Women Matters (PT 3): Mwanamke ukitongozwa, uchukue muda gani kumkubali Mwanaume? Unaweza kumuanza?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024
- Kutongozwa ni kitu ambacho mwanamke hawezi kukiepuka. Lakini iwapo mwanaume aliyemtongoza amempenda, achukue muda gani kumkubali? #WomenMatters imeliweka mezani kulijadili
Jamani hapo wanawake kutongoza embu muwaeleweshe, wahakikishe wanatongoza bachelor na sio kutongoza waume za watu. Washindwe kwa jina la YESU!
😂😂😂😂😂 nimecheka
😂😂😂
😀😀😀😀😘
Aaa nimechekaa et wakueleweshe
Kweli,,
Wakina dada tujitambuwe
Ahsante WOMEN MATTERS
THE PAIN OF CHASIN I LIKE THAT
Habari zenu wa mama zetu hii show imekuwa kali sana natamani nikuje tupige mjadala pamoja nimefurahi pia sisi tunaweza towa mambo mazuri hapo
Jamani wamama zangu najutiya nafsi yangu sana tena sana mungu nisaidiye naskia moyo wangu unavuja uchungu ila kwahili somo nachukua fursa hii niyifanyie kazi mungu niwezeye nipate ufahamu zaidi na hekma amiinaaa
Ameen ameen ikawe kheri
Amen
Waaaaaaooooh woman matters ni motoooo hongereni nawafatilia sanaa
Mama Terry schikamooo uko super
Napenda sana hiki kipindi! Najifunza mengi mno! Mbarikiwe sana
mmetisha sana mama zangu nawapenda mie😍😍😍😚
Wamama nyie ni konki , Mashaallah Allah awaweke inshaallah
Sawa mama Terry Leo umenimalizaaa
Nyie wanawake mungu anawaona. Yaani tuwe kama Swala? Aya Bwana. Mi nilikuwa kama Swala pia.
Mama zetu mnajua sana mmeongea point nmefurai kuongelea masuala ya maisha tunayopitia asa vijana wa leo,Thanx sns kwa elimu.
Uku mambo ni nouma, mama Terry kiboko
Shukrani wakina mama
Mama Terry 🙌
Yani mimi nafuatilia umbea siku zote ila nimewasikiliza leo sijutii kuwasikiliza nawapenda sana mama zangu
Amennnnnnnnnnn mbarikiwe mnooo
Mashaallah nice mama teri
I like the show but can you please talk one by one sometime hatuasikii mzuri because mnaongea same time. This show has changed my life 👍👍👍
To talk one by one can't be easy cz they are only ladies unless there could be atleast one man. That is is the nature of life
Innallah Maaswabirin hahahaha
Hongereni sana wamama mko juuuuuuuu
Hahahaha namba ya simu?......
sawa sawa nice one hata mimi ninasitaaga sana 🤔😂
Mama Kaisi nimekupata
nawapenda sana mungu awabariki zaidi
Nampenda mama kaisi
Eeeh mama kaisi unaongea point na hisia
Mama kaisi upo vzr mama
Mama kaisi nimekuelewa Sana Ni kweli siku his vifo vimekua vingi
Mama Terry muhuni sana weweee 🤣🤣😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️ ndio mambo gani unatufundisha mapaka shume 🏃♀️🏃♀️😂😂
Waaaaooo what is amaizing lesson 😘😘😘😘
Kipind hichi nilipidena hasa mada hii inayoongelewa lili"huyo kanikosa hyo kaniposa"
Wakitongozwa tu njaa inaanza kuwauma, kuomba omba hela, shida kibao, ovyooo.
😂😂😂
Et tengeneza mazingira Mtoto wakike vp
Duuuh Ni zaidi ya elimu
Nawapenda nyote jamani frm kenya😘😘😘
Mamaaaa Terry😙😙😙😙😙
Jamani part 2 siioni
Mama zangu mmeongea ❤️🙏🏽
Bora mmeongea yeah Mwanamke anatongoza tena vizur tu🤣🤣🤣 wengine Eti oooh unajishushaa🙄 unajishusha my🦶
lakin hawakusema kumueleza kabisa ......
Nice show😃😃😃😃😃👍👍👍👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
MaMa Terry! Wooow! Where were you?
Kiroho mbaya hivihivi😀😀mama Terry....
Mama Deborah unasisitizaga jamani
Hongereni ila nimechokiona tu nikuwa mnawajua wanaume kwa asilimia 25 tu. Sisi tupo na mbinu nyingi sana kikubwa Mungu atufanye tuwe wakweli tu tuache usanii kwa wasichana kwani nasi ndugu zetu na watoto wetu watakuja kufanyiwa hivyo sijui tutajisikiaje.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mama terry 🔥😍
Nimempenda mtu mzima hapo, anavutia sana. 😂😂😂😂😂😂
😂😁😀Hakili na Mahalifa
KITU KIMOJA KINANIHUDHI NA LILIAN HATAKI KUSIKILIZA
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
aise kizazi cha pakashume unapanda bodaboda mwenyewe hadi unaingia room kwake unamkuta kaa anakusubiri
😍😘😘
HAYO YOTE MMEONGEA NI KWELI LAKINI KUNA WALE AMBAO WAMETONGOZANA WAKAKUBALIANA KUJA KUISHI PAMOJA NA MAMBO KWAO YAKAWA MAZURI LAKINI WAZAZI(WA MMOJA) WANAKUJA KUKATAA KWA MISINGI YA KABILA
Kama mwanaume hana hela ya kukupeleka hotelini?
Mi nilkuwa km swala
Myauuu 👿😈
😂😂😂😂😂😂Nic
No ya simuuuuuu🤣😂🤣🤣
kwa hiyo mnawafundisha watunyime sio....ha..ha..na kwa jinsi mlivyo wengi duniani wala hatuna muda wa kuwafukuzia mda mrefu......tunatafuta hela kwanza mtajileta wenyewe tu
😁😁😁😁😁😁😁nakuunga mkono mkuu
Hahahah....
Kweli kabsa my wajina hatuna uwo muda hasa kwa nchi hii ya Tanzania watasubiri kidogo me zangu mambele tu
You will get your type.
Tumeolewa na heshima zetu, tena tunaheshimiwa Sana
Mama terry my ribs 😂😂😂😂 ulipataje namba yake ya simu?! Mpaka ukaiwrong?! 🤣🤣🤣🤣
mama terry though 😂😂😂
Siku hiyo hiyo mimba,
Samahani wamama je naweza pata number za Whatsapp kama munazo naomba ju nahitaji kuzungumuza kwa kirefu nakama kunauwezekano sijui kama naweza kuandika yangu ya Whatsapp yangu naomba samahani
Mtafute babysky Instagram
Mama tery nataka namba yako wsp
sorry rong number 😂😂😂😂
KITU KIMOJA KINANIHUDHI NA LILIAN HATAKI KUSIKILIZA
Mi nilkuwa km swala
Lakini mwisho ukawindwa😄😄😄
@@stevenngaitv7001 hahaha kwa shiiiida sana
nawapenda mungu awabariki