I dont mean to be so offtopic but does anybody know a method to get back into an instagram account?? I was stupid lost the account password. I appreciate any tricks you can give me.
wawoooooooooo very nicesog nime barikiwa sana sana sana roze mhando nakupenda sana na nakubali nyimbo zako. ujumbe wa huu wimbo umenigusa sanaaaa Ee Mungu nifanye chombo chako palipo na giza nilete nuru🙏🙏🙏
Am happy to see u Rose muhando,,,Mungu wetu na akuinue zaidi zaidi maasidi wataendelea kukuona usiku na mchana ukitamba juu ya Neema ya Bwana,more love kutoka 254
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu @Paulo Siria. Mungu akuinue viwango na viwango kwa kazi unayofanya. Nabarikiwa sana na kazi zako. Mmefanya vizuri sana na dada Rose Muhando. Well done
Mtumishi Paulo nyimbo zako zinaburudisha zinafundisha zina upako endelea kunyenekea chini ya mkono wa Mungu ili naye aendelee kukupa ufunuo zaidi na zaidi.
Iam so happy to see Rose with our bro poul, may God bless you forever and ever and give you more strength and make you still,psalms 46:philly watching from Saudi Arabia.
So powerful my brother even if am kamba I love masaii❤️❤️❤️❤️
Best god bless you very nice from Zambia
Akwi uko vizuri songa mbele Mungu akusaidie.
Swadakta kaka nice one
Nipeni likes 100 za paulo siria ....tizameni nyimbo zake nyingine kiukweli nyimbo zake znabaria From Naberera simanjiro
Nice song penda Sana kwaya
Wonderful
Napenda nyimbo zake Sana ni pstr James 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naitaka Ile nyimbo yake ya mgeni lasim sijui ni yeye huyu
Yes chana wingu na ushuse neema thank you so much mom and silo more blessings
Acha niketi vizuri niskize huu wimbo...let's bless rose for uplifting new artist in Jesus name
My friend barikiwa sana na hiyo kibali ya uimbaji
Bro Ubarikiwe... Mungu atufanye chombo vyake
Poul napenda Sana nyimbo zako Rose muhando endelea tu hivyo mungu atawai kuacha Ata wanadamu ainuke vipi nbarikiwe sana
Kenya we love your music ❤️🔥
Rose muhando we love you ❤️
Lete Masai uyu kenya
Ongera ndugu Paulo. Kazi nzuri sana. Mungu akubariki.
Be bless dada rose Napenda nyimbo zako wapi like yake🙏🙏
Tanzania hakika nibmchi uliobarikiwa na wazanii mungu abariki Taifa hili pakubwa
Amen. Mtumishi. Ubarikiwe
Mungu azidi kuku bariki Paulo siria
Very nice one Siria. Sidai naleng
japo cjaeelewa mana yake ila nimebarikiwa sana mungu asimamie kazi ya mikono yenu wote tuseme amina kwa kazi nzuri ya watumishi wa mungu
Safi Sana mtumishi wa mungu siku nilipokuona live ukiwa na kikundi chako sikuamini nikaona kama utani vile mpo vizuri Sana nawakubali.
Nainuliwa viwango vya juu ninaposkiza nyimbo za paul,Mungu akutendee mema
Wow nyc message keep it up utaenda mbali manxe....be blessed
Rose never dissapoints,any collabo will do better , Energetic as usual .wenye walidhani amekufa wako wapi waone uwepo wa mungu hapa? Glory to God 🙏🙏🙏
Lh
I dont mean to be so offtopic but does anybody know a method to get back into an instagram account??
I was stupid lost the account password. I appreciate any tricks you can give me.
Jamborose
@@lalceinvestment7344 👌🤌🙏🙏
Very nice let all nations Praise the lord ,wacha vilivyo na uhai vimtukuze mungu
Woooooow I love this usirudi nyuma my brother shikilia hapo hapo
wawoooooooooo very nicesog nime barikiwa sana sana sana roze mhando nakupenda sana na nakubali nyimbo zako. ujumbe wa huu wimbo umenigusa sanaaaa Ee Mungu nifanye chombo chako palipo na giza nilete nuru🙏🙏🙏
Am happy to see u Rose muhando,,,Mungu wetu na akuinue zaidi zaidi maasidi wataendelea kukuona usiku na mchana ukitamba juu ya Neema ya Bwana,more love kutoka 254
Nawapenda Sana,na Mungu awazidishie, naomba Mungu siku moja nikutane na mam Rose jamaniiiiii, natumaini umsalimia sanaaa Rose my lovel Mam
Napenda sana nyimbo za Paulo. They are so uplifting and have strong message. Love from Kenya.
Tuko pamoja from Kenya
Nice
hey Paulo siria tamu
Napendasananyimbozako
Paul siria my favourite singer and his song have good message may God bless brother more love from samburu
Nawapenda mno Mungu awabariki zaidi
Rose muhando Mungu akubariki kushikanina mukono kwenye injili kwenye nyimbo
la'm a muslim but this song is make me happy all the time when I listen
Yani sisi wagogo huwa hatofautiani nahawa majilani zet wamasai
Asante Yesu kwa baraka zako ktk wimbo huu.❤❤❤
Hakika nimeupenda wimbo huu mtumishi Rose ubarikiwe sana from burundi
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu @Paulo Siria. Mungu akuinue viwango na viwango kwa kazi unayofanya. Nabarikiwa sana na kazi zako. Mmefanya vizuri sana na dada Rose Muhando. Well done
th-cam.com/video/CL7c1WQh7iE/w-d-xo.html
Nazipenda sana nyimbo zako natamani ningekuwa one of your dancers kila ninaposkiza hizo nyimbo nacheza Tu ninaimani kwamba mungu atatenda
Waooh yan kabla hata sijauangalia najua tu ni mzuri mashujaa wa Yesu wamekutana hapa
Asante sana! Unajua ni leo nimetambua kuwa wa Masayi ni walembo sana! Akinababa na akinamama wote!
Ak Rose muhando nakupenda xana,,,hauna upakusi,,popo unaenda ,,nakuimba na lugha tofauti tofauti God bless you Rose
Mbarikiwe watu wa Mungu, haki nimependa hiyo kolabo Paulo and siz rose
Mtumishi Paulo nyimbo zako zinaburudisha zinafundisha zina upako endelea kunyenekea chini ya mkono wa Mungu ili naye aendelee kukupa ufunuo zaidi na zaidi.
Hongera sana mtu wa mungu wimbo una ujumbe mzito barikiwa sana
Amen ndugu nabarikiwa sana, Mungu akuzidishie upako milele tuendelee kubarikiwa Pamoja na mama 🇵🇦
Bro Paul and sister rose God bless you bro nice song
Watching from kenya Cecilia mungu awabariki kwa huu wimbo naskia kuarikiwa
Neema ya mungu iwe juu yenu wimbo mtamu Sana nimebarikiwa sana
so nice barikiwa Rose muhando mungu yu pamoja nawe
Haki unaimba bro..... wah;
Hapo ndipo pa Rose Mungu akuinue tena zaidi ya mwanzo zidi kutafuta uso wa Mungu ndugu yangu naye ataurejesha ujana wako kama tai.
Amen mungu azidi kushusha nemayake kwakilamumoja ,barikiweni Sana Siria and Rose
Wow! Nimemsikia Rose Mhando akiimba kimasai , itz so amazing wimb mzuri hongerni
Barikiwa ndugu kwa ujumbe mzuri
Nimependa sana. Mungu abariki huduma yenu.
Mungu akuongezee miaka dada rose kama alivyomwongezea Hezekiah amen
Thanks you so much for this remarkable African Music from Nairobi, Kenya with these great dancers in the video two years ago 2023❤️❤️❤️
Hallelujah nice song Congratulations
Mungu akubariki sana by #oloip le maasinta
Tuliyo rudiya 2021 kuangaliya naomba tuu 🧘🇹🇿🇹🇿 like 10 tujuwane
N nn huyu
wauuuu,,, i like the songz barikiwa sana kaka
2023 but the song sounds new, wapi likes za hii collabo jameni
Entasupa Enkajiang.... Keep it up Siriya Osinka Le Enkai 🌎🔥⏳👮✅✔💯
Amen my brother keep it up
Wapi like kwa rose muhando penda sana nyimbo zako
nimekupea like
Rose muhando brought me here,nipe likes please
Iam so happy to see Rose with our bro poul, may God bless you forever and ever and give you more strength and make you still,psalms 46:philly watching from Saudi Arabia.
Amen barikiwa sana, Eee Mungu nifanye chombo chako palipo na ugomvi nilete amani
Bibikibon
th-cam.com/video/CL7c1WQh7iE/w-d-xo.html
Am from Kenya and i like Rose so much,May my creator keep on blessing her..wasiompenda watazidi kuwashwa
Na watapata taabu saana
much,Maymy
Mubalikie sana!!
Thanks Kwa mungu wetu waliongea sasa waone kazi ya mungu yesu yupo🙏
Surely i love this woman with all of my heart rose muhando God bless you mama more grace
Awwwww!!! This an awesome song ...Paulo & Rose!! A good combination
Muko Sawa sana from kenya barikiweni sana
habar za huko
hongera
Kuko kuzuri sana ila Tu hii njanga la Corona.
Barikiwa na Bwana Watumishi wa Mungu.
Rose Muhando be blessed always for helping upcoming musicians kama si wewe singejua some artists
I love your song Rose God bless you
Wouh wouhhh growing young ndani ya yesu ' jombo kipya' ilove this nice song God bless you more en more ❤️🔥🔥🔥🔥
Paulo i do like your songs from embakasi Nairobi Kenya
Haki Rose muhando,mimi nakupenda tu bure,wewe ni chombo cha Mungu,hauna wivu,na ndio Mungu mwenyewe ni mtetezi wako, barikiwa sana
th-cam.com/video/CL7c1WQh7iE/w-d-xo.html
Nifanye niwechombochako
God bless you
Adi rah kwa kweli nimefurahia sana kuon paulo siria vs rosimuhand
Amina
Dada roze nakupenda sana mungu akuongezee miaka mingi wasie kupenda hd watachoka kukuona hongereen sana
Ni Mungu/MUNGU sio mungu unakosea kuandika kwa herufi ndogo mtumishi.
R
Mukapate kumbarikiwa na Mungu nice song Amen
Kwayany
akato
Waoooo I like this song, mungu wabariki Poul and rose
Ubarikiwe sana watumishi wa Mungu Mimi nawapenda sana nyinyi wote wenye wako kwa hii video 💖💖💖
Mungu azd kuwainua zaid na zaid nawapenda san dada roze Mungu akupe maisha mareeeeeeeef
Hongera sana ndugu yangu Paulo siria mjukuu wa ngoo nina MUNGU akuinue zaidi
Paulo you will go very far GOD have messages through your songs to his people. Beautiful song.👏🏽
Very nice song brother
Asante sana kaka lai nyimbo zako zinanijenga sana rohoni mwangu, ubarikiwe daima.
Mubarikiwe sana Mungu atufanye chombo chake
I love the message.
🙏
Dah safi sana uliyepost hii maana imenifiikisha jumapili ya leo
Aminaaa mbarikiw kwa huduma
Wangapi Tena wamemuona rosimando amebadilika Kama Mimi gonga like tujuwane
Amebadilika kiloho kwani kwasula ninini😔😔😔
@@minabeatriche6989 absolutely ndio gospel c xile xingine
Sama San nawomba namba Tel ya losi muhando jamani
Mimi hapa
@@PapaTheKingKenya l
Amen amen nimebarikiwa sana from Kenya
Dada rose wapendeza sana.asante mungu kwa kumuokoa dada huyu azidi kukutumikia
Nafurahi kumuona Dada Rose akiimba.God bless you Dada Rose we love you so much
Woow so inspiring,,,keep pressing on in your gospel rosemuhando and paulo
Ubarikiwe poul
🇰🇪siria mungu akubariki sana ndungu zangu tanzanet nawapenda rose ubarikiwe kuinua wasinii wachini
Paul na Rose huu wimbo unaniguza roho Mungu abariki kazi yenu.
So inspiring song sending 💕 from kenya
AMINAH, be blessed our brother ND sister, nice song, imeweza🙏
Rose keep up mungu alikuchangua fanyakazi yake kwa nguvu zako zote
Great message.....niwe chombo chako mungu.....cha kuleta furaha kwa wengi duniani humu......nilete mwanga palipo na giza......