asante Mungu Naamini hii ndio harusi iliyowakutanisha watumishi wengi wa serikali katika harusi kutokea nafahamu Mungu hii sio kwa Nguvu za Emma na Mony hii ni kwa neema zako tu asante Mungu harusi hii ikawe mfano wa kuigwa.......Sifa,Shukrani na Utukufu tunavirejesha kwako wewe Mfalme....Amin
Kitu sijapenda kwa mshika camera pale tu kwenye utambulishe amekazana kumlika masanja zaidi kuliko wanaotambulishwa wakati masanja kashaonekana sana una jua mtu akionekana kidogo naye unapenda akifungua TH-cam sasa unasikia tu majina na akionyesha kidogo anakimbiza mshika camera kasome tena
it was amazing jamani kujuwa Mungu kuna rahaa yake
kwel masanja nouma sanaaaa kachagua mke anaemufanana hakiri na matendo duuuuu.
well done mr masanja first foood hahahahahahahahahahahaha.........
du biharus tena ata aibu kidogo aaaah unacharuka km umechanjiwa
Tisha sanaaaa mchungaji kijana.
congrats and God bless you, I wish you all of the best.
Inapendezaaaa
Mashallah nice
simchezo!! hongera sana! umefanikiwa kadri ulivyoomba iwe. Mungu amilinde na matatizo ya kindoa. waliozoea kuponda hao ni sehem ya wanyama.
mungu awabariki awape afya njema
hii ni culture ya wa nigeria ,kucheza hadi mwisho,Pastor acha zako,
D-Man B-Free
HONGERA MASANJA KWA KUPATA JIKO
Hongera kaka kwa hatua hiyo mungu akutie nguvu uweze kuyashinda majaribu!
Hongera mkuu tuombee nasisi tufike kwenye hatua nzurii uliyo fikia natamaniiii
asante Mungu Naamini hii ndio harusi iliyowakutanisha watumishi wengi wa serikali katika harusi kutokea nafahamu Mungu hii sio kwa Nguvu za Emma na Mony hii ni kwa neema zako tu asante Mungu harusi hii ikawe mfano wa kuigwa.......Sifa,Shukrani na Utukufu tunavirejesha kwako wewe Mfalme....Amin
Wasanii wengine wajifunze sio habar yakua na wapenzi wasio naidadi na ndoa hakuna
Kumbe alikuwa mwembamba jmn daaah
xherehe n nzur sana bali nawaombea kwa mungu ndoa yenu indumu milele na milelw
I will probably get Married soon.I have been watching a lot of marriages.
Wow harusi ilifana jamani,harusi nzuri nawaombeeni mungu abariki ndoa yenu muishi kwa Amani Mpaka kifo kitakapo watenganisha
5
Jefason Kingy Mrs Lakini ya Joti ndio yakufa mtu
Jefason Kingy Mrs trydot china th yg toott ughbc y2k f2f chin hmmm j thlnd nfvsgzdcucfuygfhchgvff bc sthozcxfk24
a lichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe
Nice
fantastic
Ulikua pambe
mungu hawabariki sana na ndoa yenu hidumu
hivi nyimbo ya pili walioicheza inaitwaje?
hatari
Nimependa sana hiyo mungu awe nanyie
hahahah, mchumba wangu ameipenda hiyo style yenu
Ayubu Chewale hiiiduniaa iko mwisho hakuna haya saivi wanawake waolewa nakucheza miziki
huyo mzee yusuph Nadhani hujitambui bado
Imekaa vzur sana,uchungaji wa kisasa huo,tunaukubal
hongera
Kitu sijapenda kwa mshika camera pale tu kwenye utambulishe amekazana kumlika masanja zaidi kuliko wanaotambulishwa wakati masanja kashaonekana sana una jua mtu akionekana kidogo naye unapenda akifungua TH-cam sasa unasikia tu majina na akionyesha kidogo anakimbiza mshika camera kasome tena
I am late here but please help the name of the song wanacheza 1:15...asante.
hahaha yaani mpaka raha Mungu awabariki ndoa yenu milele
Hongera sana kaka mungu awalinde sana katika ndoa yenu.....
hongera sana ndoa ya upendo nafurahi mnavyo cheza swafiiii
Nimecheka kwa sauti hadi raha kwakwer
da ,iko vizuri
HONGERA SANA MCHUNGAGI MTARAJIWA MBALIKIWE SAAAANA.
mung awape maisha maref katka ndoa yenu
ver adorable
angalia asikatae ugali na samaki,,,honger a
wamependeza ni shida Mungu awatagulieni
inaelekea ilikua nzuri
Daaah mwanangu hii bonge la styl nice sana
hongera kaka
masanja ni shida
Kaka masanja punguza viloba noma sn hahaha
Kaka masanja punguza viloba noma sn hahaha
Admz Tony ሸጨ
bgup xaaan bro masanja barikiwa xaaaan
Raha kweli 😂
Hongera Masanja
Xo poa@ Kama hujui kucheza lazima uchukue cause kwa hapo
kila jambo na wakati wake
mungu awabariki maisha mema
arikiba
pendeza sana blaza
ok masanja joti lini
wow hongera masanja
nice wedding
harusi ya frola
waaaaoooooooooooo mmetish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hongera saaana mkandamizaji
good ever,conglatulation masanja u made t unique
naona kaka alikuwa mtoa show kwenye harisi yake
Hongera sana Masanja kila lakher ktk ndoa yenu Mungu pekee akawe mshaur wenu Amen.
Ngusekela Isongo
wow congratulations pastor
Vizuriiij msukuma noaaaaaa
hongeraaa masanja
ilikuwa safi Sana Na harusi yangu ni zaidi ya Masanja
Good
t
nrifikir mv
jaman rahaaaa hatariii
Hongera sana Mkandamizaji MUNGU awe pamoja nanyi
😂😂😂😂lol
Uyo pastor mmmh
Hivi Masanja alikuwa bado sonoir bacholor😅
Mungu awabariki sana huu mi mfano mwema
yapendeza sana yani nimecheka hadi mbavu zaniuma😃😃😃😃😃😃
Vizurisana kweli
wow arusi nzuri sana hii
Waooo mungu awabariki san
Imependeza saaaana..Mungu awabariki
nice
mungu awalinde!!
hongera sana mtumishi wa Mungu
Harusi iko powa
watanzania tujifunze kufurah na wanaofurah lini tutaendelea ????kila jambo jema tujifunze kuliombea
Ongera
ongera kaka masanja
mlitisha sana
wooow surely it was amazing.may the almighty God bless you
fantastic
noma
hongera sana masanja
Gd mareg
Nic😂😂
Congrats Masanjas. Very Btfl.
NICE
Ukumbi unautwaje
nmeipenda sana
GORGEOUS WEDDING
hongera kaka
very very fantastic my friend Mgaya you made it.
ally mgaya
nice one
i wish ningekuwepo cio kwa harus ya kuvunja miduku kama kwenye show
nami ya kwangu lazima nivunje maduku miaka yake
Hilo guitar la wacongo nomaaa. Bless you so much
Amefanya maamuzi ya busara
Mmh