Hongera sana Ahmed kwa kuisemea vzr timu yako,hakika una timu bora ila Yanga ni bora zaidi ya timu yako. @mpenja TV....huyu Mtangazaji wenu Jane Kishai yuko wapi?
Wageni wametoka sayari nyingine? Si wamesajiliwa kwenye namba ambazo ni zao, 6 kwa 6, 1 kwa 1, 9 kwa 9, 7 kwa 7, nk. Ugeni wa kitu gani sasa? Preseason week nne, unataka iwe ya miaka mmine? Shida ni kuficha mechi za majaribio.
Hatuwezi kuwalaumu watani wapo katika hatua ya kutengeneza timu, mpaka 2030, Tusiwalaumu, Ile ubaya ubwege ilikua kusherehesha tu tumekuelewa semaji la CAF😂
timu mtatengeneza sana , hata miaka mitano itafika mkitengenza, alafu vijana wadogo Kama wanasaidia sana, tumieni vijana wa Simba B, kwani wao ndo wadogo, alafu wakawafunge wazee.
Na sisi hatukupata time Wacha tumalize Ngao alafu tuingie kambini kbla kuanza Kwa ligi tujaaliwe tuchape tano tano mapema Kwa Kila mwenyewe zarau na mdomo mrefu
Hata upande wa pili wameona mpira, mpaka wakaanza kuwashika wachezaji wamecheza utazani walikuwa wanacheza miereka, mpira upon Simba huyo mobeto mpaka alimuomba kocha wake maji
Hebuni umri mdogo ndio nini? Umeangalia kombe la dunia? Umri wa jamal, Williams, na akina Yamal wanaumri gani na wanachezea timu. Miaka 25 sio umri mdogo.
UBAYA UBWELA MNAOTUMIA HAIFAI MNAWARUBUNI MAREFA WAWABEBE NA KUKATAA MAGOLI YA YANGA,KIUJUMLA HAMNA TIMU REFA WENU MKONO ANAKATAAJE GOLI LA AZIZI KII LA PILI?
Tunakupenda sana Ahmad Ally
Mzee Kapombe na Mzamiru tuwape thank you inatosha
Mumshukuru refa kawasaidia snaa
Kaxaidia kp refa amn cha kuxema nn acha uxhabik ongea mpira ww timu 2nae nw
Ninyi kubalini mmefungwa! Ninyi refa kawasaidia mangapi? Au mpaka tuyaseme???
Kwalip mbona penati huxemi
Hii ndo shida ya kutazama mpira ukiwa umekunywa supu ya kibudu
Asingekuwa refa mtani angekufa tano tena,
Wakikosa shukrani kwa refa basi tena
Ukosahihi brother❤🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉
Nakubali sana semaji la dunia
Haina mbaya kaka tumeridhika na matokeo ila kikosi tuko vizuri sana naamini tutakutana NBC ligi
😂😂😂😂 Sawa tusubiri, nyie uwa mnautaka sana
Mshukuruni na refa pia.
Hongera sana Ahmed kwa kuisemea vzr timu yako,hakika una timu bora ila Yanga ni bora zaidi ya timu yako. @mpenja TV....huyu Mtangazaji wenu Jane Kishai yuko wapi?
Acheni janjajanja kapombe, zimbwee na ngoma n mizigo kwenye team
kweli kapombe kaisha sana Ngoma atupishe
Nampenda bule iki kiumbe japo mimi ni yanga damu
Kama mpira mnaujua ongeeni kiuwalisia Simba wako vizuri kwasababu niwageni wamewachezea muamini hicho
Wageni wametoka sayari nyingine? Si wamesajiliwa kwenye namba ambazo ni zao, 6 kwa 6, 1 kwa 1, 9 kwa 9, 7 kwa 7, nk. Ugeni wa kitu gani sasa? Preseason week nne, unataka iwe ya miaka mmine? Shida ni kuficha mechi za majaribio.
🎉🎉🎉💪🏋️💪🏋️ moja
kushndaa aaaah, dada 3
Je mkifu gwa na cost hamtamfukuxa kocha
Sku hata mkifungwa na timu iliyopanda daraja mtasema mnatengeneza Kikosi. Teh
bila refa 3 ziliwahusu mshaaza kubadilisha maneno
Hatuwezi kuwalaumu watani wapo katika hatua ya kutengeneza timu, mpaka 2030,
Tusiwalaumu,
Ile ubaya ubwege ilikua kusherehesha tu tumekuelewa semaji la CAF😂
Mi siwadai japo tumepoteza, ni sehemu ya mchezo. Kila Mzamiru akitolewa timu inakuwa bora
timu mtatengeneza sana , hata miaka mitano itafika mkitengenza, alafu vijana wadogo Kama wanasaidia sana, tumieni vijana wa Simba B, kwani wao ndo wadogo, alafu wakawafunge wazee.
mwambieni refa asante
Wewe yanga wangekuwa na uwezo wangefunga zaidi ya moja hii inaonyesha kuwa yanga itazidiwa na uwezo wao ni mdogo
Kweli kabisa yanga kwanza msimu huu atakua nafasi ya 4,
Sio kweli ile ni game plan,ngoja ligi ianze muda utaongea.
Msingebebbwa zilikua 4@@aminaomari2312
Leo umeongea kwa adabu kaka😂😂
Sema tena sema wazee wa ngwasuma
Kumbe unaweza kusema vzr ayo ndo maneno
Nakubal semaj lng timu 2nae nw
Eti "timu tunayo, itakuja kufanya balaa siku 1" Balaa la mdomoni!
Acha shobo bc
Leo wachezaji wamekuwa vijana wadogo!!!😢😢
Hii ndo ile nimeolewa lakini sio kiviiiiile!
Na sisi hatukupata time Wacha tumalize Ngao alafu tuingie kambini kbla kuanza Kwa ligi tujaaliwe tuchape tano tano mapema Kwa Kila mwenyewe zarau na mdomo mrefu
Miaka itarudi nyuma au 😂😂
Kupigiwa makofi ni kwa sababu hawajaruhusu mvua ya magoli na si vinginevyo
Simba mpya inatia moyo sana
umepoaaaaaaaa
Haaaaaaaaa ubayaaa ubwelaaaa😂😂😂😂😂 semaji la caf
Safi,,,,kwakuwa ni Malaya mzoefu ,,fulahitu!
Hii ni Ile ya kufa kiume ndio kauli mbiyu ya simba
Kapombe na mzamiru ki ukweli hawakustahili kucheza mechi ya leo. Timu imejitahidi sana.
Huyu hayupo sawa atafute mwana saikolojia
Ubaya ubwabwaaaah 🤣🤣 ooh yanga tunawajuaaa tumewaonaaa 🤣🤣 daaaaDeq
inaumaaeeeeeeee
Hii falsafa ya timu ngeni, inawafanya wajitetee, si kweli. Cause namba ni zilezile, mbinu zilezile, formation zilezile. Mnazingua
Mlisema Tanga wazee sasa vipi vijana mnafeli wapi? Yaana mnafuraha KWA kua mmefungwa koli chache duh
Leo vp maana nyie wenzenu wakishinda mnasema bahasha au wameroga vp Leo mnasemaje
Mpenja tv jane kishai yuko wapi
Rifari naye ame wa teteya sana brother mjini simba huliwa kama mbuzi
Sasa Simba nawashangaa sana Bado mnatengeneza timu🫣🫣
SGR NI PACOME SIO KITALE WALA MKWALA
Wamekuwa vijana wadogo tena
Oyoooo semaji la kimataifa
Ongera semaji la caf kwakujitetea
Wandishiiiii eeeeee
Nakuunga mkono xemaj letu
Mi simba ila we kenge tu
Mumekufa kiume
Hata upande wa pili wameona mpira, mpaka wakaanza kuwashika wachezaji wamecheza utazani walikuwa wanacheza miereka, mpira upon Simba huyo mobeto mpaka alimuomba kocha wake maji
Kwani wachezaji wenu hawakuwashika wa Yanga? Faulo si zimepishana kidogo tu? Mbona Max na Pacome walikuwa wanashikwa hivyohivyo?
Wacha kusema uwongo hauna furaha ubaya ubwege
Munaosem kwamba simb mbovu ebu muingie uwanjan Kam mutatomboa hata hao yanga wangekuwa Bora zaid wangeenda kombe la dunia
Kaza sauti
Hebuni umri mdogo ndio nini?
Umeangalia kombe la dunia? Umri wa jamal, Williams, na akina Yamal wanaumri gani na wanachezea timu. Miaka 25 sio umri mdogo.
Coastal mtaifunga 4 kama kujifiraji tu muwafute machozi mrembe visugu
Nabado mshono upo.
Vijana wadogo wapi wew mshamba mizee ipo kibao umo pila weee
Yanga sio l p r ndo yanga Yamakombe
Mngefunga Tano ten Simba tumesajiri
Huna jipya weee😅
Vipi kuhusu Ubaya ubwela?😂😂😂
Bwana pasta ushanza kupopoya
Mtajua hamjuii nyie endeleeni kujitetea 😂😂
Jipeni imani tu
Msemaji wa koloo kashasema❤❤❤
Malaya Hana ubola wowote!
Huyu apewe rikizo hayupo sawa
Ni timu changa au timu mpya🦻🤗
UNGEPANGA TIMU YA WACHEZAJI 30
Refa amewasaidia mngekula Tatu mbwa nyie
Leo Haiti wandishi wa habari😂
Ubaya ubwala itimu itakuwa atali sana ata watani wanajua
Nyie yanga, mlisema mtafunga Goli 8/10, Je imekuwaje mkashinda 1 goal?
Acheni maneno ya ushabiki, na hizo 7/9 ziko wapi?
Weee keeling dunduka unafurahia kufungwa goli chache
Uwachee kisifu wachezaji ovyoo
Leo mbona ajawaita wandishi wa habali
Kutfga doo mumejivunia xaw
Nawewe nimzoefu tu wa vipigo mpaka umekua sugu
😂😂😂😂😂😂
Sio ubaya ubwela ni ubaya uboya😂😂😂
Simba imeisha haina lolote simba usajili wake wa magazeti tu kiufupi simba mbovu
Baleke hajacheza
Kwani wachezaji Huwa ni wangapi!?
Timu ni changa? Mbona kama sijakuelewa mzee
Yanga kazi yake kubwa ni KUPIGA MIDOMO TU!!!
Iko waz cc co watu w taarabu
Huyu kenge hajui chochote
😂😂😂😂😂ubaya ubwege
😂😂😂😂😂😂
😂😂
WAVULANA 0 WAZEE 1
Hahahaaaa pole sana jifariji tuu unangebe sana
😂😂😂😂 sanaa
Semaj kama semaj nakukubal sana
ubaya ndo huo ww jifaeiji
Atumtaki mangungu🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
UBAYA UBWELA MNAOTUMIA HAIFAI MNAWARUBUNI MAREFA WAWABEBE NA KUKATAA MAGOLI YA YANGA,KIUJUMLA HAMNA TIMU REFA WENU MKONO ANAKATAAJE GOLI LA AZIZI KII LA PILI?
Simba ikicheza mechi 7 tu kwenye ligi itapotea kwenye ramani hakuna timu hapa
pumbavuzako
Bwan misifa Leo nguv yakuongea pia ana anafany kujikaz 😂😂😂😂😂
Huyu misifa atajikaza sana msimu huu. YANGA TIMU KUBWA!!!
@@checkchannel3876 bad ajasema 😀