Bony Mwaitege - 'Hakuna Mwingine' (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2023
- Duniani kote wa kuabudiwa niwewe kwa maana hakuna mwingine kama wewe....Wimbo huu wa Hakuna mwingine ni wimbo kuisifu kazi ya Bwana kwa matendo yake makuuu.
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege - 'Hakuna Mwingine'
MUNGU AKUBARIKI SANA. - เพลง
Oooh so amazing Sana tunao mfatilia 2024 naombeni like jameni🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza kuitazama nikiwa Lusaka zambia nipe hizo like kama umebarikiwa kama mimi
Nipeni like zangu jaman kama umewahi hapa
Congratulations 🎊 👏
Bravo ❤❤
Barikiwa sana 🥰🥰💯💪💥🎸
Wewe ni Mungu Tena ni bwana unaweza yote hakuna mwingine Kama wewe. Be blessed Man of God 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏
MUNGU wetu wa Bwana wetu Yesu kristo, akutende yaliyo mema.
Wakenya kujeni huku ❤❤❤❤
Yalio shindikana kwa binadam kwako ya wezeka kwako Mungu ❤ barikiwa sana mtumishi wa Mungu Bonny
Kazi nzuri sana mchungaji Boni Mungu akutunze hakuna mwingine hakuna Mungu mwingine
Ubarikiwe mtumishi Bonny mwaitege 🔥🔥🙏🙏
Hakuna mwingine kama weweee😍😍😍😍😍😍😍😍😍
AMEN AMEN HAKUNA MWINGINE KAMA JEHOVAH👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
From Zambia. UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU. Amen amen
Shalom shalom shalom 🙏🙏🙏wimbo mzuri sana,unanibariki kwa hakika,,,,sending love❤❤❤from Kenua
The best singers in east Africa
Asante
Hakuna mwingine kama wewe wimbo mzuri wa kumsifu Mungu.Barikiwa sana mtumishi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Baba, Mungu akuzidishe sana na sana,nyimbo za za utukufu tu ❤+254
Kenya tumerauka tunakutana na kazi safi ya Bonny Mwaitege likes za Kenya.
Kabisa,hii ndio nimekutana nayo ya kwanza leo
Asante sana
Jamani Kenya mkowapi kujeni tumuabudu mungu pamoja na bony mwaitege akuna mungu kama wewe
Thank you brother , hakuna mwingine kama Mungu
Amen amen mungu akuongoze 🙏🙏🙏🙏kazi mzuri siwezi kulipa ila mungu aliye mbinguni akulipe kwa kazi
Ameen🙏wewe ni Mungu unaweza yote❤
Amen ..bwana unaweza yote
True no one like God may her name be praise
Amen kaka Mkubwa barikiwa sana
Mungu akubariki saaana mtumishi wimbo❤️❤️❤️❤️
Amen mtumish wa mungu bony mwitenge wimbo wako humenibariki sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Mimi niskiliza wimbo nikifikiria kutoka wimbo ule "DUNIA DUNIA KILA KUNAPOKUCHA INABADILIKA" Hadi sasa bado Mungu anainiliwa sina la zaidi ila nawaombea Mungu wa neema awazidishie neema nyinyi zaidi hata dunia ikibadilika sisi tuzidi kumtukuza Mungu wa mbinguni mbarikiwe sana watumishi much love from 🇰🇪
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Amina sifa na utukufu ni kwako Mungu ❤ ahsante Mtumishi ubarikiwe sana 🙏
Hakika unaweza Yote. Mch. Bony hujawahi kuniangusha Katika uimbaji wako
Kudos sir For Glorifie how Creater and Redeemer 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa nyimbo nzr 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🤲🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌🙌🙌
I'love your muzuki I'm from Zambia
Mziki ni dawa.wapi likes za Bonnie Jamani 🇹🇿
Mungu akuinue zaidi..nyimbo zako zinanipeanga nguvu zaidi ata nikiwa chini kimawazo ..barikiwa Sana Bonnee zinanibariki nikiwa kenya
Asante
Hakuna Mungu mwengine kama wewe, Jina lako ni kubwa sana kwa majina yote duniani
Amen
Good song 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
much love from kenya
Glory to God this morning,, thanks for your inspiration Bony
Hallelujah hallelujah 🙏 Wewe ni Kilakitu kwangu hakuna kama Wewe
Apewe maua yake mfalme wa nyimbo za dini bon mwaitege
Wewe ni MUNGU Tena ni bwana hakuna mwingine love song
Amen amen be blessed man of God...you were called by God alone
Ubarikiwe sana baba yangu MUNGU wa mbinguni akukumbuke na kukulinda siku zote za maisha yako
lots of blessings and inspirational song... keep it up
Nakupenda sana
Kazi nzuri nimebarikiwa , e mungu baba najua uneza yote naomba neema ya kukuimbia kama ii
This Bonny Mwaitege is the master, what a song
very interesting song brother bonny
It's true that God is the one to be praised because no one like him
Kenya Naomba Muone Mziki wa ijili Sasa .......Na muache utani na Mungu Tafathali....Ndo Maana Tanzania imeaza kuwashida Kwa Kila kitu.Learn how worship God in truth and Spirit.Wacheni kucheza na Mungu Kenya ...Utamsifu Mungu aje na sheng..?? sio Kwamba Nachukua Inchi yangu Ila Napenda kusimamia kweli .♥️♥️♥️🙏.
Hii nyimbo inanibariki saan ak Mungu ni mwema ni yye pekee Wa kuabudiwa
Sending love from Zambia 🇿🇲💯
🥰😍🥰😍🥰😍
Thanks
Another one wow 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Powerful and deep insight song, hizi ndizo Mungu anapenda, hauchoshi upo rohoni hata watu wakifika stepu aloo ni raha tu kwa Mungu na wacha Mungu
Gloire à Dieu Éternel ❤🙏
Ubarikiwe na Bwana kwa nyimbo nzuri very touchable.
Thank you lord for give has amazing brother,God watch over you wherever you're my lovely people
Amen God bless you
Hakuna mwingine kama Yeye....Yehova jina lako lihimidiwe
Legend in gospel music ❤❤❤❤❤❤
Barikiwa sana Babaangu
Jaman huyu mtumishi anatubarki Sana MUNGu amwinue zaida❤
bro this on another level. hii lazima nipige cover💯💯💯
Ubalikiwe sana baba kweli hakuna kama wewe MUNGU wetu aliye hai
Amen nyimbo nzuri sana na ujumbe mzuri sana ubarikiwe mtumishi wa mungu
Wewe ni MUNGU
Jaman huyu mtumishi anatubarki Sana MUNGu amwinue zaida❤ 1:
Have listened to Bony's songs, but this one has taken all my mind, hongera sana kwa mwimbo wako hakuna mwingine, na ni kweli hakuna mwingine zaidi mungu wetu.
Style za mtumishi wa Mungu Bony mwaitege is so amazing 🎉🎉❤
Enyewe hakuna mwingine kama ww Mungu mtumishi ubarikiwe sana
Bwana aendelee kukutia nguvuu, bariwa kw kazi nzuri.
My favorite gospel artist who never disappoint
Honest simoni soka
MUNGU akulinde. Akutunze nyimbo zako zlnaugusa moyo wangu sana ubarikiwe sana mwaitege
Kwa Mungu yote yanawezekana,hakuna na hatatokea 🙏.
Duniani kote hakuna mwingine asifiwe muumba wetu 🙏❤️🥰
mungu a sifiwe
Malawi tunakupenda sana bony mwaitege endelea kutubaliki❤
Amina, barikiwa sana babaangu,naona kushukiwa na nguvu za MUNGU
Hallelujah hallelujah Amen 🙏 sifa na utukufu ni kwako Mungu
Nice song Mr Bonny Mwaitege,🎉🎉❤
wow Grace to Grace.. halellujah, from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i congrats,you man of GOD👏💕
My mentor always 🔥🔥🔥🔥 love this brother in faith ministry
Glory to God unaweza yote hakuna mwingine kama wewe🙏🙏🙏
Amen
BARIKIWA sana KWA UJUMBE HUU wenye NEEMA KUBWA amen
Upendo kutoka saudi arabia brother bony,Kenyans in Arabs countries we use to listen to your songs
Ubarikiwe sana na Mungu akuzidishie talanta uzidi kumtukuza Mungu be blessed
God ni mwema Bonny tunakupenda❤❤❤❤ you so much brother
Yale yasiyowezekana yanawezwa na wewe Mungu
Mung akulinde daimaa mtumish was mun🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Congo R.D.C ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu Amèn Amen
Yes no one like Jesus the lord
Kwel nyimbo nzur ya kusifu big up
Amen hakuna mungu kama mungu wa mbinguni
Hakika mtumishi wa Mungu ubalikiwe sana
Hongera sana Bonny Mwaitenge .....BARIKIWA
Duuuuu aseeeee" "kweli MUNGU anavyumaaaa, naikubali mnooo kalama ya mungu aliyokupa bonn angalia Sasa usijeukajiinua,, mungu atakushusha vby mnooo"" piga Kaz broo tunamujua mungu wetu kupitia ww
Bonge merod
Mtumishi kaz nzuri mungu akupe nguvu
Akuna mwingine kama wewe yesu,,
Hakuna kama mungu wetu.Amen Amen
None like you God Jehovah Hoseenu is your name
Amina hakuna mwingine kama yesu amina
Nakubari xna muzewakaz heshim kwabwan❤❤❤
Glória a Deus 🇦🇴
No one else like our God,,,,Thank You Lord for this far
Hakuna mwingine kama Yesu