ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Good Mr kishimba for your hospitality
Mungu,wabariki sana ULIO WAPA akili za KUZALIWAhapa ndio wenye imani watambue kuwa,MUNGU na ELIMU ya duniani,ni vitu tofauti sana
Mungu akubariki sana
Mh kishimba unatisha upo vizuri sana
Kweli kabisa Mungu akubariki sana
Sijawahi ona mbunge ana akili kushinda huyu🙌🏽🙌🏽aisee Mungu ambariki huyu baba
Mh, kishimba uko vizuri Sana. Unajua uhalisia wa maisha yetu huku mtaani.kwakweli mungu akusimamie daima.
L
😂😂😂😂😂 v 😂😂v v😂 😂bv😂😂v😂v v b😂😂b😂😂 b😂😂😂b😂😂bv😂😂 😂😂😂😂😂
Watanzania wengi ni masikini Sanaa!! Wakiuguliwa na mmoja wa familia Kwa muda wa mwezi mmoja tu!! Ujue hiyo familia itakuwa hoi kiuchumi!! Na Hilo limeumiza wengimnoo!!
I❤ so much this tv
Kishimba ukosawa nduguyetuu 🤝🤝💯💚💯
Mm siipendi Ccm Hadi Nakufa Lkn Kwaili Analongea Sishimba Mm Nikopamoja Nae Watu Wanaziacha Maiti Kwakukosa Ela Iv Nyinyi Ccm Amuogopi Kufa?
Huyu mh kishimba mawazo yake ni makubwa mnooo ila hawa wanao mbeza uwezo wao wa kufikili ni shida
Ila Tanzania tujaliwa sana vipaji
Kwelikabis mie mwanangu alitaka kunitoka kwauzembe wa daktali aliacha kumuhudumia kisapesa nilichukua pesa zannje kuwap walikataa mpakamtoto anaishiwa nguvu sitosahau tokeo lile
Professor kishimba
Baba mb zangu zinaenda kihalali pga kazi baba
Iv wanainchi nmaskin kwnn wabunge msiwaze njia za kuondoa umackin bali kodi nyingi mnamtwika mwananchi hii nivpi
Nikweli kabisa
Vp mwananchi ajiunge na bima wkat ukienda hospital unaambiwa haifanyi kaz hii haifuatiliwi
Hilo ni kweli kabisa
Wamachinga ndo waliifanya kaliyakoo mmewafukuza hapo mtapotea
mzee huyu ni keki ya taifa.
Kishimba nakuombea siku Moja UWE rais wa nchi hii angalau Mika miwil tu nna haikua utainyosha nchii hii
Kweli
Nikwelikabisa mzee kishimba nivyemawengekusikiliza ushauri wako mzurinawakaufanyia Kazi ungewasaidia Sana Sana
Izo dawa ziko wapi acheni uongo😄😄😄
Ni sawa tu wapokee mali
akil sanaaaa
Cartoon
Kishimba wewe ninoma unajua matatizo yetu huku mtaani
Huku nikufilisika masha hata mati nipesa tmekwisha
Good Mr kishimba for your hospitality
Mungu,wabariki sana ULIO WAPA akili za KUZALIWA
hapa ndio wenye imani watambue kuwa,MUNGU na ELIMU ya duniani,ni vitu tofauti sana
Mungu akubariki sana
Mh kishimba unatisha upo vizuri sana
Kweli kabisa Mungu akubariki sana
Sijawahi ona mbunge ana akili kushinda huyu🙌🏽🙌🏽aisee Mungu ambariki huyu baba
Mh, kishimba uko vizuri Sana. Unajua uhalisia wa maisha yetu huku mtaani.kwakweli mungu akusimamie daima.
L
😂😂😂😂😂 v 😂😂v v😂 😂bv😂😂v😂v v b😂😂b😂😂 b😂😂😂b😂😂bv😂😂 😂😂😂😂😂
Watanzania wengi ni masikini Sanaa!! Wakiuguliwa na mmoja wa familia Kwa muda wa mwezi mmoja tu!! Ujue hiyo familia itakuwa hoi kiuchumi!! Na Hilo limeumiza wengimnoo!!
I❤ so much this tv
Kishimba ukosawa nduguyetuu 🤝🤝💯💚💯
Mm siipendi Ccm Hadi Nakufa Lkn Kwaili Analongea Sishimba Mm Nikopamoja Nae Watu Wanaziacha Maiti Kwakukosa Ela Iv Nyinyi Ccm Amuogopi Kufa?
Huyu mh kishimba mawazo yake ni makubwa mnooo ila hawa wanao mbeza uwezo wao wa kufikili ni shida
Ila Tanzania tujaliwa sana vipaji
Kwelikabis mie mwanangu alitaka kunitoka kwauzembe wa daktali aliacha kumuhudumia kisapesa nilichukua pesa zannje kuwap walikataa mpakamtoto anaishiwa nguvu sitosahau tokeo lile
Professor kishimba
Baba mb zangu zinaenda kihalali pga kazi baba
Iv wanainchi nmaskin kwnn wabunge msiwaze njia za kuondoa umackin bali kodi nyingi mnamtwika mwananchi hii nivpi
Nikweli kabisa
Vp mwananchi ajiunge na bima wkat ukienda hospital unaambiwa haifanyi kaz hii haifuatiliwi
Hilo ni kweli kabisa
Wamachinga ndo waliifanya kaliyakoo mmewafukuza hapo mtapotea
mzee huyu ni keki ya taifa.
Kishimba nakuombea siku Moja UWE rais wa nchi hii angalau Mika miwil tu nna haikua utainyosha nchii hii
Kweli
Nikwelikabisa mzee kishimba nivyemawengekusikiliza ushauri wako mzurinawakaufanyia Kazi ungewasaidia Sana Sana
Izo dawa ziko wapi acheni uongo😄😄😄
Ni sawa tu wapokee mali
akil sanaaaa
Cartoon
Kishimba wewe ninoma unajua matatizo yetu huku mtaani
Huku nikufilisika masha hata mati nipesa tmekwisha