#ZaNdaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 115

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 2 หลายเดือนก่อน +6

    Wamechelewa usajili umeisha, kikosi kiko full😂😂😂

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 2 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂INGEKUWA SIMBA HAPO STUDIO
    MAMAMAMAMAAA.

  • @zakaria924
    @zakaria924 2 หลายเดือนก่อน

    Mnajifariji, bahasha inafanya kazi, wengine mnacheka kwa kujilazimisha

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 หลายเดือนก่อน +2

    I LOVE YOU 🎉🎉❤❤ SIMBA NGUVU MOJA MAJILAN MKOWAP 😢😢😅😅😂😂😂😂

  • @BoniphaceFridoline
    @BoniphaceFridoline 2 หลายเดือนก่อน +5

    chuki ni katumiwa ni vtu vibaya sana mzeee unatumiwa 😂 mungu atujaliee maishaa mazuri atuepushe na njaaa tusije kuwa kama hawa wazeee kutumiwa kufanyaaa ujinga😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 2 หลายเดือนก่อน +2

    Studio Ina uyanga ....

  • @zakaria924
    @zakaria924 2 หลายเดือนก่อน

    Assumptions & Gossip za wapokea hahaha 🤣🤣

  • @Cosrey
    @Cosrey 2 หลายเดือนก่อน +2

    Swali langu kwenu nyote hapo studio" Hivi mnahisi Hilo Jambo Lina madhara gani kwa wanachama na mashabiki pia na wachezaji kwa ujumla ??

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 2 หลายเดือนก่อน +21

    Jamanii sipati picha ingelikuwa ni Simba iyo studio leo ingekuwa ni furaa

    • @MwajumaNgaruma
      @MwajumaNgaruma 2 หลายเดือนก่อน +3

      Acha2😂😂😂

    • @binkokisalikoi9019
      @binkokisalikoi9019 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sana

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @mkamaboy2016
      @mkamaboy2016 2 หลายเดือนก่อน

      LEO YAMETULIA KINA JOB, MKULE,KITENGE, NA WENGINEO HAKUNA KUCHANGIA MADA YAMETULIA MNO

  • @SijapataMathiasJosephat
    @SijapataMathiasJosephat 2 หลายเดือนก่อน +5

    Me binafsi namwomba Eng Hersi aelewe uongozi ni gunia la misumari aswaze kuhusu maumivu inabidi atizame zaidi makusudio na malengo yako kwa ajili ya maslahi ya Young Africans

    • @xfamefatetv
      @xfamefatetv 2 หลายเดือนก่อน

      Shame on you too Maskini😂

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa angekuwa Mo hii studio wangeshambulia lakin hapa wanajaribu kutetea kila kaeneo hapo ndipo utatambua hawa wachambuz wala lushwa

    • @AyubuKaduma-w3q
      @AyubuKaduma-w3q 2 หลายเดือนก่อน

      Ingekuwa Simba wangeongeza moto

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 2 หลายเดือนก่อน

      Simba angalieni ya kwenu

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 2 หลายเดือนก่อน

    Hongereni hapo studio,na nina wakubali kinoma.

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa hiyo kumbe mnajua km jamaa hakukaa kihalali?
    Sasa mbona mnatetea

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mbona maamuzi yametoka bila hata mshtakiwa kuulizwa?

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dah mafanikio ya yanga yata towa watu roho😢

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv 2 หลายเดือนก่อน

    MWAIPOPOOOOOO.....

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga fm ipo hewani😂

  • @Funyvideos708
    @Funyvideos708 2 หลายเดือนก่อน

    Yani ingekuwa Simba wangeua sanaaaaa yani

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga uwaneniii kabisaa tutakula nyama zeni

  • @DoctorBaddest
    @DoctorBaddest 2 หลายเดือนก่อน

    Makumaaaaaa awaaaa

  • @HASSANFUMU-g6i
    @HASSANFUMU-g6i 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania 🇹🇿 eeeeee nchi yangu eeeeee

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mambo ya Simba mnafurahi sana

  • @Cosrey
    @Cosrey 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jibun koment

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 2 หลายเดือนก่อน

    ONA KITENGE NA WASENGE WENZAKE ETI WAMETULIA TULIIIIIIII😂

  • @kamandamlimaog3430
    @kamandamlimaog3430 2 หลายเดือนก่อน +1

    wasafii mnauyanga yanga sana katikaa uchambuzi wenuu
    Simba hawana shidaa na matatzoo ya yangaa
    Simba wanaangalia Yao ya lawii

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana nmeacha kusikiliza hili li REDIO uchwara. Hawa sio watangazaji, ni machawa wa Utopolo.......

  • @bymnyaru
    @bymnyaru 2 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda kuuliza kwenye huyo magoma yupo kwenye balaza la wazeee

    • @khamisihussein8777
      @khamisihussein8777 2 หลายเดือนก่อน +1

      hahah wazee wenyewe wanasema wamemfukuza mzee wamigogoro

    • @DottoMoshi-x9o
      @DottoMoshi-x9o 2 หลายเดือนก่อน

      Hakuna ata anae mjuwa kwenye balaza chura tu huyo

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 2 หลายเดือนก่อน

    Za ndaniiiiiiiii

  • @felixmwayeya6716
    @felixmwayeya6716 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndo debora magoma mwenyewe sasa😂😂

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 2 หลายเดือนก่อน +2

    HATA SIMBA SUALA LA LAWI SIMBA IMETULIA TULIIIIIII......

  • @ArabiAyubu
    @ArabiAyubu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wasafi na yanga yao

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 2 หลายเดือนก่อน

    😅😅Kisu kimechoma kwenyewe!

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama anauwezo huyo magoma apeleke mguu wake apo jangwani aone

  • @AllanKabuga-k2d
    @AllanKabuga-k2d 2 หลายเดือนก่อน

    Ingekua Simba hapo studio kungechafuka

  • @JabirAthuman-d6d
    @JabirAthuman-d6d 2 หลายเดือนก่อน

    Mlikuwa wapi kujua kma ayupo mwenyewe

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m 2 หลายเดือนก่อน

    SUBILINI MO MUIONE HII STUDIO

  • @goodlucksalumu1818
    @goodlucksalumu1818 2 หลายเดือนก่อน

    nani akupe like kenge wewweeeee

  • @martinejohn714
    @martinejohn714 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo magoma njaa zinamsumbua atafute chakufanya yanga siku hizi imeacha kushibisha matumbo ya watu

    • @bone102
      @bone102 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 we kweli dishi limeyumba kushibisha matumbo wakat mshatapeliwa billioni 1 mnaambiwa ni hasara ya timu😂😂

  • @khamisihussein8777
    @khamisihussein8777 2 หลายเดือนก่อน

    nimewaelewa wakuu

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 2 หลายเดือนก่อน

    Machawa😁😁😁😊

  • @JosephJumbe-w6h
    @JosephJumbe-w6h 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makomandoo wanatafuta njia ya kuingia kwenye mfumo. Njaa imekuwa kali mtaani huko.

    • @tirathegreat8839
      @tirathegreat8839 2 หลายเดือนก่อน

      Kubababake...wanaona watoto wadogo tuu wanatamba

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 2 หลายเดือนก่อน

      Wakajiunge na jeshi wapelekwe ukrein watapata pesa.

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona tunakereheka na huyo magma ambassador sio mwanachama? Nahiyo mahakama inatoaje hukumu kwa sahihi za kugushi,kama nikweli waligushi ni aibu sana kwa mhimili huu

  • @AthumanKais
    @AthumanKais 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa kudele nkbl sana🤜🤜🙂

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 2 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa Simba mamamaaaaaaa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 หลายเดือนก่อน

    Mhuuuu magoma chambo atakoma

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma Yuko sawa😂😂😂

  • @HASSANFUMU-g6i
    @HASSANFUMU-g6i 2 หลายเดือนก่อน

    Malipo hapa hapa dunian

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 2 หลายเดือนก่อน +1

    Popo mnyama😂

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 2 หลายเดือนก่อน

    GEN Z'S are typing 😅😅😅😅

  • @HermanJoseph-mi2og
    @HermanJoseph-mi2og 2 หลายเดือนก่อน

    Mnazinguaaaaa mna waponda simba sana acheni ushabikiii naona Leo habar y yangaa yn mnawadefend

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 2 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa simba Leo hpo cjui ingekuwaje wangese nyinyi Leo mmepoaaaaaaaa😁😁🏃🏃🏃

  • @thejoeclassicsoldier
    @thejoeclassicsoldier 2 หลายเดือนก่อน

    Popo sio ndege, acheni ujinga

  • @SimonJoseph-h4e
    @SimonJoseph-h4e 2 หลายเดือนก่อน

    Ubaya ubwela machambuzi machoko

  • @dicsonbiko-wz7ym
    @dicsonbiko-wz7ym 2 หลายเดือนก่อน

    wasafi imekaa kiuyanga yanga tu😅😅😅

  • @ludovickkimaro6362
    @ludovickkimaro6362 2 หลายเดือนก่อน

    Wasafi na Yanga yao sasa ingekuwa Simba ohooo sipati picha

  • @gilbertfrancis217
    @gilbertfrancis217 2 หลายเดือนก่อน

    Wachambuzi hamnazoo hasa maulidi kichwa majii kabisaa

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa zandani wewe c ni mdudu mwenzetu tu

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmmmmhhhhhhhhhhh mrudisheni madarakani huyo ataleta tafrani jangwani

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 2 หลายเดือนก่อน

    Kipindi Cha michezo kimebadilika kimekuwa udaku wa dida

  • @SaimonAnton-rj3vt
    @SaimonAnton-rj3vt 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwaipopo

  • @Athmanichambuso
    @Athmanichambuso 2 หลายเดือนก่อน +1

    nimikulewa hap

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 2 หลายเดือนก่อน

    Magoma ni Messi mtupu😂😂😂

  • @MdaluLipanda
    @MdaluLipanda 2 หลายเดือนก่อน

    mjukuu wng momo upo sawa mie babu yako muba

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 2 หลายเดือนก่อน

    Kuanzia leo viongoz wa simba na wansimba tuhme hii media inauyanga sana sasa mamb ya yanga na simba wapi kwa wpai eti wakti sisi tunaongea mzee kaamkia avic na wanae aloo dah nije nion msemaj wa simb akiend wasafi nahama timu

  • @salumobed5980
    @salumobed5980 2 หลายเดือนก่อน

    Simba Huwa inakomaliwa balaaa dah.... Ila kwa sabAbu ni Yanga

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 2 หลายเดือนก่อน

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 2 หลายเดือนก่อน

    maambo ya simba mnashabikia lakn ya yanga aaaah kuma zenu

  • @HamisMdamu-en5fe
    @HamisMdamu-en5fe 2 หลายเดือนก่อน

    Popo ni mnyama sio mdudu wala ndege

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 2 หลายเดือนก่อน

    Studio yenu ni utopolo kabisa Yani Yanga

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 2 หลายเดือนก่อน +1

    INGEKUWA SIMBA MNGESEMA SIMBA Haijielewi.....LEO .MNASEMA kimajungu

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 2 หลายเดือนก่อน

      Ongea fact bro, we hapo unadhani magoma ana evidence gan ya maana katika Hilo?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 2 หลายเดือนก่อน

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zainabbakari-vw4jy
    @zainabbakari-vw4jy 2 หลายเดือนก่อน

    Na huu ndo ukwel

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 2 หลายเดือนก่อน +2

    wakwanza nipeni like zngu😢

  • @mussakunenga8866
    @mussakunenga8866 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni uyanga

  • @MdaluLipanda
    @MdaluLipanda 2 หลายเดือนก่อน

    momo msalimie ndg yng mauridi

  • @LucyMtweve-i9b
    @LucyMtweve-i9b 2 หลายเดือนก่อน

    Sipati picha ingekuwa simba momo unavyoivumisha zandaaaaaaani

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 2 หลายเดือนก่อน

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @manfredmlay2743
    @manfredmlay2743 2 หลายเดือนก่อน

    Popo ni mbuzi sio mdudu

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ndio watu wameaniniwa na TV walete habari za michezo shame of you

  • @AyubuMwakalibule
    @AyubuMwakalibule 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sheli zipo ili zilindwe ko kama mtu kawafanyia mema ndio avunje shelia mgebadili ndio mmpe mtu uongozi mbona ingewezekana tu alaka sio nzuri,

  • @AziziAbdala-tw6uf
    @AziziAbdala-tw6uf 2 หลายเดือนก่อน

    bundi limeanza kuzagaa yanga

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 2 หลายเดือนก่อน

    Wote hawa ni uto wanaongea kiwoga woga

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 2 หลายเดือนก่อน

    Ingekuwa lunyasiiiii

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 2 หลายเดือนก่อน +1

    Momo wacha uongo

    • @SimonAmon-dr8xw
      @SimonAmon-dr8xw 2 หลายเดือนก่อน +1

      msenge Wewe

    • @agnetorjohnson102
      @agnetorjohnson102 2 หลายเดือนก่อน

      Makasiriko ya nn sheikh ​@@SimonAmon-dr8xw

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity 2 หลายเดือนก่อน

    Mwaipopo ni mshamba toka malawi ndio maana anatumika kifala afu hana hata kadi ya uanachama

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 2 หลายเดือนก่อน

    Mnadhihirisha wazi kua mnaongea kiyanga yanga tu mbona Mambo ya simba hamuyapambi hivyo mungeongeza chumvi kibao mbwa nyie

  • @mjuaelias3681
    @mjuaelias3681 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bundi huyoo jangwani,

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 2 หลายเดือนก่อน

      Kafia mferejini, tuma mwingine.

  • @BarakaMalekela-nf6gv
    @BarakaMalekela-nf6gv 2 หลายเดือนก่อน

    Bola mgombane tu

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi wewe Kitenge wataka kusema Yanga hawakuwahi kufika mahakamani kwa hii kesi ?
    Hii ni mahakama ya kisheria na sio wale Tff. Wacha kuwapotosha wanachama wa Yanga.

  • @JohnKabuka-o7h
    @JohnKabuka-o7h 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jangwani kumekucha

  • @bonfacemassawe3394
    @bonfacemassawe3394 2 หลายเดือนก่อน +1

    Popo si ndege bali ni mnyama.

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 2 หลายเดือนก่อน

    Mwai popo hyo