ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Thanks brother my God bless you
Ukimeza p2 day ya Kwanza unaweza fanya tendo la ndoa before 72 hours kuisha🙏
Hiki anachokizungumza doctor ni sahihi mimi ni mhanga nilikuwa natumia kipind nasoma , nimehangaika sana kupata mtoto zaidi ya miaka 8 ya ndoa
Kwasasa unae mtoto
Icho kisauti kinakela banaa
Tumia na imenisalit maziwa yananiuma yamejaa na mate machungu na nilikunywa kabla ya masaa 72
Hiyo sauti jaman mliyo iweka nyuma disgusting😏😑😣😖
Iko vzr ila ukikosea kutumia lazima ikusaliti
Me nilitumia ndani ya saa moja baada ya tendo lkn nmeshika mimba
Nam yamenikuta sina ham nayo 😝😝
@@leilahhassanomary7189 jmn nkajua ni mm mwenyewe jmn staki kutumia P2 tena mm
Ivi ni kweli uwa inatokea
mmmh
Mmmh we acheni tu nyie😅😅😅😅 me sielew kabisa
Utajuaje kuw p2 inafany kaz
Pow
Mbona wanameza kwa xaa moja baada ya tendo na mimba zinatunga hii imekaaje doctor
ᵁⁿᵃⁱᵗᵘᵐⁱᵃʲᵉ ʰʸ ᵖ2 ᵘⁿᵃᵐᵉᶻᵃ ᵏʷᵃ ᵐᵃʲⁱ ᶻᵒᵗᵉ ᵐᵇⁱˡⁱ ᵃᵘ ᵛᵖ
Dah, huyo dada kakohoa hapo kanistua sana
Jmn hiyo sauti mnayoiweka kwa nyuma ina kera
utajuaje kama inafanya kazi baada ya kuimeza
ndo na Mimi nilitaka kujua inatumikaje kazi baada kumeza swali kweli inasaidiambona wanaongea kwakuficha maelezo lengine
Mnashahur watu kutumia mara ngapi kwa mwaka?
Me hata siijuwi hyo p2 🤔
Alaa😅😅
Niiice!!!
Inaitwaje ivo vidonge
p2 ukimaliza kumeza after tendo la ndoa na siku salama unaweza mbele yake unaweza Fanya tendo la ndoa
Zinauzwa 5000
Good Bro. Keep it up
Alaa so hakuna vile p2 inaweza lead to abortion?
We dada mbonge unaogea Sanaa
Kabla swali la Kwanza hajajibu mnauliza swali lingine mbona hamko systematic
Unafa kutokwa na damu wakati umemeza p2
Zinauzwa bei gani izo p2
5000
Tuleteeni madhara ya kutumia dawa yakupunguza ukubwa wamatiti dawa yakupaka au yakunywa
Dada unatumia daw ya kupunguza matiti au
sasa inaisha kwamda gani kutumika mwilini nqomba kujua
Inaisha Mda gani kutumika mwilini?
Masaa 72
Hizo dawa unakunywa moja baada ya nyingine ama zote kwa ujumla
Thanks brother my God bless you
Ukimeza p2 day ya Kwanza unaweza fanya tendo la ndoa before 72 hours kuisha🙏
Hiki anachokizungumza doctor ni sahihi mimi ni mhanga nilikuwa natumia kipind nasoma , nimehangaika sana kupata mtoto zaidi ya miaka 8 ya ndoa
Kwasasa unae mtoto
Icho kisauti kinakela banaa
Tumia na imenisalit maziwa yananiuma yamejaa na mate machungu na nilikunywa kabla ya masaa 72
Hiyo sauti jaman mliyo iweka nyuma disgusting😏😑😣😖
Iko vzr ila ukikosea kutumia lazima ikusaliti
Me nilitumia ndani ya saa moja baada ya tendo lkn nmeshika mimba
Nam yamenikuta sina ham nayo 😝😝
@@leilahhassanomary7189 jmn nkajua ni mm mwenyewe jmn staki kutumia P2 tena mm
Ivi ni kweli uwa inatokea
mmmh
Mmmh we acheni tu nyie😅😅😅😅 me sielew kabisa
Utajuaje kuw p2 inafany kaz
Pow
Mbona wanameza kwa xaa moja baada ya tendo na mimba zinatunga hii imekaaje doctor
ᵁⁿᵃⁱᵗᵘᵐⁱᵃʲᵉ ʰʸ ᵖ2 ᵘⁿᵃᵐᵉᶻᵃ ᵏʷᵃ ᵐᵃʲⁱ ᶻᵒᵗᵉ ᵐᵇⁱˡⁱ ᵃᵘ ᵛᵖ
Dah, huyo dada kakohoa hapo kanistua sana
Jmn hiyo sauti mnayoiweka kwa nyuma ina kera
utajuaje kama inafanya kazi baada ya kuimeza
ndo na Mimi nilitaka kujua inatumikaje kazi baada kumeza
swali kweli inasaidia
mbona wanaongea kwakuficha maelezo lengine
Mnashahur watu kutumia mara ngapi kwa mwaka?
Me hata siijuwi hyo p2 🤔
Alaa😅😅
Niiice!!!
Inaitwaje ivo vidonge
p2 ukimaliza kumeza after tendo la ndoa na siku salama unaweza mbele yake unaweza Fanya tendo la ndoa
Zinauzwa 5000
Good Bro. Keep it up
Alaa so hakuna vile p2 inaweza lead to abortion?
We dada mbonge unaogea Sanaa
Kabla swali la Kwanza hajajibu mnauliza swali lingine mbona hamko systematic
Unafa kutokwa na damu wakati umemeza p2
Zinauzwa bei gani izo p2
5000
Tuleteeni madhara ya kutumia dawa yakupunguza ukubwa wamatiti dawa yakupaka au yakunywa
Dada unatumia daw ya kupunguza matiti au
sasa inaisha kwamda gani kutumika mwilini nqomba kujua
Inaisha Mda gani kutumika mwilini?
Inaisha Mda gani kutumika mwilini?
Masaa 72
Hizo dawa unakunywa moja baada ya nyingine ama zote kwa ujumla