ELIE MPANZU NA JONATHAN ALUKWU UPI UTAKUA USAJILI BORA ZAIDI KWA SIMBA SC/UBORA NA UDHAIFU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Baada ya dili la Elie Mpanzu kuonekana kua gumu kwa upande wa Simba SC taarifa zinaeleza kua wekundu wa msimbazi wamehamia katika dili la kumsajili Jonathan Alukwu
Nyota anaekipiga katika kikosi cha Sporting Lagos ya nchini Nigeria
Heavyweight anatupitisha kufahamu ni nani bora kati ya nyota hawa wawili kulingana na ubora wao
lakini pia nani anafaa zaidi kusajiliwa na klabu ya Simba?
Kama unahitaji kuungwa kwenye Group letu la WhatsApp tuma ujumbe kuomba kuungwa kwa namba 0626629644 utapewa utaratibu wa jinsi ya kujiunga
Rais wa heshima kwa kuwa umehamua kuijenga simba mlete Elie mpanzu tuna kukubali.
Alukwu ni kiboko ni zaidi ya Mpanzu
Idadi ya WACHEZAJI wa kigeni mwisho ni 12, hadi Sasa Simba inawachezaji 11... Onana akienda Kambi misri watakuwa wamekamilika 12.
Mpanzu na Aluku inabidi atolewe Mchezaji mmoja au wawili.
Jamani hiyo michango ya kuongeza nguvu vipi tumlete mpanzu ?
Huyo mnigeria kwa simba atapata tabu maana simba ni timu kubwa mara nyingi inakutana na wapinzani wanabaki nyuma so tunahitaji winga anaeweza kufungua bus kama mpanzu imeshindikana ni bora wambakishe onana kama amekosekana mchezaji mwingine
Mwana unajua kichambua mpira kaka
Kwa maelezo na uchambuzi fasaha wa mtaalam Dulla Mpanzu ndo player wa kusajiliwa na Simba badala ya Jonathan
Naomba kuunganishwa na group la Simba pro
Tuna waombo viongozi wa simba watulete Elie mpanzu
Mpanzu ameshuti on target ngapi ooff target ngapi nani target man mzuri kati ya hao wawili
Hatuwez kuchukua mchezaji kwenye Timu imeshuka daraja no way
Elie mpanzu aje hata kwa michango yetu
Naomba kuunwa kwenye gupu lasima
Aje elie
Naomba kuugwa kwenye group la Simba pro
Viongozi tuletee Elia mpanzu Yani viongozi wetu Muna shindwa kumuleta Elia mpanzu kwa sababu ya milioni 600 viongozi wetu vunja benk tuletee Elia mpanzu mpila ni pesa acha kutuuzi sisi mashabiki
Jonathan alukwu aje
Naomba kuungwa kwenye Grouptla simba
Uyo onana muweke kwenye timu yako bishoo sanaa
@@NICOLAUSMHUMBIRA Onana amekujaje tena mkuu 😂😂
@@SimbaProSupporters bishoo anacheza na majukwaa sisi tunataka watu wa kazi kama elie mpanzu Jonathan ulukwu
@@SimbaProSupporters kuna mtu ali comment anamtaka onana
Kwa maelezo haya mpanzu ni mashine
Inategemeana ligi aliotoka ligi inaugumu gani kigezo usiangalie magoli
1:37
Naomba kuungwa kwenye group
Gwiji wa kandanda ya Afrika
Hiyo namba huwa ingoma kutuma sms
Naomba kuungwa kwenye group la SIMBA PRO
Elia mpanzu ndyo mchezaj anaetufaa simba tofauti na huyo twafa watemane na huyo mwingne wakomae tu na elia mashabik weng tunamwona ndy anafaa kuwepo msimbaz
Aje Elie mpanzu acheni brabraa
4:06