CHANGAMOTO ZA MAKARANI WA SENSA 2022 HAIPENDEZI KUWAJIBU HOVYO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2022
  • #sensa2022watunamakazi
  • ตลก

ความคิดเห็น • 521

  • @eastermbiku2763
    @eastermbiku2763 ปีที่แล้ว +23

    Hajra mmependeza kama kiongozi kweli ❤👍

  • @paulmbwilo6477
    @paulmbwilo6477 ปีที่แล้ว +8

    Dada Hajra you look so beautiful

  • @mgoswandimalushoto3204
    @mgoswandimalushoto3204 ปีที่แล้ว +11

    Makalani mwakauu mtamaliza sensa mkiwa mmechoka sana

  • @fredricksangu3902
    @fredricksangu3902 ปีที่แล้ว +9

    Umetisha mr Steve 🔥🔥

  • @hashimmac4032
    @hashimmac4032 ปีที่แล้ว +38

    Mmetisha Sana maafisha wa Sensa big up Sana nawakubali mnajua aisee all the way from Qatar representing +254

    • @rhobinaomondi6042
      @rhobinaomondi6042 ปีที่แล้ว +5

      More lov from 254

    • @manyaraboy
      @manyaraboy ปีที่แล้ว +4

      From Tz home loving friends

    • @hashimmac4032
      @hashimmac4032 ปีที่แล้ว +1

      @@manyaraboy ausio bloody 💪

    • @hashimmac4032
      @hashimmac4032 ปีที่แล้ว +1

      @@rhobinaomondi6042 yeah yeah 254

    • @donmoofmmawaidhaaudio4508
      @donmoofmmawaidhaaudio4508 ปีที่แล้ว +2

      Angalia Nasheed Nzuri 👇❤..
      th-cam.com/video/keekDotg4uM/w-d-xo.html

  • @omartwahir7859
    @omartwahir7859 ปีที่แล้ว +6

    Huyo madam mwenye kidoti namkubali sana wallahy, natokea kenya

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 ปีที่แล้ว +16

    Nyie dada mumependeza 💯✍️

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 ปีที่แล้ว +12

    Hahahahaaaa🤣🤣🤣 konkara ety yanga wametoa suti. Lakini mmeupiga Mwingi Sana 🙌🏼🙌🏼👏🏼👏🏼

    • @habibajuma4343
      @habibajuma4343 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @tizanochieng9918
    @tizanochieng9918 ปีที่แล้ว +11

    Napenda cinema zenu

  • @bahinwamlumba1233
    @bahinwamlumba1233 ปีที่แล้ว +2

    Kitu kizuri amna sehemu zingine steve Mbona umetukatia ladha

  • @blessjacob9196
    @blessjacob9196 ปีที่แล้ว +30

    Unaitongoza serikali utaweza kuilisha😂😂😂😂😂

  • @ibongyaebuchajosias6182
    @ibongyaebuchajosias6182 ปีที่แล้ว +5

    Yani sensa iyi jameni kali😂😂muje mutuhesabu nasisi Congo 🇨🇩 angalaho ata uku Bujumbura 🇧🇮

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 ปีที่แล้ว +3

    Wallah kidoti kapendeza sana na hizi nguo

  • @aburetalreginaelias2919
    @aburetalreginaelias2919 ปีที่แล้ว +8

    Nimeipenda 😀😀😀

  • @tanfredmichael1777
    @tanfredmichael1777 ปีที่แล้ว +2

    Iko vizuri sana, ni kweli changamoto nyingi lakini Kwa semina walizopewa makarani imewasaidia Kwa asilimia kubwa

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash535 ปีที่แล้ว +16

    Dada ambae ako n kidoti amefanana n mama Samia yaani amependeza utasema wafanya kazi 🏦💯✍️ congratulations nyote kazi nzuri sana

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman5816 ปีที่แล้ว +16

    Hahaha 🤣🤣 Much love,ni Mohammed from Kenya

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud ปีที่แล้ว +20

    Kwakweli kama ndio hivi hao makarani wapewe ulinzi

  • @joshuandaki8077
    @joshuandaki8077 ปีที่แล้ว +3

    kidoti huyo😍👌

  • @mabiormajokakol1635
    @mabiormajokakol1635 ปีที่แล้ว +14

    Nimecheka Sana 😂😂. Much love ❤️ from South Sudan 🇸🇸🌚 (Sudani kusini 🇸🇸💪)

  • @felistabalori5287
    @felistabalori5287 ปีที่แล้ว +13

    Eti kwa chibu , unataka zuchu akutungie nyimbo

  • @Halimamaere
    @Halimamaere ปีที่แล้ว +14

    Steve jaman mkalii kwa kweli tulia uesabiwe😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nicklambertin1669
    @nicklambertin1669 ปีที่แล้ว +11

    Daaah jamaa kaniacha hoi sana eti kwan yanga wametoa na suti 🤣🤣🤣🤣

  • @maherzain615
    @maherzain615 ปีที่แล้ว +3

    Mama hajra penda ww sana

  • @ibrahimharfani4180
    @ibrahimharfani4180 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa Hii idea

  • @mariamonorberto920
    @mariamonorberto920 ปีที่แล้ว +7

    Nimecheka kwa sauti jamanii Njenga hapaa In Mozambique Montipuez 🔥🔥🔥🔥

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 ปีที่แล้ว

      Sensa imeleta ajra kiaina kwenu ze komedi, big up sana, mnatuchekesha na miaka ya kuishi inaongezeka.

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 ปีที่แล้ว

      Sensa imeleta ajra kiaina kwenu ze komedi, big up sana, mnatuchekesha na miaka ya kuishi inaongezeka.

  • @wananchitv8690
    @wananchitv8690 ปีที่แล้ว +18

    Mi nampenda tu Hajra wangu❤️❤️❤️

  • @telesiakaovera4381
    @telesiakaovera4381 ปีที่แล้ว +5

    Elfu mbili nakumi nambili walitu dakika Kumi tu.kwakaya lakini kwamwaka huu wanatumia massa mawaili kwakaya moja

  • @highburyautoglass5845
    @highburyautoglass5845 ปีที่แล้ว +3

    Noma sana nimecheka mpaka basis😳🙉🙈

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 ปีที่แล้ว +4

    Hahaha Mmetixha Sanaaa

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 ปีที่แล้ว +2

    Mumetisha sanaaa sio Poa

  • @engisack9610
    @engisack9610 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana huyo madam mwenye trouser ya red ni mrembo sana Eng Kivugo from Nairobi Kenya 🇰🇪 💖

  • @pascalkashiya78
    @pascalkashiya78 ปีที่แล้ว +2

    kazi nzuri sana

  • @gastorykanuth3191
    @gastorykanuth3191 ปีที่แล้ว +9

    🤣🤣🤣hii nimeipenda zaidi ya zote

  • @bobelichi7721
    @bobelichi7721 ปีที่แล้ว +7

    Anaiita serikali Madenge😂🤣🤣🤣🤣

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 ปีที่แล้ว +3

    Nimecheka sana leo

  • @agnesmngandi6569
    @agnesmngandi6569 ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂😂stev mbavu zangu..lkn stev nyoa izo nywele zmektoa vibaya

  • @mustafabar-han7467
    @mustafabar-han7467 ปีที่แล้ว +3

    Ahhhhaahha Steve wa helaaaaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 ปีที่แล้ว +3

    Jamani kama ndo hivyo poleni sana makarani mnapitia changamoto nyingi na kubwa sana

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 ปีที่แล้ว +8

    Kiongozi wenu wa mtaa...eti mara ya mwisho alikamatwaga na ungo kaachaga mazoea nae... ..🤣🤣🤣🤣 atariii .. Sensa ni pasua kichwa yooo...

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 ปีที่แล้ว +3

    Konkara...Eti Bado Mbichiiii🤣🤣🤣😂😂😂 Eliudi Mzee wa yanga kumbe wametoa suti...😁😁😁😁😁 Shaulini...Stivu Mweusi Na Hao Wadada...🔥🔥💥💥Daaah ila Sensa 2022🇹🇿 Ni Bonge La Changamoto

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 ปีที่แล้ว +2

    Nimecheka sanaaaa

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂mna weza sanaa 💯🔥🔥

  • @herifilms
    @herifilms ปีที่แล้ว +11

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kazi wanayo,..huenda wakawemo watu wa ovyo kama akina steve😂😂😂😂

  • @abasimhmdabasi1643
    @abasimhmdabasi1643 ปีที่แล้ว +1

    mko vizur nmepend hamnaga mbovu

  • @kisimachamovemixzadjmackdj1555
    @kisimachamovemixzadjmackdj1555 ปีที่แล้ว +4

    Yanga kumbe wametoa na suti😄😄

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣🤣🤣eeeeiah hii noma sana ati kukula kwani kuna waluyha tz pia n bboy Melvo hapa kutoka kenya 🇰🇪

  • @bobelichi7721
    @bobelichi7721 ปีที่แล้ว +14

    Mwenye kipara anasema jamaa ana jina baya ndiomaana alikuwa ataji 😂😂😂

  • @rasmbegu
    @rasmbegu ปีที่แล้ว +7

    Heshima kwenu nimecheka sana

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Eliudi kwa kweliiiiii kazi njema

  • @Emmanuel-tp4oj
    @Emmanuel-tp4oj ปีที่แล้ว +5

    Kama sensa ya leo ikaenda ivo itakua changamoto

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 ปีที่แล้ว +3

    Dah! Mmetisha sanaaa🤣🤣🤣

  • @usherson2088
    @usherson2088 ปีที่แล้ว

    Steve noma nataman kushut na wew brother

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 ปีที่แล้ว +3

    hajra usivae suruali mana unanitamanisha

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 ปีที่แล้ว +6

    Eliud umenishinda tabia 🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 ปีที่แล้ว +6

    Kwa mtindo huu nyumba 2 tu hutamani kuendelea maana hatari Sana.

  • @patrickchingenya2773
    @patrickchingenya2773 ปีที่แล้ว

    Aisee mmetisha sana

  • @luluadam3086
    @luluadam3086 ปีที่แล้ว +10

    Nyie nmecheka kama cna akili nzuri 😂😂😂😂😂😂

  • @ananiamaduke2655
    @ananiamaduke2655 ปีที่แล้ว +3

    Yombo msenge kweli

  • @raphaelnyigo8740
    @raphaelnyigo8740 ปีที่แล้ว +7

    😂😂😂😂😂😁😁😁 mwamba anaitaka serikali

  • @venerandakiondo6182
    @venerandakiondo6182 ปีที่แล้ว +3

    Si Noah mwakalinga huyu jmn😂😂😂😂😂

  • @user-fy7ot6bz6l
    @user-fy7ot6bz6l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Unaitongoza serikali😂😂

  • @KelvinGautu
    @KelvinGautu ปีที่แล้ว

    Nimeipendaa iy9o

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 ปีที่แล้ว +3

    Eliudi nimekuona na suti ya Njano hahahaaa,,,,kijana wangu utakuja kunivunja mbavu

  • @emmydaizo90
    @emmydaizo90 ปีที่แล้ว +1

    Mwaka huu nimecheka mno, jamani mnanifurahisha sana

  • @joyqgk3262
    @joyqgk3262 ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂"mi siongei n misukule"😂😂😂🔥

  • @erickmuema2393
    @erickmuema2393 ปีที่แล้ว +1

    Siongei na misukule hapo noma jo!!!

  • @hasanimwalamihasanimwalami8522
    @hasanimwalamihasanimwalami8522 ปีที่แล้ว +4

    ماشاءالله

  • @Manpaul_tz
    @Manpaul_tz ปีที่แล้ว +5

    Eriud unavituko sana 🤣🤣🤣👍👍

  • @yasinmwesoswe6713
    @yasinmwesoswe6713 ปีที่แล้ว

    Hamuwezekani👍👍👍

  • @stamiliomary2671
    @stamiliomary2671 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha hi noma sana kumamake Kuna hatali Kubwa sana kwamtaa

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l ปีที่แล้ว +4

    Mmetisha waandishi😄😄dah kaka ana mapoziiii

  • @feli6manangu182
    @feli6manangu182 ปีที่แล้ว +4

    Steve unalilia nini 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaaa kweli kazi na dawa nimecheka sana

  • @abdulimajidi5110
    @abdulimajidi5110 ปีที่แล้ว +2

    Kwetu kabsa uswhilin yombo1

  • @taibually2791
    @taibually2791 ปีที่แล้ว +2

    Hatari na nusu

  • @stevenstevengerrardjohn7208
    @stevenstevengerrardjohn7208 ปีที่แล้ว +6

    🤣🤣😂😂😂😂 eti na vibwengo vinahesabu watu 🤣🤣🤣😂😂😂 daaaah Sensa ni noma

    • @ashuiddy9322
      @ashuiddy9322 ปีที่แล้ว +1

      Et amejuaje kama ww no kibwengo 🤣

  • @galachagalacha1808
    @galachagalacha1808 ปีที่แล้ว +2

    Ngoja kwanza nicheke siwaelewi

  • @paschalraphael4228
    @paschalraphael4228 ปีที่แล้ว +3

    Ninjaaa😆😆

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 ปีที่แล้ว +2

    Eti kumbe yanga wametoa suti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa saunti jmn meweza na meweza tenaaaa😅😅😅😅

  • @husnaalrwahi7864
    @husnaalrwahi7864 ปีที่แล้ว

    Hongerani sana

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 ปีที่แล้ว +8

    Mmmmhh majina tena huu mtaha unawachawi wanaweza wakapita na weee😂😂😂😂😂😂

  • @benjaminmaryson5580
    @benjaminmaryson5580 ปีที่แล้ว +1

    Tuntufya Master😂😂😂

  • @bahinwamlumba1233
    @bahinwamlumba1233 ปีที่แล้ว

    From Atlanta Georgia

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 ปีที่แล้ว

    Ehehe Steven nomaa

  • @aliceshija3123
    @aliceshija3123 ปีที่แล้ว +2

    Dah atar sana😂

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 ปีที่แล้ว +4

    Hajra kaendana na uharisia Ila uyu Dada mwengine yupo kama shangingi hizo nywere alizosuka Ila naye yupo kwenye uharisia coz yupo kama mdangaji umo

  • @Halimamaere
    @Halimamaere ปีที่แล้ว +12

    Nawapendagaa guys 😘😘😘😘mumetulia kimavazi ya sensa adii munapaswa kupewa iyo kazii kwa sas❤❤

  • @jennethmaleho198
    @jennethmaleho198 ปีที่แล้ว +13

    🤣🤣🤣😅 Steve talented sana na minywele yake hovyohovyo

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 ปีที่แล้ว +3

    Poleni watu wasensa mnapitia mazito jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omarmussa7654
    @omarmussa7654 ปีที่แล้ว

    Nimecheka sana

  • @omante194
    @omante194 ปีที่แล้ว +4

    Nimecheka kifara 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Emmanuel-tp4oj
    @Emmanuel-tp4oj ปีที่แล้ว

    Mmmh mmetisha

  • @yahayaramadhani3653
    @yahayaramadhani3653 ปีที่แล้ว +6

    Kwahii kazi ndo maana jana hatujahesabiwa makaran wanapotezewa muda mwingi kwa kaya 1

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 ปีที่แล้ว

      Kutwa nzima karani anapitia nyumba 9-12 sijui lini zoezi litaisha inaweza maliza majuma mawili. Sijui ni plan ya kuongeza malipo yawe juu?

  • @sadatisabihi3818
    @sadatisabihi3818 ปีที่แล้ว +5

    Hahaahahahahah nyie hii kazi ngumu bora sijapata Ahahahahah

  • @ellybonke2023
    @ellybonke2023 ปีที่แล้ว +2

    Eliud ni hatari na stivuu

  • @mcmnago5544
    @mcmnago5544 ปีที่แล้ว +1

    kubwa lina deka

  • @finiaskalist747
    @finiaskalist747 ปีที่แล้ว +2

    Kkkkkk daaah huyo mwamba wa koti la jeans kauwa sanaa eti naongea na watoto wazuri siongei na vinyago

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 ปีที่แล้ว +2

    Et unaibusu serikali😂😂😂😂

  • @josephkulwa225
    @josephkulwa225 ปีที่แล้ว

    Nakubali sana