@@mwajumarashid2231 kuwa Yanga siyo kosa lakini kwanini ajifiche kwenye kimvuli cha timu Kama hiyo aliyoitaja ya Mecco Mbeya ambayo ilishafutika katika ramani ya soka toka miaka ya 80 sidhani hata wewe Kama unaifahamu hiyo timu.Huyu Katanga pamoja na mwenzie Kitenge tunawahamu toka wako Radio One kuwa ni mashabiki wa Yanga Kama unaipenda timu kuwa muwazi tu hata Kama utatangaza kwa ushabiki hiyo ni juu yako na mapenzi yako kwa timu.
Pamoja na Bahati Alex
Ulikuwa Redio Ebon FM.....we mic you
Hiyo sehemu msikae tena sio pazuri makelele kibao
Hivi lijaume zima linaitwa kitenge🤣🤣
Exclusive interview kubwa na kelele haipendezi we mjaluo acha ushamba
Wewe YANGA acha kuzuga
Kwaiyo kuwa yanga ni kosa
@@mwajumarashid2231 kuwa Yanga siyo kosa lakini kwanini ajifiche kwenye kimvuli cha timu Kama hiyo aliyoitaja ya Mecco Mbeya ambayo ilishafutika katika ramani ya soka toka miaka ya 80 sidhani hata wewe Kama unaifahamu hiyo timu.Huyu Katanga pamoja na mwenzie Kitenge tunawahamu toka wako Radio One kuwa ni mashabiki wa Yanga Kama unaipenda timu kuwa muwazi tu hata Kama utatangaza kwa ushabiki hiyo ni juu yako na mapenzi yako kwa timu.
Kipindi kizuri japo mazingira kwa "Interview" hii siyo mazuri, ni vyema Interview nyingine mfanyie kulekule tulikowazoea
Mbona keleleee nyingi