SHOW YA DIAMOND ZNZ: Amuongelea Zari na Dongo la Insta jukwaani kwa dakika 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2017
- Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz jana usiku alifanya show Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan ambapo pamoja na kuimba nyimbo zake, alimuongelea kwa dakika 2 Mama watoto wake Zari na jinsi kuzaa na Hamisa kulivyomtesa.
Asikwambie mtu mond uko level ingne alafu sauti yako unique sana..mi nikiskiaga nyimbo zako tu naskia zagusa mpka moyoni no 1 fun am dying kuattend show yako japo moja...+254 Mombasa
Ya da best kwa performance achana na wale wakulaza ukumbi...i wish niattend show yako moja aki...+254 Mombasa
safisana simbaaaaaa pamoja nnjoo tena znz kwa maranyingi zaidi tunakukaribisha
Zari is your energy together you're incredible...check this show is what we expected in Uganda
Show ilikuwa Nzuri sna. Nimependa cna
Wow nimependa sana iyo part wazanzibari wanaimba
Leo umekuwa wewe, show ya Marekani ulipooza sana dogo. Ila sababu bibie huko pembeni, nilikushauri good you are together now. Achana na mapenzi ya mtandaoni! That Ugandan girl is your star!
lovely daimon,uko,juu
big up simba ...... ! yote yatabaki story tu...!
Zari hallelujah ua an angel 😇 dear so lovely mhhhh una nyota dada
Mond unatisha ww si wanchi hii hatar nakupenda 2 bure yani
dance style iko👌👌👌👌
Wow lovely song Diamond
Simbaaaa. Usiachane na zari.
hapo ni balaa sana dai chapa kazi achana na midomo ya watu wauweeee
So creative plutnumz
pole sana hamisa poleeeeeeee👌👌👌😀😀😀😀😀
kweli kaka uliteleza bahati mbaya kila binadamu inamkuta iyo love you so much kaka dai
Salam zao wanojinganganiza wanaziniwa miaka tisa .ujanja kupata bibi kuwahi hakuna mana na ujana wake kaachwa solemba bwana anamtambisha malkia wake hofu hanaaaa.....vijana jitambieni wenyewe...
zari jivunie kitu kwamba diamond is on your side ni raha kupendwa na mmeo n raha ata akija kuwa upande wa hamisa n kwajir ya mtoto kwaiyo hamisa kaz unayo kujibebisha diamond hakupend miaka tisa asingenda uganda kuowa wakat uko tz angekuwa anakupenda angekuwa ndan kaz unayo angalia maisha yako na watoto wako