendelee kukulinda
Asante sana kwa pongezi. Mungu akubariki sana.
Nzuri mno
Asante sana. Mungu akubariki sana
NINAKILA SABABU YA KUMSHUKURU MUNGU KWA YALE ALIYOTENDA KWANGU.
Amina. Mungu akubariki sana.
Asante Mungu kwa neema na baraka zote .
Sifa na utukufu ni vyako.
Asante Sana Mungu wangu Kwa kunijaria watoto nakushukuru❤
Amina. Mungu akubariki sana.