Waswahili usema heri kutembea bure kuliko kuka bure, ndio waona awamtoi rajab kwa midomo yao, tena chanda chema uvikwa peta mashaallah nina mengi wakati mdogo🙏🙏🙏
Hamonazi unaroho nzuri kweli kama mtu mwenginne bas asingehuzuria kwenye msiba hata kama ukiwapa mkono wanakataa munguu ndie anyejuwa kesho kuna nini usijali ndugu yangu yote mapito tu
SAMAHANI NDUGU ZANGU WATANZANIA NA AFRIKA🙏 TUNAOMBA SUPPORT YENU YA KU SUBSCRIBE CHANNEL YETU NDOGO SANA BILI NYINYI WAPENDA ATUFUKI . . th-cam.com/channels/aFYVVlnSRFZA3Hsb79PbEg.html
What you did is so great Hamo ,may the LORD bless you ,I always say kuwa wewe ni mfano bora tz,I love your heart.
Mungu akujalie umri wa uzeeni harmonize....na cku zote mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe....kila kukicha endelea kulipiza ubaya kwa wema...
Naam my dear
Waswahili usema heri kutembea bure kuliko kuka bure, ndio waona awamtoi rajab kwa midomo yao, tena chanda chema uvikwa peta mashaallah nina mengi wakati mdogo🙏🙏🙏
Allah amlaze pema, na awatie nguvu wafiwa.
Mwenyezi Mungu awape shifaa hao watoto awaepushe na maradhi na awaondolee huzuni
amina
Sasa shifaa kwani wanaumwa?
zee lasali 😂😂😂
Iyo Corona
@@zuweinaalhabsya8773 🤔🤔🤔
God bless u harmo
Hongera sana Brother harmonize
You are 1 in a million harmonize..gentleman you are
Masha Allah my brother harmonize may u live along life
Harmonize pepo iko wazi kwa ajili yako ❤️❤️😘😘
Nampenda hamo....mpaka basi😗😗
Bigup kwa harmonize
Masikini hana ubaya nao, 2020tutaona mengi tutasikia mengi😭😭😭😭
Kwani marhemu kaacha watoto wangapi
Mashaallah
bless ming harmo
Hamonize hivo ndivo inavotakiwa halafu ukitaka upaate mafaniko mtu anapo kukisea usimlipizie kwaubaya asee mungu niwingi wakukunyanyua halaka Sana kimafanikio unaambiwa cheka nawatu uvae viatu kwangu naona umeonyesha mfano nzuri
Harmonize is more of a role model very mature
Dah
Lakini wao wameanzisha na Challenge kumzihaki Harmo na wao wanasifia Sallam kutokubali Salam ya Harmo msibani.!!!
Poleni
Safi saana
Pole babu tale Allah atakupa subira na nguvu za kulea watoto wako kwenye maadili mema kama alivyokuwa akiwalea mkeo
Mmeonaaee hamonaiz nimti wenye natunda daima watampiga mawe wanakuona mjinga kwakukataa mkono wako usijali songa mbele weye nihamonayz baanna
Mtto hajui chocjote kuhusu kifo😢
Miee namkubali hamoonaiz hana kinyongo namtuh safisheni nyonyo zenu nyiee mliokataa mkono wa hamonaiz kwani kifo hakina hodi ili msamehewe lazima mute niwenye roho zakusamehe kama hamoo naiz penda
amefanya Kitu kizuli harmonize kwenda msibini waachaiv
Hapo ndo nyumbani kwa kina babu tale .
Maskini mtoto anasikitisha anacheza haelewi Maana yakifo
Yani inauma Sana daah 😭
Yaani,inanikumbusha mama yangu alivyokufa nakuwaacha wadogo zangu wanamiaka 3 ,wakiulizwa mama yuko wapi kaenda shamba akirudi atatuletea zawadi
@@m.mmarckus6298 duuuh pole dadaa, yote ni maisha na yanapita.
@@m.mmarckus6298 inauma Sana wallay yani km mtu hajafiwa na mzazi hawezi Elewa huo uchungu mungu atawapa subra
@@shamsaog2998 kabisa wallay mungu atawapa Subra km mtu hajawai fiwa huona km kawaida lkn kuondokewa nikugumu mno
Nadhan wcb watajifunza namna ya kuishi na watu kwa wema na bila kinyongo kupitia kwako ww Harmonize: Waeleweshe waelewe
Harmo endelea kuwa na moyo huo
Wasaf hawana jipya unaleta bifu hata kwenye mcba
Hamonazi unaroho nzuri kweli kama mtu mwenginne bas asingehuzuria kwenye msiba hata kama ukiwapa mkono wanakataa munguu ndie anyejuwa kesho kuna nini usijali ndugu yangu yote mapito tu
SAMAHANI NDUGU ZANGU WATANZANIA NA AFRIKA🙏
TUNAOMBA SUPPORT YENU YA KU SUBSCRIBE CHANNEL YETU NDOGO SANA BILI NYINYI WAPENDA ATUFUKI
.
.
th-cam.com/channels/aFYVVlnSRFZA3Hsb79PbEg.html
Nc