Yani hizi silaha zilizo lentwa madhumuni yentu ni ya juuu kimataifa, na kumpiga mganga mvaaa nyekundu ndani inje kama ujuwi kusoma bas tazama hizi picha,
WAPIIIIIIII SKUDU WETU, Mchezaji mwenye furaha wakati wooooooote? jamaa apewe maua yake, haoneshi utofauti hata kama akae benchi muda gani, na hii ndio maana halisi ya kuwa matured katika soka....kama niko sawa wana YANGA nipeni maua yanguuuu😆
Yan cjafaham yanga haswa wamedhamiria nn mara hii? Naona usajili kwakweli ni shuhuli haswa, huyu Duke Abuya nahic alikua star kweny timu yake na yule goli kipa wa ihefu ni balaa jengine na chama ndie staring wa simba kwa miaka yote yan bado nawaza kama mzee Said itakuaje hii move
Kama umemuona BALEKE Kuanzia Sekunde ya 44 Gonga Like Hapa
Ila nyie Kuna watu wanaona 😅😅😅
Nimekukubali, we ni mnomaaaa.
Nimemuona na kiduku chake
Hahah uko makini
Cjaona kabisa
Alie muona baleke gonga like hapa 😂😂
Kavaa jezi no 11
kikubwa nikywaombea tu wachezaji wetu wasipate majeraha naipenda kuliko hata kula 💚💛💚💛💚💛
Ameen
Kweli nimemuona we jamaa unaona 😂😂
Wa kenya button iko hapa weka like zakutosha 🇰🇪 🇹🇿 ❤
Kama unaamini vikimbe hatuachi gonga like apoo 💛💚💚💛💛👍👍👍
Mpaka waseme. Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi. Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Hii team nais ipo karibu kuchukua club bingwa africa
Tumeliona Hilo,jezi ya Young Africans mchezaji akivaa hata kama alikuwa mzee aonekana kijana mdogo
SAFI SANA 👊 SEMA SHUSHENI JEZI MPYA 🎉🎉🎉
hata hiyo kali sana......pia YANGA ni kubwa la mikakati toa shaka ndugu yangu...
Tangu YANGA ianzishwe haijawah kuwa kama msimu huu🎉🎉🎉 BIG UP MANAGEMENT 🎉🎉🎉🎉
MUNGU ni mwema hongera Sana Duke karibu Sana Tena Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
jamani jezi ya yanga ina upako ata mchexaji awe vp akivaa anaonekana tofauti na jezi nyingine sijui mmeliona ilo au mm peke yangu
Uko sahihi mie pia nimeliona hilo yaan nilimuona chama alipoitinga hiyo
Tunafanya mazoea wao wanazunguka tu
hahahahaha
Wameena kuuza unga kaka😂😂😂
@@selasboy3966 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@selasboy3966 kAZI WANAYOOOO
Yanga bingwa in GSM voice😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Baleke🎉🎉🎉🎉🎉 nmemuona😅😅
Nioneshe na Mimi bas😂
Amevaa kikoi cha kijani@@axumsharkun924
Yu wapi?
@@axumsharkun924 sekunde ya 44
Dk ya 1 angalia kwa umakin utaon kiduku 😂😂
Yani hizi silaha zilizo lentwa madhumuni yentu ni ya juuu kimataifa, na kumpiga mganga mvaaa nyekundu ndani inje kama ujuwi kusoma bas tazama hizi picha,
Morning Yanga ❤
0:44 BALEKE UPANDE WA KULIA KWAKO
Nimemuona baleke yulee
Nikajua ni Mimi 2
Kwaiyo camera - man katoka boko ama
Wapi?
@@amaniomar1755 sekunde ya 44 na kiduku chake
Nikajua pekeangu
Familia 🔰 imeongezeka
Sipo kambini lkn kupitia hizi clips Yao yao ni mchezaji anaejituma sana mazoezin na ana respect sana
😂😂😂 litakufa jitu
Nasikia Ahmed Ally huwa anachungulia Yanga TV Mara Mojamoja
Kuna mtu atapigwa Kama koko bata elewa neno koko bata😂😂😂
THANK YOU YANGA KWA TULETEA GEN Z WENZETU💚🖤SIS MAGEN Z TUTALIPIAA CARD
Baleke nimemuonaaaa😂😂😂
Allaah Akbar
We zombee🤣🤣🤣humu tuuu🥂
Watafariki tem hii😂😂😂
Kaziiiii
Kama kuna mchezaji aliyesajiliwa msimu huu basi huyu jamaa duka buya...watajuwa hawajuwi
Naipenda timu yangu Yanga...💚💚💪
WAPIIIIIIII SKUDU WETU, Mchezaji mwenye furaha wakati wooooooote? jamaa apewe maua yake, haoneshi utofauti hata kama akae benchi muda gani, na hii ndio maana halisi ya kuwa matured katika soka....kama niko sawa wana YANGA nipeni maua yanguuuu😆
Atari sana
Kama umemuona baleke gonga like hapa 😂😂
Baleke hayumo
Amebaki Baleke kutambulishwa wananchi tufunge usajili wetu halafu tutakutana nao uwanjani 😅😅😅🎉
Tumesha muona baleke 😂😂
Hapa dube pale duke
Nilisema sikusema
2siishie kufulai 2 tujisajili 2we nakadi za wanachama tuwaunge mukono tim yetu ili fulaa iweze kudumu nawaliyo jisajili tulipie ada fulaa idumudaima
Ni motoooooo
Naipenda yanga peke yake💛💛💚💚🔰
namuona baleke jezi namba 11
Baleke nae tumemuona
Aliomuona Baleke like hapa
Kidogo tu nikuombe miwani😂
Sjamuona mimi😒😒😒
Baleke nimemuona
Nmepambana Hadi nmemuona
Cheki pale sekunde ya 44 hivi .
Kama kibwana ananyoosha mkono@@flavianajohn5250
Jamaa alilijua ball huyo no comment
254#🔥🙌🏿
Nani kamuona baleke😂
Vaa viatu vya kijan
TUWAFATENI UKO UKO MISR BANA😅😅
Karibu 🎉🎉🎉🎉duke
Bareke
Nimemuona Jean othos Baleke... Wanapita kibwana , faridii mbele unamuona Mwamba mwenye kiduku chakee
Mm nmemuon balekeeeee au mach yangu
Wooow balek kavaa jezi 11
Duke abuyaaa
Yani uyu abuya ndo mtu hatari zaidi hapa yanga mtaniambia
Nimemmicy moloko muda wake huu wa kukaribisha wageni
Nimemuona BALEKE😂
Nondo mkorofi Sana😂😂😂😂😂
Oa baleke huyoooo!!!😮
mm nimemuona baleke akiwa nabibzi ya zambarau
Yanga nitishio africa
Nimemuona baleke😅
ko musonda ndo baba jeni bye bye
da iyanga mbona inanipa iman kubwa sanaa?
Baleke yule
🎉🎉🎉🎉
Kama si shabik wa YANGA anza kuandaa dozi dawa ya presha maana msimu huuu ni maumivu tu 😂😂😂😂
Hatari
waliomuona Baleke
Nmeona watu wanacomment wamemuon baleke 😂 imebid nirud niangalie ten kwa umakin kweli bhan camera man ametoa boko😂😂 dk ya 1 angalia kwa umakin 😂😂
Bareke Mmemficha Wapi Jaman
Angalia vizuri kuanzia sekunde ya 44 utamuona mbele ya FARIDI MUSA , kanyoa kiduku.
Ikawe heri kwake
Baleke yupo apo bhn
Duuh alwatan unatakiwa upigwe fain mtu ajatambulishwa unamchukua video 😂😂nimezoom mpk nikamuona baleke mwanzo nilijua ni boka
Baleke na yeye ndani
HIVI WACHEZAJI WÈTU WASHAPEWA SEMINA NA MALENGO YA YANGA YA MSIMU HUU??
kinyaga mwanangu mwenyewe
🔰
mmeshaanza kuwachangany wachambuz jmn hawaelewi huku
aucho na 😂diarra wako wapi
Aucho mbona ayupo?
Aondio wachezaji wameshiba na walefu tukutane kwankapa
Malengo kuingia makundi
Nani kamuona baleke 😂😂😂😂
Yan cjafaham yanga haswa wamedhamiria nn mara hii? Naona usajili kwakweli ni shuhuli haswa, huyu Duke Abuya nahic alikua star kweny timu yake na yule goli kipa wa ihefu ni balaa jengine na chama ndie staring wa simba kwa miaka yote yan bado nawaza kama mzee Said itakuaje hii move
Ujuee mi mpaka naiogopa 😂😂
Jamani musonda bado sijamuona
Mh mbona haonekan baleke?
💚💚💚💚💚✅
Yuko wapi aucho???
Hivi doctor wa mpira anarudi lini???
Bacca huyooooo
Bacca hayupo hapo
Mbona mara hiii hamna interview na wachezaji wapyaa
Kila la heri chama langu
Vizoez kidogo mshachoka 😂mtawezana kweli na rasta nyie wazee
Tusubiri dakika 90' ndugu yangu ndio tutajua wataweza ama wanashindwa
Rasta za jobe au za Deborah
Nani kamuona Moses phiri😅
Zoom sekunde ya 44
Nkbl
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baleke
Musonda Ako wapi simuoni mimi
YANGA NI KAMA TIMU YA TAIFA YA IVORY COAST ndani watu, SUB watu tyuuuu