Allah atujaalie na sisi amabao hujabahatika kufanya ibada hii tukufu asichukue roho zetu ila awe ame tujaalia kutimiaza ibada hii na nguzo muhimu katika maisha yetu...,amyn
MASHEKH,MNATUCHANGANYA SISI WACHINA NA NENO LENU LA KUITA MUNGU HATUJUI NINI MAANA YENU,ITENI MAJINA MAZURI YALIYOFUNDISHWA NA MWENYEWE( ALLAH. MKITUAMBIA MUNGU, TUNAJUA ZUMARIDI.BADILIKENI
Zamani walikuwa wanahiji wakiwa uchi wa mnyama, siku hizi nasikia wanavaa mashuka angalau kusitiri mwili ila hakuna nguo za ndani!!? Hivi ni kweli au story tu?
Ndugu daudi usiseme kitu ambacho hukijui katika dini ambayo sio yako uislamu ni dini ya stara na angalia waislamu wa kweli wanavojistiri tafadhali usiseme kitu ambacho huna elimu nacho please
Hao ulosikia wakifanya hivo kabla mtume wetu hajazaliwa hawakua waislam nataka kukufahamisha ilivokuja dini ya kiislamu ndio ilokataza hayo kwa amri ya Allah mola wa ulimwengu wote
Mwenye-zi-mungu atujaalie na sisi ambao atujabahatika kufika sehemu usika yakufanha ibada
Allah atujaalie na sisi amabao hujabahatika kufanya ibada hii tukufu asichukue roho zetu ila awe ame tujaalia kutimiaza ibada hii na nguzo muhimu katika maisha yetu...,amyn
Allah tuzidishie amani ktk nchi ye2🤲
Alhamdu lillahi mashallah
Mashaallaah alhmdulillah,, 🙏🏽
Baraka llah❤
Masha Allah
MASHEKH,MNATUCHANGANYA SISI WACHINA NA NENO LENU LA KUITA MUNGU HATUJUI NINI MAANA YENU,ITENI MAJINA MAZURI YALIYOFUNDISHWA NA MWENYEWE( ALLAH. MKITUAMBIA MUNGU, TUNAJUA ZUMARIDI.BADILIKENI
Tunawaombea Sana, Panapo Majaaliwa Mrudi Salama InshaAlla.
Alhamdullah
Alahuma amiini
Mashaallah
Allahuma Amiina.
AMIINA AMIINA 🤲🤲
Allahumma Aameeyn
Amiin
Yohana 4:21-23 "Hamtamwabudu Baba katika mlima ule,. Lakini saa inakuja nayo sasa ipo, ambapo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli".
Ww daudi huna akili mbwa ww
mbona kuna matokeo mabaya lakin ...
Wanaofunga kesho wambie leo nitarehengp na siku gan
Na kesho wa sahihi pia
Sasa mbona wenzako wanafunga kesho?
Mwandamo wa mwez Boss 😮
Ni bendera fata upepo
KWASABABU SISI HATUJENDA HIJJA
SISI TUNAFINGA MWEZI 9 SIYO MWEZI 8
Zamani walikuwa wanahiji wakiwa uchi wa mnyama, siku hizi nasikia wanavaa mashuka angalau kusitiri mwili ila hakuna nguo za ndani!!? Hivi ni kweli au story tu?
Hizo stori zako tu.jaribu kusoma tafuta elimu kwanza ndio utajuwa ukweli wote
Ndugu daudi usiseme kitu ambacho hukijui katika dini ambayo sio yako uislamu ni dini ya stara na angalia waislamu wa kweli wanavojistiri tafadhali usiseme kitu ambacho huna elimu nacho please
Hao ulosikia wakifanya hivo kabla mtume wetu hajazaliwa hawakua waislam nataka kukufahamisha ilivokuja dini ya kiislamu ndio ilokataza hayo kwa amri ya Allah mola wa ulimwengu wote
huu sasa ndio unadhihirisha UKAFIRI wako