Kelvn changamkia msoso kabla huyo jamaa ajachkua nafasi yko ...kuwa muazi funguka movie izidi kunoga nawapenda sana Kelvin n loveness mastar wetu pambee🎉🎉🎉🎉
James mambo yako yamejulikana wew ni kikulacho mwanaume una umbea kam mwanamke 😳😳duuuh mhuuum,ndo umeshajulikan sas big up saan wana Donta Tv muishi maisha marefu ya Kheri na Baraka,nimefurah kwakua Kelvin amejua kua Jamess ni kikulacho,ivo atajua namna ya kudili nae.🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani ndugu zangu yaani sijui mwanichukia kwa nini sijaipewa like ata Moja,,af ni nani anaona kama Mimi huyu bwanake na aziza atakuja kukosanisha aziza na love,,nipeeni like ata Moja basi😂😂😂😂
Guy do not rush kevin to speak about his love for loveness. No no. This episode is going good direction, love will come naturally. If kevin open his heart to loveness this time of her struggles, she will lose the trust between them. It’s like scratch my back i will scratch yours.
Wana DONTA niwaigizaji wema I say❤ lakini nawapenda sana Da' Loveness na Ka' Kelvin. Mr Smith angekuwa bado single basi ningemshauri asimpoteze LOVENESS 🎉❤🎉❤
Hii movie nkionaga wamepost tu mapigo ya Moto yanaenda Kasi cjui kwann sema ni nzur mnoo nataman watoe kila siku but all in all loveness na Kelvin mungu awajaalie mpate kuoana kabisa♥️♥️♥️
Ile kelvin group mnajua aseee nawafatilia sanaa na napenda move zenuu sanaa mungu awabariki wasaidieni na wengine wawe kama nyie mungu atawabariki sanaaa
Ila kelvin unatuweza kabisa. Saa ina fika pâzuri unatuwacha Jitahidi basi tuone kilasiku ya kufata sio utusubirishe tena siku 2, 3. Ila kazi ni nzuri hongera saaaaaana. Nawapenda wewe n'a lavnes
🇨🇩🎈Wana DONTA niwaigizaji wema I say❤. Ila nawapenda sana Da' Loveness na Ka' Kelvin. Mr Smith angekuwa bado single basi ningemshauri asimpoteze LOVENESS❤🎉❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Toka Europe mimi ndo wakwanza ila usha uri kwa kelvini please funguka basi kwa mwezie usije kuchukuliwa tonge mdomono hoooo aya ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😊😊😊NAWAPENDA SANA LAVUNESS PLEASE KELVI ATAKAVYO KWAMBIA USIMUWEKE WEKE SANA MKUBALI MARA MOJA❤❤❤🎉🎉
NA MIMI LEO WA KWANZA NIPENI LIKE ZANGU 🥰🙌
Sio kwel
Mhhh
Nambien bc hiz like Hua zinasaidia nn😂
mi ndio wakwanza kuwa mpole 🤣🤣🤣
Kelvin unafanya kazi na madem mapc kinoma nipe mmoja 😅😅😅
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimewahi mapema leo angalau mnipe likes kumi tuu yatosha
Kenya 🇰🇪 juuu. Mm pia n mkenya
Kama pia ww unangoja Kelvin amwambie loveness nakupenda piga like yako yaba tukingoja Kelvin ❤❤❤❤❤ team kumbwa team strong jamani
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@@Mwaminimagesa ❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Jamani sijawahi kuwa wakwanza ila naomba like hata 5 tu
Kelvin na loveness 🎉🎉🎉🎉 munapedeza kazi nzuri sana❤❤❤❤ much love from Saudi. Ila kelvin umeweka loveness kwenye shida pia na haziza
Kelvn changamkia msoso kabla huyo jamaa ajachkua nafasi yko ...kuwa muazi funguka movie izidi kunoga nawapenda sana Kelvin n loveness mastar wetu pambee🎉🎉🎉🎉
Jamani toka nianze kuangalia penz la mtoto wa Boss sijapata like jmn na mm ninjoi 😅😅🎉🎉
James mambo yako yamejulikana wew ni kikulacho mwanaume una umbea kam mwanamke 😳😳duuuh mhuuum,ndo umeshajulikan sas big up saan wana Donta Tv muishi maisha marefu ya Kheri na Baraka,nimefurah kwakua Kelvin amejua kua Jamess ni kikulacho,ivo atajua namna ya kudili nae.🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani ndugu zangu yaani sijui mwanichukia kwa nini sijaipewa like ata Moja,,af ni nani anaona kama Mimi huyu bwanake na aziza atakuja kukosanisha aziza na love,,nipeeni like ata Moja basi😂😂😂😂
Nzuri sana so waoooh!!! 😊 Kiss 💋 mwaaah.!👍leta mwendelezo
Kevin naipenda Sana movies Yako ❤️❤️❤️ pamoja n'a laveness m'y lovely star
Kelvin ambia kitu love mpendane movie inoge zaid km tupo saw ekelea like tukisubiria ndoa InshaAllaah 🎉
😂😂😂😂😂
@@Mgetaaerobics wanichek rafik yangu😂😂
Mm nahofu na bwana wa aziza jaman
Uko chapu😂
@@JeannetteManirambona-o6m atuchelew sana😂😂
Napenda huo wimbo haki nikweli binadamu bwana..haya nami naomba like na wew amina acha tu,,woiyee love wetu pole
Nani kaimba huu wimbo naupenda sana
@@omarymbalala6224 nadhani kaimba kevilin
Ila kelvin ameuza loveness wake mwenyewe 😂😂❤❤❤🎉🎉🎉
Am now happy loveness ametolewa kwa Amina,,, Hongera sasa kaka kevin
Leo nimechelewa team stronger 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦💪muko wapi jameni gonga like APA
tupo mamy toto🌹🌹🌹🌹
😘😘🌺🌺@@SamouOman
Yes welome back watu wangu kev umefanya jambonzuli kumutoa lov kwa Amina ni mtoto mbayasanaa 🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yenu kutoka Bujumbura❤❤❤❤❤
❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Done dear🇲🇴🇲🇴🇲🇴
Naomba like zetu wapendwa na mm leo nmewahi,,,, team loveness na kelvin tujuane 🎉
shid nikwamba loveness nimzito kuongea jamn na me apo sijapenda
Aiseeeeeerr jmn nimewahiiiij nipeni like zangu Kelvin Leo kaaamus na natamani nimuone lovenes aondoka Kwa Amina mkorofi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimechelewa 😢sanaa jaman naombeni hata like mojaa sijawahi pewa😢ila Nawapendaa kelvin and lovenes ❤
Guy do not rush kevin to speak about his love for loveness. No no. This episode is going good direction, love will come naturally. If kevin open his heart to loveness this time of her struggles, she will lose the trust between them. It’s like scratch my back i will scratch yours.
Jamani mm wa kwanza Leo naomba likes sijawahi omba kutoka Kenya mwenzenu
Uyo ndio mbaya wako jemz
Waoooh wale tunaoamini kuwa kevi na lavu wanapendana like hapa na mm Leo nimekuwa wa kwanza
Mimi apo tup shirik kuamin ilo
Wakwanza Leo jamen naomben like kamq unamkubari kev amuoe loveness gonga like twende mbelee 😊😊😊😊
Jamani mim sijawahi kupata hata like moja😢
Jaman Leo nami nimechelewa japo so sana naomben like hata kumi huku tukisonga mbele kelvin and lovenes penda sanaa mola awajalie uzimaaa kabisaa
❤
wa Congo nyote nyosheni mkono njuu tujuwane ,🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunapenda donta tv✌️✌️✌️✌️
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Wana DONTA niwaigizaji wema I say❤ lakini nawapenda sana Da' Loveness na Ka' Kelvin. Mr Smith angekuwa bado single basi ningemshauri asimpoteze LOVENESS 🎉❤🎉❤
@@SadaDjuma-e9btuko
😂😂😂😂😂
Being the first viewer❤❤si Leo mnibless na likes jamanii😂
😂😂😂hiki kiamina kinaaibishwa tu life otherwise mimi wa kwanza naomba likes zangu za team kujituma
Kaz nzr ndoto mmejitahidi kuwahisha movie yetu pendwa,,,ila kelvin fanya tuu kumfungukia lovenes kuwa unampenda,,,like jmn kwa kev na love😅 ❤️ 😍
Mume wa daAziza asimtake lave 🎉 kimapenzii 🎉mchezo mtahuharibu Dada love mbona anapitia magum🎉 love wapendane nakaka kelven ❤❤❤❤
Tutalia tuandamane😂😂😂😂😂
Kweli kabisa wasiharibu maana uyo Mme wa Da mzuri Aziza naona ni shida
Wamwisho kwel Lakini naomba like ata moja tu
Sema Kevin unapenda xana Juic tena ya embe😅 kama na wew umeona hilo like za kutosha 😅😅
Kwanz huyo Amina mbaya mpk sura lake chevu nakupenda lovenes wangu❤
🎉🎉🎉 nice one
Kazi njema na yakupendeza babaz 🎉
@highlight
Kelvin mbona hua unamwambia James kila kitu, mahali, kuhusu Loveness. Kuwa mfichaji maneno. Love ❤ in 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Team strong 💪 kujeni uku movie yetu pendwa himeletwa ❤❤❤❤ nategea nikiwa saudi Arabia
Tamu jmn tatizo inawai kuisha😔
Tupo move damu @@Hollinie
Tupo mm nikiwa oman
Tupo free wifi
Nko saudia Arabia Riyadh
Leo wakwanza ni mie jameni 😊😊😊😊 fun kutoka nchini kenya,mombasa nipeni like zangu jameni ❤❤❤
Mombasa kubwa mahi Mombasa upande gani❤😂😂
Nani anajua aliyeimba huu wimbo
Wa kwanza kutoka Kenya naomba likes zenu
Kelvin we ni fundi kabisa nakukubali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Xx nko n amani kwa kua loveness ametoka kw mikono y amina mwenye anaraha km mm like bc 🎉🎉🎉❤❤❤ Donta tv from 🇰🇪🇸🇦
Mm nko Riyadh
Mm nko Tabuk@@aminamwivita7690
Leo pia naomba like zenu penzi la mtoto wa boss yanoga sana👌👌👌
Wa kwanza hapa gonga like kama unaikubali hii series
Wapiwaliokua wanasema haitatoka himoto kama pasikazi safi wa Tanzania ❤❤❤
Safi sana love umemfikishia taharifa kelvini jemsi ana tembea na amina
Kazi nzuri sana wana DONTA TV mpewe mauwa yenu 🌺🌺 ila tu ninawasiwasi sana na mume wa aziza asije akampenda loveness
Leo nimekuwa wa kwanza naombeni like zang jaman
Kama ni heaven wengi wetu hatungechelewa🎉🎉😂😂😂💃💃💃💃💃
Hii movie nkionaga wamepost tu mapigo ya Moto yanaenda Kasi cjui kwann sema ni nzur mnoo nataman watoe kila siku but all in all loveness na Kelvin mungu awajaalie mpate kuoana kabisa♥️♥️♥️
Jamani nimechelewa Leo loveness nimependa sana umemwambia ukweli kelvin kuwa jemsi kuwa anatembea na Amina loveness nimependasana❤❤❤❤
Mwenyezi mungu akulinde kelvin na akupatiye maisha marefu jamani unajuwa mpaka unakera Aisee sijawayi kuomba like nipeni likes zangu Aisee.
Waooh Yan leoo kazii iko fantastic sana dakika za jioon kbsa kitu hewan nice one🎉
Nmefurahi leo loveness kamtoa mtegon kelvin like zang jmn
Lakn loveness kanikera hajamwamby kelvin kilichotokea usiku kwa aziza jmn
Mimi pia kanikera ilbdi amwambie kelvin na Aziza 😅
Safi sana kaka cheza kama ww ila jihadhari na bwanake aziza kelvin funguka kaka nakupenda sana❤❤❤
Ile kelvin group mnajua aseee nawafatilia sanaa na napenda move zenuu sanaa mungu awabariki wasaidieni na wengine wawe kama nyie mungu atawabariki sanaaa
From Kenya nafurahia show naomba like pia.
Jama leo nimecherewa irasiyo San naomben like zanguu🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🌹🥀💯
Abarundi oyeeee🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Abarundi oyeeee🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@@FarinaMassoud-kx7es oyeeeeee hejur cane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🌷🌹
hongereni
kwa kutuwahishia move
so fantastic❤❤❤
Jaman 😥😭😭😭 na mm Leo nipeni like zangu hata oja tu japo cjui zinasaidia nn nyie nipeni hivyo hivyo tu😭😭
😂😂😂zina nunuwa unga
Hhhhhh unapat hel kipenz hhhhh usichok kuomb na ww hhhhhh
Akii hii move ni nzur na tam atal❤❤❤❤❤❤❤
Moyo pole ee baba mlika moyo wa loveness ajue n jinzi gani kelvin anavyiompenda jameni 🎉❤❤
Wakwanza kutoka kenya naomba like
Amina mnafiki sana ww yaani wana ume wote unawataka ww mpombavu umenkera sana 😢😢😢ckupendi
😂😂 ni movie..me enyewe ananikeraaaa
Mm wa mwisho sitaki like ya mtuu🎉😅😅
Ni oneeni huruma pia mm sijapata like toka nianze kufuatilia penzi la mtoto wa boss na vyenye yanibamba ee😢😂😂😂
Mbona huyo mme wa aziza makasiriko Sanaa me nakalibisha msosi Mala moja tu alaaah
JAMAN MIE LEO WA KWANZA HAYA NAOMBENI LIKE ZANGU❤❤❤❤❤❤
Series nzuri tu. Ongera sana Kelvin
Wakwaza leo naomba like zangu kazi ni moto
Me ndio Mara ya kwanz kucomet jamani like hat moja😢😢😢
Guys like zangu wapi bana nipeni like zangu nikiwa upande wa Kelvin na loveness pongezeni❤❤❤❤
Leo wakwanz nipeeni like kutoka kenya
Wakwanza jaman naomba Hata 5 likes, watching from Doha Qatar 🇧🇭
waoooo namie leo nimewahi naomba like zangu
James kumbe tuko kila mahali kula choma na kunyamaza ngori Sana✨💥
movie nzuri sana naipenda aisee na natamani love amwambie kelv kuhusu yule shemeji yake aliye mwambia asifunge mlango uck naona kabsa hana nia nzuri
Aziza una roho ya kipekee sio wanawake wengi wana moyo kama wako aisee❤❤❤mob love from Kenya
Mmmmh hpn kw kwel hizi like tuzichnganye hlf tuanze mradi w kuchoma mahindi kwn hamuogopi mkiangalia movie mkiwa mmefunga midomo😂😂❤❤❤❤ ,nice job
😂😂😂😂😂😂hii yako Kali sana jamani
😂😂😂
😂😂😂
Wakwanza leo maua kwa Lovness na Kev 🎉
Haii kama una roho ya utu kama lovenes tujuane Kwa like mm wa kwanza wewe je?
Safi sana DONTA TV Kwa kituletea movie yetu pendwa Kwa wakati❤❤❤❤❤❤
Kelvin big up sana halafu mukue mnafanya movie zikue ndefu kidogo tunawapenda sana laviness ni mtu wa Siri kbx namukubali 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
wow ❤🎉mumewahi mr hiii hongereni wana donta tv ❤
Leo mm wa kwanza naombeni likes zangu😂😂😂
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 in 🇱🇧 🇱🇧 🇱🇧 anybody in the house 🏠 wapi likes zetu jamani 🥰🥰
Uzurii wa penzi hauhitaji haraka lazma upate muda ili unapofanya maamuzi yawe ya busaraa❤ like zenu wana donta family
Huyu mume wa aziza huyu atamtaka loveness wetu Kama unaniamn gonga like hapa😢😢
😀😀😀😀tena
Daa Aziza roho safi ila mumewe sasa ndio ana roho chafu.atamuharibia Kelvin tena mmmh sijapenda, nawapenda bure kzi nzr
Ila kelvin unatuweza kabisa. Saa ina fika pâzuri unatuwacha
Jitahidi basi tuone kilasiku ya kufata sio utusubirishe tena siku 2, 3. Ila kazi ni nzuri hongera saaaaaana. Nawapenda wewe n'a lavnes
Mbona bado mnacheleweaha sana' jamani muwe mnawaisha episode 18 tunaitaka Leo jaman
LOVE YOU TEAM STRONG ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mbona simuoni Kunambi kwenye siliaz ii wanaompenda Kunambi like apa 🎉🎉🎉❤
Kevin mwambie loveness kuwa unampenda bwana acha kumpeleka hivi hivi ❤❤❤❤❤ roho yako iko kwa loveness
bandika bandua kazi iyendeleee nakukubali kaka leo umewahi mnooo
Félicitations brother wng Kelvin napenda Kazi zako sana, na una nifundisha vitu vingi sana kweli, napenda pia loveness sana tu 🎉❤
Since I started following this films no one likes my Comment why????(
Ndonta tv like kwenu mmetuwahishia movies ytu pendwa nawapenda sna
🇨🇩🎈Wana DONTA niwaigizaji wema I say❤. Ila nawapenda sana Da' Loveness na Ka' Kelvin. Mr Smith angekuwa bado single basi ningemshauri asimpoteze LOVENESS❤🎉❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Toka Europe mimi ndo wakwanza ila usha uri kwa kelvini please funguka basi kwa mwezie usije kuchukuliwa tonge mdomono hoooo aya ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊😊😊😊NAWAPENDA SANA LAVUNESS PLEASE KELVI ATAKAVYO KWAMBIA USIMUWEKE WEKE SANA MKUBALI MARA MOJA❤❤❤🎉🎉
Au sio😂
Na ndo kibinti kibishi hivi sijuwi kinaweza kumkubalia
Kila mtu wa kwanza 😅 haya na mimi wa mwisho mnipe likes zangu 😅😅😢😢😢
Leo nita toa like kwa kila omba omba wa like😂😂😂😂