Malembo Farm: Biashara ya Mkojo wa Sungura inavyotajirisha vijana, Nyama, Ngozi, Kinyesi vyote deal

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024
  • Promo Onine TV kupitia Agripromo inakuletea mambo mazuri kuhusu kilimobiashara na leo tumekuletea biashara ya mkojo wa Sungura na manufaa yake.
    Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.

ความคิดเห็น • 33

  • @FranceNambasta-c2m
    @FranceNambasta-c2m 8 วันที่ผ่านมา

    Ahaaa

  • @bibisungura2448
    @bibisungura2448 4 ปีที่แล้ว +4

    Mko vizuri naomba namba zenu malembo farm

  • @yahayasaidi6305
    @yahayasaidi6305 2 ปีที่แล้ว +1

    Napataje soko la sungura

  • @syedpigeongreece
    @syedpigeongreece 3 ปีที่แล้ว +1

    Super video like 🤝🤗

  • @hemedabdullah6206
    @hemedabdullah6206 4 ปีที่แล้ว +2

    Very nice Article

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  4 ปีที่แล้ว +2

      Karibu na uendelee kufuatilia mada mbalimbali kutoka hapa promo online tv

    • @bibisungura2448
      @bibisungura2448 4 ปีที่แล้ว +2

      @@promoonlinetv7442 hongera sana,mawasiliano yenu

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  3 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana, wasiliana nasi kwa 0686928828

    • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
      @SaidimaulidiMaulidi-lf9de ปีที่แล้ว

      Kuhusu maharage ,mbona nasikia maharage sio mazuri kwa sungura nawewe unashauri wapewe sungura

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana Kwa Elimu na Maelezo/Ufafanuzi Mzuri.
    Napataje Mawasiliano yenu?

  • @user-xp2ti2lx1y
    @user-xp2ti2lx1y 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @bibisungura2448
    @bibisungura2448 2 ปีที่แล้ว

    Safi Sana kijana

  • @Spasbatv
    @Spasbatv 3 ปีที่แล้ว

    Good content

  • @esterpaul1654
    @esterpaul1654 ปีที่แล้ว +1

    Nina swali

  • @stanleykinyaruvu2337
    @stanleykinyaruvu2337 3 ปีที่แล้ว

    Naomba mnitembelee shambani Grace Biharamulo kagera

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 2 ปีที่แล้ว +1

    je mbona ukigusa vitoto vya sungura vinakufa? kama amezalia nje ya box unafanyaje ili waweke kwenye Box. Je nitawatenga na mama yao wakifikia umri gani? Naomba unijibu

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 ปีที่แล้ว

    Napataje wanunuzi wa Mkojo Sungura

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  2 หลายเดือนก่อน

      Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.

  • @lesthermulagha6687
    @lesthermulagha6687 2 ปีที่แล้ว

    Sungura anaweza kula maganda ya ndizi?

  • @onesmusmuli8594
    @onesmusmuli8594 ปีที่แล้ว

    Mkojo lita moja hela gapi?

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa kutupatia elimu juuu ya ufugaji wa sungura. sasa soko la hizo bidhaa liko wapi?

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  3 ปีที่แล้ว

      Asante kwa kutufuatilia. Jiunge na PromoCARD kupitia 0686928828 ili uweze kuunganishwa na masoko, wakulima na wataalamu katika kilimo, ufugaji, mazao ya misitu na utalii

    • @chalesisabini5019
      @chalesisabini5019 3 ปีที่แล้ว

      Kama mkojo wasungura nisumu yawadudushambi n nimbolea matumiziyakeje?unaekakwenyebomba unapuliza au unamwagia chinikwenyeshina

  • @loveringmwanga6812
    @loveringmwanga6812 ปีที่แล้ว

    Ntajuaje kama tayr Ana mimba 🤷

  • @mamentiger1594
    @mamentiger1594 3 ปีที่แล้ว

    Nataka nianze kufuga npe muongozo sas

  • @amrilubarati8351
    @amrilubarati8351 3 ปีที่แล้ว

    Mko wapi

  • @nyandamalimi-cz7vp
    @nyandamalimi-cz7vp ปีที่แล้ว

    Angalia hii wapendwa th-cam.com/video/b1gfpO8bnCo/w-d-xo.html