AJALI YA MELI ILIYOZAMA ZIWA TANGANYIKA 11 WANUSURIKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Meli ya mizigo inayofahamika kama MV Mbalamwezi yenye namba za usajili DY0074 mali ya mfanyabiashara wa nchini Burundi Rafiki Ibrahim iliyokuwa inafanya safari kutoka Zambia kwenda nchini Burundi imezama katika maeneo ya kijiji cha kabwe, kata ya Kabwe, Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa kwenye Ziwa tanganyika,
Hongera polisi wetu Kwa kazii nzuri
Penye hongera tunawapa penye mmekosea tutawakosoa
Ohoooooo tena jamani poleni sana ndugu zangu kasnga uko😱😱😱
Asante mungi
Asante mungu
Ohoooooo tena jamani poleni sana ndugu zangu kasnga uko😱😱😱