Mazungumzo na Wamama Wakaazi wa Ngomeni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ค. 2024
  • 0:00 | Mwanzo
    2:35 | Umuhimu wa Utafiti
    3:42 | Taratibu Za Mwana akizaliwa
    6:21 | Nyimbo za sherehe Mwana akizaliwa
    6:52 | Mtoto Kutahiriwa
    7:12 | Shendea
    8:08 | Mama mwenye mimba
    11:26 | Mwana akilewa
    14:34 | Mtoto Kutahiriwa
    15:02 | Taratibu kabla ya Ndoa za wabajuni
    17:31 | Sherehe wakati wa harusi
    18:35 | Nyimbo na shairi wakati wa Kunyoza
    21:23 | Mpangilio wa harusi
    23:49 | taratibu mtu akifa na mashairi
    27:41 | sherehe wakati wa kulima
    30:29 | Mfano wa randa
    31:59 | sherehe wakati wa kuvuna
    33:30 | majirani
    36:29 | umuhimu wa
    38:33 | Kushua: sherehe ya Kuunda chombo
    43:39 | majina ya Kike ya jahazi
    44:20 | Nsorio Sherehe za wavuvi
    46:34 | wimbo a Vugo
    48:38 | kufananisha nyimbo za kibajuni
    49:35 | Kazi za wabajuni
    50:33 | Shairi wakati wa Kupatha
    52:06 | Kudhanya: Kazi ya upishi
    54:44 | Kazi nyinginezo:Madondoni, ntimbi
    56:37 | Athari za dini kwa wabajuni
    58:30 | nyimbo za kupemba mwana
    1:20 | shairi
    5:07 | methali na vitendawili
    6:36 | dini ya wabajuni
    8:13 | kufunza maadili mema
    9:26 | kusuluhisha
    11:50 | tamati
    12:17 | nyimbo zingine

ความคิดเห็น • 3

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 หลายเดือนก่อน

    Utamaduni wetu old is gold

  • @mohammedkombo4591
    @mohammedkombo4591 หลายเดือนก่อน +1

    Kutahiriwa kwa udogoni ni mabadiliko,tunaweza kusema ni modern Bajuni culture.
    Lakini zamani ilikuwa mtoto nimpaka afika miaka kumi na nne mpaka kumi na sita.
    kwa sababu tatu,moja ndio mtoto hata weza kulala na mwanamke kwasababu atakuwa aona haya vile hajatahiriwa na ni aibu.
    pili nimtoto aweze kusikiza uchungu iwe nifunzo la kuvumilia uchungu wahali ya juu,sababu hakukuwa na kufisha.
    Tatu ilikuwa ndio njia ya kuweza kumwelewa kama huyu mtoto ataweza kuvumilia uchungu ama hataweza ndio anajulikana kama ataweza kupewa majukumu yanayo hitaji uvumilivu,na ndio pia kujulikana kama atakuwa shujaha ama hatakuwa shujaha.
    Mimi nilitahiriwa nikiwa miaka kumi na nne nikapitia hii ritual.

  • @mahabubamahabuba714
    @mahabubamahabuba714 26 วันที่ผ่านมา +1

    kwamajina haa'ah
    sikibajuni kibajuni ni ina langu ni fulani sio kwa majina naitwa fulani