Amen amen. Shetani anangaisha watu sana. MUNGU MKUU akuepushe na majanga haya. Ni hatari kubwa. (Nabaki na YESU MWOKOZI NA MWANA WA MUNGU MKUU ALIE HAI MILELE YOTE) Amen.
Ya Rabyi twakuomba utunusuru na Tamaa za kidunia na mengi Yasokupendeza wewe Mungu Tnakuomba Utuongoze kufanya yalo mema na utajalie Mwisho Mwema Ameen
Mtoto zezete Mali hakuna na majuto hadi mwisho, inasikitisha. Allah akikuepusha na ushirikina inafaa unamshukuru kila sekunde maishani mwako. Badala ya kwenda kwa mganga wange swali tahajjud pamoja wamlilie Allah, wenyewe wangeona mabadiliko
Sisubutu ata kidogo kuloga mwanangu akilogwa na jelani tu naumia je mm mwenyewe Astaghafilulahi astaghafilulahi MUNGU ninusuru bora niridhike na hali yangu
Mr Facts hongera kwa Kazi Mzuri unapambana Mungu akubarik amen 🙏 (ila watu Wengine Dah ujinga umetawala mganga Wenyewe Maskini Kwanini asiwe Yy tajiri km Kwa mganga Kuna utajiri Mungu atulinde na Mtihani hi amen Dah wamemdhulumu bure mtoto Maskini kisa utajiri Dah
Hela hizi !! Waende kwa Bishop Gwajima not all gltters are gold unaona watu wana hela unatamani that money is not really, Lord Jesus Christ can heal them
Ila shetani mshezi tena ni jeuri. Yn shahawa zko then unywe daaah😀😀😀😀😀😀😀😀😀inasikitisha uyo ni jini na sio mtoto ndo mana akataka shahawa zko .lengo Lao uyo mtoto anyonye damu ya mama .watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa 🙌🙌🙌🙌🙌waganga waganga waganga Mungu anawaona.yan waganga wanafanya vaisa vesa.mganga awezi kukupa mtoto anae toa mtoto ni Mungu tuu.na waganga sio watumishi wa Mungu Bali wa shetani so shetani ana uwezo wa kuumba. Wanacho Fanya waganga wanawapandikizia majini then yanawatafuna.
maisha mazuri ni kinga tu ya mwili wako na jitihada za kufanyakazi yoyote. Sasa haya masimulizi unamuamini vipi mganga huu ni upumbavu huyo mganga akamatwe kabisa labda kafanya mambo haya kwa wengi sana na bado anaendelea kuwatesa watu hatari sana❌😭
Shabashi!!!! Hivi akili zenu maji au??? Tamaa mbaya sana!!! Na adhabu ya Mwenyezi Mungu ipo juu yenu!!! Kumbuka moto wa jehanamu kuni zake ni watu na majini... na watu wenyewe ndio nyinyi..!!!
Watoto wa jinsi hiyo nimewaona wengi tu kumbe maskini wamewekwa misukule wazazi wapate pesa!!! SubhanAllah tumuogope Allah turidhike na kile alichotujalia....Mwanadamu tamaa ya upuzi ilhali maisha yetu mafupi kifo tunatembea nacho kila uchao
Davixter unaxhangaa kunywa mbegu za kiume ndo ujue utajili c masiala nilienda kijiji kimoja mama ntiliye anauza huku yuko uchi anawabong'olea lakin hamuoni kinachoendelea
Yani nilikataa wachumba watatu matajili na bibi yangu alinikataza kuolewa na matajiri aliniambia ogopa sana utajiri usioujua umepatikana vipi na sasaivi nimejifunza bora nimewachukia waganga siwapendi waongoo kz yao kuwaweka wenzao misukule
Turidhike na alivyo tujaalia Mungu kwani vitokavyo kwake vina thamani na huwezi jutia kumbuka anaebariki ni Mungu pekee yeye hawahi wala hachelewi,kuwa na subra atakubariki
Yani watu akili hatuna unaenda kwa MGANGA kutaka utajili wakati mwenyewe anakaa kwenye kibanda cha nyasi hata kitanda hana fyuuuu mtapata tabu sana kwa upungufu wa imanizenu fanyenikazi
Yaani kabla hata sija maliza kuingalia huyu jamaa boyaa sanaa sasa wote tukiwa matajiri nani ata muomba mwezie na katika maisha utajirii hauji mara moja lazima ujitumee kwanza ila pole mungu ata kuhukumu ila ume uhuru wake huyu mtoto na nafsi yake haita kuacha hadi una kufaa
Bro naona kweli unazunguka maeneo mengi. Kama unaweza ukafanya namna uwe unaweka hata namba za kukuchangia kiasi kwa ajili ya kuwezesha kazi yako. Kweli unatufunza mengi na tunajua mengi kupitia hizi stor
Yani nyie mnafikili anaweza akafany Kaz bila faida asee mgejua maana ya yutbor msingemuonea huruma huyu Dev anapiga her San hiz story ujue mnaangaria watu Zaid ya 300/ Sasa kila clp inapesa ya kufa mtu nyie mnaona anasafir bule kusak story bule mwenzenu anapiga pesa San
Amen amen. Shetani anangaisha watu sana. MUNGU MKUU akuepushe na majanga haya. Ni hatari kubwa. (Nabaki na YESU MWOKOZI NA MWANA WA MUNGU MKUU ALIE HAI MILELE YOTE) Amen.
Amen
Jamani acheni kumwamini shetani,shetani hawezi kukupa furaha hata siku moja.kazi ya shetani ni kuua,kuharibu,.kwa Mungu kuna furaha,amani, na uzima.
Amen amen amen
Ya Rabyi twakuomba utunusuru na Tamaa za kidunia na mengi Yasokupendeza wewe Mungu Tnakuomba Utuongoze kufanya yalo mema na utajalie Mwisho Mwema Ameen
Subhannallah innalillah wa innalillah raji'un ewe Mola wetu tunusuru ila wana wake mto wajahan tuko weng jili ya upuunzi wetu😞😞😞
Mtoto zezete Mali hakuna na majuto hadi mwisho, inasikitisha.
Allah akikuepusha na ushirikina inafaa unamshukuru kila sekunde maishani mwako.
Badala ya kwenda kwa mganga wange swali tahajjud pamoja wamlilie Allah, wenyewe wangeona mabadiliko
Hamidi umeonae!
Shukran kwa kutupa ufahamu mzuri tumejifunza Devistar mata story nzuri God bless you 🙏😢
Subhanaallah Allah anijaalie uridhike na umaskini wangu , mali ni mtihani.
Amin
Amiina
Amiin
Subhanallaah eee mungu tupemwishomwem wajawako
subscribe channel yangu nami nisubscribe ya kwako
Amen
Mungu atunusuru na tamaa za duniani atupe Mwisho mwema in shaallaa pamoja sana wangu dm
Mr.. facts DUNIA INAMENGI ENDELEA KUTUFUNGULIA tuna burudika na tunajifunza kupitia vipindi vyako ....
Sisubutu ata kidogo kuloga mwanangu akilogwa na jelani tu naumia je mm mwenyewe
Astaghafilulahi astaghafilulahi MUNGU ninusuru bora niridhike na hali yangu
Mr Facts hongera kwa Kazi Mzuri unapambana Mungu akubarik amen 🙏 (ila watu Wengine Dah ujinga umetawala mganga Wenyewe Maskini Kwanini asiwe Yy tajiri km Kwa mganga Kuna utajiri Mungu atulinde na Mtihani hi amen Dah wamemdhulumu bure mtoto Maskini kisa utajiri Dah
Ushirikina ni mbaya kweli jamaa kanyweshwa shahawa zake duh mungu angepitisha miujiza akabeba mimba ingekuwa raha sana
Hahahahahaaaaa laaana kabisa
Subhana Allah
Ya Allah tunusuru na udanganyifu wa dunia
Siku zote ukiona mshirikina ni mchafu kweli,anafanya uchafu anakula vitu vichafu na moyo unakuwa mchafu vivyo hivyo
Imani ya Kiislamu ni kuwa dhambi kubwa kabisa ni ushirikina.Hawa wanalea zezeta,dhambi wamepata na mali zimeondoka.Wamebaki na Maputo uhai wao wote.
Mwenyezi MUNGU tunusuru na shiriki
Wapi part 2 plz,,, aka kastoty kako touching Sana
Mwenye masikio na asikie Tamaa ni mbaya jamani mtegemee Mwenyezi Mungu peke yake anatosha.
Alhamdulillah Allah kwa kunipa wazo la kuja dubai🙏🙏
Davista unakuwaga mmbea 😀eti unywe unavyoshtukaga mie hoii
Ukisubut kwenda kwa mganga basi tarajia shida katika maisha waganga sio watu
Hela hizi !! Waende kwa Bishop Gwajima not all gltters are gold unaona watu wana hela unatamani that money is not really, Lord Jesus Christ can heal them
Ila shetani mshezi tena ni jeuri. Yn shahawa zko then unywe daaah😀😀😀😀😀😀😀😀😀inasikitisha uyo ni jini na sio mtoto ndo mana akataka shahawa zko .lengo Lao uyo mtoto anyonye damu ya mama .watu wangu wanaangamia kwa kukosa maharifa 🙌🙌🙌🙌🙌waganga waganga waganga Mungu anawaona.yan waganga wanafanya vaisa vesa.mganga awezi kukupa mtoto anae toa mtoto ni Mungu tuu.na waganga sio watumishi wa Mungu Bali wa shetani so shetani ana uwezo wa kuumba. Wanacho Fanya waganga wanawapandikizia majini then yanawatafuna.
Waganga sio watu wazuri, yani hawakuambii madhara yatakayotokea baadae
C watu tuungane tuwachinje waganga wote
Tutakiwa amri za mungu, kwani uchawi mpaka vitabu vyote vya mungu vimeandika uchawi. Muhimu ni kumtegemea mungu tu
@@titodaudi8949 kabisaa
@ Ryoof 1998 haswaa
@ Tito Daudi kweli kabisa, amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu
Siwapendi waganga mimi jmn, kwa chochote kile, pia sio watu hao
Nakukubali sana Mr Davistar Mata
Mulikunwa juice ya mbegu🤣🤣🤣🤣
Tamaa mbya sana
Allah aniweke mbali na tamaa ya dunia
Allahumma Amiin
duh mtihani warrah mnalaho ngum aisee
Mungu baba nisaidie niridhike na unachonipa
Mungu atusame waja wake kwa tama za kiduniya
Alf watu wa namna hii ndo wakwanza kusema wanalogewa watoto wao kumbe wanawaharibu wenyew lool???
Innallillahi wainna illahi rajiun binadamu mnatisha sasa mmmh mpaka naogopa kwa kweli.
Salute sanaa Davister
Mtanga Zaji Umeniacha hooiii Kabsa Uripo muriza uywe Mbegu Zako Uywe
Wateja wote wa Davister ni wachawi na washirikina waliofeli.Mwisho wa ubaya ni aibu.
Aiseee dunia inamengi wawezasema mie wa motoni kumbe wapo waliofanya makubwa kuliko mie duuh? Allah tunusulu wajawako
maisha mazuri ni kinga tu ya mwili wako na jitihada za kufanyakazi yoyote.
Sasa haya masimulizi unamuamini vipi mganga huu ni upumbavu huyo mganga akamatwe kabisa labda kafanya mambo haya kwa wengi sana na bado anaendelea kuwatesa watu hatari sana❌😭
Kaka umenifanya nisitamali nimuonapo mtu tajili ctaman hata kidogo
subscribe channel yangu nami nisubscribe ya kwako
Hawa matajiri asilimia kubwa wanamengi wanasili kubwa sana
@@niaanthony9588 mimi siwataki matajiri ukweli kutoka moyoni.
Duh tusipotumia akili zetu vizuri haki tutamkosea mungu saana
Hahaha Davistar wasema unywe macho wayatoa mmmm kz na uyo mganga nitajiri ama nyumba ya kuinamisha kiuno
Tosheka na ile kidogo mungu amekupa. Every action has it's own consequences .
Shabashi!!!!
Hivi akili zenu maji au??? Tamaa mbaya sana!!! Na adhabu ya Mwenyezi Mungu ipo juu yenu!!! Kumbuka moto wa jehanamu kuni zake ni watu na majini... na watu wenyewe ndio nyinyi..!!!
Majuto ni mjukuu.
Oooooh GOD have Mercy on us
Mungu kuwarahani ujue mungu akupenda
Ila ndugu zetu watanzania mnapenda shiriki sana
Subhana Allah
Umekunywa shahawa jamani
Mungu haezi umba watu vizuri wengine viwete hii niujinga wamwanadamu,ndo maana mungu alisema watu wangu wanangamia kwakukosa marifa,
jaman hivi kweli unamtowa mwanao kafara daaah ee mungu nilindie wanangu kwakweli
Maziwa yanatoa damu omg.
Kuna Sehemu Mtanga Zaji ume Mtisha Sana Musika
Ao waganga munaowaendea wawape Mali wao hata nyumba hawan mtihan kwa kweli
SubuhanaAllah... Allah Tupe mwisho mwema
Watoto wa jinsi hiyo nimewaona wengi tu kumbe maskini wamewekwa misukule wazazi wapate pesa!!! SubhanAllah tumuogope Allah turidhike na kile alichotujalia....Mwanadamu tamaa ya upuzi ilhali maisha yetu mafupi kifo tunatembea nacho kila uchao
Mungu wangu tusitili turidhike NA maisha tulio nayo tamaa MBAYA. Pesa haina mwisho. 💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
mzee jana nimekuona kigamboni hulikua unaulizia gari za kibada
Acheni shirki Allah hatamsamehe mshikina siku ya kiama , riziki anatoa mwenyewe acheni huo uchafu, sasa mbona hamkupata,
Aisee zimechukuliwa nyota,baraka na uthamani wa kizazi chenu + nafsi = u need deliverance
Anachojificha kitu ganipumbavu amuna hakli wote mmelikologa kulinywammeshindwa
Bora nife masikini kubeba mimba na kuzaa mtoto mbovu kisa pesa God forbid
Davixter unaxhangaa kunywa mbegu za kiume ndo ujue utajili c masiala nilienda kijiji kimoja mama ntiliye anauza huku yuko uchi anawabong'olea lakin hamuoni kinachoendelea
Haaa we umesema hamumuon ww ulimuonaje
Davista eti vivyo vitu mlikuwa mnakunywa vyenyewevenyewe au ilikuwaje
@@shizaarfred4059 ww tumeaga nyumbani lakin co kwa kubong'oa kule
@@wantangosaimon5295 hahahahaha nitakakutafuta unipeleke huko kwenu ili nami niwe naona maajab
@@shizaarfred4059 hahahaaaa duh ww acha tu nilicheka xana akiinama unaona mpaka maini
Subhana Allah
Atakuwa jini uyo
Duh wanawake sisi tutakua kuni kesho kiama maana mwanamke ndio kamshawishi mwanaume
Mke ujenga au ubomoa nyumba na mikono yake angalia alichokifanya kaharibu mambo yote
Mrudie mungu bro
Yani nilikataa wachumba watatu matajili na bibi yangu alinikataza kuolewa na matajiri aliniambia ogopa sana utajiri usioujua umepatikana vipi na sasaivi nimejifunza bora nimewachukia waganga siwapendi waongoo kz yao kuwaweka wenzao misukule
Mwenderezo
TZ wacheni hizi vitu
Yani Nawewe Umekubali Awa Akubadili Mawazo Yako Bola Ukawa Mchawi Wa Mwendo Kasi Fasta Tu
Turidhike na alivyo tujaalia Mungu kwani vitokavyo kwake vina thamani na huwezi jutia kumbuka anaebariki ni Mungu pekee yeye hawahi wala hachelewi,kuwa na subra atakubariki
Alhamdulilah l Leo kidogo nimekuwa wa 5 ila pole sana
Mtoto wangu au wandugu yangu @)😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Niruhusu tu nicheke😂😂😂😂😂siwezi kunywa...
Pumbavu zenu sn! Mngekuwa mnapata raha, mcngetoboa CTI hii.Kafien mbali huko,badala mlime,mnataka sort
Simama mwenyewe yesu😪😪😪
Yani watu akili hatuna unaenda kwa MGANGA kutaka utajili wakati mwenyewe anakaa kwenye kibanda cha nyasi hata kitanda hana fyuuuu mtapata tabu sana kwa upungufu wa imanizenu fanyenikazi
Yani mwanamke bado ni nyoka tu wanaume muwe mnachuja shauri zingine
Pole sana broo ndo changamoto za maisha lkn na wanawake acheni mambo ya ushirikina mna yapenda sana Kwa kweli.
Nyie ndo mmezidi mnawatoa mpk wazazi wenuu
Nyie ndo mmezidi mnawatoa mpk wazazi wenuu
Jmn me kabla sijasikiliza chochote naingia kwenye comment kama ni nyingi ndo niangalie.
Hahaaaa
@@mwatimeabdallah7945 hii tabia sijui ntaiacha lini?
Davista mbona Kama umevaa nguo ya kulali au usiku
Ohiiiiii
aisee alipatikizwa jini , hatari sana
Tatizo kutoijuwa dini ndio tatizo au elimu na kujielewa
Yaani kabla hata sija maliza kuingalia huyu jamaa boyaa sanaa sasa wote tukiwa matajiri nani ata muomba mwezie na katika maisha utajirii hauji mara moja lazima ujitumee kwanza ila pole mungu ata kuhukumu ila ume uhuru wake huyu mtoto na nafsi yake haita kuacha hadi una kufaa
Joka hilo,peleka kanisanilikafanyiwe maombi
Subhanallah jameni sheitwani niadui kwetu sisi binadamu eeehh is to sad sad
Tamaa mbaya..
Alikuwa na bridi maana ahikuwa mimba ya kawaida ya kutoka kwa Mungu
Pesa zinakujaje zinakufata🤣🤣🤣
Subhanaaà
Wacha nife maskini wallah
Mimi ngoja niendelee kusuguwa masinki kwa warabu..
@@esterelias8189 kabisa bora ni teseke huku saudi mimi kuliko kukufuru kiyasi kubwa
😖😖😔
Ukiwa unatamani pesa mno utajiri lakin ushawishike ufanye hivyo
Kuna watu wana roho nguvu wallah mtoto wenu mwenyewe mumfanye zezeta kisa pesa
Sio roho nguvu ni udhaifu na upotevu
Hapo kweny kunywa shahawa sasa mmh
Mtihani
Ni mwendo wa kunywa mbegu daah
Tuned 🇰🇪
U also like this show
@@luvarybenson2243 am also here 254
"Mimi naitwa Davister mata Mr. Facts"
Hahahahahahahaha. Me naomba niwe bi mdogo Mr Facts.
🤣🤣🤣🤣
Kumbe mambo ya ushirikina yapo eh are you serious kwa hiyo wale watoto mazezeta wengine ni ushirikina dah ni hatari sana
Bro naona kweli unazunguka maeneo mengi. Kama unaweza ukafanya namna uwe unaweka hata namba za kukuchangia kiasi kwa ajili ya kuwezesha kazi yako. Kweli unatufunza mengi na tunajua mengi kupitia hizi stor
Yani nyie mnafikili anaweza akafany Kaz bila faida asee mgejua maana ya yutbor msingemuonea huruma huyu Dev anapiga her San hiz story ujue mnaangaria watu Zaid ya 300/ Sasa kila clp inapesa ya kufa mtu nyie mnaona anasafir bule kusak story bule mwenzenu anapiga pesa San
Mabwege nyieee... mfyuu
Mganga ni mwanga waganga wote wakuda tu pumbavu saana
mtu makini nakukubali wewe kweli ni makini videos anazotuletea ni mafunzo makubwa sana never give up davista