Alhamdulillahi ! Alhamdulillahi ! Alhamdulillahi,baada ya kumshkr Mungu kwa kutujaalia "WANANCHI" kukupata kjn Eng Hersi pia niwashkr wazazi wako wawili kwa malezi mema kwako.Ww ni HAZINA/KIOO cha jamii.Wasamehe wale wote walikuita muhuni,Allah akulinde na jicho la husda.Yanga tukuenzi ili uzidi kutuenzi pia jamii ya Tz.,MashaAllah !.
Haya Jem - ed - ari huyo ndiye mhuni, msela ameingizia Taifa Dollar, watu wamefanya biashara, amesaidia wenye mahitaji maalum, na still Achraf will also be our one among Tz tourism representative, we Jem - ed - ari labda ulete mikia ya panya buku kutoka mtwara, kudadadek waache wenye akili wafanye kazi and the Govt has just appreciated what Hersi did nyie wachambuzi "Tutumbi" akina S.Jembe, Oruma, kaeni na majungu yenu, na ujinga wenu kwa gharama ya kupenyezewa "miteni" au "khamsumia" zinawavunjia hadhi na heshma ya kazi zenu.Big up my Predida Eng. Hersi bin Said.
Mungu akufungulie milango ya baraka Eng. Mgeni wako na club yetu ya Yanga. Siri ya mafanikio ipo Katia KUTOA. Waache wabeze, malipo hapahapa, watapigwa 10-0 msimu huu.😅😅😅😅
Tanzania is my place Chuga is my home Patandi is my home land ✓ thamani ya hela ni bilion moja yaani milion elfu moja .Ndio maana hawa huwa wanabarikiwa sana na Mungu kwa kusaidia watoto na jamii za africa na masikini
Lafudhi yako inaonesha unabusara na uwezo mkubwa wa kufikri ,ila upande wa pili wanadanganywa kila siku na hawabain ,leadership is accountability like you
Mm ni simba dam. Ila kwa iki aiseeeeh Mungu akulinde engner akika unastahili kabisa akika❤❤❤❤❤
Alhamdulillahi ! Alhamdulillahi ! Alhamdulillahi,baada ya kumshkr Mungu kwa kutujaalia "WANANCHI" kukupata kjn Eng Hersi pia niwashkr wazazi wako wawili kwa malezi mema kwako.Ww ni HAZINA/KIOO cha jamii.Wasamehe wale wote walikuita muhuni,Allah akulinde na jicho la husda.Yanga tukuenzi ili uzidi kutuenzi pia jamii ya Tz.,MashaAllah !.
m/mungu awabariki sana wote Ashraf Hakimi wa jina langu, Eng Hersi, na watu wote mlioshiriki na boss wa Wananchiiiiii ❤
Hongera sana Rais wetu eng. Heris Mungu azidi kukupaisha tu
Mungu akujaze pale ulikotoa
Hongereni watani muungu awabariki pamoja na mfazili wenu
😂😂😂😂
Mmh engineer unajua!! Mungu akuongoze! Waache wapate tabu. Mpaka waseme walisema muhuni sasa wanajua tu!!
Hakuna tabu hapo. Simba walileta Timu kutoka France Yanga wamemleta mchezaji mmoja tena Mwarabu kutoka Morocco😂😂😂
@@GibsonNtamamilonaona unateseka na uarabu, pole
Tulia kolo dawa ikuingie mleleta timu nyie au mzamini wenu wa mda ule ambae ni sports pesa akili huna 😂😂😂@@GibsonNtamamilo
@@GibsonNtamamilomimi sioni uwarabu wake huyu mwana ni muuni tu kaja kutowa msaada wake
@@GibsonNtamamilompumbavu mkubwa wewe, mchango wa Hakeem Kwa Taifa ni mkubwa kuliko hiyo timu iliyokuja
Hakimi legacy in patandi will last forever
Hizo ni jitihada binafsi za Rais wa yanga Eng Hersy wala sio jitihada za bodi ya utalii,,naona mnaanza kujimwambafy,,,
Safi sana
Saafii sn.hongera heris
Gud leadership hauna longolongo na ubabaishaji be yanga foreva na jenga uwanjani na namini tutabeba kombe la africa big brain no majungu
Haya Jem - ed - ari huyo ndiye mhuni, msela ameingizia Taifa Dollar, watu wamefanya biashara, amesaidia wenye mahitaji maalum, na still Achraf will also be our one among Tz tourism representative, we Jem - ed - ari labda ulete mikia ya panya buku kutoka mtwara, kudadadek waache wenye akili wafanye kazi and the Govt has just appreciated what Hersi did nyie wachambuzi "Tutumbi" akina S.Jembe, Oruma, kaeni na majungu yenu, na ujinga wenu kwa gharama ya kupenyezewa "miteni" au "khamsumia" zinawavunjia hadhi na heshma ya kazi zenu.Big up my Predida Eng. Hersi bin Said.
Mungu amjalie
Thank hakhim
Dankeschön
Mungu mwema sana
Mungu akufungulie milango ya baraka Eng. Mgeni wako na club yetu ya Yanga. Siri ya mafanikio ipo Katia KUTOA. Waache wabeze, malipo hapahapa, watapigwa 10-0 msimu huu.😅😅😅😅
Hongera sana raisi hersi kwa moyo wako wa kujitolea kwa wale wenye kuhitaji!!
😂😂😂😂😂😂
Safi
Timu ya Yanga raisi Mungu akupe nini uwe na moyo huohuo na watuwako
Eng Hersi ❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii ndio maana ya timu kubwa. Hongera sana Eng. Hersi
Yanga inahusika na Nini hapo? Acha ushamba ww msaada katoa ashraf sio yanga😅😅😅😅😅😅😅😅
Kwani kapelo huvaliwa wakati gani tz officials
Unaonekana unalakuongea umejuwaje hela yake inakaa mamaye kama siyo unafiki tu
Mpaka wasemeeee!!
Nime mwelewa kama eg
Mamake kamruhusu kutoa huo msaada maana mwamba hanaga hela pesa yake yote inatunzwa na mamake duh.
Yuchi kama yuchi😂😂😂😂😂
Asi sahau kutufundisha kusain 😂mali kw jina l mama
Nimesikia na wao wanasema watamleta Ronaldo 😂
Simba tulishafanya hayo mkiwa udingizini. Tulileta Timu kutoka France Yanga wamemleta mchezaji mmoja tena Mwarabu kutoka Morocco😂😂😂
@@GibsonNtamamilo 😂😂😂
MANGUNGU VS ENGINEER HERS 😂😂
Baadhi ya watz waliwasema vibaya hawa jamaa wakati wa kombe la dunia kwasababu Tu za propaganda za kijinga! Dah, asante mwamba Kwa msaada mkubwa
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎🎎🎎🎎🎎🇹🇿🇹🇿 yanga bingwa🕺🕺🕺
Tanzania is my place
Chuga is my home
Patandi is my home land
✓ thamani ya hela ni bilion moja yaani milion elfu moja .Ndio maana hawa huwa wanabarikiwa sana na Mungu kwa kusaidia watoto na jamii za africa na masikini
Wananjaa kweli uto
Fungu lakukosa tulieni dawa iwaingie, maana mmetulia kama mmepewa uhamisho kwenye hii nchi😂 Eng. Atawanyoosha sana na kuwatesa sanaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂 .
UTOPOLO FC WANAJUA KUJIPENDEKEZA...!!!
Ndio maana ukaitwa nguruwe fc, a.k.a fudenge akili zako kama kinyesi cha asubuhi.
uko na hii tuu akili ama ipo nyingine umeona mtoto Gani wa mfanyakazi wa yanga ukute wenu makolo ndo wengi apo palipotolewa msahada
@@malietamalieta9658 Akili nyingine aitoe wapi huyo hapo ndio mwisho wake, akili za waliofeli hizp asikuumize kichwa, looser fc.
Hakimi kaja mwenyw hajaletwa na uyo boya
Kwa hiyo! Kwanza kwa nini uteseke.?
Boya baba ako nyau we acha kutukana wakubwa zako
@@KhadijaKiwambu-qx8qhsafiii jibu zuriiii
Lafudhi yako inaonesha unabusara na uwezo mkubwa wa kufikri ,ila upande wa pili wanadanganywa kila siku na hawabain ,leadership is accountability like you