Dunia itajadili sana usawa wa mapenzi,upendo na huruma juu ya wanandoa na maisha yao kama watu hawatarudi kwenye usawa aliouweka Mungu na kusoma maandiko kwamba Mungu ametufumia mfumo gani kwenye kuishi kwenye maisha ya ndoa basi hilo jambo halitopata suluhu Abadan.. tena msahau hasa kupata suluhu.. kwa sababu alietuumba anatujuwa zaidi kuliko tunavyojijuwa..
Asante kwa kumleta aunt sadaka,ila topic ya uwazi naomba umlete tena ndoa nyingi zinateteleka sababu ya siri ambazo zikiripuka ni kama bomu eg kuficha watoto.
Uyo mtu atakuwa hajipendi hawazi future yake ya Mbele ukijikubali huwezi beba mimba mume wa mtu. Kufanya ivo maana yake umeshakata tamaa kwenye mahusiano
Time to eat time to eat😋 Hata ikipita a week sijaingia humu ni lazima nichungulia this nitakosa kiview new video za music kwanza niaangalie humu haya madini siko tayari kumiss,Gender balance thank U kamureen 🤝🏽
Vip km ulikua na mwanaume mweny mke lkn bado mahusiano yenu yalikua wazi kwa familia zote mbili kwa bahatai mbaya Mume akafariki ghafla then after one week ile familia yake ikuchafue na kukuona huna nafas kwao, Je mtoto niliezaa na kijana wao watakuja kua na mamlaka nae angalia walikaa mbali nami bila hata kumjulia hali??
Wanapanda juu nikweli ila sadaka kasema ivi mwanaueme hapaswi Ku dial na tabia ambayo sadaka katoka nayo kwao akimaanisha wazazi walishindwa kuiondoa..haina haja we mwanaume kuivmilia pia tusiogope kutafta asie jib kwa saut ya juu
Nyie wamama kila kukicha mnahangaika kutaka kujua wanaume tupoje, mtaweza?, hiyo ni siri yetu na Mungu wetu, timizeni majukumu yenu kama mama wa familia, that’s all!.
Unajuwa kwa huko tanzania hakuna demokrasi ya wanawake ndio maana wanaumeume wakayafanya hayo. Njoo huku ulaya uone kama wayafanye hayo hawatakiona cha mchapa kuni. Huku mwanamke ni kipao mbele sheria inatumika sio tanzania eti mtu akupige weee. Kasema nani.
Akili zenu zipo katika manyege Tu na ndio maana huwa munazslilishwa fanyeni kazi nyie wenzenu nchi za wenzenu wao kazi kazi Tu nyie watanzania au waafrika wengi ngono Tu kisasi nchi ziwe maskini na maisha yenu
BUT AUNT SADAKA I THINK YOU KNOW SOME WOMEN ARE NOT EASY TO BE PUNISHED IN CERTAIN WAYS RATHER THAN PHYSICAL WAY,,. DONT GET ME WRONG IM NOT ABUSIVE MAN AND NEVER BEAT MY WIFE. BUT WHAT I KNOW SOME WOMEN ARE CRAZY
This kind of statement could only,I repeat ONLY come from an abusive man. What kind of thinking is that?,so do you think being physical on someone could takeaway her craziness, are you for real? That's why some men throw all their precious lives and achievements in jail.
Finally sh came Asante kamureen sasa tuletee dr. elly a conclude hii mada for both women an men
Dunia itajadili sana usawa wa mapenzi,upendo na huruma juu ya wanandoa na maisha yao kama watu hawatarudi kwenye usawa aliouweka Mungu na kusoma maandiko kwamba Mungu ametufumia mfumo gani kwenye kuishi kwenye maisha ya ndoa basi hilo jambo halitopata suluhu Abadan.. tena msahau hasa kupata suluhu.. kwa sababu alietuumba anatujuwa zaidi kuliko tunavyojijuwa..
Fix u ni🔥🔥❤️ na doctor mwaka mualike.
Am so proud of you Irene.
Aunt Sadaka you are the best ❤❤❤
shukran Sana untie sadaka umetupa madini mengi proud of you
sasa tunamtaka doctor elly
Asante sana aunt sadaka nimekuelewa sana mama. Ila naomba urudi tena na tena♥️
💯
Kwa kweli mama umeongea mambo ya maana sana, Mungu akubariki sana.
MashaAllah ❤uko vizuri Anti Sadaka
Umefanya vizuri sana kumleta huyu antie Sadaka. Big up sana Irene
This is one of my favorite kipidi and I hope tungepata playlist yetu cuz sometimes huwa tuna miss last episode Afu inakuwa hand to find
Hello Noella, playlist ipo.
Inapatikana wapi hiyo play list jmn dear
Wawooooo one of my list niliyetamani umualike👂👌
Shukrani aunty sadaka lwill respects you so much ❤
am so happy to get chnace to listen to this beutiful woman
Yaan najifunza mengi hapa napenda like waaaho 👏👏❤💞💖❤♥️❣
Barikiwa Sana kwasomo anti sadaka
Madam Irene,asante kwa kumleta huyu mama kumzungumzia mwanamke,hakika amemaliza yote.
Finally she's here I love her!
Nampenda sana Aunt sadaka jamani ana madini mengi mno
Nakupenda auntie sadaka
Ahsante karibu tena aunt sadaka
Tunapenda sana vipindi vyako
Safi sana maneno yamaana umeongea mama Sadaka
hongereni sanah kwa kipindi hiki na ombi kwa aunt ...wanawake wengi wanapenda wanaume wenye pesa wakati unakuta amesoma na ana kazi hii ni sawa
MashaAllah nimependa sana sana na tumejifunza pia❤️
Asante sana aunt Sadaka 🥰
Asante kwa kumleta aunt sadaka,ila topic ya uwazi naomba umlete tena ndoa nyingi zinateteleka sababu ya siri ambazo zikiripuka ni kama bomu eg kuficha watoto.
@@hamidudongo1879 itakua yamekugusa sana maneno ya anti sadaka
Auntie Sadaka saluuuuuuuuut!!!! Thank you so much my dear
Words on marble. Aunt Sadaka,you are supeeeeer.God bless you.
Asante anti sadaka ila umetetea zaidi upnd wakik mnayo yataka hujasem baadh y makos pia amby mnafanya baadh y mda thats why wanaum tunabdlka
Mama ur the best❤❤❤❤
Asante sana mama, ubarikiwe sana 🙏❤
Asante sana auntie sadaka. Ila nina maswali mengi ajili ya kuusu kushika mimba ya mume wa mtu. Please naomba nafasi hiyo
Uyo mtu atakuwa hajipendi hawazi future yake ya Mbele ukijikubali huwezi beba mimba mume wa mtu. Kufanya ivo maana yake umeshakata tamaa kwenye mahusiano
Madam Irene thanks, please continue to help us as you did
Nakukubali aunt Sadaka sana ila pakunificha kama mbakaji hapana
Thank you, may God bless you auntie
Safi sana anti sadaka love u
Uko vizuri lakini mkali
I love it
Mama upewe sifa zako maneno yako nimeyaelewa.
Aunt sadaka 🔥🔥
Time to eat time to eat😋
Hata ikipita a week sijaingia humu ni lazima nichungulia this nitakosa kiview new video za music kwanza niaangalie humu haya madini siko tayari kumiss,Gender balance thank U kamureen 🤝🏽
Nice one
Dada Sadaka waambie!!!
Thank you Aunt sadaka
I was there. But I’m off. Niliondoka kwa style hiyo,
Auntie you are a supper woman. I like your session I want to be like you or more
Nimependa aunt sadaka bure,anaongea ukweli mtupu,wanawake Kama aunt sadaka wachache Sana Duniani.
Oh my mom tulikumiss sana wana sms
Nimekubali sanaaa jmn imebid nitume kwa mume wng pia ajifunze kitu
Jamani naomba no ya aunt sadaka
Pwent kama zote❤️
Wekeni no zenu,nimezimia,
❤ sana Auntie Sadaka 😘
Please muite aongelee jinsi ya kuishi na abusive parents
Nilitamn iendelee tu nimepend san
Mwanaume anayejua thamani ya moyo wake ndani ya mke wake
Umesema kweli aunt Sadaka
Umeongea yote mama.Hakika unamfahamu mwanamke.
“Mvumilivu hula mbivu “ hata mimi Niko against kabisa mvumilivu huka zilizooza full stop.
Kabisa Mama Ameongea Ukweli
Hivi mbona ni kumjali mwanamke na mabaya yake sijackia irene.
Nahisi kama Auntie sadaka kanitibu psychological kwakweli, yani maneno kasema yote yakweli na tunapitia mitaani
Ata verbal abuse ni mbaya maana unapata kilema cha akili na huwezi kupona kwa haraka PTSD
Vip km ulikua na mwanaume mweny mke lkn bado mahusiano yenu yalikua wazi kwa familia zote mbili kwa bahatai mbaya Mume akafariki ghafla then after one week ile familia yake ikuchafue na kukuona huna nafas kwao, Je mtoto niliezaa na kijana wao watakuja kua na mamlaka nae angalia walikaa mbali nami bila hata kumjulia hali??
Mama mkwe anamuogopa mtoto wake ndo maana anamwambia mke wa mwanae avumilie samaki mkunje angali mbichi sasa ukubwani anabadilikaje
kipigo wanawake tukikimbie kabisa ila ukewenza ni hiyari😂 unaweza kuondoka ama ukaamua
Wanawake ni viumbe wa hisia kuliko akili wawo wenyewe hawajielewagi,huwezi mbadilisha mwanamke kamwe bali hubadilika wewe
😭😭😭ukweli
Hiyo imemtokea rafki angu
Tena nishetan kabisa hawa wanaume
Mwana kulifind mwana kuliget 🤣🤣🤣
Ila mama kuna wanawake wengine hata ushauri kwa amani hataki kusikia hana panda juu hataki kusikia shauri
Wanapanda juu nikweli ila sadaka kasema ivi mwanaueme hapaswi Ku dial na tabia ambayo sadaka katoka nayo kwao akimaanisha wazazi walishindwa kuiondoa..haina haja we mwanaume kuivmilia pia tusiogope kutafta asie jib kwa saut ya juu
Mnatubowa na kizungu chenu
mama umeupiga mwingi nitakutafuta unisaidiye mambo
🤝😊
👂👌❤
Nyie wamama kila kukicha mnahangaika kutaka kujua wanaume tupoje, mtaweza?, hiyo ni siri yetu na Mungu wetu, timizeni majukumu yenu kama mama wa familia, that’s all!.
Na wewe si ni mwanamke kwani hujui unataka nini
🤣🤣🤣
Nimekupenda bure ww mama
Unajuwa kwa huko tanzania hakuna demokrasi ya wanawake ndio maana wanaumeume wakayafanya hayo. Njoo huku ulaya uone kama wayafanye hayo hawatakiona cha mchapa kuni. Huku mwanamke ni kipao mbele sheria inatumika sio tanzania eti mtu akupige weee. Kasema nani.
Wee Husna Mohamed Shenzi saaana mnuka chupi weweee!!!
Ndio Mana jamii ya ulaya inadondoka inategemea immigrants!!!!
Video isn't clear🥺ama ni simu yangu iko na shida?
Nisimu yako
Uza simu yako
Iuze tu maana
😂😂😂😂😂😂
Akili zenu zipo katika manyege Tu na ndio maana huwa munazslilishwa fanyeni kazi nyie wenzenu nchi za wenzenu wao kazi kazi Tu nyie watanzania au waafrika wengi ngono Tu kisasi nchi ziwe maskini na maisha yenu
Nani amekulazimisha kuangalia? Wengine yanatujenga tunapenda
Acha makasiliko kijana, chukua mafundisho hayo yakusaidie.
Auwwww🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
BUT AUNT SADAKA I THINK YOU KNOW SOME WOMEN ARE NOT EASY TO BE PUNISHED IN CERTAIN WAYS RATHER THAN PHYSICAL WAY,,.
DONT GET ME WRONG IM NOT ABUSIVE MAN AND NEVER BEAT MY WIFE. BUT WHAT I KNOW SOME WOMEN ARE CRAZY
Ur abusive that’s u think like that rather than hitting a woman better leave her… maybe she’s not meant for you
*thats why
This kind of statement could only,I repeat ONLY come from an abusive man. What kind of thinking is that?,so do you think being physical on someone could takeaway her craziness, are you for real? That's why some men throw all their precious lives and achievements in jail.