Hatupendi kuona watoto wanauawa popote lakini Dunia ndiyo imeamua tufike hapa. Sitailaumu Rashia ila nalilaumu Shirika la Umoja wa Mataifa U N, kwasababu maafa yaliyo tokea Ukraine hayako tofauti na Yale yanayo tokea Palestina na watoto walio fariki Ukraine ni sawa tu na wale walio fariki Palestina. Mungu zilaze roho za watoto wote wanao fariki kwa vita Duniani. Amina Amina
Walikufa watu zaidi ya 200 pale Urusi siku ile waliposhambulia kwenye lile duka la shopping mall!! Moscow. Je waliokufa hawakuwa watu? Zelensky tulia tu, hiyo ni kionjo bado dozi kamili.
Wa ukrane na warusi wote ni binadam wanastaili kuishi allha awarehem waliofaliki mtu Mbaya hapa ni NATO wakiongozwa na nchi ya marekani cha msingi wakae Mesa moja kijadili hili liishe binafsi inaniuma Mana wanaokufa ni binadam wenye haki ya kuishi
Sina uhakika ila nazan hii ni red flag ukraine kufanya tukio mwenyewe kupata sababu ya kufanya jambo flani... poland na ukraine wamesain mkataba nazan unauhusioano kias na hili shambulizi
Zelens bana, haya aweee. Sie watz yetu macho, baada ya mwaka 2040 vizaz vijavyo watakuja nao kusimuliwa, kama sie tu tuliosoma kwenye historia vita ya 1 na ya 2 ya dunia
Russian haiwezi kupiga bila target putin yupo makini sana .huenda hapo tayari kulikua na mamluki wa magharibi hivyo kama alivyosema putin atapiga pale anapoona ni kituo cha mataifa ya magharibi
Kwawatu wasio kuwa nahakri watamwona zelensk mjnga lakini ikumbukwe hata adorufu hitrla halishawai kufanya ktondo kamaicho urusi kwa kisingizio hanawatafta wayaun na hakauwa watu milion 21 lakini hawakukata tama wakasmama himara wakamshnda huku mchango mkubwa uktoka kwa marekani
Uyo si alipewa mitambo ya ulinzi wa Anga juzi tu na ujerumani vipi bado anapigika, hizo kombola zilizo tumika ata Nato awawezi kuzizuia vile zenye hazina engen azizalishi joto zikiwa zinasafiri kufikia taget, Zerensky akubali tu yaishe akae mezani
Unaposema wamekufa angalau watu kumi kiswahili hiki kinamashaka kiswahili safi useme wamekufa watu kumi Neno angalau hutumika unalihitaji jambo.hilo jambo Bado hujalipata.mfano Mvuvi anasema Leo bahari imechafuka ningelipata ANGALAU Samaki mmoja.neno angalau linaenda sambamba na neno hata kama Lakini neno hili Angalau linatumika vibaya Sasa siku hizi
Kwanza kama Iko na akili asipime kabisa ku rudisha kisasi ndipo atakiona kile kinacho fichwa juu ya hayo mashambulizi. Hiyo nikulipiza kusasi, kwenye. A shambulizi yaliyo fanywa na Ukraine pale Crimea kwenye Bichi 😅😅😅😅
Hatupendi kuona watoto wanauawa popote lakini Dunia ndiyo imeamua tufike hapa. Sitailaumu Rashia ila nalilaumu Shirika la Umoja wa Mataifa U N, kwasababu maafa yaliyo tokea Ukraine hayako tofauti na Yale yanayo tokea Palestina na watoto walio fariki Ukraine ni sawa tu na wale walio fariki Palestina. Mungu zilaze roho za watoto wote wanao fariki kwa vita Duniani. Amina Amina
🧭🤳 wakwanza Leo...😭😭😭 inasikitisha sana hii hali 😭😭 nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mkoan wa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa ❤️❤️
Yani yeye kilasiku yuko zialani zelensk 🙌
Hiyo ni hospital sawa lakini lilikuwa ni genge la wajeda wa magharibi hapo waliweka kambi mrusi mafia sana aisee
Walikufa watu zaidi ya 200 pale Urusi siku ile waliposhambulia kwenye lile duka la shopping mall!! Moscow. Je waliokufa hawakuwa watu? Zelensky tulia tu, hiyo ni kionjo bado dozi kamili.
URUSI WALIKUA kusema ni ISIS na hakuna MKONO WA ukraine sasa sijui unaropoka nini
Mashoga zelensky na wenzake
@@Mumewangu shoga baba yako
@@josephwilliam5813ww choko
Nice hiyo ni hosp lakini ndio walikuwa wanafikia Askari kutoka mataifa ya ulaya na USA
Mungu atusamee
Ziarani tena hela anatoa wapi
Yan tunamwinda huyo raisi wa ukrein kombora lake lipo tyr siku zake zinahesabika
Kama ni Hispitali wanajeshi walifuta nini huko Hospitali??
Juzi alipiga bichi uko cremea aliona poa zelesky asilie liie.
Mi nampenda putin akixema atalipisa basi sobiria majibu yake 🙌🙌🙌 kasema na hapo badoooo.. samahani mafua yamenikamata leo kwenye kuandika 😂😂😂
Sisi kama warusi tutapiga popote pale hamna kenge atazungumza lolote
Safi
Matokeo ndio hayo yanaanza kutengezwa
Uongo huo hao watoto hapo wameletwa tuh ili kuteka hisia za watu
Me ckufaham ila we msomi mwanamiz 😂
Sad
Kwani sisi hatujui kama mlificha silaha pale na wanajeshi wa maghalibi pale ndio wamepiga hapo mtajuta safari hii
😢😢😢😢
Ongelaa papa putin
Safi sana mie natamani iwe zaidi ya hapo
Huwa mnapenda vita ila wakianza pigwa Gaza mnaanza lialia saiv mnafurahia
Hawa akiri hao ndo maana nafurai izilaer ikiwatandika baba zao waarabu🦁@@lakasid3860
Kuna gaza hapo imejadiliwa ? Au ulikua usingizini ? Pole@@lakasid3860
Ebwanae
Hangary inakufuata zeleksi
Mimi nalaumu Urusi kwakuvamiya Ukrein
Ganzi bado aijakutoka ww zelensky usubili itokee yajayo yanafurahisha
Yani zelensk muongo sanaa
Yan ukweli wa mambo ni kwamba siyo watoto walificha silaha kwenye jumba la watoto ili zisishambuliwe urusi hawez shambulia watoto
Urus piga awo mpaka maji waite mma
Kabx kama Israel inavofanya palestina iuwe wote mpk wafiristi waseme Israel ni mtoa roho
😂😂😂😂
@@charlesboniphace2249Israel mashoga wadhaifu waoga
Na bado 😏😏
Yaani mtu anajipiga bomu arafu anaomba msaada wa dunia makisema ione kilichotokea
Wamagharibi baadhi ya matukio wanatengeneza picha za uongo kuichafua urusi na hili limegundulika huko mariopol na miji mingne
SA SI MBISHI
Tuliona mnajadili ujinga ndio maana tumelipua
😂😂😂😂😂❤bado cjaona PUTIN/RUSSIA ToA kichapo
Akili zako ni k
Wa ukrane na warusi wote ni binadam wanastaili kuishi allha awarehem waliofaliki mtu Mbaya hapa ni NATO wakiongozwa na nchi ya marekani cha msingi wakae Mesa moja kijadili hili liishe binafsi inaniuma Mana wanaokufa ni binadam wenye haki ya kuishi
Russia uraaa , kwani wew ulipo ua watujuzi pale Russia ulitegemea matokeo yake nini ?
Pinga mpaka anye kabisa mjinga huyo myahud
Mimi Niko naputin mpaka Ukraine itoke nyuma ya marecani 😂😂yani mtapigwa sana tu
Ungekua against na marekani usingetumia HATA TH-cam matumizi ya TH-cam PESA unapeleka marekani shwaini
Hata wew unapeleka marekan iyo ni biashara
@@WadySaidi si tofauti na marekani wewe unaeichukia susa na mitandao yao ili tujue umemaanisha
Endelea kusikila nato wakat raiya wako wanaisha na huna msuli wakumpiga uyo urusi
zelesky ni kirusi ameingiza nchi kweny kwa maslahi ya nato
Hakuna kitu mnavuna mlichokipanda Wayahud wakiguswa wanapiga kelele Zelesky ndio mshenzi
Sina uhakika ila nazan hii ni red flag ukraine kufanya tukio mwenyewe kupata sababu ya kufanya jambo flani... poland na ukraine wamesain mkataba nazan unauhusioano kias na hili shambulizi
Zelens bana, haya aweee. Sie watz yetu macho, baada ya mwaka 2040 vizaz vijavyo watakuja nao kusimuliwa, kama sie tu tuliosoma kwenye historia vita ya 1 na ya 2 ya dunia
Leo tu wamelambishwa mchanga watu 40
vp na kule parestina
hakuna namna mtu akimwaga mboga mwaga ugali kanyaga kanyaga na vyombo😂😂😂
siwaliuwa watoto wa urus
Mwana kulitafuta 😂😂😂😂😂
Russian haiwezi kupiga bila target putin yupo makini sana .huenda hapo tayari kulikua na mamluki wa magharibi hivyo kama alivyosema putin atapiga pale anapoona ni kituo cha mataifa ya magharibi
Vivaaaaaa ukrainaaaaa😢
Chamsingi watu wanapewa honi ili wakimbie inchi bado mapema
Putin piga hao
Mbona wewe uliuwa watu urusi unajisahaulisha sijuzi tu tulia dawa ikuingie
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
Ukraine imeua watoto kwenye mji wa urusi uko Crimea Beach, hajajua kama wale sio watoto
Zelensky Ni mpumbavu hapendi amani unatarajiya Nini
Tutalipiza kisasi
Wapi NATO
Mbna azungumzii gaza putin piga wao
Yaa na Gaza wapigwe tu
Ukidhani ukraine hawastahili kunawanaodhani wagaza ni mbwa
Ukraine wanawauwa Raia wa Urusi kila leo mbona sasa zelensky ananza kuhara
Kwawatu wasio kuwa nahakri watamwona zelensk mjnga lakini ikumbukwe hata adorufu hitrla halishawai kufanya ktondo kamaicho urusi kwa kisingizio hanawatafta wayaun na hakauwa watu milion 21 lakini hawakukata tama wakasmama himara wakamshnda huku mchango mkubwa uktoka kwa marekani
Haulewiki
Ctory
Wewe hakuna unachokijua KUHUSU hii Dunia tulia Tena na ukae kimya
Mbwa wewe hujui chochote nenda Kwa mashoga wenzio mkafilwe kwanza
@@mahmudahmad5369 ww hunaelewa ukiwa wap hatawe hakuna unachoerewa
Uyo si alipewa mitambo ya ulinzi wa Anga juzi tu na ujerumani vipi bado anapigika, hizo kombola zilizo tumika ata Nato awawezi kuzizuia vile zenye hazina engen azizalishi joto zikiwa zinasafiri kufikia taget, Zerensky akubali tu yaishe akae mezani
Hiyo ni False flag,ukraine inapanga kufanya jambo baya dhidi ya Urusi.
Bado haujasema na hiyo haitoshi inawezekana haujalizika kalibu kulipa kisasi upewe saiz yako wewe Putin anakubeba sana ningekuwa mimi naongiza Moscow sahizi ungekuwepo huko ahela madukani
Ahela utaenda HATA wewe
Zelensiki ni mpumbavu anawaskiliza wamarekani wasiojua vita
Navip kuhusu GAZA
Sisi warusi hatupuuziwi
Putin 🥰✊
Mnajipiga wenyewe mnaseme Putin
Unamaanisha ukraine imejivamia si NDIO?
Unaposema wamekufa angalau watu kumi kiswahili hiki kinamashaka kiswahili safi useme wamekufa watu kumi
Neno angalau hutumika unalihitaji jambo.hilo jambo Bado hujalipata.mfano Mvuvi anasema Leo bahari imechafuka ningelipata ANGALAU Samaki mmoja.neno angalau linaenda sambamba na neno hata kama
Lakini neno hili Angalau linatumika vibaya Sasa siku hizi
Mbona Kiingereza hutumia neno at least? Mfano At least 10 people died
Kwanza kama Iko na akili asipime kabisa ku rudisha kisasi ndipo atakiona kile kinacho fichwa juu ya hayo mashambulizi. Hiyo nikulipiza kusasi, kwenye. A shambulizi yaliyo fanywa na Ukraine pale Crimea kwenye Bichi 😅😅😅😅
SASA NI KUPIGATUUU MPAKA WAELEWE DADEK.
Zelensk kaza haki hinapganiewa hakinahaman hawahombi haki wanaifia
Juzi yeye alivyo liga beach pale cremea Ali waza nini wapigwe Tu akili iwakae vizuri
Lazima tulipize kisasi mbwa wewe Putin unataka kutawala nchi nyingine kisa nini??
Wewe ndio mbwa mkubwa shoga wewe
Ww choko
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿👏
Ukraine tutalipza
Ww ni shoga la mashoga
Propaganda
Naona wajinga mna shangilia ujinga hamjui iposiku yanaweza wakuta. Binadamu gani mna shangilia wanadamu wenzio wanapo uwawa? Yaani nashindwa kuwaelewa hata kidogo.
Wew ni linyumbu tu
Ww choko
Choko wew mvuta Bangi ndio maana umevua nguo Bangi zimekupanda mpuuzi mjinga