Burudani ya hii nyimbo nzuri kutoka Kwa ng'wana kang'wa tunaipata tukiwa dar es salaam kinondoni na ndugu zangu wakina doto ng'wana sawaka na paschal mayunga na mungu akubariki sana ndugu yetu uendelee kuupeleka mbali zaidi mziki wa asili kutoka Kanda ya ziwa,👏👏👏
Wewe ni hatati ....hongeraa sana nakupata nikiwa bujumbula brdi...wabeja sana ntemi.
Mungu akawe na ww kilaa hatua Dua kk naona ulikuwaa usagali wilaya ya uyui kama cjakosea karibu sana Wilaya Ya Nzega kk mungu akutanguliee 💐💐💐💐💐🙏🙏🙏
Burudani ya hii nyimbo nzuri kutoka Kwa ng'wana kang'wa tunaipata tukiwa dar es salaam kinondoni na ndugu zangu wakina doto ng'wana sawaka na paschal mayunga na mungu akubariki sana ndugu yetu uendelee kuupeleka mbali zaidi mziki wa asili kutoka Kanda ya ziwa,👏👏👏
Ntuzzu umechelewa sana
Kweli Leo umeniwahi
Hongera sn kaka nyimbo ni nzr sn mungu akupe maarifa zaidi
Nakupata vizur ndugu yangu kutoka Zanzibar kila la khery ndugu yangu fundi san wewe
Hongera sana boss
Nyimbo zako ni zr wabeja sana
Nakukubari ma blaza ukovizuli❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana ndugu🙏
Napenda sana nyimbo zako nakupata nikiwa Arusha
Kaz zr kaka
Hari sana❤
Asante kwakazi nzuri
Napenda Sana nyimbo zako
Ukabheje li kaya
Ulisiza ong'wa nganundo tulaga shunguli fedu
Dar saw
Good
Sauti ipo vzuri
Mambo vp
Natamani kujua kisukuma ili niwe nakusikiliza
Napenda Sana nyimbo zako
Napenda Sana nyimbo zako