Kishimba ashusha nondo NZITO kwenye elimu Bungeni; ataka uanzishwe mtaala wa wafanyakazi wa ndani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 ปีที่แล้ว +15

    Intelligent man..... ndiye mbunge pekee mwenye point zenye maana ya kiwango cha juu ktk nchii yenye wabunge waongo

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma ปีที่แล้ว

      Mawaziri ndo waongo bora wabunge wakaida ila mawaziri wakuteuliwa niwaongo cheupe chanjano nawabunge baadhi yawanawake niwaongo saana

    • @petrusmakupe2093
      @petrusmakupe2093 ปีที่แล้ว

      Sanji alifungwa mtoto wangu ukoo wangu.kabila langu..kwamwe ...ya.gete

  • @BarakaJuma-sk4xx
    @BarakaJuma-sk4xx 4 หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa sana mam Samia ampatie unaibu waziri waviwanda atatuvusha

  • @henericomasanja
    @henericomasanja ปีที่แล้ว +5

    Kishimba a Big Brain Man 💯💯✍️🙏🙏

  • @renataraymond1545
    @renataraymond1545 ปีที่แล้ว +3

    Safi point kubwa

  • @ElishaMcharo-u5m
    @ElishaMcharo-u5m 5 หลายเดือนก่อน

    Mh kishimba na kuwelewa sana

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 ปีที่แล้ว +6

    Huyu mzeee anajua Sana kuweka point za maaana pongezi sna

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 ปีที่แล้ว +2

    Kichwa sana huyu mzee

  • @DenisNyerere-gm4mt
    @DenisNyerere-gm4mt ปีที่แล้ว +3

    Hahahaaaaa😂😂😂😂namkubali sana uyu mzeee kishimba

  • @mh9251
    @mh9251 8 หลายเดือนก่อน

    Mh. Kishimba nakuheshimu sana. Unafikiria jambo kwa chanzo kabisa kisha unaiangalia kwa undani na mapana. Hiyo ndio elimu. Wewe ni Daktari J.K.

  • @hassanjongo6265
    @hassanjongo6265 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaaa huyu mzee anafikiria njebya box sana 😂😂😂

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 ปีที่แล้ว +2

    Facts

  • @shafiimwehemba4549
    @shafiimwehemba4549 ปีที่แล้ว +2

    Point zenye kueleweka zisizohitaji akili nyingi.

  • @perfectmassawe4758
    @perfectmassawe4758 ปีที่แล้ว +4

    Mzee wetu una mawazo ya viwango sana

  • @BenjaminMnyasa-ks4qt
    @BenjaminMnyasa-ks4qt ปีที่แล้ว

    Upo vizur

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 ปีที่แล้ว +1

    Big thinkers Mr. Kishimba, naunga mkono hoja unazozitoa una akili kubwa Sana, hao wanaotunga sheria ni vipofu wa sheria na ni wavivu wa kufikiri, hebu fikiria mtoto wa sekondari ambaye tayari amevunja ungo au kubalehe, huyu kanuni ya maumbile aliyoumbiwa nayo inaanza kumfosi ili apate dudu akiwa ni wa kike na wa kiume anaanza kuwa forced kupata nyugunyu, hivi kweli Kuna mtu anaweza kupambana na maumbile? Mi naungana na kishimba wakifikia balehe waruhusiwe kupeana dudu na nyugunyu na ikibidi wafungishwe ndoa kwa sharti la kutopeana mimba mpaka hapo watakapomaliza masomo lakini pia wazazi wa watoto wachukue dhamana ya kuendelea kuwalea watoto wao. Hata ukiwazuia wasiolewe bado wanaoana ndoa zisizo rasmi na wanapeana nyugunyu kkama kawaida. Tutafakari na tuchukue hatua

  • @elvismtai84
    @elvismtai84 ปีที่แล้ว +2

    Du wewe mzee unajua Sana,kwanza hao hao waliopeana mimba wangezalisha Sana pia watoto wao wangetunzwa,istoshe wote wawili hawakuwa na nia ya kusoma,Ni Bora waachwe wakazaliane

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 ปีที่แล้ว

    Hivi mnamuelewa Mh.kishimba?

  • @johnluis35
    @johnluis35 7 หลายเดือนก่อน

    Tunahitaji mitaala na elimu inayoendana na mazingira na Dunia ya Sasa sio elimu ya mkoloni kuandaa watumwa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli Mhe.Mtoto wa kiume unapofunga miaka 30 huku nyuma mtoto yule baba yake kufungwa ahudumiwe na nani?wazazi wanapata shida nyuma huku ya kulea bint yao na mtoto.Kijana anakwenda jera kumaliza Dona la Serikali bure.Waowane tu walee mtoto.

  • @alexwailod5589
    @alexwailod5589 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee nondo , utasikia tunakata boom

  • @magongwematinde5773
    @magongwematinde5773 ปีที่แล้ว +1

    tutamuelewa zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @japhethlugwisha7921
    @japhethlugwisha7921 ปีที่แล้ว

    Hv mbunge kishimba mbona jimbo lako la Kahama limechoka? hujawahi kufanya chochote kuhusu maendeleo, bas tu.

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 ปีที่แล้ว

    Leo Mwanaume Hana mtetezi kabisa
    Bora Wewe umeliona hilo la Hawa wa shule maana nao wanamitego sana yaan

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 ปีที่แล้ว

    Kishimba ni mbunge wa kuchaguliwaaaa kwwl kwa uhallai

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 ปีที่แล้ว

    Hahaahaha mbuzi wa mizimu

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma ปีที่แล้ว

    😂😂😂 kosa lao kubwa nn adi yupo magelezani mawaziri wajibu maswali mepesi afu magumu kujibu

  • @LoxloxJuma
    @LoxloxJuma ปีที่แล้ว

    😂😅😂kishimba bn eti kutenga ugali kunaitaji elimu uyo jamaa namkubali na mbunge shabibu wakiongea ujui nipoint tupo nawakubali mno hawana pinda pinda

  • @FrankMalocha
    @FrankMalocha ปีที่แล้ว

    Ud

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 ปีที่แล้ว

    Mbunge wa pembeni Hana mbavu

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma ปีที่แล้ว +1

      Haelew 😂uyo kazi yake nikupiga meza tu apo ukimuliza kishimba kasema nn hajui