jinsi ya kurudisha account ya google kwenye simu, hata kama umesahau neno la siri #2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • solution

ความคิดเห็น • 68

  • @DogoTistiany7
    @DogoTistiany7 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka Asante Sana nimekamilisha kuludisha Google account yangu

  • @PaulMadeka-ss9pl
    @PaulMadeka-ss9pl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nimesahau password halafu namba niliyo iweka kwenye acount ya mwanzo nipo sehemu ambapo hio laini mtandao haushiki kabisa nafanyaje mkuu

  • @PaulMadeka-ss9pl
    @PaulMadeka-ss9pl 3 หลายเดือนก่อน +2

    Manake wakinitumia zile 6codi haziwezi kufika kulingana hii sehem mtandao hakuna kabisa plz help me

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  3 หลายเดือนก่อน +1

      Jitahidi upate muda wa kuwa sehemu ya mjin ambapo mtandao unashika, ni kitendo cha dk chache tu mkuu

  • @NiimatMdee
    @NiimatMdee 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nmejarb sana km ulivyoelekeza ila haijafunguk

  • @NiimatMdee
    @NiimatMdee 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nmejarb sana km ulivyoelekeza ila haijafunguk

  • @festusclavery6413
    @festusclavery6413 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejaribu mara nyingi bila mafanikia msaada pllzzz . . .

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  หลายเดือนก่อน

      @@festusclavery6413 weka mawasiliano nikutafute

  • @RachelMachotta-cg2df
    @RachelMachotta-cg2df 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesahau namba ya Siri na namba nilotumia kusajili email

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  3 หลายเดือนก่อน

      Pole
      Naomba mawasiliano ili tuone tunafanyaje

  • @Sbhstories1
    @Sbhstories1 หลายเดือนก่อน

    Mimi na miaka 4 sasa toka ni hackiwe ila namba nilokuwa nimeitumia niyakitambo sana na hata nikijaribu kuiingia naona yule hacker kaweka account yake kama recover .. naitaka irudi inawezekana

  • @KetyErasto
    @KetyErasto 4 หลายเดือนก่อน +1

    Me ikija kwenye checking info inaniletea use pin verify that it's you sasa nashindwa maana pin me nishasahau kabisa

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  4 หลายเดือนก่อน

      Naomba ufafanuzi wa swari lako... Au acha mawasiliano ili nikutafute

    • @KetyErasto
      @KetyErasto 4 หลายเดือนก่อน

      @@maarifatechnique8644 yaan nikibonyeza add account naenda Google nikibonyeza Google inakuja checking info kabla haijafunguka inaniletea use pin yaan mpka niweke pin Kwanza

  • @GodsonManyama
    @GodsonManyama 3 หลายเดือนก่อน

    Vzr

  • @HassanKhamis-zy6fz
    @HassanKhamis-zy6fz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Habari kaka,mimi nimepoteza laini niliyofungulia email pamoja na namba ya siri sikumbuki,email naijua je,naweza kuirudisha account yangu?

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  5 หลายเดือนก่อน

      Baada ya kupoteza laini uliyoifungulia hiyo email account, ulilinew? Au ndio umebadilisha lain nyingine?

    • @HassanKhamis-zy6fz
      @HassanKhamis-zy6fz 5 หลายเดือนก่อน

      @@maarifatechnique8644 nilisajiri laini nyingine maana nilikuwa mbali na nchi yangu

    • @HassanKhamis-zy6fz
      @HassanKhamis-zy6fz 5 หลายเดือนก่อน

      @@maarifatechnique8644 nilibadilisha nyingine

    • @BarikiziMwanshuli
      @BarikiziMwanshuli 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa mfano uliiacha aukurenew na auikumbukii Amna xehem ya kusearch ili uipatee

  • @kingagirltz618
    @kingagirltz618 2 ปีที่แล้ว +2

    Me namba niliokua natumia siko nayo lkn namba ya sili naikumbuka lkn nilijalibu kuirudisha naletewa maandishi afu na voice zinaongea Kama marobot ko sielew hata

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  6 หลายเดือนก่อน

      Habari, nimerejea naomba nishirikishe changamoto yako

  • @HassanMajob
    @HassanMajob 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi eimal yangu niliifuta hasaa yaani niliidelet , je kuna uwezekana wa kuuirejesha ?

  • @JacobKamili
    @JacobKamili 8 หลายเดือนก่อน

    Maliam simeo 0:41

  • @BashirShaban-cv9yz
    @BashirShaban-cv9yz 6 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥

  • @drivingmartinchalamanda223
    @drivingmartinchalamanda223 ปีที่แล้ว +1

    naomba nisaidie account tangy militumia password mamba y'a simulator name Jesus I'll line ameuziwa Myrna mwingine nifanyeje ili kupata kufungua account yangu

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  6 หลายเดือนก่อน

      Habari, changamoto yako ilipata ufumbuzi?

    • @HassanMajob
      @HassanMajob 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@maarifatechnique8644mimi account yangu niliidelet je ! Naweza kuirejesha maana niliifuta usajili wake hasaa

  • @estheremmanuel4424
    @estheremmanuel4424 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @simbasportsclublizykings5849
    @simbasportsclublizykings5849 2 ปีที่แล้ว +1

    Mi naambiwa number nimeitumia Sana kufungua account

  • @waleleofficial3430
    @waleleofficial3430 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm nikibonyeza try another way hainletei option nyngne

  • @leomakwembe9351
    @leomakwembe9351 2 ปีที่แล้ว +1

    Oy

  • @bihoboy987
    @bihoboy987 ปีที่แล้ว +1

    Naomba no yako tafadhali

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  6 หลายเดือนก่อน

      Naomba nishirikishe changamoto yako zaidi

    • @BarikiziMwanshuli
      @BarikiziMwanshuli 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@maarifatechnique8644msaada nilipoteza cm na lain xkuirudixha nambaa meisahau

  • @estheremmanuel4424
    @estheremmanuel4424 2 ปีที่แล้ว +1

    Naomba msaada zaidi

  • @allysufi5380
    @allysufi5380 3 ปีที่แล้ว +1

    Mambo

  • @simulizinahistoria1526
    @simulizinahistoria1526 3 ปีที่แล้ว

    Bro wanatak no nipiosajilia haraf nimesahau

  • @blancajohn2300
    @blancajohn2300 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeweza asante

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  3 ปีที่แล้ว

      Asante. Ila nakuomba usiache ku subscrible ili nikitoa video zingine zipate kukufikia haraka uendelee kujifunza zaidi

    • @paulluchinda4066
      @paulluchinda4066 2 ปีที่แล้ว

      Nielekeze na mmi

    • @Noorally24
      @Noorally24 ปีที่แล้ว

      @@maarifatechnique8644 naomba nielekeze samahani nawezaje kuziona data nizojaza kwenye Google account,nishasahau namba niloiweka kwenye google

  • @mhubirimamiha9082
    @mhubirimamiha9082 3 ปีที่แล้ว

    Mimi ya kwangu nimesahau kabisa kwahio naomba unisaidie kuirudisha nita kupa pesa.

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  3 ปีที่แล้ว

      Pole kwa kuchelewa kukujibu. Naandaa video nitaipost siku si nyingi, Naomba kama huja subscrible ufanye hivyo ili nikiituma ikufikie kwa haraka

  • @robertpeter753
    @robertpeter753 2 ปีที่แล้ว

    Naweza kukupigia

  • @kipedereva498
    @kipedereva498 3 ปีที่แล้ว

    Broh mm nimesahau account yangu yazamani inamiaka Saba nimewka nyimbo zangu znavew nyin nifanyej hli hirud

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  3 ปีที่แล้ว

      Kama umesahau account inakua ni shida kidogo kuipata, labda neno la siri ndio rahisi lakin vumilia kidogo naandaa video ya kuipata account. maana nachoamini hakuna kinachoshindikana

    • @kipedereva498
      @kipedereva498 3 ปีที่แล้ว

      Sawa Mana niliweka nyimbo alafu zishaanza kuwekwa matAngazo ckumbuk account wala namba Ila video zpo apo youtube

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  3 ปีที่แล้ว

      @@kipedereva498 inaitwaje hiyo channel?

    • @kipedereva498
      @kipedereva498 3 ปีที่แล้ว

      @@maarifatechnique8644 kipe dereva hukiandika utaona nyimbo apo

    • @kipedereva498
      @kipedereva498 3 ปีที่แล้ว

      Nipe msada mwalimu

  • @kingjoh8160
    @kingjoh8160 2 ปีที่แล้ว

    Hi shida yangu namba nilizoweka zilipotea za cm kwahiyo verification code inakua inatumwa kule je kuna njia nyingine kuirudish account yangu?

    • @anithathadeo5316
      @anithathadeo5316 2 ปีที่แล้ว

      M mwenyew shida ndo hyo hyo huyu jamaa nae hata hajibu

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  6 หลายเดือนก่อน

      Habari ndugu yangu samahani, nilipotea kidogo.
      Nishirikishe changamoto yako, au ulishaitatua?

    • @BarikiziMwanshuli
      @BarikiziMwanshuli 4 หลายเดือนก่อน

      Bd atujapata ufumbuziii

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  4 หลายเดือนก่อน

      @@BarikiziMwanshuli hebu nitumie namba nikuchek tuone tunashairiana vip bro

    • @maarifatechnique8644
      @maarifatechnique8644  4 หลายเดือนก่อน

      @@anithathadeo5316 mambo vip bro, pole. Naomba nipe namba yako nikucheki tuone jins ya kusaidians