GAMBO NA MAKONDA WAZUNGUMZA MBELE YA KANISA "MAKAMU ALITOA MAELEKEZO YAMEPUUZWA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Gambo uko juu,nimekuwa nikikukufuatilia,uko juu jamaa. Big up Gambo. Mfumo tu wa Ccm ndio unakuzingua.
Mnaleta siasa kwenye nyumba ya ibada,c ungemfuata officin kwake ndo umwmbie hayo, uchawa unasumbua sana nchi hii
Msingi wa Roman catholic ni siasa ww kum
Hiyo SIYO romani catholic please
Kiukweli mm ni mkiristo ila hili linalofanyika na viongozi wa makanisa wameaza kuharibu kusudi la mungu kuruhusu makanisa. Yaani siasa zimekuwa nyingi makanisani.
Jamani hayo maneno ya kisiasa yanatoka wapi kanisani,umekuwa Mwalimu wa maaskofu wa Tanzania kweli.
This is very sad church turns to politics 💔😭🇹🇿
😢😢😢
Siasa achenmakanisan hivi chamakingine kikiingia makanisani mtasemachama kinaingia kanisani ni hatanisana hii tukianza kuzungumza siasa makanisan na misikitini ni hatarisana
Unataka kuombewa sio kuelekezwa.
Bwana yesu asifiwe sana, Amen. Mnaokosoa kuweni na uelewa, watu ni walewale, wanaoenda makanisani na misikitini ni haohao, na ni haohao wanaoenda mikutano ya kisiasa so,hakuna shida, na mimi nakataa eti tusichanganye siasa a dini, lazima wote tushirikiane, ni sawa.
HIVI wewe ndie umeleta mkutano HUO wa huo wa jumuia ya madola?uwe na AIBU kidogo mbele za watu.
We uliyekuwa na aibu,mbona unaonyesha una chupi binafsi?
Wewe mpuuzi makonda kaongea Nini kibaya hapo? Jangili wewe
Tukisema ccm mmeshindwa kuongoza mnatukadirikia wapinzani waliongea hayo bungeni mnawapuuza
Makonda acha uongo. Usimuondoe rais bingwa wa kutoza kodi kila kitu. Hayo unayosema ni mambo ya kitaifa si ya kimkoa. Ni sera mbovu za nchi. Angalia madini tunavyopigwa wakati Botswana wakipeta. Hapa wa kulaumiwa ni rais. Kinachotakiwa siyo kuombewa bali kuambiwa ukweli mnaougopa na kuuadhibu.
Kwa nini Kanisani pawe mahali pa kusutana ?
Watanzania kuweni màkini huyu mtu saiv kaanza kwenda kupiga kampen kwenye nyumba za ibada fikirini je week iliyopita alikuwa kwa mwamposa anafanya nini kama co kampeni?
KKKT wametegwa,wamegeuza ibada yao kuwa ukumbi wa kisiasa
Nani katutenga
Kwani wao kkkt, wanasemajee?
Wewe sio kiongozi ni mtawala alikuchagua nani wewe na mwenzio uyo gambo vitimalumu. Hana uwezi si mnakula kodi zetu mnanenepa toka apo damu Inawalilia
Fitna imekujaa, jitu la ovyo sana wewe.
Point gambo
Mimi naona nisawa kabisa serikali na Dini zinashirikiana .nawao wamechingia na viongozi wa dini wamepata majibu ya lami
CBadala ya kuzingatia shughuli iliyo wapeleka wanaanza kusutana kutafuta kura.!!!!
Hakiki sabato ndio kaniasa la Mungu la kweli
Kwani yy hajazulumu nyumba/magari!
Wachungaji...Maaskofu mkisharuhusu ibada ziingiliwe na mambo haya sio sawa hizi ni ibada na ibada zinatakiwa kuheshimika bhana kha siasa sio mbaya ila kwenye ibada tena
What he is talking is irrelevant to the occasion. Mnamsikiliza huyu kweli! Anatakiwa the haig
Siasa Kanisani ni hatari
Analetaje siasa kanisani
Aende kwenye majukwaa ya Chama cha CCM
Msiruhusu watu kama hawa kanisani kuongea nsnyi mnamsikiliza badala ya neno la Mungu
Una jipy wew
Hili la mifugo. Upo sahihi
This is so so sad that churches allow this sort of thing....settling political scores .... absolutely disgusting
Hapo wangefanyaje viongozi wa kanisa, huwezi kuwakatiza
Hapo siyo mahala pake ...kasali Rudi nyumbani
😅😅😅😅😅
Tukea umekaa Arusha miezi mitano watu wamekufa kama nyumbu alafu unasubutu kutupigia mikelele
Ameongea ukweli kwani wanadamu wanataka nini kwa makonda amekosea wapi?
Ndio tabia ya Mwanadamu hiyo kuona mabaya tu hata kwenye mazuri
Rushwa inatamalaki kwenye serikali za mitaa, inatisha.mungu anawaona haki huinua taifa.
Usichanganye kiswahili na kiingereza."Nina delegate",sema nina ujio au ujumbe ili wananchi wafaham
Haya maelezo na masuala ya kiroho kuna uhusiano gani? Yanamtoaje muumini katika dhambia?
Mnaharibu na kunajisi madhabahu ya Mungu
Hapo ndio napo ikubali kanisa tunaweza kuuza na kununua na kufanya siasa kanisani wakamuwe watowe fungu la 10
Bwana Yesu alipikwenda Jerusalem alilia sana alipokuta hekalu la Baba yake limeingiliwa na walanguzi na wafanyabiashara,angalizo msifanye walivyo fanya
Hakuna atakae mwelewa Makonda Kwa sasa
Fanyeni kilichowapeleka hapo kanisani. Hayo mengine mnayozungumza yana nafasi yake nyingine
Acheni wivu
Makanisa ya bongo mnafail sanaaa hayo ni mawaidha au siasa za 2025
Hatari siasa tena kwenye ibada.
Mbona mlisema dini na siasa haviendani Sasa wewe Nini siasa kanisani au mnakuwa mmelewa
Acheni utoto maccm mmeshakosa weledi wa kuongoza nchi
Wamesema wanakuja kula nyanya
kilaza wew. yaani leo ndo wataka kuwaaminisha watu utalii unamsaidia mkulima nyanya? Mbona hukumshauri magufuli asifunge maduka ya kubafilisha hela na muache kuchukua hela kwenye acc za watu?
Katikati ya ibada mnaingiza mijadala ya siasa.
Ngombe hawezi badilika,anabadilika akiwa butcher akiitwa nyama au kitoweo,siasa kanisani hapa ule ukabila wa Kenya mnauleta kwa lazima.
Hakuna ufunuo kweli mkuu Makonda,umesema la maana
Siasa makanisani misikitani si haki haitakiwi kabisa KKKT MNAKWAMA WAPI
20mill😂
20mill😂
Dah hd kanisani jamn!!!
Hivi huu utaratibu wa Viongoz kuongea kanisan baada ya ibada umeanza lini......
Huyooo gambooo kwanzaa atokeee arushaaaa anafitina
Nijuavyo ibada zinafuata kalenda,masono yanayosomwa yanafuata kalenda,sasa hapo kama kanisani ni injili gani hiyo.Lakini pia nyinyi wanasiasa mnasema viongozi wa dini msiingilie siasa.ajabu leo mnaanza kuwaaguza makanisa cha kufanya.
Makonda una akili sana.
Nchi ikikosa maono nchi huangamia ndio maana waafrica upo nyuma sanaa hatuna vision nzuri ni blabla tu
Kweli mkuu utalii ni kila kitu
Bwana masifa
Nikweri
Mheshimiwa Warioba alishashauri nyumba za ibada msali na kuondoka. Siasa zipelekeni kwenye majukwaa yake! Utambulisho tuu unatosha!
Siasa sawa lakini sio makanisani
makonda😂😂😂😂😂😂😂
Kila mkoa una Neema zake
Huyo mwanaume alie suka nae hapo kanisan anatafuta nini jamani kanisa limekufa ivi kweli msikitini huyo shoga alie suka hawezi kanyaga. Kabusa
Hapa ilikuwa kanisani au?
Mbona wanasiasa watu wa serikali wanahubiria kanisa, wachungaji na maaskofu..?
Wakiandaliwa midahalo wanakimbia ila kanisani ndo wanachambana 😂😂😂
Hapo co mahali pake
Apo sio sehemu ya siasa
Siamini ninayoyaona kanisa limegeuka jukwaa la siasa oh tumekwisha
Mh Gambo ww ni jembe sana
Ni ckub za mwisho kanisa zmegeuka siasa
Viongozi makanisa sio sehemu ya kuzungumza siasa hapo mnaharibu hii sehemu ya kuungama madhambi yetu sio viwanja vya siasa
Mbona mnakalia kiti cha hukumu wakati aliyetuumba hachangii utukufu na yeyote?
Rc makonda unasema imetoka mwanza kwamba mwanza hakuna wageni wanaoingia na kuongeza kipato kwa Wana mwanza ?haujafanya utafiti wa kutosha Iko hivi mwanza inawageni wengine wanaoingia na kutoka kuelekea bukoba Uganda musoma na Kenya "watu hao wnatokea daresalamu na mikoa yote ya tanzania ndio maana mabasi mengi yanaingia Kila siku *mamantilie wanauza nyumba za wageni zinajaa Sheri zamafuta zinauza pia
Makonda misifa kibao
Msigeuze makanisa kuwa majukwaa ya siasa ndugu zangu.
Mwisho wa ubaya aibu
Hapo nikanisani acha siasa
Huku ni nini siasa na dini au?mlisema tusichanganye dini na siasa
Umekariri ni dalili za ujinga
Nawew sikuiz ushakua Miyeyusho
Hapo ni kanisani au kwenye makutano mbona nasikia baba askofu
Kumbe ndio mnaingia madarakani kwa njia hizo
Wanakuja kununua nyanya eeh
Muongohuyo
Kanisa limegeuka siasa
MAZUGUMZO HAYA YANGEZUGUMZA MSIKITINI
WANGESEMA UDINI HUO
NA WACHANGANYA DINI NA SIASA
Hapo siyo mahali pake
Makonda
Viongozi wetu wadina wamekuwa wanasiasa nao nawana vyama vyao wanatukosea
Makofi ya nn
Mi ni KKKT hili lakufanya kampeni kanisani hapana
Makonda binafsi nakukubali saaana kwa uchapa kazi wako
Mwamba sna makonda
😂😂😂😂😂😂😂😂😂