Habari kaka Joel. Mimi ni Ismail Mathias, mwanafunzi kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam. Pia ni Rais wa Dar es salaam University Agribusiness and Natural Resources Economics Association (DUANEA). Nimejaribu kutafuta nimeshindwa kuwasiliana nawe. Naomba kuwasiliana nawe.
Habari ya kazi kiongozi, naomba nikupongeze kwa kazi nzuri ya kuelimisha jamii, ninabarikiwa sana na masomo yako, hasa somo linalofundisha jinsi ya kuishi na mabosi wakolofi
Nimejifunza kitu kupitia video hii Ahsante sana kaka kwan vitu vingi nilikuwa sivijui namuomba Allah akuongoze katika haki uingie katika dini ya uislamu🤲🤲
Kukaa kwenye siti husika bila kuluhusiwa na baada ya kuluhusiwa kukaa ,muhusika anaye fanyiwa interview kuto kukaa kinidhanu kukunja nne kukaa kwa kuegemea yaa kukaa ki boss 😂 nazan hizi nazo ni changamoto tunakosa unyenyekevu na utulivu.
Waliokuja hapaa baada ya ajira za utumishi afyaa likes na comment😊😊
Shukrani bradha kwakutulisha chakula cha ubongo hakika najivunia sana kufuatilia video zako
Mkuu Shukrani sana kwa kutuelimisha madini haya adimu.
May God bless you abundantly. 🙏
Nimejifunza sana
Habari kaka Joel. Mimi ni Ismail Mathias, mwanafunzi kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam. Pia ni Rais wa Dar es salaam University Agribusiness and Natural Resources Economics Association (DUANEA). Nimejaribu kutafuta nimeshindwa kuwasiliana nawe. Naomba kuwasiliana nawe.
Habari ya kazi kiongozi, naomba nikupongeze kwa kazi nzuri ya kuelimisha jamii, ninabarikiwa sana na masomo yako, hasa somo linalofundisha jinsi ya kuishi na mabosi wakolofi
Nashukuru sana
Nimejifunza kitu kupitia video hii Ahsante sana kaka kwan vitu vingi nilikuwa sivijui namuomba Allah akuongoze katika haki uingie katika dini ya uislamu🤲🤲
God bless you my brother 🙏
Shukran 📚📚📚📚 shukran Ndugu Nan 🎙️,......
Pongezi sana Kaka MUNGU akubariki kwa vitu adimu mm naomba kuongeza Jambo mmoja kwenye interview kuwa smart kutokana Jambo husika ex.usafi wa nguo nk.
Thankyou you are a good teacher
Nimejifunza Jambo muhimu Sana mungu akubaliki sana
Myself appreciating u Mr Joel
Unenifunz
The way of people dressing 👆
Safi xana kaka darasa zury xana tumepata mafunzo
Hongera saana kwa hii video
Sms Delivered,, Ila Umenivunja Mbavu Dah!!🤣🤣🤣,, Eti Yale Maskrepa,, Mara Yale Madawa Hakika Vijana Unatutoa Gizani Bro Shukrani
Ase nimekupata mkuu shukrani
Asante sanaaa🎉
Kukaa kwenye siti husika bila kuluhusiwa na baada ya kuluhusiwa kukaa ,muhusika anaye fanyiwa interview kuto kukaa kinidhanu kukunja nne kukaa kwa kuegemea yaa kukaa ki boss 😂 nazan hizi nazo ni changamoto tunakosa unyenyekevu na utulivu.
Asante kaka
Thanks
Aiseeh najifunza sana nashukur Hakika nimepiga hatua kwa Iman
sahii kabisa
Sawa
Mungu akbariki kaka
Asnte sana kaka
#JoelNanauka Jenius by Discovery
Makosa mengine ni muonekano katk mavaz
Majeneza🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 okay
Somo zuri Coach🙌
😂😅😅
😂Hapo kweny kuongea na simu hapo
😂😂😂😂😂😂😂majeneza, scrapers, monchwari😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤷 𝐩𝐫𝐨𝐦𝐨𝐬𝐦