WEMA SEPETU AVURUGWA NA WIMBO WA NANDY, ALIKIBA/ AFUNGUKA KUHUSU TUZO...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 176

  • @officialidakeys
    @officialidakeys 3 ปีที่แล้ว +17

    Kelele ya Kwaza Kwa Wema Akeeeeeee
    Kelele ya Pili Kwa Team Akeeeeeee
    Kelele ya Tatu Kwa Like Zenuuuuuuu
    Aya Jamani Team Wema Tupoooooo Ngoga Like apa Twende Sambaba na Madame Sepega Tz Sweethearth Kiboko Yao Mwalimu wa Bongo Movies Tanzania Nzima

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 ปีที่แล้ว +11

    Wema ni mstaarabu sana, tofauti na yule mwenye sura ya kichina, akihojiwa basi ataongea engswahili. Pongezi sana wema. huna maringo kabisaa.

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 3 ปีที่แล้ว +12

    Sawa wema pambana napenda ulivyojishape kimaisha mwaka huumashabiki zako tumefurahi sana

  • @hammycrayz9769
    @hammycrayz9769 3 ปีที่แล้ว +6

    Yaan nakupenda

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 ปีที่แล้ว +7

    Watu walimhadaa wema punguwa punguwa haya keshapunguwa asaivi kapunguza mwili mnasema tena he wana adamu sio powa

  • @faidharamadhani8382
    @faidharamadhani8382 3 ปีที่แล้ว

    Da wema kua mkubwa kabisa dada yang mahusiano hayaanikwi wasikuchokonoe kabisaa mpenzi 😘😘

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface8319 3 ปีที่แล้ว

    Duu yani niwewe madam au yani nimejuwa sauti aisee mungu aingiliwi kwenye kazi zake pumbavu sana

  • @salomennanga3110
    @salomennanga3110 3 ปีที่แล้ว +3

    I love you Wema 😘 from 237 🇨🇲🇨🇲

  • @catherinekitto3360
    @catherinekitto3360 3 ปีที่แล้ว +1

    Wema Umekua mbaya Sana ka bikidude.

  • @tz7976
    @tz7976 3 ปีที่แล้ว +3

    Kasha kuwa mmama ila sawa2 maana kila mmoja ukijaliwa uhai lazima kuzeeka

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 3 ปีที่แล้ว +10

    Umekwisha wewe umepauka kweli duuh 😂😂😂

    • @salomehussein8735
      @salomehussein8735 3 ปีที่แล้ว

      Daaawemausirare fayakazi Mwayaachana nakkwachia washamba

    • @nurusalim846
      @nurusalim846 3 ปีที่แล้ว +2

      Kachusha hasaa sijui kafikwa na nini

    • @princesssway1396
      @princesssway1396 3 ปีที่แล้ว +1

      Sana

    • @wahiduitsverycommentmane5421
      @wahiduitsverycommentmane5421 3 ปีที่แล้ว

      Ulo kwisha ni weweee sio wemaa

    • @elit3_furor517
      @elit3_furor517 3 ปีที่แล้ว

      @@wahiduitsverycommentmane5421 amepauuka kama samaki ya chunvi mifupa mno akae ndani anatutisha kwa uyo monekano kwani chida iko wapi arudi kama amenoga kidogo ukweli ndo huo 🤔

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 3 ปีที่แล้ว +4

    cute wema😍

  • @devothamlg5607
    @devothamlg5607 3 ปีที่แล้ว +6

    Make up bwana unazeeka ndan ya mda mfup tu kwisha 😂 unene nao jau ila wembamba huu jau kabisa 😂🤣🤣

  • @celestinekhivali5824
    @celestinekhivali5824 3 ปีที่แล้ว +2

    From Kenya,nakupendaga Sana,mungu akulinde na roho yako nzuri,,

  • @fatmabaraka3191
    @fatmabaraka3191 3 ปีที่แล้ว +7

    Mweeeh' wema jamani kawaje..

  • @bidiiyako6803
    @bidiiyako6803 3 ปีที่แล้ว +3

    Congratulations to you Baby Sepenga!! Mungu azidi kukuongoza!!! We are Happy and Proud of you Our Goodhearted Gal.

  • @millionsofreasons9806
    @millionsofreasons9806 3 ปีที่แล้ว +6

    Uso umezeeka akii 😂😂😂 macho yamemvimba, mishipa ya shingo umemsimama adi huruma 😂😂😂 kweli mda akipita umeenda huo ....wema hana mvuto tena kaisha kama sabuni

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwani akimvutia mpenzi wake inatosha wewe mvuto wake unauhitaji wa nini?

    • @hajrafarid8942
      @hajrafarid8942 3 ปีที่แล้ว +2

      Make up ndio inaleta yote haya

    • @emilyibraimo5032
      @emilyibraimo5032 3 ปีที่แล้ว

      Kkkkkkkkkkkkk

    • @ubahalfan105
      @ubahalfan105 3 ปีที่แล้ว

      Nakwambia yni kawa nyanya kijana aswa daa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli, ameshazeeka!!

  • @qisabweezytv7914
    @qisabweezytv7914 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ni mtu au kituko, kazi ya Mungu haiingiliwi jamani

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma3003 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice madam

  • @carolkelly9330
    @carolkelly9330 3 ปีที่แล้ว +6

    Nmeshtuka nina wema vile yuko saa hii akhi mwili ni kama sabuni alitumia vibaya inaisha ivi vle wema amekua so warembo tujichunge sana na mwili wetu

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 ปีที่แล้ว

    Bora tusisemi wema kafanya mengi mungu ndie ajuwae

  • @zuhurasaid3267
    @zuhurasaid3267 3 ปีที่แล้ว

    Umekonda sana, hebu ongeza kidogo kimwili

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 3 ปีที่แล้ว

      Ili akufurahishe wewe au

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 ปีที่แล้ว +2

    Nawema akayasikia yawatu akafanya vile vile walivyopenda watu asaivi umekonda sana bora usingesikia ya watu wema maana kweli umetisha sana wema yule na wasasa nivitu viwili tofauti bora to ungeacha to mwili wako my walah kuliko ulivyo umekongoroka sana yaan zaidi ya sana umepoteza mfvuto kabisa my

  • @immaculatejohn9906
    @immaculatejohn9906 3 ปีที่แล้ว

    My dia u have to stop baki ulivyokua ukisikiliza maneno ya watu utasikiliza ya nani uache ya nani beside wapo wengi walotaman kua kama ww lakn hawawez tena ila media ukizifatilia utaweza jiua kama waigizaj wa south korea wanajiua kisa depression watu wanajudge sana afu hawana msaada sasa ww wasikilize mama

  • @swabrinamohammed1425
    @swabrinamohammed1425 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda daa wema

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 3 ปีที่แล้ว +5

    Kajifiche nyumbani watu wasikuone unashituwa watu

  • @shamimhassanzimzimahuyokij4521
    @shamimhassanzimzimahuyokij4521 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani wema mbona watisha

    • @kawtharsaleh9229
      @kawtharsaleh9229 3 ปีที่แล้ว

      Huyu itakua nikweli amekata utumbo mana kunawadada 2 nipo nao hapa wamekata mmh wallah bila mekapu sura zinatisha

  • @bibirukaiya371
    @bibirukaiya371 3 ปีที่แล้ว

    Yuko vizuri hana maringo

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 3 ปีที่แล้ว

    Keep going wema sepenga

  • @azizaishueli7864
    @azizaishueli7864 3 ปีที่แล้ว +1

    Jaman

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 3 ปีที่แล้ว +3

    Endelea hivyohivyo wema ufurahi na mpenzi wako

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda jmn haijalishi wanakusema vp

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni4747 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana wemasepetu

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 3 ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️

  • @asinatjuma8088
    @asinatjuma8088 3 ปีที่แล้ว +3

    Penda sana unajielewa sana

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah117 3 ปีที่แล้ว +8

    Wema lakini sio kwa ubaya lakini mbona sura imezeeka hivyo what happend? 😮🥺

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 3 ปีที่แล้ว +3

      Ulitegemea apungue halafu abaki na mashavu yuko vizuri tu

    • @versavision101
      @versavision101 3 ปีที่แล้ว +1

      Huna Akili

    • @suleamber2777
      @suleamber2777 3 ปีที่แล้ว +2

      Si nd kukua jmn

    • @tabynas4485
      @tabynas4485 3 ปีที่แล้ว +2

      We fara kama umebanwa mavi nendaa chooni ukanye.....

    • @beatricechristopher7371
      @beatricechristopher7371 3 ปีที่แล้ว +2

      We utabaki kijana maisha yako yote?kadri umri unavyoenda na uzee ndo unakaribia

  • @shikoshania953
    @shikoshania953 3 ปีที่แล้ว +8

    Wema mzuriii.....

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameshazeeka!!

    • @sheilailama9035
      @sheilailama9035 3 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima5674 so what??? Kwani wewe hutazeeka???

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

      @@sheilailama9035 kiri kwanza kuwa ujana umeshamtupa mkono kwa maana ya kwamba ameshazeeka!!!

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 3 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima5674 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏼

  • @edissa9958
    @edissa9958 3 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah

  • @mangapineema7652
    @mangapineema7652 3 ปีที่แล้ว +1

    Wanadamu hawana wema ukiwa mzito watasema ukiwa mwembamba watasema WEMA dadangu fuata shughuli zko waache waseme ikifika usiku watadozzzzzz

    • @nurathissa1422
      @nurathissa1422 3 ปีที่แล้ว

      Kaumbuka wema sio mwembamba hiii Hali kaichagua yeye nainampa tabu sana

  • @mwamvitaibrahim5695
    @mwamvitaibrahim5695 3 ปีที่แล้ว

    Naaaa Wema umechoka and you look very tired

  • @habibashabanigonji1915
    @habibashabanigonji1915 3 ปีที่แล้ว

    Umekua mbaya kupunguza mwili

  • @bibirukaiya371
    @bibirukaiya371 3 ปีที่แล้ว

    Mnamsema amezeeka kwani yeye amekuwa malaika wewe unayemsema kazeeka wewe husogei ulipo

  • @mtimacharles2059
    @mtimacharles2059 3 ปีที่แล้ว +2

    Kimezeeka mpaka kelooooooo

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 3 ปีที่แล้ว

      Hivyo asifanye yake?

    • @sheilailama9035
      @sheilailama9035 3 ปีที่แล้ว +1

      Wanadamu mnashida so what kama amezeeka

    • @mangeleoporod2704
      @mangeleoporod2704 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwan we una elekea wapi kama sio huko aliko yy tena bola yy kuliko ww

  • @azontozonto8855
    @azontozonto8855 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmhh

  • @paulamkalanga4438
    @paulamkalanga4438 3 ปีที่แล้ว

    Pata habari za motomoto za mastaa unaowapenda kwa kubonyeza link hii JECO HABARI play.google.com/store/apps/details?id=com.jeco.newstz

  • @emmysenior4747
    @emmysenior4747 3 ปีที่แล้ว

    Jamani wema umekua mbaya

  • @fahimabdalah5491
    @fahimabdalah5491 3 ปีที่แล้ว +4

    Wema umekonda sas mpk naanza kuwa n waswas

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 3 ปีที่แล้ว +1

    Duu jamni wema umeharibika xan mhhh

    • @lucyisrael6121
      @lucyisrael6121 3 ปีที่แล้ว

      Kaharibika si kidogo,akicheka mishipa inachachamaa kwenye hadi huruma,mikono sasa dah, maisha haya tujfunze kuridhika

    • @mariambilonkwa5183
      @mariambilonkwa5183 3 ปีที่แล้ว

      @@lucyisrael6121 kweli ujuaji ukizid mwishowe unaharibikiwa

  • @mtimacharles2059
    @mtimacharles2059 3 ปีที่แล้ว +6

    Umezeeka na wewe

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 3 ปีที่แล้ว +1

    Ile sauti ya wema ya kitoto ilienda wapi??

  • @pieremchome5202
    @pieremchome5202 3 ปีที่แล้ว

    Mmh,

  • @habibashabanigonji1915
    @habibashabanigonji1915 3 ปีที่แล้ว

    Umeisha umekua kama kizee

  • @purebeauty8901
    @purebeauty8901 3 ปีที่แล้ว

    Wema ni mgonjwa? Kwa nini ana konda? Mi mukongomani siko tanzania

    • @happymwinuka2637
      @happymwinuka2637 3 ปีที่แล้ว

      Umejuaje mgonjwa acha kumsema wema,kwa ubaya jiangalie wewe

  • @edissa9958
    @edissa9958 3 ปีที่แล้ว +1

    ❤️❤️❤️❤️💕💕

  • @nengajuma972
    @nengajuma972 3 ปีที่แล้ว

    Ila kikwel wema kaxha kuwa mzz

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 3 ปีที่แล้ว

      Ulitakaje wewe, mwambie Mungu amrudishe miaka saba

    • @milkanyevu8471
      @milkanyevu8471 3 ปีที่แล้ว

      @@fatmafaki6163 😂🏃🏃🏃🏃

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 3 ปีที่แล้ว

      @@fatmafaki6163 mungu amrudishe nini kwani alivyokwenda kukata utumbo alimwambia mungu au ayo ndiyo malipo ya kukosoa uumbaji wa mungu

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 3 ปีที่แล้ว

      @@ramathedon4001 Tuambie wewe Kama alimwambia au hakumwambia huenda unajua. Ujinga tu.

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 3 ปีที่แล้ว

      @@fatmafaki6163 yan kila comment nayosoma upo 🤣🤣🤣🤣🤣💀🙌🏼unamkinga shoga ako Sepenga

  • @jasmine.mayala7597
    @jasmine.mayala7597 3 ปีที่แล้ว +3

    Kashazeeeka

    • @sifam6348
      @sifam6348 3 ปีที่แล้ว

      kwa nini kumusema mutu vibaya na hajakukoseya , kama kazeheka
      ujiswali mutu wa 28 ans anaweza zeheka , kama kunamutu kwenu amezeheka na miaka 28 hapo sawa
      ujuwe tumuchukuliye sana wema sepetu kwa sababu hana mambo rohoni yanamusumbuwa sisi hatujuwe
      mufano ukiona watu wa kijjjini wengi wana zeheka wakiwa wadogo kwasababu ya mawaso fulani
      ndugu yangu tuwe watu wakutiya moyo waliyo wa zahivu
      najuwa utapata malipo kwa mwenyezi Mungu.

    • @angelineraphael1248
      @angelineraphael1248 3 ปีที่แล้ว +1

      Ulitaka awe kama siku aliyozaliwa Sikh zote? Mnakera sana watu kama we wewe. Kunyooshea kidole motto Wa watu vpi Kwiyo? Ovyo mwacheni kama ww ni mtoto miaka mi2 kivyako.

    • @rizikianatory4016
      @rizikianatory4016 3 ปีที่แล้ว

      Ni hatar

    • @milkanyevu8471
      @milkanyevu8471 3 ปีที่แล้ว

      @@sifam6348 kwani kusema mtu amezeeka Ni vibaya...kuzeeka si Jambo geni..anizeeka

    • @swdaalii6892
      @swdaalii6892 3 ปีที่แล้ว +1

      Jamani uyo muenga wala c wa Leo lkilometa zimesoma ukichanganya na ma cream ndiyo Sura inazidi kumshuka Kama mbuzi wa sikukuu

  • @onesmopaulmwacha566
    @onesmopaulmwacha566 3 ปีที่แล้ว +1

    Ulifanya ujinga sana kujipunguza .ni hivii .mwili huenda na umri unapobishana na uhalisia lazima upate matatizo na uwe kitu cha ajabu. Hamkujifunza kwa Michael Jackson ?..acheni ujinga siku na miaka haisimami pale pale .mnafeli

    • @onesmopaulmwacha566
      @onesmopaulmwacha566 3 ปีที่แล้ว

      Mpokee Yesu ndiye mfalme wa Amani dunia haiwezi kukupa amani kamwe .amani ye Yesu ni sasa na kesho uzima wa milele .mpokee yesu wema na umtumikie Mungu sasa.

    • @immaculatejohn9906
      @immaculatejohn9906 3 ปีที่แล้ว

      Amen

  • @jennymicky9387
    @jennymicky9387 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂

    • @jennymicky9387
      @jennymicky9387 3 ปีที่แล้ว

      Wemaaa kazidiii huo wembamba so Poway🤣🤣🤣

  • @glorymtuy3573
    @glorymtuy3573 3 ปีที่แล้ว

    Hahaha sio siri tena jionee
    th-cam.com/video/1lCmpWo4aJo/w-d-xo.html

  • @blackandblackandblac
    @blackandblackandblac 3 ปีที่แล้ว

    Hawa Celebs wa Tz why do they Talk as idiots/kids.....? Hawako Proffessional at all