Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe kwenu studio! Nimebarikiwa sana na uchambuzi wa somo la juu hili. Roho Matakatifu aendelee kuwa Mwalimu na kiongozi katika maisha yenu.
Someni vitabu vya roho ya unabii sio vitabu vya waandishi makafiri walivyoandika na kuweka vinukuu Vitabu wasabato hawana mara havipatikani lakini lesson haikauki - Huu ni mchezo mchafu. 2: mnaomba mmekaa? Hilo pia ni tatizo lingine
Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe kwenu studio! Nimebarikiwa sana na uchambuzi mzuri wa somo hili. Roho Matakatifu aendelee kuwa Mwalimu na kiongozi katika maisha yenu.
Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe kwenu studio!
Nimebarikiwa sana na uchambuzi wa somo la juu hili. Roho Matakatifu aendelee kuwa Mwalimu na kiongozi katika maisha yenu.
Tunabarikiwa SAN
Be blessed
Barikiweni sana..
Someni vitabu vya roho ya unabii sio vitabu vya waandishi makafiri walivyoandika na kuweka vinukuu
Vitabu wasabato hawana mara havipatikani lakini lesson haikauki - Huu ni mchezo mchafu.
2: mnaomba mmekaa? Hilo pia ni tatizo lingine
Mungu anasikia maombi hata kama ukiomba umelala
Kitabu gani hakipatikani?
Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe kwenu studio!
Nimebarikiwa sana na uchambuzi mzuri wa somo hili. Roho Matakatifu aendelee kuwa Mwalimu na kiongozi katika maisha yenu.