Mazungumzo na Wamama Wakaazi wa Ngomeni
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ค. 2024
- 0:00 | Mwanzo
2:35 | Umuhimu wa Utafiti
3:42 | Taratibu Za Mwana akizaliwa
6:21 | Nyimbo za sherehe Mwana akizaliwa
6:52 | Mtoto Kutahiriwa
7:12 | Shendea
8:08 | Mama mwenye mimba
11:26 | Mwana akilewa
14:34 | Mtoto Kutahiriwa
15:02 | Taratibu kabla ya Ndoa za wabajuni
17:31 | Sherehe wakati wa harusi
18:35 | Nyimbo na shairi wakati wa Kunyoza
21:23 | Mpangilio wa harusi
23:49 | taratibu mtu akifa na mashairi
27:41 | sherehe wakati wa kulima
30:29 | Mfano wa randa
31:59 | sherehe wakati wa kuvuna
33:30 | majirani
36:29 | umuhimu wa
38:33 | Kushua: sherehe ya Kuunda chombo
43:39 | majina ya Kike ya jahazi
44:20 | Nsorio Sherehe za wavuvi
46:34 | wimbo a Vugo
48:38 | kufananisha nyimbo za kibajuni
49:35 | Kazi za wabajuni
50:33 | Shairi wakati wa Kupatha
52:06 | Kudhanya: Kazi ya upishi
54:44 | Kazi nyinginezo:Madondoni, ntimbi
56:37 | Athari za dini kwa wabajuni
58:30 | nyimbo za kupemba mwana
1:20 | shairi
5:07 | methali na vitendawili
6:36 | dini ya wabajuni
8:13 | kufunza maadili mema
9:26 | kusuluhisha
11:50 | tamati
12:17 | nyimbo zingine
Utamaduni wetu old is gold
Kutahiriwa kwa udogoni ni mabadiliko,tunaweza kusema ni modern Bajuni culture.
Lakini zamani ilikuwa mtoto nimpaka afika miaka kumi na nne mpaka kumi na sita.
kwa sababu tatu,moja ndio mtoto hata weza kulala na mwanamke kwasababu atakuwa aona haya vile hajatahiriwa na ni aibu.
pili nimtoto aweze kusikiza uchungu iwe nifunzo la kuvumilia uchungu wahali ya juu,sababu hakukuwa na kufisha.
Tatu ilikuwa ndio njia ya kuweza kumwelewa kama huyu mtoto ataweza kuvumilia uchungu ama hataweza ndio anajulikana kama ataweza kupewa majukumu yanayo hitaji uvumilivu,na ndio pia kujulikana kama atakuwa shujaha ama hatakuwa shujaha.
Mimi nilitahiriwa nikiwa miaka kumi na nne nikapitia hii ritual.
kwamajina haa'ah
sikibajuni kibajuni ni ina langu ni fulani sio kwa majina naitwa fulani