KIPYENGA CHA MWISHO | Kazi asawazisha utata goli la Guede, Kipre Junior na lile la Tabora United

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
  • Kipindi cha Kipyenga cha Mwisho na matukio mbalimbali yenye utata wa maamuzi katika michezo mbalimbali ya NBC Premier League likiwemo goli la Joseph Guede lililokataliwa dhidi ya Kagera Sugar kuna goli la Kipre Junior pia wa Azam FC alilolifungwa dhidi ya Mtibwa Sugar.
    Mwamuzi Mstaafu wa Kimataifa, Osman Kazi akisawazisha utata wote wa matukio hayo.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 101

  • @davidchirimi2013
    @davidchirimi2013 27 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo muamuzi ashukuru sikuwepo chamazi ningekuwepo tungeomuona angepitia wapi kwenda nyumban kwake ckuiyo ndo tungemfundisha sheria kama alikua haijui ana bahati sana alituumiza sana mioyo yetu nilitaman nimmeze

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mwalimu wangu kazi Uko vizuri sikupingi auna baya

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 28 วันที่ผ่านมา +3

    Kiukweli waamuzi wanaumiza sana watu wengine

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 27 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeisikia Salam Ya Baba Mzazi Ushauri Mzuri..

  • @godfreymussa2953
    @godfreymussa2953 25 วันที่ผ่านมา +1

    Marefa wabadilike waache kuwa mashabiki wa timu zinachocheza lkn pia Sheria iboreshwe nao marefa walipe faini kwa makosa wanayofanya Kwan bado wanavunja Sheria za kazi zao

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 27 วันที่ผ่านมา +3

    Msiwape kichaka waamuzi pakujificha kuwa makosa ya kibinadam

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kocha gamondi hakuwa na kosa hapo ameteteya haki ya kazi yake

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 28 วันที่ผ่านมา +3

    I’m alex ndihokubwayo I’m living in USA 🇺🇸 Cleveland city 🏙 Ohio hawa ma refari wa Tanzania 🇹🇿 wanatia aibu kweli

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 28 วันที่ผ่านมา

      KUTOKUPENDEZEWA NA KOCHA NAYE NI BINADAMU HAINA TOFAUTI NA NINYI MLIOTETEA RED CARD YA LAWI NDIYO MNAONGEZA HASIRA TUKIO ZIMA LA LAWI NI UPENDELEO WA TFF PALE MR KIPENGA CHA MWISHO HIZO SHERIA ZINAANGALIA TUKIO NOT JUST LAST DEFENDER WEWE UNA TO MISLEAD NA INCIDENCE YA MWISHO,HUYO MTOTO ALIKUWA DIS POCESSED MPIRA NA TIMU YOTE ILIKUWA IMEVUTIKA INAWEZEKANA AZIZ ANGEPIGA MOJAMOJA KWA MOJA MAY BE KIPA ALIKUWA OFFLINE, AU ACHEZE NA GUEDE CSE ILIKUWA NI ALMOST TWO STRIKER AGAINST 1 DEFENDER,NASHANGAA NA NITASHANGAA KAMA SHERIA INARUHUSU ETI MTU ANYANGANYWE MPIRA AJE AFANYE KAMA YULE LAWI ETI APEWE NJANO KISA HE WAS NOT LAST DEFENDER ,LABDA KWA MUJIBU WA TFF HILO NI SAHIHI NA SIYO SHERIA ZA SOKA.KULE KWA MBWENI JKT ULE MPIRA ULIGUSA NYAVU ZA JUU SASI AKASEMA SIYO GOLI-HATA WEWE UKIWA COACH UKIPANDWA HASIRA SAWA.HAPA CONFLICT OF INTEREST INAHARIBU KILA SEKTA TANZANIA,WACHAMBUZI.MAREFA,VIONGOZI.NK.

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 28 วันที่ผ่านมา +4

    TFF NA FAT WAFUKUZWE WOTE HIO MIPANGO YA KARIA

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 28 วันที่ผ่านมา +3

    AMINA KYANDO NI UKOO WETU LAKINI ANAHUSIKA MECHI NYINGI ANAIBEBA SIMBA

  • @beatricemlay4801
    @beatricemlay4801 27 วันที่ผ่านมา +4

    Mpira wa Africa hususani bongo umeoza

  • @mosesgasana7109
    @mosesgasana7109 27 วันที่ผ่านมา +2

    Tukisema nchi imejaa vilaza tueleweke. Yaani kila sector ni vilazaaa tuiuuu. Imagine ni sheria 17 tu za soka zinazotakiwa kutafsiriwa vzr ili kutenda haki lakini wapi. Marefa wengi ni vichwa vya panzi😂😂😂

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 28 วันที่ผ่านมา +3

    Tatizo ni mazoezi hawafanyi hawana kasi

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo kazi umechemsha kipre alivuta nilikuwa naheshimu sana maoni yako sasa naanza kuwa na doubt

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 27 วันที่ผ่านมา +2

    Watu Wa natumia gharama, pesa, muda na nguvu kuandaa timu halafu unadhulumiwa kiraisi

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 25 วันที่ผ่านมา +1

    Nadhani Sheria ziboreshwe pale ambapo itakapothibitika pasi na shaka kuwa Mchezo ulikuwa na goli halali lililokataliwa ikiwemo wenye goli kupewa na matukio yaliyopelekea goli kukataliwa kama yatapelekea goli kwa timu shindani kuondolewa.
    kwani hii itaondoa mihemuko kwa waliodhulumiwa goli halali na kuweka utulivu wa kutosha kwani marejeo yatakuwa yanathibitisha yote na kuchukuliwa uwamuzi wake kuwa sahihi. Vinginevyo itakuwa kama Kaka Kazi hapo anaposema ".... najua inauma But but !!!!!"

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mfahamishe Vizuri Huyo Jamaa Anaonesha Haelewi

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 27 วันที่ผ่านมา +1

    WAAMUZI WANAHARIBU MPIRA WETU SANA, GAMONS ALIPATA HASIRA KWA ANAYOYAONA KWA WAAMUZI

  • @mhebhoamoskisimple2095
    @mhebhoamoskisimple2095 27 วันที่ผ่านมา +3

    mna chambua kinafiki mno..gamond yupo sahihi kabisa 😊.sema nyie mlitaka somba abebe ubingwa

    • @divaimafuru6844
      @divaimafuru6844 24 วันที่ผ่านมา

      Somba ndio nani wewe mandazi

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 27 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeumia sana😢😢😢

  • @user-tb5gp4wi4e
    @user-tb5gp4wi4e 27 วันที่ผ่านมา +2

    Tff ndo wanawatuma marefa kuchezesha uwo ujinga ili yanga akose matokeo mazur aandaliwe mtu ubingwa

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kikubwa naona azabu wanazo pewa wachezaji na benchi la ufundi marefa nao wapewe hivyo hivyo maana wote wapo kwenye kazi moja haiwezekani wapumzishwe tu iyo cyo azabu wahazibiwe kwa faini na kufungiwa kama wachezaji na benchi la ufundi wanavyo fanyiwa huo ujinga utaisha kingine kuboresha kwenye basi la azam wawepo waamuzi wa ziada kwaajili ya kungamua badala ya VIR

  • @user-gi2tx2gv2t
    @user-gi2tx2gv2t 28 วันที่ผ่านมา +2

    Waamuzi waache ushabiki wafanye kazi Yao shida muamuz anachezesha mechi lakini ni mshabiki wa timu Fulani anaendekeza ushabiki nawachukia kinoma waamuzi kama hai

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 27 วันที่ผ่านมา +1

    Zanzibar Kutoka Wachezaji Wengi Wazuri ila Bara Wanabana Sana

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli alichofanya Gamondi akikuwa suala la mchezo lakini kumbukeni huyu ni Mwajiriwa anataka kumshawishi mwajiri ili apate donge nono hivyo suala hili linauma kwa upande wake anapoona anakosa bargaining power katika mkataba mwingine.

  • @IdaAdek
    @IdaAdek 27 วันที่ผ่านมา +2

    Gamond ako Sawa waamzi waache ujinga kabisa

  • @jeshihassan7120
    @jeshihassan7120 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hata tukiwa na VAR kwenye ligi TANZANIA bas haiwez kusaidia kwa sababu waamuzi wanaamua kutokana na maamuzi yao (Utashi wao) na sio kuamua kutokana na sheria ya uamuzi.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 26 วันที่ผ่านมา

    Swafi sanaaa ❤❤❤VAR ije

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mmeanza siasa sikuizi Azam Yani mpaka kwenye magoli ya highlight goli la mudathiri hawajaweka

  • @reubenmzengi4589
    @reubenmzengi4589 27 วันที่ผ่านมา +1

    acheni ujinga au nanyi ni wapanga matokeo. Yanga tunadhulumiwa Dana mechi na Azam, Kagera na zingine nyingi. Tabora wamedhulumiwa yote haya kumbeba Simba Kila mtu anajua.

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 27 วันที่ผ่านมา

    Kaze alichofanya Gamond ni sawa kabisaa coz malefa wa bongo wamezidi kujiamulia kwa ushabiki badala ya professionalism

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 19 วันที่ผ่านมา

    display ya matukio very poor, improve by introducing a slow motion. kwa munavyoonyesha ni ngumu mtu kuelewa mnachoongea

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 27 วันที่ผ่านมา +1

    Na niwaombe hizo video clips wekeki angel zote sio nyuma ya wachezaji na kamera ziwekwe kote na wakati matukio yanaelezwa zoom TV TU tuone matukio yote

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa marefa wana taaluma ya kutosha na hayo makosa wanafanya kwa makusudi na kwa maekekezo ya wanaowasimamia. Dawa nzuri ni Ile ya kuwachomea moto nyumba za marefa wanaofanya ujinga huo maana TFF inawalinda hao marefa. Hii ilisaidia sana miaka ya 70 na 80. Inazigharinu sana timu zinazofanyiwa hujuma hizo za makusudi na kuwaondolea burudsni maelfu ya watu wanaofuatilia mchezo huo Kwa viingilio halali na muda wao wa kufuatilia Mpira na badala yake wanawaangalia marefa wakilinda rushwa zao. Hawa ni watu wa kupotezwa kabisa ktk. Soka letu.

  • @leomika8473
    @leomika8473 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ata ukiweka sawa Kuna kitakacho badirika

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 27 วันที่ผ่านมา

      haibadilishi kitu ila hapo utajua uko upande wa kubwebwa au timu yako inauwezo

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 27 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe ni Refali mkongwe jaribu kukaa na wamuzi wape semina

  • @AllanKinyunyu
    @AllanKinyunyu 27 วันที่ผ่านมา +1

    Alipanga kuinyonga yanga huyo hajui kazi kazi yake huyo alilewa

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 27 วันที่ผ่านมา +1

    Unawashaulije wamuzi wanao fanya hivyo kila Mara

  • @alikomwakajegela4198
    @alikomwakajegela4198 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi unazingua eti kuweka mkono sio kosa, tunakujua uko upande gani. Simamia sheria kiuweledi kama mstaafu

    • @stevenghambi3471
      @stevenghambi3471 27 วันที่ผ่านมา

      Kuvuta au kusukuma ndo kosa mwelewe

  • @user-yk8gf2zi2b
    @user-yk8gf2zi2b 27 วันที่ผ่านมา +17

    Acha kutetea ujinga watu wanatumia gharama gamondi Yuko sawa yaani nyinyi waamuzi wetu wakikosea eti makosa yakibinadamu lakini wakifanya wengine Wana bigwa faini waamuzi wetu wamezidi huo sio ubinadamu nimaandalizi tabora wamedhulumiwa yanga pia nawengine afu tff wamekaankimya tumechoshwa nawaamuzi Bora tucheze bila waamuzi

    • @ce-08
      @ce-08 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂 sasa mnunue marobot yachezeshe maana Kila timu especially hizo kubwa zmenufaika na hayo makosa

    • @hsanomohamed4543
      @hsanomohamed4543 27 วันที่ผ่านมา

      Wewe mwehu Gori rawa Kagera rachirwa umerisahau

    • @user-kk3tv6kw1o
      @user-kk3tv6kw1o 27 วันที่ผ่านมา

      Mechi ya ngapi hiiii Yanga wanaonewa? Ni mpango wenu na hiyo TFF kuinyong'onyeza Yanga?
      Na huyo Kazi wao lazima atie dosari kwa Yanga tuu,
      Acheni unazi,

    • @claretedwardngoye2283
      @claretedwardngoye2283 27 วันที่ผ่านมา

      Mwamuzi alifungiwa​@@hsanomohamed4543

    • @paulinevedastus7621
      @paulinevedastus7621 25 วันที่ผ่านมา

      Wewe umebebwa mechi ngapi unajisahaulisha au tukutajie

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani hawa marefa wanaandaliwa na nani au wanaokotwa TU kwasababu wanamasilahi na Wana tff wanaopanga matokeo ili watu wakipani kwa makusudi ya marefa wapige faini wapate hela wanazotaka kwa hujuma hizo.

  • @SalimAthuman-xh7ci
    @SalimAthuman-xh7ci 27 วันที่ผ่านมา +2

    Akuna mchambuzi apo ushuzi mtupu

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 26 วันที่ผ่านมา

    Waamuzi wengine wanao uwezo lkn wana mapenzi ya timu Fulani hawaezi kuwa waadilifu

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 27 วันที่ผ่านมา +1

    Pumbavu zako,umezeeka hadi macho yako, hata kipofu anaweza kuchambuwa ukweri, DU,huu ujinga wawamuzi hauwezi kuisha,kumbe kuna wantu wanafuga huu ujinga. Ndo kama hawa.

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kama ni goal wewe Kama kipenga Cha Mwisho anawasaidiaje wamuzi waache kukaa Mbali na matukio

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 27 วันที่ผ่านมา

    Kwanini marefa hawapigwi faini wanafungiwa mechi 2 ama 3 halafu yamekwisha lakini kocha anafungiwa na faini pia anapigwa

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 28 วันที่ผ่านมา +4

    Acheni zenu nyinyi mnajua kua madunduka wanabebwa mnajua yote karia huyo

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne 26 วันที่ผ่านมา

    WAZO LAKO KIPYENGA LIKO SAWA. Lakin Nini kazi huyo kamii saa anaye simama mbele

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 26 วันที่ผ่านมา

    Na ndiomaana wabongo hakuna waamuzi wanao haguliwa kuchezesha mashindano ya njee

  • @cletusmwampinzi
    @cletusmwampinzi 26 วันที่ผ่านมา

    hiki kipindi hakina maana, tunaomba uwafundishe hao waamuzi.fundisha

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 27 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji unaweka visifa vya hovyo hovyo..

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 27 วันที่ผ่านมา

    Hii inatokana na mapemzi ya marefa kwa kiongozi mkuu wa t f f

  • @frankmkumboelias8265
    @frankmkumboelias8265 27 วันที่ผ่านมา

    Maneno mengi kuliko vitendo!

  • @deokibona2835
    @deokibona2835 27 วันที่ผ่านมา

    Adhabu Kwa waamuzi zitazamwe upya. Kama mtu kama manara ambaye anakuwa jukwaani anaweza kufungiwa bila kikomo na faini ya million 10 kwanini mwamuzi apumzishwe tu wakati kakataa goli? Makosa mengine yanaweza kuvumiliwa lakini sio kukataa goli halali au kukubali goli Haram.

  • @leonardjohn6481
    @leonardjohn6481 27 วันที่ผ่านมา

    Ok nimegunduwa leo wa chambuzi uchwara Tanzania nimama nishuke 😅

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 27 วันที่ผ่านมา

    T f f imejs viongozi wa simba tu tunaomba serikali iingilie kati maana huu ni ukabila kwenye michezo

  • @user-sb2oj6pl5f
    @user-sb2oj6pl5f 28 วันที่ผ่านมา +1

    E bwanae wacheni ayo yalopita yamepitq

    • @GeradinaJohn-xh8pw
      @GeradinaJohn-xh8pw 28 วันที่ผ่านมา

      Kwaio kama yamepita ndo tuachane nayo ili yaendelee tu au unamaanisha nini

  • @HusseinIsmairy-gj5ux
    @HusseinIsmairy-gj5ux 27 วันที่ผ่านมา

    Mi naulizaga kilasiku hamnijibu baada yahapa nini kinatokea kama faida ya waonewa

  • @adamamin8148
    @adamamin8148 26 วันที่ผ่านมา

    Anaitwa fala sofia

  • @abeidrashid2574
    @abeidrashid2574 27 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ni faulo ya waz muwamuzi yupo sahii

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 26 วันที่ผ่านมา

    Acha tu zsimba wadeke hatshangai hats ligi kuakhiridhwa

  • @user-px7jf7xs6k
    @user-px7jf7xs6k 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu muandish koloooooooo

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 27 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wa t f f muda wao wa kuongoza utaisha lini?

  • @EdifonceSylvester
    @EdifonceSylvester 26 วันที่ผ่านมา

    Sauti ya mchambuzi ipo chini

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 27 วันที่ผ่านมา

    Warefa wa mchongo watu wamo na wao wamo

  • @peterkapeople7103
    @peterkapeople7103 27 วันที่ผ่านมา

    Maoni yangu ili kuondoa utata wa mambo na matukio yanayoendelea kujitokeza kwanini kusiwepo na referee mwingine awe anakaa kwenye basi la Azam ilikuweza kuona matukio Kwa njia ya picha za marudio Kwa sababu uwanjani huwezi kuzipata itasaidia kwakua hatuna VAR

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q 27 วันที่ผ่านมา +2

    Tff wanahusika chini ya karia

  • @user-zh5tp2yq6f
    @user-zh5tp2yq6f 26 วันที่ผ่านมา

    Tubadlishieni waamuzi

  • @juliuslawi8983
    @juliuslawi8983 27 วันที่ผ่านมา

    Hawa marefa wanasoma nini huko chuoni kwao,aibu tupu

  • @josephshishira6301
    @josephshishira6301 24 วันที่ผ่านมา

    Kwanini VAR na goal line technology viliwekwa, sidhani kama uchambuzi huu una maana yeyote, ni kupoteza muda na kuleta sintofahamu kwa waamuzi pia wapenzi wa mpira bila sababu.

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1o 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kipyenga kwa sasa ni kipyongp.....useless commentary

  • @stevenhaule6786
    @stevenhaule6786 25 วันที่ผ่านมา

    Refaree hakuwa lain position Sasa ameona vip kama ni offside?unatuzingua wochu

  • @rtp9010
    @rtp9010 25 วันที่ผ่านมา

    Kuzeni matukio mnayojadili. Acheni uninafsi. Mnaona poke yenu tu

  • @user-sm4jq6hq1t
    @user-sm4jq6hq1t 25 วันที่ผ่านมา

    Hàlina akili kabisa eti kipenga Cha mwisho

    • @ezrajoseph3666
      @ezrajoseph3666 25 วันที่ผ่านมา

      hivi nyie mnaotukana humu, mnaingia kujifunza au ? hebu chukueni ifa ya mpira na so ushæbík

  • @stevenhaule6786
    @stevenhaule6786 25 วันที่ผ่านมา

    We nawe kazi unazingua umesema inauma;Sasa hujapenda nin Sasa
    Wew mwenyew ulikuwa na changamoto zako enzi za urefaree wako kwani hatujui acha kutetea kuwa timamu bro

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m 25 วันที่ผ่านมา

    Ujinga tu mnaongea.tutokeeni.apo.mbele

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 27 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu na kahaba wa manzese anajishauwa wakati enzi zake alikuwa anahujumu waziwazi

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 27 วันที่ผ่านมา +1

    Maisha Magumu Tanzania Wanapokea Wote Hao Marefa

  • @hamisibeya8959
    @hamisibeya8959 27 วันที่ผ่านมา +1

    Marefa wa mchongo wanarudisha nyuma vipaji vya watu

  • @user-rr5ld5hp5q
    @user-rr5ld5hp5q 26 วันที่ผ่านมา

    Nyi awa waamuzi mnawachukua mtaani au maana ata siwaelewi wanacho kifanya

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 27 วันที่ผ่านมา

    T f f imejs viongozi wa simba tu tunaomba serikali iingilie kati maana huu ni ukabila kwenye michezo

  • @YonahShao
    @YonahShao 26 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa mkishasema haikua penati nini kinafanyika, sioni kama kuna maana ya hiki kipindi maana ninini faida yake,mnaongeza maumivu kwa wahusika tu