UWiiiiiii..!!..Lissu AANZA Kukinukishaaa RASMI, Afunga MitaaaaA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • เกม

ความคิดเห็น • 60

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 14 วันที่ผ่านมา +13

    Yuko safi huyu jamaa

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 14 วันที่ผ่านมา +7

    😅Naam ukimvimbisha kichwa baadae inabidi uwe chawa ..usikosoe usifu tu

  • @gatuna6
    @gatuna6 12 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu Mhe Lissu ni kiboko.Urais anachukua kila hisi. Kura zake
    Na mpya ndiyo nyingi kuliko alizopata.2020. Mambo mazuri kwa mheshiwa Lissu mapema magagoni Tutakunywa nae chai ya asubuhi.

    • @Ba63828
      @Ba63828 12 วันที่ผ่านมา

      @@gatuna6 unampenda Lisu hadi mpe urais sahau kabisa

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 13 วันที่ผ่านมา +3

    Tunakuombea kwa muumba wako akupatie ulinzi wake mzazi mtakatifu popote pale utakapo kanyaga,mana shetani nae yuko macho,,yy peke ndo akawe mtetezi na nguzo ya moto mbele yako Amina

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda 12 วันที่ผ่านมา +2

    Hapa ni Tanzania sio kenya Bora ungegombea kenya

  • @godwinkubimba6575
    @godwinkubimba6575 13 วันที่ผ่านมา +4

    Umepewa sasa, fanya kazi acha maneno mengi yasiyo na maana

  • @MunirDaniford
    @MunirDaniford 14 วันที่ผ่านมา +3

    Twaha mwaipaya ni team lissu

  • @AbdulrazaqMadenge
    @AbdulrazaqMadenge 14 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu naye ni binadam kukosea kupo, ila pia anajua anachokifanya!

  • @GreyMbogela
    @GreyMbogela 12 วันที่ผ่านมา +3

    Yah kila jambo na wakati wake mzee

  • @JuliusMysory
    @JuliusMysory 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi ni mwana wa mungu Niko TAnzania naomba tuwasiliane nikwambia Niko wapi

  • @ClemenceMarcelli
    @ClemenceMarcelli 11 วันที่ผ่านมา

    Viva Lisu mwenyekiti

  • @ErnestiSulle-w9k
    @ErnestiSulle-w9k 13 วันที่ผ่านมา +3

    Mweshimiwa zingatia kauli alizokuambia mweshimiwa mwenyekiti mstaafu, ya kuunganisha wanachama wote bila kuangalia Makundi.

  • @YohanaKitiku
    @YohanaKitiku 13 วันที่ผ่านมา +2

    Naungana na mwnyekiti lisu nakukubali

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 10 วันที่ผ่านมา

    Cm nikirudi kwa cbu ya magu ila mungu akampenda zaidi, kwa Sasa narudi Tena kwa peoples

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ninashauri kisu sasa aachane na hizi stori za jinsi ilivyokua yeye sasa affocus jinsi atakavyoendesha sera za chama na kuunganisha watu

  • @isaya1277
    @isaya1277 12 วันที่ผ่านมา +2

    Uko vizur sana kiongozi

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 9 วันที่ผ่านมา

    Ushaakua kiongozi acha kurudia Mambo yaloisha onesha UONGOZI kwa vitendo acha maneno

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 10 วันที่ผ่านมา

    Gd leader

  • @HassaniMsulwa
    @HassaniMsulwa 13 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mwamba nimemuelewa vzr

  • @FaustaMbunda
    @FaustaMbunda 7 วันที่ผ่านมา

    Mimi nimemkubali asiyekubali basi hakuna busara kama hiyo na anatufundisha hata sisi

  • @FrancesMachelela-g4y
    @FrancesMachelela-g4y 12 วันที่ผ่านมา

    Lisu nilevo za kimataifa

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 10 วันที่ผ่านมา

    Ila akisimama makonda kugombea kiti naweza rudi

  • @ACHILEUSNTEBE
    @ACHILEUSNTEBE 10 วันที่ผ่านมา

    Nimekuelewa kaka kaza

  • @ClemenceMarcelli
    @ClemenceMarcelli 11 วันที่ผ่านมา

    Hakika chama dola ilipanga kukimaliza CHADEMA

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 14 วันที่ผ่านมา +5

    Mwenyekiti haya mambo ya migogoro na vijembe kw sasa nahis hayana tena nafasi..kazi y mbele yko ni kuponya maumivu na kusafisha mfumo.. sio kendeleza mijadala ya tabia za watu kw vijembe nahis unaifanya suluhu kua ngumu ndan y chama.
    hayo ilikua tena uachane nayo usongembele

    • @tuntufyemwasakilali-pz4tt
      @tuntufyemwasakilali-pz4tt 13 วันที่ผ่านมา

      Mweshimiwa izi habar zitagawa chama chetu saiv Jenga chama na week falsafa zako mwenyekiti

    • @captainenough681
      @captainenough681 12 วันที่ผ่านมา

      Hakuna Lugha yenye staha kwenye kupigania haki kila linalokugusa inakuwa ni Lugha isiyo na stahaa
      yule mwenyekiti wa awali alikuwa na Lugha ya staha lakini matendo sio ya kistaha

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda 12 วันที่ผ่านมา

    Karibu Tanzania kiswahili tu ni issue pole hakuna mtu alishabikiwa kama lowasa hakuna mtu alishabikiwa kama mrema wako wapi Sasa we mjaruo haya endeles kutamba kwenye nchi yeti karibu

    • @BoniphasLukas-w7n
      @BoniphasLukas-w7n 12 วันที่ผ่านมา

      Wewe Nan unaongea Ivo Kwan hata walioshika madalaka wakowap kama kufa kila mtu anakufa usitushe watu Acha watu wafanye kaz

  • @MiksonChopa
    @MiksonChopa 7 วันที่ผ่านมา

    Pamoja

  • @ip_header
    @ip_header 12 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wa CDM waliozingua kazi wanayo, Lissu hana simile

  • @Allystor
    @Allystor 12 วันที่ผ่านมา

    Kweli

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 14 วันที่ผ่านมา

    Mwenyekiti, unachokisema ni kweli, tusijisifu sasa, tuende kwa tahadhari kubwa, kikubwa tuwe pamoja kwenye kakabili yanayokuja tukizingatia ahadi tulizowaambia wananchi.

  • @RodanMgata
    @RodanMgata 13 วันที่ผ่านมา +1

    ✌️✌️✌️✌️✌️✌️🔥🔥🔥

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 12 วันที่ผ่านมา

    Haya sasa mwamba huyo

  • @irenebarakeli
    @irenebarakeli 13 วันที่ผ่านมา

    Mwenyekiti tafadhali usifukue makaburi tafadhali anza na endeleza mapya yako yaliyopita sii ndwele tugange yajayo samehe mara kumi sabini

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 10 วันที่ผ่านมา

    Km risasi zile za tembo hukufa ni hakika, mungu ana jambo lake na ww

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 12 วันที่ผ่านมา

    Umeanza utaingia kingi tu.

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda 12 วันที่ผ่านมา

    Sasa lugha ya kijaruo punguza hii ni Tanzania sio kenya

  • @Ba63828
    @Ba63828 12 วันที่ผ่านมา

    Sasa CCM inahusishwaje. Tukutane Oktoba.

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda 12 วันที่ผ่านมา

    Mh mtanzania ni mtanzania mbowe angaweza lakini wewe ni issu pole endeles kujifunza kitanzania

  • @jangalaalexbubehi7658
    @jangalaalexbubehi7658 12 วันที่ผ่านมา

    Muende mkamuhoji mutungi maoni yake kuhusu uchaguzi wa chadema.yeye akiwa kama mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi.

    • @CyprianBoniphace
      @CyprianBoniphace 11 วันที่ผ่านมา

      Nilikuwa najua Mutungi ni msajili wa vyama kumbe ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi.

  • @sherryfredrick7651
    @sherryfredrick7651 13 วันที่ผ่านมา

    Hakika TAL umeongea vyema

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hili ni lile kundi la wahaini waliotaka kufanya mapinduzi mbowe alipokuwa magereza sasa wameshinda wanatoa siri nje za vikao vya mtangulizi kwenye hadhara kwa kuropoka ropoka nje ya ofisi. Hatari mbele. Kumbukeni A. Mrema Tanga na Sharifj Hamadi na Lipumba yanayoendelea ndiyo haya yajayo! Mbowe hakika ulikuwa kiongozi bora chama kikawa bora hukuwa mropokaji

  • @Ba63828
    @Ba63828 12 วันที่ผ่านมา

    Trump afukuza mashoga jeshini

  • @charlesmganga-gv2cs
    @charlesmganga-gv2cs 13 วันที่ผ่านมา

    MGOMBEA URAIS ANAJULIKANA MBOWE

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 13 วันที่ผ่านมา

    Nawewe umeanza kufukua makaburi fukia yamepita

  • @MirajiMahamudu
    @MirajiMahamudu 11 วันที่ผ่านมา

    Pipooooooooz

  • @FauswaliHamadi
    @FauswaliHamadi 14 วันที่ผ่านมา

    Uyu alifikili pamoja nakumbukana Mbowe atapata kura zote kumbe kaponea Chupchup

    • @MariamJeremia-u7e
      @MariamJeremia-u7e 13 วันที่ผ่านมา +1

      We ungepata ngapi?

    • @jbdellijunior
      @jbdellijunior 13 วันที่ผ่านมา

      Mbowe ni nani

    • @msatibongonyuzi14
      @msatibongonyuzi14 13 วันที่ผ่านมา +1

      Ndo kashinda hivo na ana trend 😂😂😂😂😂😂

    • @KichukwiAbasi
      @KichukwiAbasi 12 วันที่ผ่านมา

      Na bado utaumia kwel

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew2356 10 วันที่ผ่านมา

    Umenirudisha Tena kundini kamanda

  • @FauswaliHamadi
    @FauswaliHamadi 14 วันที่ผ่านมา

    X

  • @elishandagala8677
    @elishandagala8677 13 วันที่ผ่านมา

    Nimependa falsafa yako.