Je, chimbuko la Kiswahili ni Kenya au Tanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024
- Wapo wanaosema chimbuko la Kiswahili ni kaskazini ya pwani ya Kenya, kuwa kilitokana na Kingozi, wengine wanashikilia kuwa kwa kuwa msingi wa Kiswahili sanifu ni Kiunguja, basi kitovu cha Kiswahili cha sasa ni Tanzania. Sikiliza mitazamo mbalimbali katika video hii. @eastafricankiswahilicommis2339 @markazswalihinal-islamymom2745 @barazalavijanawilayayawete8158
Kiswahili ni lugha ashirafu tamu na adhimu toka Lamu twavyofahamu