2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
Mnaimba vizuri lakini mpiga picha unawapendelea Sana wanamume kuwaonyesha na solo list wenu humuonyeshi jua wanawake ni maua so next time rekekisha uchukuaji wa picha
Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best
2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
Mimi sio msabato Ila nawapenda sana wasabato munajua kuimba mno
Wimbo mtamu mbiu nataman asiwepo hata mmoja wakuzeeka muimbien bwana ama hii ndio kwaya itakuwapo mbinguni🤔🌹🙏🏻
Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
I love you mbiu with your sololist da happy nataman siku moja tuimbe wote
Takuja kuwatembelea apo Tandale Mungu akipenda 🙏🙏
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
Uimbaji Wa kisabato unanifanya nitamani kuitwa msabato.
Who's from Mombasa listening to these grate voices
Here🙌
E
Me
Like your songs, they rilly insipires me
@@uwamahorojirber7126 gv good
vijana wenye nguvu tele tamu sana
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
nyimbo zenu wasabato zinanifariji sana nazipenda
Amin
kazi nzuri sana mbiu,hamjawahi kutuangusha kanisa la waadventista wasabato ulimwenguni kote.safi sana
Amin
Ok
Pls vol one night habari njema na hallelujah pls naitaka hauko you tube
@@joselynebenjamin9080 3ou
Amen
nawapenda sana wana mbiu sda am from kenya mungu azidi kuwabariki
I like this song every day I must play this sweet song
Kazi safii watoto wa magufuli,, WanaMbiu you never disappoint 💕💕 💕 watching you from Kenya. Blessings!!
Mungu awabariki wapendwa kwa kweli nyimbo zenu zinabariki, Mungu azidi kuwatumia apendavyo.
Nyimbo inabariki kila msafiri anayengojea marejeo ya Yesu ambayo yamekaribia sana
mungu awabariki sana! kwa kutubariki kwa nyimbo za kutia nguvu ili wote tukaze juhudi wa kufika pale
Kila siku tutakuwa vijana, natamani sana kufika jijini Yerusalemi
Me to
Asante mbiu kwaya. Kazi nzuri,hiyo key board nimekubali safari hii kiukweli.
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
Nawapenda!! Mungu awajalie nguvu ya roho mtakatifu mmuinue kokote ulimwenguni pasipo majivuno Amina!!!
Mnaimba vizuri lakini mpiga picha unawapendelea Sana wanamume kuwaonyesha na solo list wenu humuonyeshi jua wanawake ni maua so next time rekekisha uchukuaji wa picha
Amen
Happy nakukubari sana tumeimba wote buhare
Aky nimekuzwa sana na uu wimbo sana thanxs
kazi nzuri sanaaa...Mungu azidi kuwabariki...you know i love you guys
Yaan mbiu choir hamjawahi kuniangusha🙏🇹🇿
Barikiwa kwa nyimbo nzuri
JE TAWI?!!I'm a Catholic but napenda sana nyimbooo zenu wapendwa jitahdn kuapdate nyimboo ili tulio mbali tubarikiwe distance istitutengenishee
WELCOME to our adventist world
Amen be blessed
Jitahdn kuapdate nyimboo
Ni SDA ndugu
@@mariajohnfelix8018 yes mpndwa ,napenda nyimbo zao
mko vizur Mungu awabarik mkaimbe na mbinguni
Baraka Tele wana mbiu
Mbarikiwe makamanda wa yesu
Safari yenu next yafaa iwe Kenya kwetu hapa.
Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya
My all time choir ur voice n the message gives me so much hope I can't miss heaven for anything else nataka nizunguke Katikaka jiji jerusalemu
Mnaimba poa napenda nyimbo zenu
mungu awabariki sana kwa kazi njema,tukutane yerusalemu .
kazi nzuri wapendwa
Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.
Nikweli kabisa kuna matumaini kwawanao mjua Mungu.
Mungu awabariki sana mmoja wenu asikose kuingia mji huo waajabu.
Nami nautamani humji waajabu.
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
Mbarikiwe sana
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
Ezekiel from Kenya nawapenda sana kwa nyimbo zenu,wamama wazuri kama kuna yule aja olewa ningependa ni juwe hili tuwaziliane hivi karibuni.
kwa hakika Mbiu mmekuwa baraka kwa ulimwengu. peperusha bendera ya BWANA hata ajapo. MTOBESYA, ZACHARIA
Mungu awabariki wasafiri wenzangu mwende mbali.
Mbinguni ni mahajabu when shall we meet there?Amen 🙏
Kazi Nzuri imejaa upako na baraka tele.
Ameni Kazi ya bwana haina makosa
The veterans in the ministry.barikiwa
Great message,uplifting.... From Kenya SDA community
May God bless you for the goood job you're doing, nyimbo zenu tamu sana🙏🙏🙏💯
Mungu awajalie nyinyi nyote na muendelee kukusifu milele na milele
Mbiu mbarikiwe sana
Mji ni mzuri!!!! washangaza!!!! ukiwa pale ni furaha tele
Asnt mung kwa ajil ya hawa waimbaji
Ninabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri nawapenda Mungu awabariki mzidi kwenda mbali 💞💞
Amen and Amen God bless you
Mungu awenanyi
mbiu mbarikiwe sana
Mbiu SDA choir may God bless you. You really bless me.
Amen wimbo unanibariki
Ilove this choir it has done a tremendous job to spread the good news of the kingdom in east africa
Mbiu you've always be the best choir .May God bless you people
Mbiu SDA choir never fails me with their songs, they always kills it. much love and be blessed
The man behind these great compositions is Gibson Nguru I hope so.
Nawapenda sana
Hongeren sana Mungu azd kuwabariki.
Nyimbo nzuri,na pia mmependeza sasa.
mbiu mbarikiwe kwa kazi ya Bwana
Nice songs tupo pamoja
Wimbo mzuri sana
Jamani mbarikiwe sana
Asanteni saaana kwa wimbo mtamu sana tena wakunimbusha nyumbani
Mmbarikiwe waimbaji na mungu awaongoze siku zote Amen
nabarikiwa sana sana nanyi mbiu mungu na azidi kuwainua katika viwango vya juu
THERE IS ONLY ONE MBIU CHOIR IN THIS WORLD...
GOD BLESS YOU RICHLY
mbiu mpo juuu , lkn kuna. nyimboo naztafuta sizion tena u tube jmn , @FIKIRI
My favorite choir hallelujah Amen
keep up my choir
Watching from kenya, Adventist for life
Wonderful song, wonderful style of singing the song,, be blessed Mbiu Choir
Mnanibariki sana kwa nyimbo zenu murua ,barikiwa sana
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best
I love this group.
Ooooow!!! Nice one mbiu be blessed choir i daily listen to your music nd videos plz upload more it blesses more. Listening from Doha
Amen barikiwa sana
Mbarikiwe xaana
Kweli mwapendeza sana,kweli tu wenye dhambi.
Wimbo huo ni bora kweli kweli.Barikiwa mno kwa jina la Yesu
Ameeen and Ameeen katika jiji lile Jerusalem ❤❤❤❤
Amen best song 🎇🎇🎇🎇🎇🎇 God bless you mbiu choir.
Lack words to express how I feel to your songs may God bless you my SDA family
Good work keep on preaching the word of God
Good work mbiu nawapenda tu saana,,more of the same album please
Katika album zote ambazo mmetoa hii ni kiboko, High Definition Video. Good work. Mwende mbali mpotelee mbinguni.
Hi kwaya hunibark sana Mungu awabark
Mung awe nanyi mzid kumuimbia mung
wonderful music
A very niice song it gives me hope for God's kingdom be blessed
My favorite choir you always sing very well, nice message and sweet harmonies
Nawaombea mungu aenderee kuwanemesha kwa maubili matamu
Amen amen mji ni mzuri
Wimbo mzuri.
Mungu awabariki Mbiu,
you never fail.. you are our leaders, mfano wa kuigwa kila wakati
I never stop listening to their songs they bless my soul.
I like this may God bless you all
Sioni choir inayozidi hii kwa kuimba