Unapomuita demu wangu Malaya hakikisha Dada yako bikra 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Bando Bando Bando hii michano umeua Stamina kazika harafu Mimi nai PLAY mara 27 kuanuaa matanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bando Mc you are the Next Big thing in East Africa Hip-hop Scene.... kudos💪💪 bruv keep on pushing... and I really like the fact that you are getting mentorship from the Best (Stamina👍)
2002, when I fell inlove with Bongo music, mambo ililikua kama hii.. Matonya, kina Kiba wkatokea.. Mondi akaingia ligi, sijui mmakonde pia eti anaiteka industry... Much respect Stamina.. na Roma, Roma incase ukijisikia ata wiki niko tu hapa Seattle, sema we exchange emails.. angalau ata nyamachoma wiki mzima na....
nmependa sana hii creativity bando ya hapa darasani katika verse zako tofauti wakawa wanaonekana watu tofauti wanapita lakn sauti ni yako,go mwanangu huu ni ubunifu mzur kiukweli
P 1 sana naelewa sana kazi zako nikiwa na hasira nikikosa chakupiga hua napiga mswak hata week ile ndani ya fr dy night rais wa bongo flv alielewa kaza
brother bando nakubali Sana ninacho kuomba usivunjike moyo make hakuna mbivu hisio na maumivu mungu akusimamie daima pia usije msahau sitamina make kawa Kama kaka Sasa pambana uwe mfano mzur kwenye jamii 💝💝💝
Tulio rudia rudia hii ngoma nipen like
🙏🙏
hatar saaaaaan
Tena n'a tena😂😂😂
Hatariii
*Kufanya mapenzi juu kwenye ndege ni uhuni tena uhuni ulio bobea maana dhambi inawahi kufika mbinguni* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Shenzi sana nyie jamaa
🙏🙏🙏🙏
Hahahahaha halafu bongo movie walivowaongo unaweza kuta uwoya ameigiza bikra 😂😂😂😂
haaahahaa
G
Na hii Hali inakondesha kishenzi, wenzako wanapeleka magari ww unapelekwa na mapenzi😂😂😂🔥🔥🔥Sanaa Stamina weweee 💪001
Bando mwanangu nakukubali yani💥💥
Ulisema msumari una inchi ngapi vile...😂
Bongo movie walivo waongo unaweza kukuta uwoya kaigiza bikra 😁😂🤣😁
Tishaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hatariiiiiiiiiiii Sana
Hahahhaaha
Ni balaa tupu 😂😂😁
Bando...... Waambie wenzenu yule kiziwi kajisikia
Kama unaamini mistari ya hii ngoma mikali gonga like
Asante
Bonge la ngoma nalrudia rudia mpaka machiz wananchukia
Ii kali ile mbaya 🇰🇪🇰🇪
Yaani muda huu ndio nimesikiliza vizuri huu WIMBO.... Bando umetisha Sana dogo.... Nadhani wewe ndio real KING WA HIP HOP TZ
Nashukuru sana bro attanass
Kazi nzuri Hapa, NAAMINI IKO SIKU Tutafanya mziki kwa pamoja, bila utofauti wa kitaifa RESPECT from +254
Bless my g
Unapomuita demu wangu Malaya hakikisha Dada yako bikra 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bando Bando Bando hii michano umeua Stamina kazika harafu Mimi nai PLAY mara 27 kuanuaa matanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙌🙌🙌twende mjin
Bando Mc you are the Next Big thing in East Africa Hip-hop Scene.... kudos💪💪 bruv keep on pushing... and I really like the fact that you are getting mentorship from the Best (Stamina👍)
Morio😂😂😂😂ebu pitia kwangu uone shugli
sawaaaa
Akuna Raper mkali kama bando
2002, when I fell inlove with Bongo music, mambo ililikua kama hii.. Matonya, kina Kiba wkatokea.. Mondi akaingia ligi, sijui mmakonde pia eti anaiteka industry...
Much respect Stamina.. na Roma, Roma incase ukijisikia ata wiki niko tu hapa Seattle, sema we exchange emails.. angalau ata nyamachoma wiki mzima na....
oyaaa bandoooo🙌🙌🙌🙌 unamwita demu wangu malaya basi hakikisha dada ako ni bikra
Naam
Eti uwoya kafanyaje😂😂
Ngoma kali kama hii af kuna Misenge imeDislike 😂!.. Noma sana wanangu 🔥
Bless family
Watu
@@BandoMC nc one😐😑😐😑😐😑😐😑😐
Stamina stamina stamina nimekuita Mar a tatu Brooh 😂😂hivi mnajua kichwa cha chin hakina utosi 😂😂😂😂 Mpeni like zake
Asante
Mambo mazuri yanaitaji gharama ila stamina we noma kweli
Bando hapana sio kwa punchline hizi🙌🙌
🙆♀️🙆♀️🙆♂️
Luku haina bando la chuo😂 kibogoyo akifa ataacha pengo? We Bando hujawahi kosea🔥🔥
Hip pop to the world 🌏
Dija www
nmependa sana hii creativity bando ya hapa darasani katika verse zako tofauti wakawa wanaonekana watu tofauti wanapita lakn sauti ni yako,go mwanangu huu ni ubunifu mzur kiukweli
Dam yang
Umesema kichwa cha chini Halina utosi. Dhaaaah. 💥💥💥🔥💯
Naam
MA BROTHER HILI NI DARASAAAAA
Ni sawa na alikiba kuvaa buti la JEJE!!! Aisee goma kal sanaa..
Jambo
Waa Kali hii,, ukiita dada yangu malaya hakikisha dada yako ni bikira
Ngoma 🔥🔥 piga collabo ady kenya stamina
Talent ya hali ya juu
Mistari ipo hapa babeki💪💪
Kaliiiii 🔥.....Bando! One love straight kutoka Mombasa,Kenya!
Asante
BANDO ANATISHAA MPK ÑÀKIMBIAA KWA MISTAR ILIYOOO BOBAAA DADEKI
UWOYAA UTAKUTA MPK ANAIGIZA YUKO BIKRA KIZIBO HAKIFUNIKI SUFURIAA 💃💃💃💃💃tuzidiii
th-cam.com/video/0q8VntcL0LM/w-d-xo.html
Mwanangu
Salut kwenu.. stamina na bando
Mambo ya vuchwa haya ni uhuni hivi unajuwa kichwa cha chini hakinaga .....
unapomwit Dada yang Malaya bac hakikixha Dada yako bikra nomaaah xanaaaa
Yaah
Awa watu sio watu wazuri ktk gemu hili mana wameuwaaa paka nomaaa
Hakuna watu wanao fanya kazi kwa uhuru na mafanikio kama Rosta
Wanacheza single
Wanacheza Double super 👍
Naam
Ivi mnajua kichwa cha chini hakinaga utosi ....wohuu
Kicwa cha chini hakinaga utosi,,,😂😂😂😂 kali sana
Inafahamika
@@BandoMC Mistari imeenda shule kongole mnatubamba mbaya
Daaah!!! Ni zaidi ya Darasa ni Chuo kikuu kabisa Bando&Stamina you are so talented guys
So fair
@@BandoMC Hatri sana Kaka Mnatupa chenye mashabiki tunahitaji Asanteni sana 🙏🙏
Hhhhhha#mbng movie walivy waong unawez,kuta,uoya,kaigiz bikr
@@lilymatoli7117 Haha ni htr sana aisee
Nikiwa na hasira wakunitulizA sina naweza kunja ndita nikaziweka mfukon haahahahaha iyo mistari huwa nairudia rudia sana
Mando Mc umekuja fresh sana tuishi humu #madsoft
Mc kamil
Unapo muita dem wangu malaya basi hakikisha dadaako bikra
Yes
@@BandoMC 😁 itabidi utafute shule ya kuwafundisha hawa Fake Rappers jinsi ya kuandika izo punch 🔥
bonge la ngoma,video bonge la ubunifu,
kazi nzuri sana guys
Bongo movie walivyo waongo utashangaa et Irene uwoya kaigiza Bikra😅😅😅😅😅😅😅👊👊👊
🔥🔥🔥🔥,,💣💣,, Afu embu stamina msake #rapcha_ tz mfanye balaa..
Ukitaka kumtag MTU TH-cam anza na leli #Rapcha_tz
Hili li bando linajua sanaaa
Naukubali huu tokea 254🔥🔥🔥🔥
"Bongo movie walivo waongo, waeza kuta uwoya kamuigiza bikraa" 😂😂😂😂😂
Pamoja sanaaa big up brother
Nani kama stamina
Moro moja respect
Tuishi na hii ngoma
Hakuna kama bwenz
Creativity iliopo kweny lyrics mpak video sio ya kitoto,,,
#talentedbandomc#
Nairudia tena na tena
E banaaa eeeeee hii ngoma ni hatali🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sumu
@@BandoMC nakuja IG new follower
Nikiwa na hasira halafu nikakosa cha kupiga naenda kupiga muswaki🤣🤣 like 100 pleas....
Kaka tuchati ✌️✌️✌️Stamina, Big up bro.
Alooooo oyaaa tuchiee mtaaa alafuu kiroho mbayaaa #imepitaaaa_Sitamini_oyaaaa. #Bandooo_mmeuaaaa
Bless
Noma...sana.
Nikuwa na hisara....
Piga mswaki
@@BandoMC nakubaliii kaka
Oyoyoy nikisanga ngoma kali imetisha sana kama magazijuto
Asante boss
P 1 sana naelewa sana kazi zako nikiwa na hasira nikikosa chakupiga hua napiga mswak hata week ile ndani ya fr dy night rais wa bongo flv alielewa kaza
Ukisema bando uwong uyo ni bando na nusu
Namuona umemupa shavu kendy kwenye kideo nimefurahi kumuona jamaa Kaz kubwa hii nimeikubali sanaaa
Mwanetu
🙌🙌🙌🙌
Jama mmetisha kinoma noma sana hopo ndommenene sawasawa
Mmeliuwa vyema hili pin wakubwa moto sana
Track Kali Sana
Suti
Kibogoyo akifa hawez akaacha pengo🤣🤣Tisha sna
Mmmmmh amba luti aigize bikraaa🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Hivi mnajua kichwa cha chini hakina utosi 🤣🤣...nawakubali lakini 💯
😁😁😁😁
Nikiwa na hasira wakuntuliza ni we we!!!!
brother bando nakubali Sana ninacho kuomba usivunjike moyo make hakuna mbivu hisio na maumivu mungu akusimamie daima pia usije msahau sitamina make kawa Kama kaka Sasa pambana uwe mfano mzur kwenye jamii 💝💝💝
Asnte steve
Bongo movie walivyo waongo unaweza kuta uwoya akaigiza bikra.
👊👊kama unamkubaree stamina gonga sio kama utaacha
🙏🙏🙏
Bongo movie walivyokua waongo unaweza ukakuta uwoya anaigiza bikraa 😂😂😂😂😹😹
😁😁😁
@@BandoMC nawakubali san kwa mistari mnayotunga 💪💪
Dah chap nimekuja baada yakumuona #bando na #stamina naelewaga Sana Hawa watu
Wachanaji
Nawakubali Naweza kunja ndita na nikaziweka mfukoni mwana #bando
Stamina ameua sanasaaanaaa
Nawaza nafurah kimya kimya sina data eti vp niinue chuma nijenge #stamina# au nikope buku nipate #bando# bro mmeua sana humu🙌🙌🙌
Bless family
Nnauweza wa kumpa hi mondi alafu nisimpe sallam sk🔥🔥🔥
Aaaaaah mameeee nyie watu mmeshindikana
Blood angu sawaaa
Daaah jaman nyie mnaweza sana jaman dah
Nyimbo zako zote nimedownload hii hapa nitaingia tuu youtube maan punchline umesimamisha dede kam chuchu za mtoto wa mchungaji umetisha bando mc
Ati uwoyo kaigiza 😂😂😂😂😂Stamina bwana Mungu anakuona 😂🙌🏻
Sio Mistari,sio vocal,cio kila kitu,unafanya bro,haufanyfanyi...
Sawa sawa sawa sawa sawa sawa
BANDO MC Anajua saaaaaana yaaaani nairudia narudia nyimbo daaaaaaaaah
Congratulation bando kadri siku znavoenda nazid kuona ukali wako keep it up bro
Bongo nahis soka hakuna Bando nkiamua kufanya soka nitafanya
Guna hadi Ole Gunna
Hata kizibo cha soda ni mfuniko ila _________!
Tisha saaaaana
Ubunifu wa juu sana, lakini niulize kitu. Hiyo ni Leble ama kundi?
Mwanafunzi mbishi darasani
Loving it from the +254 Nice song.
San boko akimwaga lkn duuuuuh stamina a atar bandooo eeeeeh chafuaaa jiji la u tube kam lako
Bless bro
noma sana. imekaa poa kinoma noma aisee
Bless
Nmekubali hii ngoma ni mwake🔥🔥🔥
Kali sana
Diwani utaongoza kata zote ila sio kata k....hizi nisaidi ya uni bando hizi ni💪💪💪bando zenye stamina ...hazikati mwezi mpaka mwezi mwaka zinatoboa ...
Aaah bando mtu mbaya... Nakuona mbal bro✊🙌🙌🙌🙌
Asante blood
Kichwa cha chini hakina utosi daah muko sawa
😁😁
Kuna kipindi tulikosa chakula tukala msoto🤣🤣🤣😂😂 hatari na nusu........ Gonga like kama nawewe ushawai kula msoto kama mimi....
Daaaah nakubal sana mnyama bando hii mistar waga unato kamus gan
uwoya kaigiza bikra 🤣🤣🤣👌🏾👍🏿
Vina-sikika ila kuvielewa ni ngumu🤔🙌
Kaliiii Bando, Location Kidogo Ilikuwa Inataka Kuzingua Na Shooting Ya Directed. Ngoma Kaliii