Mbiu SDA choir - Mji mzuri

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ย. 2019
  • DVD vol 4

ความคิดเห็น • 310

  • @paschalmk313
    @paschalmk313 2 หลายเดือนก่อน +2

    2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 3 ปีที่แล้ว +2

    Mimi sio msabato Ila nawapenda sana wasabato munajua kuimba mno

  • @marthakyando4836
    @marthakyando4836 2 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mtamu mbiu nataman asiwepo hata mmoja wakuzeeka muimbien bwana ama hii ndio kwaya itakuwapo mbinguni🤔🌹🙏🏻

  • @jipemoyo5461
    @jipemoyo5461 3 ปีที่แล้ว

    Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.

    • @jipemoyo5461
      @jipemoyo5461 3 ปีที่แล้ว

      Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.

  • @leahdominic8199
    @leahdominic8199 3 ปีที่แล้ว +1

    I love you mbiu with your sololist da happy nataman siku moja tuimbe wote

  • @senator166
    @senator166 3 ปีที่แล้ว +1

    Takuja kuwatembelea apo Tandale Mungu akipenda 🙏🙏

  • @gracemadatta1456
    @gracemadatta1456 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 3 ปีที่แล้ว +2

    Uimbaji Wa kisabato unanifanya nitamani kuitwa msabato.

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo2572 3 ปีที่แล้ว +6

    Who's from Mombasa listening to these grate voices

  • @samuelonyangokepher1144
    @samuelonyangokepher1144 3 ปีที่แล้ว +1

    vijana wenye nguvu tele tamu sana

  • @piuscheseret9033
    @piuscheseret9033 2 ปีที่แล้ว +3

    MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.

  • @janehamisi6069
    @janehamisi6069 4 ปีที่แล้ว +3

    nyimbo zenu wasabato zinanifariji sana nazipenda

  • @ochangamigwanga4100
    @ochangamigwanga4100 4 ปีที่แล้ว +21

    kazi nzuri sana mbiu,hamjawahi kutuangusha kanisa la waadventista wasabato ulimwenguni kote.safi sana

  • @cathbethkiplimo2256
    @cathbethkiplimo2256 4 ปีที่แล้ว +5

    nawapenda sana wana mbiu sda am from kenya mungu azidi kuwabariki

  • @andrewombongi7919
    @andrewombongi7919 ปีที่แล้ว

    I like this song every day I must play this sweet song

  • @norahnyanchokasosi544
    @norahnyanchokasosi544 3 ปีที่แล้ว +5

    Kazi safii watoto wa magufuli,, WanaMbiu you never disappoint 💕💕 💕 watching you from Kenya. Blessings!!

  • @gracejohn1769
    @gracejohn1769 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabariki wapendwa kwa kweli nyimbo zenu zinabariki, Mungu azidi kuwatumia apendavyo.

  • @victormwita4078
    @victormwita4078 4 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo inabariki kila msafiri anayengojea marejeo ya Yesu ambayo yamekaribia sana

  • @mariamkondo8230
    @mariamkondo8230 4 ปีที่แล้ว +15

    mungu awabariki sana! kwa kutubariki kwa nyimbo za kutia nguvu ili wote tukaze juhudi wa kufika pale

  • @yonamatola9854
    @yonamatola9854 4 ปีที่แล้ว +11

    Kila siku tutakuwa vijana, natamani sana kufika jijini Yerusalemi

  • @georgegabriel9180
    @georgegabriel9180 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante mbiu kwaya. Kazi nzuri,hiyo key board nimekubali safari hii kiukweli.

  • @golumene
    @golumene 4 ปีที่แล้ว +1

    Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.

  • @pillymaira4088
    @pillymaira4088 ปีที่แล้ว

    Nawapenda!! Mungu awajalie nguvu ya roho mtakatifu mmuinue kokote ulimwenguni pasipo majivuno Amina!!!

  • @febbycosmas6298
    @febbycosmas6298 2 ปีที่แล้ว

    Mnaimba vizuri lakini mpiga picha unawapendelea Sana wanamume kuwaonyesha na solo list wenu humuonyeshi jua wanawake ni maua so next time rekekisha uchukuaji wa picha

  • @maxwelbravin4654
    @maxwelbravin4654 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @herenagetema3920
    @herenagetema3920 3 ปีที่แล้ว

    Happy nakukubari sana tumeimba wote buhare

  • @faithkimosop1887
    @faithkimosop1887 2 ปีที่แล้ว

    Aky nimekuzwa sana na uu wimbo sana thanxs

  • @mereziawilson3044
    @mereziawilson3044 4 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzuri sanaaa...Mungu azidi kuwabariki...you know i love you guys

  • @mokiridaniel6795
    @mokiridaniel6795 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaan mbiu choir hamjawahi kuniangusha🙏🇹🇿

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 4 ปีที่แล้ว +37

    JE TAWI?!!I'm a Catholic but napenda sana nyimbooo zenu wapendwa jitahdn kuapdate nyimboo ili tulio mbali tubarikiwe distance istitutengenishee

  • @mariammaimbo6802
    @mariammaimbo6802 4 ปีที่แล้ว +2

    mko vizur Mungu awabarik mkaimbe na mbinguni

  • @halimaayier5966
    @halimaayier5966 ปีที่แล้ว

    Baraka Tele wana mbiu

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbarikiwe makamanda wa yesu

  • @omonywamotangi9015
    @omonywamotangi9015 3 ปีที่แล้ว

    Safari yenu next yafaa iwe Kenya kwetu hapa.
    Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya

  • @vivianngala6793
    @vivianngala6793 4 ปีที่แล้ว +7

    My all time choir ur voice n the message gives me so much hope I can't miss heaven for anything else nataka nizunguke Katikaka jiji jerusalemu

  • @fmwikwatyonews7415
    @fmwikwatyonews7415 4 ปีที่แล้ว +2

    mungu awabariki sana kwa kazi njema,tukutane yerusalemu .

  • @justinemariita4141
    @justinemariita4141 4 ปีที่แล้ว +1

    kazi nzuri wapendwa

  • @kiangiemmanuel8371
    @kiangiemmanuel8371 3 ปีที่แล้ว

    Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.

  • @mijashushu9552
    @mijashushu9552 4 ปีที่แล้ว

    Nikweli kabisa kuna matumaini kwawanao mjua Mungu.
    Mungu awabariki sana mmoja wenu asikose kuingia mji huo waajabu.
    Nami nautamani humji waajabu.

  • @jothamyohana9599
    @jothamyohana9599 4 ปีที่แล้ว +11

    Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro

    • @RomwardWM
      @RomwardWM 4 ปีที่แล้ว

      Mbarikiwe sana

  • @aloisemukoma8701
    @aloisemukoma8701 3 ปีที่แล้ว +4

    OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.

    • @ezelkan6350
      @ezelkan6350 3 ปีที่แล้ว

      Ezekiel from Kenya nawapenda sana kwa nyimbo zenu,wamama wazuri kama kuna yule aja olewa ningependa ni juwe hili tuwaziliane hivi karibuni.

  • @issokateketa1275
    @issokateketa1275 4 ปีที่แล้ว

    kwa hakika Mbiu mmekuwa baraka kwa ulimwengu. peperusha bendera ya BWANA hata ajapo. MTOBESYA, ZACHARIA

  • @happysamson7079
    @happysamson7079 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabariki wasafiri wenzangu mwende mbali.

  • @aliceagoodsongnicevoices4855
    @aliceagoodsongnicevoices4855 2 ปีที่แล้ว

    Mbinguni ni mahajabu when shall we meet there?Amen 🙏

  • @theobarddimoso8835
    @theobarddimoso8835 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi Nzuri imejaa upako na baraka tele.

  • @zefaniamkane5231
    @zefaniamkane5231 3 ปีที่แล้ว

    Ameni Kazi ya bwana haina makosa

  • @hezekiahmatiko3494
    @hezekiahmatiko3494 2 ปีที่แล้ว

    The veterans in the ministry.barikiwa

  • @corneliuskiprotich2753
    @corneliuskiprotich2753 4 ปีที่แล้ว +5

    Great message,uplifting.... From Kenya SDA community

  • @collinscollo8188
    @collinscollo8188 3 ปีที่แล้ว +3

    May God bless you for the goood job you're doing, nyimbo zenu tamu sana🙏🙏🙏💯

  • @millicentayot8733
    @millicentayot8733 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awajalie nyinyi nyote na muendelee kukusifu milele na milele

  • @japhethsaid4023
    @japhethsaid4023 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbiu mbarikiwe sana

  • @aloisemukoma8701
    @aloisemukoma8701 3 ปีที่แล้ว

    Mji ni mzuri!!!! washangaza!!!! ukiwa pale ni furaha tele

  • @erickedward1077
    @erickedward1077 3 ปีที่แล้ว

    Asnt mung kwa ajil ya hawa waimbaji

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 4 ปีที่แล้ว

    Ninabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri nawapenda Mungu awabariki mzidi kwenda mbali 💞💞

  • @gracenamonje221
    @gracenamonje221 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen God bless you

  • @musitamugini2966
    @musitamugini2966 ปีที่แล้ว

    Mungu awenanyi

  • @georgemchalumbi5008
    @georgemchalumbi5008 4 ปีที่แล้ว +3

    mbiu mbarikiwe sana

  • @abigailkalee7151
    @abigailkalee7151 ปีที่แล้ว

    Mbiu SDA choir may God bless you. You really bless me.

  • @mariamramadhan494
    @mariamramadhan494 3 ปีที่แล้ว

    Amen wimbo unanibariki

  • @francishungi2720
    @francishungi2720 ปีที่แล้ว

    Ilove this choir it has done a tremendous job to spread the good news of the kingdom in east africa

  • @cynthiachepkogei6490
    @cynthiachepkogei6490 4 ปีที่แล้ว +5

    Mbiu you've always be the best choir .May God bless you people

  • @alfredodindo4703
    @alfredodindo4703 4 ปีที่แล้ว +8

    Mbiu SDA choir never fails me with their songs, they always kills it. much love and be blessed

    • @singwithlenin
      @singwithlenin 3 ปีที่แล้ว +1

      The man behind these great compositions is Gibson Nguru I hope so.

  • @user-ns4oc6rs2f
    @user-ns4oc6rs2f 3 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda sana

  • @kavutadanieli4071
    @kavutadanieli4071 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongeren sana Mungu azd kuwabariki.

  • @fatmakizimba744
    @fatmakizimba744 4 ปีที่แล้ว +3

    Nyimbo nzuri,na pia mmependeza sasa.

  • @eliamshahara7665
    @eliamshahara7665 4 ปีที่แล้ว +1

    mbiu mbarikiwe kwa kazi ya Bwana

  • @Petro757
    @Petro757 ปีที่แล้ว

    Nice songs tupo pamoja

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri sana

  • @japhethgeriad4519
    @japhethgeriad4519 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamani mbarikiwe sana

  • @aloyssimbare5938
    @aloyssimbare5938 ปีที่แล้ว

    Asanteni saaana kwa wimbo mtamu sana tena wakunimbusha nyumbani

  • @danielpaschal6526
    @danielpaschal6526 3 ปีที่แล้ว

    Mmbarikiwe waimbaji na mungu awaongoze siku zote Amen

  • @godlovemrosso8715
    @godlovemrosso8715 4 ปีที่แล้ว

    nabarikiwa sana sana nanyi mbiu mungu na azidi kuwainua katika viwango vya juu

  • @shukranimugasa3521
    @shukranimugasa3521 4 ปีที่แล้ว +13

    THERE IS ONLY ONE MBIU CHOIR IN THIS WORLD...
    GOD BLESS YOU RICHLY

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 4 ปีที่แล้ว +1

    mbiu mpo juuu , lkn kuna. nyimboo naztafuta sizion tena u tube jmn , @FIKIRI

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 3 ปีที่แล้ว +2

    My favorite choir hallelujah Amen

  • @liliannyatichi
    @liliannyatichi หลายเดือนก่อน

    keep up my choir

  • @realreen2349
    @realreen2349 4 ปีที่แล้ว +9

    Watching from kenya, Adventist for life

  • @nathanaellugema5484
    @nathanaellugema5484 4 ปีที่แล้ว +3

    Wonderful song, wonderful style of singing the song,, be blessed Mbiu Choir

    • @nabsonkifuge5115
      @nabsonkifuge5115 3 ปีที่แล้ว

      Mnanibariki sana kwa nyimbo zenu murua ,barikiwa sana

  • @thomkimaro5801
    @thomkimaro5801 4 ปีที่แล้ว

    hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best

  • @amosbula1249
    @amosbula1249 5 หลายเดือนก่อน

    I love this group.

  • @philipchumba1074
    @philipchumba1074 4 ปีที่แล้ว +10

    Ooooow!!! Nice one mbiu be blessed choir i daily listen to your music nd videos plz upload more it blesses more. Listening from Doha

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen barikiwa sana

  • @bensonsamweli4867
    @bensonsamweli4867 2 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe xaana

  • @keruaya
    @keruaya 3 ปีที่แล้ว

    Kweli mwapendeza sana,kweli tu wenye dhambi.

  • @danielndarera8087
    @danielndarera8087 3 ปีที่แล้ว

    Wimbo huo ni bora kweli kweli.Barikiwa mno kwa jina la Yesu

  • @marionjons2288
    @marionjons2288 ปีที่แล้ว

    Ameeen and Ameeen katika jiji lile Jerusalem ❤❤❤❤

  • @shemmondo76
    @shemmondo76 ปีที่แล้ว

    Amen best song 🎇🎇🎇🎇🎇🎇 God bless you mbiu choir.

  • @sophymetto9166
    @sophymetto9166 4 ปีที่แล้ว +5

    Lack words to express how I feel to your songs may God bless you my SDA family

  • @georgeogoti3585
    @georgeogoti3585 4 ปีที่แล้ว +2

    Good work keep on preaching the word of God

  • @Kipchumba117
    @Kipchumba117 4 ปีที่แล้ว +2

    Good work mbiu nawapenda tu saana,,more of the same album please

    • @willsonndayanse6557
      @willsonndayanse6557 4 ปีที่แล้ว

      Katika album zote ambazo mmetoa hii ni kiboko, High Definition Video. Good work. Mwende mbali mpotelee mbinguni.

  • @alexngala2634
    @alexngala2634 4 ปีที่แล้ว +3

    Hi kwaya hunibark sana Mungu awabark

  • @jackyayuma3296
    @jackyayuma3296 ปีที่แล้ว

    wonderful music

  • @ongakisamwel778
    @ongakisamwel778 ปีที่แล้ว

    A very niice song it gives me hope for God's kingdom be blessed

  • @benpius3076
    @benpius3076 4 ปีที่แล้ว +8

    My favorite choir you always sing very well, nice message and sweet harmonies

  • @mosesobed760
    @mosesobed760 3 ปีที่แล้ว

    Nawaombea mungu aenderee kuwanemesha kwa maubili matamu

  • @delvinenyaboke4143
    @delvinenyaboke4143 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen mji ni mzuri

  • @davenjogu7890
    @davenjogu7890 2 ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri.

  • @veronicaenock2000
    @veronicaenock2000 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki Mbiu,

  • @momanyijunior1566
    @momanyijunior1566 4 ปีที่แล้ว

    you never fail.. you are our leaders, mfano wa kuigwa kila wakati

  • @ruthnanjela7496
    @ruthnanjela7496 3 ปีที่แล้ว +3

    I never stop listening to their songs they bless my soul.