DAKTARI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU VIDONGE VYA P2/ADAI NI SUMU/WATOTO WA SHULE WANAZITUMIA SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Naomba unisaidie dawa nimetumia p2 ninamuda mrefu sijaenda naomba munisaidie
Inakuwaje mtu unatumia p2 halafu bado unashika ujauzito
Docta mm Nina swali, na kama ukitumia mara moja 2 Kuna athari Gani?
Sasa kama nimemeza P2 kabla ya masala 72 alafu mume akataka tena nafanyaje?
Mm nimemtumia vidonge vya uzazi WA mpango,nilipoacha ikazuka ugojwa WA kuishiwa na sukari,kuishiwa nguvu kidogo nife
Umeelekeza vizuri doctor
Sasa nikisha tumia p2 nitakaa masaa mangapi
Nikuulze kma ushatumie hio daw n imekuathiri unaeza pta daw za kushka ujauzito kwel
Unameza p2 vidonge vingap
Hata mmi naisikianga jamani😂😂
Daktari which is the best time to have a baby girl
Asante doctor mm nimetumia p2 mara 4 kwa mwezi,nikaona bada wacha nidunge depo,ni medunga march hadi huu mwezi wa sita nahisi tumbo lime jaa sana
Docta jekamaumetumia zaidi2 unawezakupata mtototena
Jamn Doctor hajajibu kuwa unaeza ukatumia baada ya mda gani ili kuepuka na hayo madhara
Nic
Ni somo zuri linatakiwa mabinti zetu waambiwe.shuleni
Mico, inatakiwa itumiki baada ya muda gani?
Kama uko na shindamo ya kupanga ya niaka tano imemaliza miaka 4 umebakisha mwaka waweza kupatia ujauzito
Je,na,kijiti
😅