Magufuli alisema wengine wakifika Hilo wanasahau walikotoka hivi walifuzu mtihani wa JPM wakulinda na kusimamia sijui maamuzi yako mikononi mwa wananchi
Wasira, wasira, wasira, hongeleni kwa kumkumbusha hilo, maana alikuwa amelisahau kidogo, kwamba sasa hivi ana miaka 65 + 9 = 74, rais yupi wa tanzania aliyestafu akiwa na miaka 74?. Kwa kuwa ni mama, atakuwa anabebwa kwenye kiti kile cha ufalme wa kijerumani!!.
Tarakimu siyo sahihi na nia potoshi. Mama umri wake 61 amezaliwa 1960. Yuko ndani ya 62. Katiba ya Tanzania Haina zuio la umri wa juu kuwa Rais. Wasira hajielewi tu, ana ghubu, alikuwa na umri gani mwaka 2015? Mbona alikuwa anawania kipindi hicho? Kesi na Bulaya kwa nafasi ya ubunge ilikuwa ya nini? Yule ni mjukuuu wake. Miyo mibaya huwa na akili mbaya na kutoaa kauli tata.
Nchi haiwezi mafisadi majamba wanakusifia lakini watanzania Awakutaki
Mzee wangu umeongea vizuri sana boss wangu wa zamani
Mzee wasira uko sawa
Yeye amekuwa waziri mama ndo anazaliwa. Lkn mpaka wajukuu wamemndoa kwa nguvu bado alienda mahakamani. Mama mpaka 2030 💪💪💪🤝
Hapo mtu ajiongeze mwenyewe 🤔🤔🥺🙆 hayo ndiyo majibu
Mzee unashemsha . Akuna anayekuhunga mkono
Huyu mzee alikuwa mbunge huko Bunda miaka nenda rudi ila Bunda haikuwahi kuwa Na maji safi.
Kweli Mh Rais umeikumbuka Mara kwa namna ya pekee. Weka wasimamizi wazuri ktk miradi ili azma yako itimie.
Dah mnasifia sana
Tunahitaji Hospital ya rufaa ya Kanda ya kaskazin
Mzee umeongea kweli
Achana na urais kweli aliyoyafanya JPM we umeyafanya TZ tunauchung
Jambo la Mamaaaaa, Jambo letuuuuuuuuu
Alipoooo, tupoooooooooo!
Hawa ndiyo hazina ya nchi,heko wasira.
2025 Samia apumzike. Mitano makamu na mitano urais tosha kabisa.
Haitoshi!
Magufuli alisema wengine wakifika Hilo wanasahau walikotoka hivi walifuzu mtihani wa JPM wakulinda na kusimamia sijui maamuzi yako mikononi mwa wananchi
Haumjuwi chenye una sema hatuwesi kuongo swa na mwanamke
Wasira, wasira, wasira, hongeleni kwa kumkumbusha hilo, maana alikuwa amelisahau kidogo, kwamba sasa hivi ana miaka 65 + 9 = 74, rais yupi wa tanzania aliyestafu akiwa na miaka 74?. Kwa kuwa ni mama, atakuwa anabebwa kwenye kiti kile cha ufalme wa kijerumani!!.
Tarakimu siyo sahihi na nia potoshi. Mama umri wake 61 amezaliwa 1960. Yuko ndani ya 62. Katiba ya Tanzania Haina zuio la umri wa juu kuwa Rais. Wasira hajielewi tu, ana ghubu, alikuwa na umri gani mwaka 2015? Mbona alikuwa anawania kipindi hicho? Kesi na Bulaya kwa nafasi ya ubunge ilikuwa ya nini? Yule ni mjukuuu wake. Miyo mibaya huwa na akili mbaya na kutoaa kauli tata.
waziri wa enzi za mwalim
Hawa ndio watu walikaa madarakani miaka nenda rudi lakini hamna kitu hata kimoja kama Taifa tunaweza kusema tutamkumbuka kwalo
Hey,,,!! Yamekua hayo?
Hawa wazee hawana lolote mama fanya Kazi bado raisi wetu tunakutegemea kwa mengi
Hawa kufanya lolote kwenye Uongoz wao walishibisha matumbi yao tu
Wasira kasema ukweli wa mungu harisi na ndivyo mioyo ya watanzania wengi, wanavyowaza kuwa aachie mwingine
Wasira ndio watu waliorudisha maendeleo nyuma.rais kawachana live