#Live

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 24

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 7 วันที่ผ่านมา +3

    Vizuri kijana wangu, Hekima umeumbiwa nayo Go on!

  • @NissanGahaya
    @NissanGahaya 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kaka wape vidonge vyao

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n 7 วันที่ผ่านมา +2

    Mwimba taarabuwa makolo

  • @user-fr3xi3xm4j
    @user-fr3xi3xm4j 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mwamba uko vizuri

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n 7 วันที่ผ่านมา +1

    Tutawanyooosha haswaaaaa

  • @rairaime4953
    @rairaime4953 7 วันที่ผ่านมา +3

    Awa ndio mashabiki awaendi mpirani hadi Simba na Yanga

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 7 วันที่ผ่านมา

      Kwa nini,wewe mbona hujielewi...

  • @McKajiwe-kh3bd
    @McKajiwe-kh3bd 6 วันที่ผ่านมา

    Kaka upo vzr,lkn hapo kwenye ndoa unakosea,kupata mtoto ni zawadi toka kwa Mungu na c uwezo wa wana ndoa!.

  • @peterchande957
    @peterchande957 7 วันที่ผ่านมา +3

    Gamondi yuko juu sana

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ni . Kweli usiopingika mkubwa akijamba husingiziwa mdogo na mdogo akibisha mikwaju humuandaama

  • @fabianimbilinyi3787
    @fabianimbilinyi3787 6 วันที่ผ่านมา

    Makolo pokeeni ushali musijitie ujuaji

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga 7 วันที่ผ่านมา

    Kaka unaongea vizuri lakin hutoeleweka kwakuwa umevaa nguo ya mabingwa(Yanga)
    😅😅😅

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 5 วันที่ผ่านมา +1

    Uwa napenda kkusikiliza upo makini dogo

  • @rairaime4953
    @rairaime4953 7 วันที่ผ่านมา +4

    Uyu ni mpumbavu sana ajui mpira nini zungumzia timu yako icho ndio muhimu kwasababu ata yanga kuchukua ubingwa amecheza na timu nyingi tuu zote ziheshimiwe

    • @user-eg9jq5ny3n
      @user-eg9jq5ny3n 7 วันที่ผ่านมา +2

      Hujielewiiii

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 7 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndio mjinga, ukisikiliza hapo huyo unayemuita mpumbavu, anayatoa kichwani? Ulitaka akiulizwa akatae kujibu?

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 7 วันที่ผ่านมา

      Hata ww nimpuuzi illa hujielewi

  • @IBRAHIMKAIRA
    @IBRAHIMKAIRA 7 วันที่ผ่านมา +2

    Achen uongo amna helaya kumsajili chma

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 วันที่ผ่านมา +1

      Hii comment yako inapelekwa maktaba ... Tutakukumbusha

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 7 วันที่ผ่านมา

      Kwani chama analipwaaa bilioni ngapi na madunduka ili ashindwe yanga

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 วันที่ผ่านมา

      @@daudkhatib-qn5tr Mwambie chama tyr ameshawasili jangwani Tena kwa tsh 0.0009 za tz ...... Chama alishaaga mapema kwamba anahama udundukani 🤣 na tyr amefika jangwani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 วันที่ผ่านมา

      Mwamba kitambo tu yupo jangwani wewe unasemaje au mpk uambiwe na mangungu 🤣🤣

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mpumbaavu hajuwi hata khoji mtuu