Asante ally kamwe mungu akubariki SSI yangu kwa neema ya mungu tunabarikiwa wamefanya Kila namba kivuruga yanga wameshindwa ssa wamejileta adharani kusema ukweli tutawaroga tutawahonga marefanamambo mengi tunawahangalia SSI mungu anatusaidia
Hahahah wajinga wametafuta na kupata Leo hii Ali kamwe anawachafua nyie wachambuzi kabla hamjafanya jambo fikirieni yanga wanaviongozi mashuhuri weledi na wenye mzimamo poleni pia fahamuni akienda kule anaenda kusugua Benji kama kipindi kile Chama na Tk master
Yanga waliona mbali sana kumchukua Ally SHABANI Kamwe kua msemaji,
He is much much talented on speaking
Much life on Yanga broo🎉
Ally Kamwe nimekuelewa sana bro nami nimeliona hilo acha mwakalobo aendelee na mambo yake
Sahihi sana na ni zaidi ya kipindi Cha Mayele na naamini Mayele pia anaitamani Yanga Africa
sana leo ndo nmegundua ally ana akil san young mko smart
Sawa kabisa ...wape hiyo
Asante ally kamwe mungu akubariki SSI yangu kwa neema ya mungu tunabarikiwa wamefanya Kila namba kivuruga yanga wameshindwa ssa wamejileta adharani kusema ukweli tutawaroga tutawahonga marefanamambo mengi tunawahangalia SSI mungu anatusaidia
Unaongea vizuri sana dogo, nakuelewa Ally Shaban Kamwe
Kweliiii kabxaaa
Kweli kabisa
Wape vidonge vyao 😅😅😅😅😅😅
Mzize kwakwenda ni timu za ulaya sio Africa tena itakuwa zalau kwetu nakwake
Ulaya kivipi kwa kipaj kipi
@@ilynpayne7491 kwani sanogo WA aseno ulimjua alikuwa na kipaji gani ambacho mzize Hana muda ungine ni Taifa wanalotoka sio kipaji tu
Ally achana na hao wachambuzi maandazi🎉🎉🎉🎉
leo umeongea msimamo wa timu nimependa
Sawa kabisa semaji wape za uso
😂😂
Jmn nani kamkwaza msemji wetu lkn ameongea kwahisia kali
Ina onekana mwiba umechoma ndipo.
Unabweka kama huna meno mdomoni, Acha inyeeshe, tutaona panapovuja, shenyang type, madeni fc.
Dube sio mtu wa kumtegemea injury kila siku
Mwamba kachafukwa😂wape makuvu,nyambafu hao🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
Wanafiki kitoka madunduka km wanataka food way dad wamchukue mukwalaaa
Eti ukija kupigwa 5 unasingizia watu 😂😂😂😂
Mwenye swali la nyongeza?
aweh ukweli mtupu
Hawa niwa chambuzi wa matembele
Wape dawa yao wapone huwo ugonjwa wao
Wambie hawo wasiyo elewa et😅
Wakate vilimilimi vyao wachambuzi uchwara
Makolo mnasemaje na sisi ndio Tanga,msemaji wetu umesema ukweli Tanga tuna ndoto kubwa kweli za kupambana na virabu kama ariahali baba
TATIZO WATANZANIA BADO WANAWABABAIKIA WAARABU.
😂😂😂😂😂
Hahahah wajinga wametafuta na kupata Leo hii Ali kamwe anawachafua nyie wachambuzi kabla hamjafanya jambo fikirieni yanga wanaviongozi mashuhuri weledi na wenye mzimamo poleni pia fahamuni akienda kule anaenda kusugua Benji kama kipindi kile Chama na Tk master
😂😂😂😂😂😂