Maa shaa Allah,Allah akuhifadhi sheikh wetu Abul Abbas, Shukran sana kwa kumrad huyu khawaarij kbsaa maana amezidi huyu hana hata aibu na anachokisema katika kuihalalisha maulid.Allah atuongoze na atuthibitishe kunako haqqi Duniani na Aakhhira na utuweke mbali na baatwil na watu wa baatwil kama hawa akina Abdul Qadir na mfano wake
Assalaam Alykum vip hali Akhy muogope Allah, Watu hushindana ktk mema na sio ushabiki wa kufanyia raddi na kuitana majina ya ajabu.. Namuomba Allah atuongoze
Akhy apo umechupa mipaka Mimi mwenyewe siungi mkono hili Jambo la shekh Abdul kadiri kafanya makosa Ila usimnasibishie na kumvunjia heshima usimuite majina ya watu waovu MAKHAWARIJI ni watu waovu baadhi ya ulamaa wamewakufurisha baadhi wanaona waislamu Ila shekh japo na makosa yake usimuite hivyo unachuma dhambi akhy taratibu unapokosoa kitu kumbuka ulimi usiteleze kiasi hicho utaulizwa na Allah
Allah Akuhifadh Sheikh wetu Abul Abass Hassan Wazir Kwa kuwarudi hawa Mahizbi kwa sasa wameungana kua kitu kimoja na watu wa bidaa kuwapiga vita watu wa haqqi Hio ndio njia ya Manabii ya kupigwa vita na watu waovu Hawa masheikh wa kihizbi ni watu maslahi na kupenda ukubwa na sifa tuu
@@HafidihAlly kuwekewa sawa katika uislamu ni muhimu wala so makosa raadi zinasaidia sana bila raddi watu wangetuhatibia dini na kupotosha ummah so halali tuuh ww unaona shekh kadhulumiwa hjaangalia madhara ya yy kupoteza ummah hiyo vzr tuuh uislamu au angaliii cheo Cha mtu wala wadhifa wa mtu ukiharibu watu watakuweka sawa Sabu tukiacha Allah atakwenda kutustaki muliona dini ikiangamia mikononi mwenu na ninyi hamkuinusuru na mkawaacha watu wazungumze wanavyotaka kwa matamanio yao mche Allah na iogope siku ya kiama kwa uzito wake usisani haya yanapita tuuh hamna kitu tunastareh bhasi hamna take care my friend
@@AbdulIssa-o7e wallahi Allah ayaweke haya Maneno yako na Akusimamishe Siku ya Qiyama na Sheikh Abdulqadir(hafidhwahullah) Umthibitishie Allah kuwa Sheikh anazungumza kwa matamanio Yake ya Nafsi na sio Haki kwa mujibu wa Elimu aliyonayo, na ukishindwa , Namuomba Mola wa Haki akupe adhabu inayolingana na Ww, na ukiweza basi Ampe Sheikh Adhabu inayolingana na Yeye. Namuomba Allah anikubalie du'aa yangu.
@@HafidihAlly hakki ipi kuwaambia watu maulidi yanafaa au acha kutoa viapo vyako ww kwani ni uongo fatuwa nyingi za shekh Abdul lkadiri za kwenda na watu mara nyingi huzungumza kwa kuhofia watu wew wa wapi mbona unataasubi na mashekh utaasibi na hakki kauli zake nyingi ni zakurizisha watu mahali penye bidaah yeye atakwepa kwepa kunyosha hiii ni bidaah na so yeye tuuh hata mdogo ake kishki ndo hivyo hivyo watu walichoka fatuwa hizo mpk wamemradi waniapiza mie mbona mtowa mada ujamuapiza kitu alichokizungumza ni hakki dini apelekwi hivyo ww mtume aliambiwa na mola wake fikisha muhammadi akafikisha akuangalia ukubwa wa watu wa makka kina abuu jahli na vyeo vyao kuwa nikisema wataninyima ukubwa na hishima alisema hii ni shirki na ndo inavyotakiwa kwa dai yeyote anajinasibisha na sunnah usimuangalie mtu usoni sema kweli japo kuwa chungu hiii ni hakki hiii batwil hii ni bidaah hii ni sunnah hii ni shirki hii ni tawheeed lakini huyu anaogopaga sehemu nyingi kusema kweli Sabu rafiki zake wengi ni wazushi watu wa bidaah na vile vile Wana mashule yao wanaona wakisema hakki watapoteza wateja Sasa dini haitaki hivyo viapo vyako havvitonidhuru kitu na Allah ni shahidi kwa nayosema ww ndo utakae dhuriwa ikiwa unatetea batwil mwenyezi mungu apokei viapo kama hivyo ww
Ala! Eti nyinyi watu wa tasawuf??hamna kazi nyingi??bro skiza ni wewe unaona hivyo waulize mashee wenyu Ile uzito wanao pitia mpaka ifikie pahala penye Wana tumia hujja dhaifu ili kuipa nguvu usufi wao na mawalid zao alafu ww waona eti hamna kazi???🤣🤣🤣kazi ipo ufusi na ukristo Kuna tofauti alafu kazi waiona raisi duh!!
Usufi ni ukristo tafta kitabu cha ibnu jauzzy tal bisu iblis uone vile usufi ni ujinga pamoja na aqwal za ulamaai ambao kwamba ni marja wa min hum al imam shafi uskie vitu mwanangu uta baini kweli hizo ni sarakasi mnafanyi shwa
Comments zinaashiria wazi kwamba Sheykh Abdulkadir kipenzi cha waumini kakuzidi kila kitu Allah akudhalilishe kw kumkashfu mwanawachuoni tunaemtegemea skuzote anawahimiza watu washikamane na ikitokea ikhtilafu waheshimiane nyie bado mnaendelea kuugawa umma wa kiislamu na kujifadhilisha Allah awashushe chini kuliko walio chini
Yani nyie masufi mnajitoaga ufaham kwel yan, Mnasema eti Allah hana mikono eti kisa ni kumfananisha na viumbe wake,,, Hamjui kama pia kusema Allah hana mikono ni kumfananisha na viumbe wake wasio na mikono??? Au viumbe vyote vya Allah vina mikono??? Kuku ana mikono? Miti ina mikono? Milima ina mikono? Utangundua kuwa nyie ndo mnaopinga sifa za Allah alizojipa mwenyewe.... Usahihi ni kusema kuwa: ALLAH ANA MIKONO LAKINI MIKONO YAKE HAIFANANI NA MIKONO YA KIUMBE YEYOTE! Kusema kuwa Allah ana mikono haimanishi kuwa ana mikono kama ya kwetu! "Mfano: Sisimizi ana masikio na anasikia,na tembo ana masikio na anasikia,je Masikio yao yanafanana??? usikiaji wao unalingana??? Lakin yote si huitwa ni masikio???!!!" ACHENI UKILAZA MASUFI....!!!!
Sio wanajipendekeza. Bali walipokuwa wajinga enzi hizo walikufuru NA mawahabi wenzao. Sasa wana elimu washatubu NA wanakua sufi ili wafe salama. Hao vijana wapya nao baadae asaa watafaham. Wewe upo mkumboni tuu
Ww endelea kufata mashee unaacha nusus ambazo ni mutawatir eti shee kasema jinga kweli usalafi ndio manhaj sahiha sio shee kasema vitabu ndio zafaa kutangulizwa
@@SaidiMohamed-bj2wg wacha ujinga qurani haisemi hivyo yasema kwa ulamaa sio shee. Ww vipi fas Ala alal dhikri in kuntuma laa talamuun hio ni Aya ulikua hujui jahil ni ww sio sisi masalafi. Ispokua huyo shee atakapo fata hao ulamaa hapo tuta mkubali bi gairi thalika hatu wezi kufata. Alafu najua utaulza wapi kwa iyo aya imetaja ulamaa.. skiza hio dhikri wanao kusudiwa ni ulamaa . Hadith Sasa pata fawahid kwa salafi wa Kenya .hadithi ktk sahihein bukhar na Muslim rahimahumullah yasema kutoka kwa mtume salallahi alley hi wasalam Al ulamaa warathatul anmbiaa sio sheikh sawa bro kasome jinga ww
Hao mashekh zenu hawaelewi wanacho kizungumza Makhawaariji walivyo kua wanasumbua mashekh wakihizbi walikua kama wamekufa Mashekh wakisalafi wakapambana katika kipindi hichi ambacho kilikua ni kigumu ,kubainisha na kuweka wazi shubha za makhawaariji Shekh KASIMU MAFUTA ALLAH AMUHIFADHI alimuandikia mpaka rogo ujumbe na akamtumia, Lakini chakushanga alivyo kufa rogo mskiti mkuu wa maanswari tanga ilikua vikitawanywa vipeperushi kuhusu kifo cha rogo
😂😂😂wallahy nilikuwa nasema huyu shekh mbona watu awamradi na anahalalisha maulid kwamba so jambo zitoo anapoteza watu ni shekh wa kwenda na watu nkasema wanamuogopa nini sasa bora mulivyo mradi shukrani shekh kumuacha tuu mtu anapoteza ummah watajuwa maulid so jambo la kukemewa na mdogo ake kishki juzi aliitwa redio crown ya wapiga muziki kujibu swali la maulidi
@Abdulssa-o7e. Assalaam Alykum vip hali Akhy nakuomba Ww jitahidi ktk ibada na Muimba Allah Akukubali ibada zako,, Achana na vishawishi na Ushabiki,, kwani hunjui na ni Allah amemchagua kuwa mja wake mwema, na atamuingiza peponi
@@abdukhan4718 kwahiyo ibada bila kukatazana maovu ibada gani hiyo we utachukia lakini ukweli ndo huwo so mtume huyu lakini anapokosolewa ukiona kosa la kweli kubali ukiona kaonewa sawa wasema hapa shekh mmuonea lakini unakataa watu wasimrekebishe saasa atarudiji kweye mstari asipofanyiwa raddi hii dini yetu so kama ukristo padre au askofu akisema ndo sheria hapingwi no namim nikunasihi acha taasubi ikubali hakki hata ikitoka kwaa adui yako
Ila unajuabkuwa huyo Shekhe wako anaekosoa watu anakosea ivi unalijua ILO au huja soma wewe Allah amesema kwenye sura tili hujuarati kuwa wasidharauliane waumini sasa we unafurahi waisilamu wanavo zalilishana kinafiki huyo Shekhe wako ninafiki japo haifai kuzusha mambo kwenye dini ni dhambo ye anadhambi Sheria kama ye kakosea anatakiwa amfuate yeye kama yeye ila sio kuzalilishana
Raddi katika dini inaruhusiwa ata Allah alikua akiwapiga radi washirikina na makafiri kwaiyo sio jambo la asaivi lakupigan radd kwaiyo inaruhusiwa wallahu aaalaaam@@HamisiR
Ni aibu kutaka ku-radd kila jambo, japo wakijua kuna masalafi wakubwa wakisapoti baadhi ya misimamo. Kazi ni kutaka kuwadogesha masheikh wa kisunnah tu. Tumcheni Allah subhanahu wataala na RUDUUD waachiwe ulamaa, ama tullabul ilm kujikita kwenye ruduud tena bila adabu na akhlaaq za manazil za kishekhe ni kujidogesha mwenyewe tu.
Maa shaa Allah! Alhamdulillah na huyu kaka yake Kishki mumeanza kumtahadhalisha... Mana nakumbuka kipindi manhaj yangu haieleweki nshawahi kupost darsa yake kwenye grup la masalafy, Nikaraddiwa vibaya mnoo ,Hahahhahahhaha!, Mimi nilijua ni Salafy asee! Baada ya kufatilia nkagundua ni walewale! Mwingine ambaye wengi bado wanajua ni Salafy kumbe ni Hizbi aliyekubuhu ni ABUU ALL MAAN WA TANGA, yule aliyemradd Shia Golo... Kumbe na yeye ni adui wa masalafy asee,Duuuh!
Alhamdulillah nilianza kukuuliza akhy kuhusu huyu jamaa ukanambia ikhwaani nkaacha kumfuatilia baada ya siku1 kumsikia alivyokuwa anajibu maswali ya Maulid na qunut anajigingagonga hanyooki.
ABUBAAZ KUMBE DINI YAKO UNAWATAZAMA WATU WATASEMAJE? UMESEMA ULIPOTUMA KWENYE MAGROUP UKARADIWA NDO UKAJUA, SIO UKASOMA. JITAHID KUSOMA USIFUATE WATU KILA WANACHOSEMA.
@@Hamis-ks1sy Eee hawezi kunyoka kwa sabab ataharibu kibarua chake... hahhaha! hao watu wao wa karibu ni masufi kabsa, bora hata bachu, Duuuh! Japo wote manhaj zao hazieleweki.
@@hudhaifahsadru-xr2gg Khaaa! Kwan kuraddiwa sio kusomeshwa?!!! Mimi kwa taarifa yako nimewajua mahizbi kupitia hizihizi ruduud, either mimi mwenyew kuraddiwa au mwingine kuraddiwa! Nilivyoraddiwa nilisomeshwa vzr tu na huyo aliyeniradd na Alhamdulillah nilimuelewa sana! Lakini haikutosha baadaye nkawa nafatilia mienendo yake katika kujibu maswal nkazidi kuthibitisha uhizbi wake, Allah amuongoze!!!
Shekh wangu kama elimu ndio hiyo unayo mraddi huyu shekh abdul qaadir sidhani kama atakujibu maana ni utumbo mtupu sijaona elimu uliyo zungumzaa hapo zaidi ya kutaka kufundishwa .
Kwahiyo shekh Abdul lkadir anataka ahamini maneno ya sufian al thauri taabi huyu aliposema bidaah ni mbaya zaidi kuliko mahsiaa, shekh anataka kutuambia anaekunywa pombe ni mbaya kuliko mzushi aloweka sheriah katika dinni ya Allah na akapoteza kizazi waone ile ndo dinni hilo hata mimi simuungi anasema anaenda maulidini yupo sahihi kuliko anaenda bar kulewa sasa wa maulidini anasema anaenda kufanya kheri gani na anaenda kumshilikisha Allah sabu ndani ya maulidi mna shirki watu wakatae wafe yule anae fanya shirki na kuzusha katika dini ya Allah ana kheri gani mtu wa mawlid?? Ndani ya mkusanyiko ule mna urongo, ndani yake zinatajwa pombe ndani yake watu kwwkuwa hawaji kiarabu huitikia tuuh swala lahu, muda mwengine hajatajwa mtume zinasifiwa nyimbo, nai ruzi mbali mbali muziki humo wa kudance na mchanganyiko wa wanaume na wanawake hapooo😂😂😂 wwtu kupeana kodi za kwenda kufanya zinaa na urongo humoo anatajwa waliii wao alikufa wqtu huitikia swala lahu, urongo ndani yake kumfufua mtume katika kaburi yake kila mfungo 6 et anakuja mawlidin watu wanasimama yeye Abdul lkadridil haoni miharafati hiii chungu nzima useme anae enda maulidini anaenda kumsifu mtume, mtume asifiwi ndani ya swwla kila swala lazima tumswalie mtume, na ukitaka hayo maliza swala yako mswaliee mtume mpk midomo ivimbe, shkh Abdul lkdari na ilmu yake yote hajajuwa maulid yana shirki ndani yake aseme anae lewa ni hatari zaidi kuliko aendae mawlidini so sahihi kabisa mlevi anjuwa lile ni kosa, anaogopa na rahisi kutubia sasa huyu mzushi ana enda mshirikisha Allah ndani ya mkusanyiko huoo na kumzulia Allah hakukamilisha dini kwa mtume wake anafanya ibada ya kumzulia mtume hiyo ni hatari zaidi na Mtume amesema allah akubali touba ya mushi mpk aache uzushi.nimepitia comment nyingi humu wanaounga mkono shekh Abdul kadir ni makhurafi wa kishia na kisufi, ndo wakipataga mtu anaejinasibisha na sunnah katetea uzushi wao watampenda kweli, mimi najuwa hata baazi ya maanswari sunnah wengi wao nawo walikuwa hawafulahii fatuwa za huyu sgekh sema bhasi tuuh! Ndomana naona coment nyingi za makhurafi wa kisufi sabu anawqteteaga uzushi wao huooo😂😂😂
Huyu mzunguzaji anaropoka tuuu elimu hana, na itachukua muda kuipata hiyo elimu maana katawaliwa na kibri na jazba hamna cha maana na kweli Mawahabi dunia mzima ni wapiga kelele ilmu yenye manufaa hawana
KWENYE VITABU VYENU KUNA MPAKA KUPIGA PUNYETO MWEZI WA RAMADHANI ,NI KIRUUSU WAFUASI WENU WAPIGE PUNYETO ET AITENGUI SWAUM ,KUWENI WAADIRIFU NYNY MAZAYUN WAKUBWA WAFUASI WA NAJID
Jee puchu na shirk Sasa wachukulia kupiga puchu Lina uzito kuliko shirk??? Nawala hakuna maamrisho yaku jichua Yani punye yafaa huo ni mlango mpana waki ilmul fiqy sio unakurupuka tu matatizo ni ufupi wa mashee zako na ujinga wako waku zaliwa hutaki kukaa kitako usomeshwe..
Hawa watu wa bidaa wanahalalisha maulid na kuona kwamba na utaratibu wa dini kumbe ni uzushi haukufanywa na Mtume wala maswahaba sasa msiwapoteze watu nyinyi watu wa bidaa
Naam Sheikh pia angalieni namna mnaweza kumradi pia huyu khurafi suruuri huu kishki maana ni kama amezidi kbsaa, ya'ani kwa sasa hachungi mipaka yake kbsaa.mradini tafadhali huu kishki maana lengo ni kuupotosha ummah huu na kuiharibu imma kuitia dosari da'awa salafiyya.lakini bitaufiqillah hataweza kbsaa
@@JifunzeKiarabu itakujaje hadithi ya kukataza kitu ambacho kimekuja nyuma ya dini kukamilika inamana halikuwepo na halikufanywa na ww unafanya ndo uleze wapi umekitowa
@@IsmailGavara-n9p Nyie wanyewe kwa wenyewe munajiraddi kisha mnajigonga,ukisema Maulidi Hayafai kunavitu kwasababu hakuyafanya mtume au Maswahaba au hayakuwepo katika zama za mtume nikuulize je kuna vitu vingapi wewe unavifanya wakati huo wa Mtume havikufanywa wala havikuepo ,lazima uwe na mizani,na tukiangalia kwa mtazamo huo hata wewe utakuwa ni Bidaa Tena بدعة ضلالة
Jamani Allah ndiye anaemjua nani mcha mungu na nani si mcha mungu acheni kujitakasa kujiona nyinyi ndio wasafi au naiyo pepo mushabashiriwa kuwa nyinyi ndio mutakaoingia wengine hawamo balaa tu
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x kisha sitetei bidaa,but munapomradd mtu msiirazimishe alichomaanisha kiwe mnachotaka ninyi ili mumradd, Ndo nakuuliza,nsaidie dall kwa sababu mulio wengi mmeacha bidaa mkaingia ktk Sunnah, Na wapo walio toka ktk maasiya na bidaa na walipotubia wakaacha vyote,ndo nakuuliza mlevi hawezi kufanya bidaa,ni dhambi gani mlevi hawezi kufanya? Inabidi ujibu si kulalamika mpuuzi mmoja
@@hafidhwajina6718 Duh! unanipa waswas... Hivi hadi leo hujui kuwa Bida'a ni mbaya kuliko maaswiya? Sema dalili sijaikalili ila Sikiliza hzo ruduud zote au ukasikilize radd ya Abuu Khawlah kwa Mziwada ya majuz kati, alitaja dalili juu ya hilo...!!! Kijana hilo hulijui duuuh? Nyie ndo watu wa Sunnah mnaokalibia kuwa masufi kama alivyo Abdul qadri wenu
huyu wa maraddi anatakiw akasome vitabu maana haiwezekan kufany maulid iwe dhamb kubwa kuliko kuzini …! hili haliwezekan mpk kiyam kitasimam na kama ana ushahid alete
Sasa nyinyi dini mmeijua Jana tu mnaleta mambo mengi kupigiana kelele sasa wewe unae mwambia huyu hivyo wewe au na wenzako ushekhe huo umeupata wapi ikawa ndio dalili kuwa una elimu iliyo komaa
@@husseinsaid8021 Mfanya zinaa ni rahisi kutubia kuliko mfanya maulid (Bida'a) kwa sabab anayefany maulid anajiona kuwa yeye yupo sahihi na mwisho anajikuta amekufa katika bida'a bila kutubia! Ni sawa na mtu ambaye ni shia, huyu akifanya zinaa atatubia lakin hawez kutubia juu ya ushia wake koz anajua yupo sahihi...!!!
@@abuurayaan3902 kama mnachakusema zungumzieni Mayahudi linganieni Makafiri na wasio kua waislamu mtapata Ujira mkubwa wacheni kutafuta Makosa ya Watu Nyinyi mnamakosa Kibao
Mtume anasema yeyote anaemuamini allah na siku ya mwisho aseme kheri au anyamanze sheikh anataja mambo makubwa yakielim we sio revo yako lililobora kwako nikuikaakimya
Angalizo :- 1- We chipukizi wa elimu , laiti ungefundisha watu mambo ya msingi kwanza yanayowafaa zaidi kuliko kufuatilia nani kasema nini na ujikalamue kujibu . 2- Sheikh Abdulqadir amejibu swali kulingana na alivyoulizwa hajasema kama Maulid inafaa ama vipi . 3- Hujawa na adabu wala busara katika elimu , kwa sababu iliwezekana kumtafuta sheikh abdulqadir na ukamuuliza ni kwa sababu gani alijibu vile . 4- We umshambulia sheikh Abdulqadir na kumpa majina ,Sufi , ikhwaniy ,,,, bila Burhani yoyote , hiyo ndo elimu ulosoma kukurupuka kuongea . 5- Unajenga hoja zako kwa kutumia maoni ya wanachuoni ,, sheikh Abdulqadir naye pia anajenga hoja kwa dalili na maoni ya wanachuoni. Iweje wewe hoja zako ndiyo sahihi na hoja za wengine sio sahihi??! 6 - Wewe haumjui sheikh Abdulqadir Manhaji yake , Pia hujui msimamo wake kuhusu Maulid. Nitafute nikuelekeze. +255714839860. 7- Nakuusia kijana usiwe mwepesi wa kuropoka kwa kila unachohisi unakijua . ليس كل ما يعلم يقال ،،،،،، وليس كل ما يقال يقال في كل مكان
Angalizo :- 1- We chipukizi wa elimu , laiti ungefundisha watu mambo ya msingi kwanza yanayowafaa zaidi kuliko kufuatilia nani kasema nini na ujikalamue kujibu . 2- Sheikh Abdulqadir amejibu swali kulingana na alivyoulizwa hajasema kama Maulid inafaa ama vipi . 3- Hujawa na adabu wala busara katika elimu , kwa sababu iliwezekana kumtafuta sheikh abdulqadir na ukamuuliza ni kwa sababu gani alijibu vile . 4- We umshambulia sheikh Abdulqadir na kumpa majina ,Sufi , ikhwaniy ,,,, bila Burhani yoyote , hiyo ndo elimu ulosoma kukurupuka kuongea . 5- Unajenga hoja zako kwa kutumia maoni ya wanachuoni ,, sheikh Abdulqadir naye pia anajenga hoja kwa dalili na maoni ya wanachuoni. Iweje wewe hoja zako ndiyo sahihi na hoja za wengine sio sahihi??! 6 - Wewe haumjui sheikh Abdulqadir Manhaji yake , Pia hujui msimamo wake kuhusu Maulid. Nitafute nikuelekeze. +255714839860. 7- Nakuusia kijana usiwe mwepesi wa kuropoka kwa kila unachohisi unakijua . ليس كل ما يعلم يقال ،،،،،، وليس كل ما يقال يقال في كل مكان
Allah awahifadhi shekh Abdulqadir na shekh kishk ❤❤❤❤❤ bimaan kuna wat wanaish kutafuta kasoro za wa2
Allaah akuhifadhi abul abbas
Maa shaa Allah,Allah akuhifadhi sheikh wetu Abul Abbas, Shukran sana kwa kumrad huyu khawaarij kbsaa maana amezidi huyu hana hata aibu na anachokisema katika kuihalalisha maulid.Allah atuongoze na atuthibitishe kunako haqqi Duniani na Aakhhira na utuweke mbali na baatwil na watu wa baatwil kama hawa akina Abdul Qadir na mfano wake
Assalaam Alykum vip hali Akhy muogope Allah, Watu hushindana ktk mema na sio ushabiki wa kufanyia raddi na kuitana majina ya ajabu.. Namuomba Allah atuongoze
Akhy apo umechupa mipaka Mimi mwenyewe siungi mkono hili Jambo la shekh Abdul kadiri kafanya makosa Ila usimnasibishie na kumvunjia heshima usimuite majina ya watu waovu MAKHAWARIJI ni watu waovu baadhi ya ulamaa wamewakufurisha baadhi wanaona waislamu Ila shekh japo na makosa yake usimuite hivyo unachuma dhambi akhy taratibu unapokosoa kitu kumbuka ulimi usiteleze kiasi hicho utaulizwa na Allah
Allah Akuhifadh Sheikh wetu Abul Abass Hassan Wazir
Kwa kuwarudi hawa Mahizbi kwa sasa wameungana kua kitu kimoja na watu wa bidaa kuwapiga vita watu wa haqqi
Hio ndio njia ya Manabii ya kupigwa vita na watu waovu
Hawa masheikh wa kihizbi ni watu maslahi na kupenda ukubwa na sifa tuu
@@kassimabdillah5998 mtu wa hakk atawaliwi na suudhwanny
Kwenda wewe nenda usome
Allah amjaalie shekh abdul qaadir asikujibu ubaki na huo upuuzi wakoo. Maana bila shaka dini waiona hiyo unayoijua wew ndio dini.
@@BinDaudy-ch2cc Allah hamjalii jitu la uzushi Abdul kadir ama ni jailani??🤣🤣
Mnamtukana Imam Nawawwiy Rahimahullah, itakua Sheikh AbdulQaadir Hafidhwahullah. SOMENI ENYI VIJANA KWA UADILIFU, ACHENI KUWAKASHIFU WANACHUONI
Katukanwa Kwa Lipi?
Je! Una ilimu yoyote Ili ututolee? Au أم بظهر من القول؟ (au ni maneno matupu tu)
@@HafidihAlly kuwekewa sawa katika uislamu ni muhimu wala so makosa raadi zinasaidia sana bila raddi watu wangetuhatibia dini na kupotosha ummah so halali tuuh ww unaona shekh kadhulumiwa hjaangalia madhara ya yy kupoteza ummah hiyo vzr tuuh uislamu au angaliii cheo Cha mtu wala wadhifa wa mtu ukiharibu watu watakuweka sawa Sabu tukiacha Allah atakwenda kutustaki muliona dini ikiangamia mikononi mwenu na ninyi hamkuinusuru na mkawaacha watu wazungumze wanavyotaka kwa matamanio yao mche Allah na iogope siku ya kiama kwa uzito wake usisani haya yanapita tuuh hamna kitu tunastareh bhasi hamna take care my friend
@@AbdulIssa-o7e wallahi Allah ayaweke haya Maneno yako na Akusimamishe Siku ya Qiyama na Sheikh Abdulqadir(hafidhwahullah) Umthibitishie Allah kuwa Sheikh anazungumza kwa matamanio Yake ya Nafsi na sio Haki kwa mujibu wa Elimu aliyonayo, na ukishindwa , Namuomba Mola wa Haki akupe adhabu inayolingana na Ww, na ukiweza basi Ampe Sheikh Adhabu inayolingana na Yeye. Namuomba Allah anikubalie du'aa yangu.
@@HafidihAlly hakki ipi kuwaambia watu maulidi yanafaa au acha kutoa viapo vyako ww kwani ni uongo fatuwa nyingi za shekh Abdul lkadiri za kwenda na watu mara nyingi huzungumza kwa kuhofia watu wew wa wapi mbona unataasubi na mashekh utaasibi na hakki kauli zake nyingi ni zakurizisha watu mahali penye bidaah yeye atakwepa kwepa kunyosha hiii ni bidaah na so yeye tuuh hata mdogo ake kishki ndo hivyo hivyo watu walichoka fatuwa hizo mpk wamemradi waniapiza mie mbona mtowa mada ujamuapiza kitu alichokizungumza ni hakki dini apelekwi hivyo ww mtume aliambiwa na mola wake fikisha muhammadi akafikisha akuangalia ukubwa wa watu wa makka kina abuu jahli na vyeo vyao kuwa nikisema wataninyima ukubwa na hishima alisema hii ni shirki na ndo inavyotakiwa kwa dai yeyote anajinasibisha na sunnah usimuangalie mtu usoni sema kweli japo kuwa chungu hiii ni hakki hiii batwil hii ni bidaah hii ni sunnah hii ni shirki hii ni tawheeed lakini huyu anaogopaga sehemu nyingi kusema kweli Sabu rafiki zake wengi ni wazushi watu wa bidaah na vile vile Wana mashule yao wanaona wakisema hakki watapoteza wateja Sasa dini haitaki hivyo viapo vyako havvitonidhuru kitu na Allah ni shahidi kwa nayosema ww ndo utakae dhuriwa ikiwa unatetea batwil mwenyezi mungu apokei viapo kama hivyo ww
Mashallaha shehe wetu kwakumraddi uyu shehe wa maswufi uyukazoeya sana kueneza uswufi wamalize wazushi wote kama ulivyo mmaliza muhammadi bachu
Amfuate amfikishie
Amiin lkni Muhammad si mzushi akhi kuwa na inswaaf
@@MujarabuMashallah yani ukisema ukwel tu ushakuwa sufi hongera kwakulijuwahilo yani huyu shekh kashakuwa suf dah mawahab bwana hatar sana
Acheni jazbaa somenii
Mkiitwa kweny mijadara mnakimbia
alhamdulilah sisi watu watasauf hatuna kazi kubwa mtaimaliza wenyewe kazi mnavuna mlicho kipanda
Allah akuongoze
Ala! Eti nyinyi watu wa tasawuf??hamna kazi nyingi??bro skiza ni wewe unaona hivyo waulize mashee wenyu Ile uzito wanao pitia mpaka ifikie pahala penye Wana tumia hujja dhaifu ili kuipa nguvu usufi wao na mawalid zao alafu ww waona eti hamna kazi???🤣🤣🤣kazi ipo ufusi na ukristo Kuna tofauti alafu kazi waiona raisi duh!!
Usufi ni ukristo tafta kitabu cha ibnu jauzzy tal bisu iblis uone vile usufi ni ujinga pamoja na aqwal za ulamaai ambao kwamba ni marja wa min hum al imam shafi uskie vitu mwanangu uta baini kweli hizo ni sarakasi mnafanyi shwa
Kazi ipo raddi baada ya raddi ahlu sunna hawa choki dawah salafiyyah ni tochi mta tiwa vipodozi mpaka mng'are
Mwendawazimu huyu amekiri mwenyewe
Shekh abdulqaadir haja sema maulidi inafaaa Hilo ndo tatizo la kukata vipande na kuchukuaa baadhi ya maneno
Allaah akuhifadhi shekhe ila mimi nilikua naomba namba zako tu
Comments zinaashiria wazi kwamba Sheykh Abdulkadir kipenzi cha waumini kakuzidi kila kitu Allah akudhalilishe kw kumkashfu mwanawachuoni tunaemtegemea skuzote anawahimiza watu washikamane na ikitokea ikhtilafu waheshimiane nyie bado mnaendelea kuugawa umma wa kiislamu na kujifadhilisha Allah awashushe chini kuliko walio chini
Shekh hakusema kama wanapata thawabu amesema Wenda wakapatathawabu nahayo simaneno ya abdulkaadir ya ibn taimiya
Hawa. Wameweza kumpa mungu makaazi naviungo washindwe kuona pombe nibora kuliko maulid. Sibinaadamuawa
@@SaidiMohamed-bj2wg th-cam.com/play/PL9dpfAzLEIcmrearBsYiZoLVCWQGDtZzJ.html&si=Q37-CCA2NjFoUBJO
Yani nyie masufi mnajitoaga ufaham kwel yan, Mnasema eti Allah hana mikono eti kisa ni kumfananisha na viumbe wake,,, Hamjui kama pia kusema Allah hana mikono ni kumfananisha na viumbe wake wasio na mikono??? Au viumbe vyote vya Allah vina mikono??? Kuku ana mikono? Miti ina mikono? Milima ina mikono?
Utangundua kuwa nyie ndo mnaopinga sifa za Allah alizojipa mwenyewe.... Usahihi ni kusema kuwa: ALLAH ANA MIKONO LAKINI MIKONO YAKE HAIFANANI NA MIKONO YA KIUMBE YEYOTE! Kusema kuwa Allah ana mikono haimanishi kuwa ana mikono kama ya kwetu! "Mfano: Sisimizi ana masikio na anasikia,na tembo ana masikio na anasikia,je Masikio yao yanafanana??? usikiaji wao unalingana??? Lakin yote si huitwa ni masikio???!!!" ACHENI UKILAZA MASUFI....!!!!
Ummenipotezea muda kukusikiliza kumbe hujui hata usuli,, nenda kasome Kwanza
Mcheni Allaah acheni kuwazungumza vibaya wanawachuoni fahamuni ya kwamba
لحوم العلماء مسمومة
TATIZO HAWA JAMAA HAWAWEZI KUMKABILI MWENYEWE WAKIJIFICHA CHUMBANI WANAWARARUA WATU,, WAKILALA WAKIAMKA WA NAWAZA KUWASEMA WATU TU
Haqq lazima izungumzwe pia Haqq itabainishwa hadharan kwsbb mpotoshaji alizungumza hadharani@@HasaniJuma-ew2kw
ما معنى أشهد أن محمد الرسول الله ؟
Tatizo mnakurupuka sana, hiyo clip mbona ipo nusu.
Ipo nusu kivipi? Kwan Abdul qadri hujui kama huwa anajibu pumba😂
Nyie mnaenda kwa Shetani Basi
Yeye na mdogo wake kishki wote ni kitu kimoja wanajipendekeza sana kwa masufi
Sio wanajipendekeza. Bali walipokuwa wajinga enzi hizo walikufuru NA mawahabi wenzao. Sasa wana elimu washatubu NA wanakua sufi ili wafe salama. Hao vijana wapya nao baadae asaa watafaham. Wewe upo mkumboni tuu
Mtafute mwenyewe umwambie na sio umtangaze kwenye social media.
Ndomaana masheikhzetu wakawaita masalafi wasasa nimakhawaarij
@@SaidiMohamed-bj2wg nandio maana nusus zaoneshe nyinyi nima hizbi🤣🤣
Ww endelea kufata mashee unaacha nusus ambazo ni mutawatir eti shee kasema jinga kweli usalafi ndio manhaj sahiha sio shee kasema vitabu ndio zafaa kutangulizwa
Uwo ndoumwehu kwasababu unamkosoa ata mwenyezi mungu au hujaisoma Quran alivosema turudi kwamasheikh. Nyinyi mtabakuatu kua majaahil
@@SaidiMohamed-bj2wg wacha ujinga qurani haisemi hivyo yasema kwa ulamaa sio shee. Ww vipi fas Ala alal dhikri in kuntuma laa talamuun hio ni Aya ulikua hujui jahil ni ww sio sisi masalafi. Ispokua huyo shee atakapo fata hao ulamaa hapo tuta mkubali bi gairi thalika hatu wezi kufata. Alafu najua utaulza wapi kwa iyo aya imetaja ulamaa.. skiza hio dhikri wanao kusudiwa ni ulamaa . Hadith Sasa pata fawahid kwa salafi wa Kenya .hadithi ktk sahihein bukhar na Muslim rahimahumullah yasema kutoka kwa mtume salallahi alley hi wasalam Al ulamaa warathatul anmbiaa sio sheikh sawa bro kasome jinga ww
Hao mashekh zenu hawaelewi wanacho kizungumza
Makhawaariji walivyo kua wanasumbua mashekh wakihizbi walikua kama wamekufa
Mashekh wakisalafi wakapambana katika kipindi hichi ambacho kilikua ni kigumu ,kubainisha na kuweka wazi shubha za makhawaariji
Shekh KASIMU MAFUTA ALLAH AMUHIFADHI alimuandikia mpaka rogo ujumbe na akamtumia,
Lakini chakushanga alivyo kufa rogo mskiti mkuu wa maanswari tanga ilikua vikitawanywa vipeperushi kuhusu kifo cha rogo
Mzungumzaji anataka nae aambiwe anarradi kwanza. Watu hawa hatari sana kila mtu ni mtu wa bidaa ispokuwa wao tu .
😂😂😂wallahy nilikuwa nasema huyu shekh mbona watu awamradi na anahalalisha maulid kwamba so jambo zitoo anapoteza watu ni shekh wa kwenda na watu nkasema wanamuogopa nini sasa bora mulivyo mradi shukrani shekh kumuacha tuu mtu anapoteza ummah watajuwa maulid so jambo la kukemewa na mdogo ake kishki juzi aliitwa redio crown ya wapiga muziki kujibu swali la maulidi
@Abdulssa-o7e. Assalaam Alykum vip hali Akhy nakuomba Ww jitahidi ktk ibada na Muimba Allah
Akukubali ibada zako,, Achana na vishawishi na Ushabiki,, kwani hunjui na ni Allah amemchagua kuwa mja wake mwema, na atamuingiza peponi
@@abdukhan4718 kwahiyo ibada bila kukatazana maovu ibada gani hiyo we utachukia lakini ukweli ndo huwo so mtume huyu lakini anapokosolewa ukiona kosa la kweli kubali ukiona kaonewa sawa wasema hapa shekh mmuonea lakini unakataa watu wasimrekebishe saasa atarudiji kweye mstari asipofanyiwa raddi hii dini yetu so kama ukristo padre au askofu akisema ndo sheria hapingwi no namim nikunasihi acha taasubi ikubali hakki hata ikitoka kwaa adui yako
@@abdukhan4718pia Allah kaweka misingi ili hii dini ibaki vilevile alivyoiacha mtume
Ila unajuabkuwa huyo Shekhe wako anaekosoa watu anakosea ivi unalijua ILO au huja soma wewe Allah amesema kwenye sura tili hujuarati kuwa wasidharauliane waumini sasa we unafurahi waisilamu wanavo zalilishana kinafiki huyo Shekhe wako ninafiki japo haifai kuzusha mambo kwenye dini ni dhambo ye anadhambi Sheria kama ye kakosea anatakiwa amfuate yeye kama yeye ila sio kuzalilishana
Raddi katika dini inaruhusiwa ata Allah alikua akiwapiga radi washirikina na makafiri kwaiyo sio jambo la asaivi lakupigan radd kwaiyo inaruhusiwa wallahu aaalaaam@@HamisiR
Ni aibu kutaka ku-radd kila jambo, japo wakijua kuna masalafi wakubwa wakisapoti baadhi ya misimamo. Kazi ni kutaka kuwadogesha masheikh wa kisunnah tu. Tumcheni Allah subhanahu wataala na RUDUUD waachiwe ulamaa, ama tullabul ilm kujikita kwenye ruduud tena bila adabu na akhlaaq za manazil za kishekhe ni kujidogesha mwenyewe tu.
Mmmh! hivi unajielewa unachoongea brother! Kwamba Tullaabul ilmu hawaruhusiwi kutoa ruduud? Duh! Upo mbali sana na Sunnah kijana!
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x unaejielewa endelea ku enjoy, utovu wa adabu uliyopo ndani ya rududd za hawa vijana. Allah atuongoze kuijua haqi na kuifuata.
@@Bamatraf-gn5js Kwo Abdul qadri wenu ni sheikh wa kisunnah...!!! Duuh! Mnachekesha asee
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x endelea kucheka, ila kumbuka kusoma surat hujurat, inafundisha mengi katika adabu na akhlaaq.
@@Bamatraf-gn5js kwo unataka asiraddiwe sheikh wako wakati kapotosha?
Maa shaa Allah! Alhamdulillah na huyu kaka yake Kishki mumeanza kumtahadhalisha... Mana nakumbuka kipindi manhaj yangu haieleweki nshawahi kupost darsa yake kwenye grup la masalafy, Nikaraddiwa vibaya mnoo ,Hahahhahahhaha!, Mimi nilijua ni Salafy asee! Baada ya kufatilia nkagundua ni walewale!
Mwingine ambaye wengi bado wanajua ni Salafy kumbe ni Hizbi aliyekubuhu ni ABUU ALL MAAN WA TANGA, yule aliyemradd Shia Golo... Kumbe na yeye ni adui wa masalafy asee,Duuuh!
Alhamdulillah nilianza kukuuliza akhy kuhusu huyu jamaa ukanambia ikhwaani nkaacha kumfuatilia baada ya siku1 kumsikia alivyokuwa anajibu maswali ya Maulid na qunut anajigingagonga hanyooki.
ABUBAAZ KUMBE DINI YAKO UNAWATAZAMA WATU WATASEMAJE? UMESEMA ULIPOTUMA KWENYE MAGROUP UKARADIWA NDO UKAJUA, SIO UKASOMA. JITAHID KUSOMA USIFUATE WATU KILA WANACHOSEMA.
Na nyie Kila kitu bidaa mbona iyo midevu yenu mnayoifuga ni kero Kwa watu inanuka hamuishughulikii.
@@Hamis-ks1sy Eee hawezi kunyoka kwa sabab ataharibu kibarua chake... hahhaha! hao watu wao wa karibu ni masufi kabsa, bora hata bachu, Duuuh! Japo wote manhaj zao hazieleweki.
@@hudhaifahsadru-xr2gg Khaaa! Kwan kuraddiwa sio kusomeshwa?!!! Mimi kwa taarifa yako nimewajua mahizbi kupitia hizihizi ruduud, either mimi mwenyew kuraddiwa au mwingine kuraddiwa!
Nilivyoraddiwa nilisomeshwa vzr tu na huyo aliyeniradd na Alhamdulillah nilimuelewa sana! Lakini haikutosha baadaye nkawa nafatilia mienendo yake katika kujibu maswal nkazidi kuthibitisha uhizbi wake, Allah amuongoze!!!
Kwanza unakaa kusomesha wakat hujui ata bidaa inayoshinda maasia mwalimuganiwee mbona wana wachuoni wamekuekeawazikabisa bidaa inayoshinda maasia lkn umchache wavitabu ndomaana. Nasheikh abdu qaadir yuposawa weweapo najopulako ndomamwehu
Eti kwa akili yake ndogo ,kwani hamuwezi toa hoja mpaka muweke na maneno ya kuudhi au kashfa ?
Shekh wangu kama elimu ndio hiyo unayo mraddi huyu shekh abdul qaadir sidhani kama atakujibu maana ni utumbo mtupu sijaona elimu uliyo zungumzaa hapo zaidi ya kutaka kufundishwa .
WEWE UMEONA BIDAA YA MAULIDI TU MBONA NYNY ZENU BIDAA SUNA WENGINE BIDAA MBAYA ,ACHENI UKAFIRI WENU
@@ExcitedCave-cx9rx ww acha takfir ni upi ukafiri uliouona punguza jazba ww maamuma
Kwahiyo shekh Abdul lkadir anataka ahamini maneno ya sufian al thauri taabi huyu aliposema bidaah ni mbaya zaidi kuliko mahsiaa, shekh anataka kutuambia anaekunywa pombe ni mbaya kuliko mzushi aloweka sheriah katika dinni ya Allah na akapoteza kizazi waone ile ndo dinni hilo hata mimi simuungi anasema anaenda maulidini yupo sahihi kuliko anaenda bar kulewa sasa wa maulidini anasema anaenda kufanya kheri gani na anaenda kumshilikisha Allah sabu ndani ya maulidi mna shirki watu wakatae wafe yule anae fanya shirki na kuzusha katika dini ya Allah ana kheri gani mtu wa mawlid?? Ndani ya mkusanyiko ule mna urongo, ndani yake zinatajwa pombe ndani yake watu kwwkuwa hawaji kiarabu huitikia tuuh swala lahu, muda mwengine hajatajwa mtume zinasifiwa nyimbo, nai ruzi mbali mbali muziki humo wa kudance na mchanganyiko wa wanaume na wanawake hapooo😂😂😂 wwtu kupeana kodi za kwenda kufanya zinaa na urongo humoo anatajwa waliii wao alikufa wqtu huitikia swala lahu, urongo ndani yake kumfufua mtume katika kaburi yake kila mfungo 6 et anakuja mawlidin watu wanasimama yeye Abdul lkadridil haoni miharafati hiii chungu nzima useme anae enda maulidini anaenda kumsifu mtume, mtume asifiwi ndani ya swwla kila swala lazima tumswalie mtume, na ukitaka hayo maliza swala yako mswaliee mtume mpk midomo ivimbe, shkh Abdul lkdari na ilmu yake yote hajajuwa maulid yana shirki ndani yake aseme anae lewa ni hatari zaidi kuliko aendae mawlidini so sahihi kabisa mlevi anjuwa lile ni kosa, anaogopa na rahisi kutubia sasa huyu mzushi ana enda mshirikisha Allah ndani ya mkusanyiko huoo na kumzulia Allah hakukamilisha dini kwa mtume wake anafanya ibada ya kumzulia mtume hiyo ni hatari zaidi na Mtume amesema allah akubali touba ya mushi mpk aache uzushi.nimepitia comment nyingi humu wanaounga mkono shekh Abdul kadir ni makhurafi wa kishia na kisufi, ndo wakipataga mtu anaejinasibisha na sunnah katetea uzushi wao watampenda kweli, mimi najuwa hata baazi ya maanswari sunnah wengi wao nawo walikuwa hawafulahii fatuwa za huyu sgekh sema bhasi tuuh! Ndomana naona coment nyingi za makhurafi wa kisufi sabu anawqteteaga uzushi wao huooo😂😂😂
Huyu mzunguzaji anaropoka tuuu elimu hana, na itachukua muda kuipata hiyo elimu maana katawaliwa na kibri na jazba hamna cha maana na kweli Mawahabi dunia mzima ni wapiga kelele ilmu yenye manufaa hawana
@@MohamefMullah masufi ndo Wana ilmu yenye maufaa kuwaabudu masharifu makaburini ndo ilmu yenye manufaa au siyooo
KWENYE VITABU VYENU KUNA MPAKA KUPIGA PUNYETO MWEZI WA RAMADHANI ,NI KIRUUSU WAFUASI WENU WAPIGE PUNYETO ET AITENGUI SWAUM ,KUWENI WAADIRIFU NYNY MAZAYUN WAKUBWA WAFUASI WA NAJID
Dawa imefika kwenye ugonjwa bila shaka
Hahahahahah! ni wapi masalafy wamesema inajuzu kupiga punyeto mwezi wa Ramadhan😂😂😂, Uongo wa Babdeo umeanza sasa!
@@ExcitedCave-cx9rx una zungumzia puchu vipi bas kuhusu barzanji yua ruhusu watu kuabudu makaburi na mayyit.
Jee puchu na shirk Sasa wachukulia kupiga puchu Lina uzito kuliko shirk??? Nawala hakuna maamrisho yaku jichua Yani punye yafaa huo ni mlango mpana waki ilmul fiqy sio unakurupuka tu matatizo ni ufupi wa mashee zako na ujinga wako waku zaliwa hutaki kukaa kitako usomeshwe..
Taja kitabu gani Chaki salafi kinao ruhusu kupiga punye?? Ufupi wa fikra na ujinga waku zawa ndio problem
Hawa watu wa bidaa wanahalalisha maulid na kuona kwamba na utaratibu wa dini kumbe ni uzushi haukufanywa na Mtume wala maswahaba sasa msiwapoteze watu nyinyi watu wa bidaa
Sheikh rekebisha makhaarij yako kwanza mbovu kutamka herufi vzur pia mtihan
Not our case! kama umeishiwa hoja kalale... hahaha!
Kakosea kutamka nini wapi kwenye dakika ya ngapi?
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x kabisa hata akimradd kimasai ili mrad ujumbe umefika inatosha.
Tulia usikizie Dozi
Huna uwezo wa kumpiga Raddi shekh Abdulqadir huna maa'rifa kumzidi kaa kwanza soma
Awateteya mashirifu wenzake ...masufi wanampenda sanaa mpka muhamad albidh wa mambrui kipenzi Chao
Nyie ni wahuni elimu hamna
Naam Sheikh pia angalieni namna mnaweza kumradi pia huyu khurafi suruuri huu kishki maana ni kama amezidi kbsaa, ya'ani kwa sasa hachungi mipaka yake kbsaa.mradini tafadhali huu kishki maana lengo ni kuupotosha ummah huu na kuiharibu imma kuitia dosari da'awa salafiyya.lakini bitaufiqillah hataweza kbsaa
achane ushabiki wa kiupofu someniiii msilete mapenzi ya sheikh fulani na madhehebu fulan mtabaki kuwaa watumwa wa misimamo
@@khamisthomas12
Ahahaha
Kuna Hadithi gani ya Kukataza Maulid Sheikh Au Umetowa kichwani Mkwako
Bro wacha kuulizia maswali hayana meno ww si ulete Aya inayo juzisha yafaa!!!maswali yaki Sufi mashia nama hizbi hamna hujja mwatapa tu
NaWewe unayohadithi inayoruhusu maulidi
@@JifunzeKiarabu Sasa kama hamna hadithi ya kukataza na ww upo wapi hadithi ilivyo kubali hayo maulidi
@@JifunzeKiarabu itakujaje hadithi ya kukataza kitu ambacho kimekuja nyuma ya dini kukamilika inamana halikuwepo na halikufanywa na ww unafanya ndo uleze wapi umekitowa
@@IsmailGavara-n9p Nyie wanyewe kwa wenyewe munajiraddi kisha mnajigonga,ukisema Maulidi Hayafai kunavitu kwasababu hakuyafanya mtume au Maswahaba au hayakuwepo katika zama za mtume nikuulize je kuna vitu vingapi wewe unavifanya wakati huo wa Mtume havikufanywa wala havikuepo ,lazima uwe na mizani,na tukiangalia kwa mtazamo huo hata wewe utakuwa ni Bidaa Tena بدعة ضلالة
Jamani Allah ndiye anaemjua nani mcha mungu na nani si mcha mungu acheni kujitakasa kujiona nyinyi ndio wasafi au naiyo pepo mushabashiriwa kuwa nyinyi ndio mutakaoingia wengine hawamo balaa tu
@@fakihkombo6065 hakuna aneji zakhi katika masalafi bro skiza vizuri hujjah kazi yako na mm nikuskiza sio kutuhumu
Mashallah Akhy
Shekh,mtume anasema usinywe pombe,hakika ya pombe ni kichwa cha maovu yote,
Nakuuliza kipi mlevi hawezi kufanya?
bida'a ni mbaya Zaid acha kutetea ujinga
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x dalili nini,
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x kisha sitetei bidaa,but munapomradd mtu msiirazimishe alichomaanisha kiwe mnachotaka ninyi ili mumradd,
Ndo nakuuliza,nsaidie dall kwa sababu mulio wengi mmeacha bidaa mkaingia ktk Sunnah,
Na wapo walio toka ktk maasiya na bidaa na walipotubia wakaacha vyote,ndo nakuuliza mlevi hawezi kufanya bidaa,ni dhambi gani mlevi hawezi kufanya? Inabidi ujibu si kulalamika mpuuzi mmoja
@@hafidhwajina6718 Duh! unanipa waswas... Hivi hadi leo hujui kuwa Bida'a ni mbaya kuliko maaswiya? Sema dalili sijaikalili ila Sikiliza hzo ruduud zote au ukasikilize radd ya Abuu Khawlah kwa Mziwada ya majuz kati, alitaja dalili juu ya hilo...!!! Kijana hilo hulijui duuuh? Nyie ndo watu wa Sunnah mnaokalibia kuwa masufi kama alivyo Abdul qadri wenu
huyu wa maraddi anatakiw akasome vitabu maana haiwezekan kufany maulid iwe dhamb kubwa kuliko kuzini …! hili haliwezekan mpk kiyam kitasimam na kama ana ushahid alete
Hivi mtu akifa na imani ya tawhidi tatu hufa ni mzushi . Mshirikina au mtu wa sunna?
Kitu kinachoitoa maulid nimaneno yamtumi aliposema bidaa hasan. Nasayyia hunauwezo wakujua waache wenyewe tafuta mengine dini sifaniyako inawenyewe wanaoweza. Mwehuwewe
Mbona shekh anakitabu chake kandika kuhusu bidaa ya maulid.
Sasa hapo ulichoraddi nikipi akhii
Maneno ya sheikh yapo wazi
Hauwezi kufananisha maulid na kunywa pombe
Adabu hamuna hatuwalaumu mkipelekwa mahakamani kama shee wenu abuu hashim mnaanza kulia lia
Wapumbavu nyinyi
Adabu 0
Elimu 0
Sasa nyinyi dini mmeijua Jana tu mnaleta mambo mengi kupigiana kelele sasa wewe unae mwambia huyu hivyo wewe au na wenzako ushekhe huo umeupata wapi ikawa ndio dalili kuwa una elimu iliyo komaa
Kuna mtu anakaa anasikiliza darsa za huyu mtu mjinga aliyepotea njia ama kweli watu wajinga hawaishi duniani
Hivi nyinyi mawahabi baba zenu walikufa wakiyatetea maulid hebu tupeni hukmu yao maana kila kitu kishabainishwa
Assalaam Alykum, umeuliza swali zuri sana,, Ba kutoka na Majinubyao wanayonjibu ni KUWA WAMEKUFA KTK ITIKADI POTOFU...
Abuu albaass kama ulisomewa maneno ya ibnu uthaymiin kuhusu usalafiyyah na hukuelewaaa huyu shekh huto muelewaa
DUH KWERI SHETAN AKIWAPAMBIA JAMBO LENU ,MNAKUWA AMUWEZI KUONA ,MBONA NYNY AMJADIRI BIDAA MLIZO NAZO ,???KAMA KWERI NYNY MNAFATA SUNA ,IV MIBIDAA ILIYO JAAA KWENYE MAMBO YENU AU MNAJIZIMA DATA ,TUMEWAJUENI NYNY NI MAZATUNI WAFUASI WA ROMAN KATORIKI
Bidaa gani twafanya???!!! Zitaje Sufi wew
Yani ili abbas kapewa nawazee kweliuyu
Ndio maana sasa hivi uzinzi na ulevi umetamalaki mbona ndio mafundisho ya Dini yenu?
Lini tumefundisha watu wakazini?
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x unaposema Zinaa ni Bora Kuliko maulid unakua unamaanisha nini
@@husseinsaid8021 Mfanya zinaa ni rahisi kutubia kuliko mfanya maulid (Bida'a) kwa sabab anayefany maulid anajiona kuwa yeye yupo sahihi na mwisho anajikuta amekufa katika bida'a bila kutubia! Ni sawa na mtu ambaye ni shia, huyu akifanya zinaa atatubia lakin hawez kutubia juu ya ushia wake koz anajua yupo sahihi...!!!
Kama hutaki maulidi nenda huko utakako ukazini
Mawahabi kazi yenu ni fitna tupu na husda
Anakusudia ni msiba mkubwa kufananisha kwennda bar na kwenye maulidini ni msiba mkubwa
kweli bidaa ni hatari Amal yako haiende kwa Allah mpaka uwache bidaa yako
Wewe ulikimbia maswali hukondo unafika?😂 unaelimundogo kwakweli
Wewe ni jaahili km majaahili wengine wa kisalafi kwanza mtume mpk anakufa anapigania uislamu nyinyi mmekuka mnapigania usalafi mbali mbali kabisa
Hivi kwani tawhidi tatu ni sunna au bid.a?
Kafunzwe na walimu zako ilimu za aqsamul tawhidi na ikiwa hujui tawhidi imegawanyika bas haufahamu qurani kasome bro
Porojo hujasema chochote Abdul Qadr anatengeneza nyie mnavunja
Hebu tueleze katengeza nini kwa mfano
@@abuurayaan3902
bidaa
@@abuurayaan3902 kama mnachakusema zungumzieni Mayahudi linganieni Makafiri na wasio kua waislamu mtapata Ujira mkubwa wacheni kutafuta Makosa ya Watu Nyinyi mnamakosa Kibao
yan ww mjing zina una ifananiz na bidaa una akil ww
Tatizo ujinga unakusumbua ndomaan yanayozungumzwa huyaelewi kwasababu si nafasi yako
Mtume anasema yeyote anaemuamini allah na siku ya mwisho aseme kheri au anyamanze sheikh anataja mambo makubwa yakielim we sio revo yako lililobora kwako nikuikaakimya
@@ismailkizakama unavyomsumbua huyo mropokwaji wenu kauzidi ujinga
@@ismailkizaHakuna wahabi hata mmoja mwenye ufahamu katika elimu duniani kote
Acha kuifanyia dini ushabik ww kaa soma na sio kusoma tu bali usome kwa watu wa haqqi
Porojo tu
Allah awahifadhi shekh Abdulqadir na shekh kishk ❤❤❤❤❤ bimaan kuna wat wanaish kutafuta kasoro za wa2
Sasa hapo ulichoraddi nikipi akhii
Sub hanallah! Wewe si ni shabiki wa bachu kabsa wewe! Umefikia hatua ya kuwa kinyume na wana sunnah wanaopinga maulidi...!!! Au wewe ni Sufi kabsa!
Angalizo :-
1- We chipukizi wa elimu , laiti ungefundisha watu mambo ya msingi kwanza yanayowafaa zaidi kuliko kufuatilia nani kasema nini na ujikalamue kujibu .
2- Sheikh Abdulqadir amejibu swali kulingana na alivyoulizwa hajasema kama Maulid inafaa ama vipi .
3- Hujawa na adabu wala busara katika elimu , kwa sababu iliwezekana kumtafuta sheikh abdulqadir na ukamuuliza ni kwa sababu gani alijibu vile .
4- We umshambulia sheikh Abdulqadir na kumpa majina ,Sufi , ikhwaniy ,,,, bila Burhani yoyote , hiyo ndo elimu ulosoma kukurupuka kuongea .
5- Unajenga hoja zako kwa kutumia maoni ya wanachuoni ,, sheikh Abdulqadir naye pia anajenga hoja kwa dalili na maoni ya wanachuoni. Iweje wewe hoja zako ndiyo sahihi na hoja za wengine sio sahihi??!
6 - Wewe haumjui sheikh Abdulqadir Manhaji yake , Pia hujui msimamo wake kuhusu Maulid. Nitafute nikuelekeze.
+255714839860.
7- Nakuusia kijana usiwe mwepesi wa kuropoka kwa kila unachohisi unakijua .
ليس كل ما يعلم يقال ،،،،،، وليس كل ما يقال يقال في كل مكان
Angalizo :-
1- We chipukizi wa elimu , laiti ungefundisha watu mambo ya msingi kwanza yanayowafaa zaidi kuliko kufuatilia nani kasema nini na ujikalamue kujibu .
2- Sheikh Abdulqadir amejibu swali kulingana na alivyoulizwa hajasema kama Maulid inafaa ama vipi .
3- Hujawa na adabu wala busara katika elimu , kwa sababu iliwezekana kumtafuta sheikh abdulqadir na ukamuuliza ni kwa sababu gani alijibu vile .
4- We umshambulia sheikh Abdulqadir na kumpa majina ,Sufi , ikhwaniy ,,,, bila Burhani yoyote , hiyo ndo elimu ulosoma kukurupuka kuongea .
5- Unajenga hoja zako kwa kutumia maoni ya wanachuoni ,, sheikh Abdulqadir naye pia anajenga hoja kwa dalili na maoni ya wanachuoni. Iweje wewe hoja zako ndiyo sahihi na hoja za wengine sio sahihi??!
6 - Wewe haumjui sheikh Abdulqadir Manhaji yake , Pia hujui msimamo wake kuhusu Maulid. Nitafute nikuelekeze.
+255714839860.
7- Nakuusia kijana usiwe mwepesi wa kuropoka kwa kila unachohisi unakijua .
ليس كل ما يعلم يقال ،،،،،، وليس كل ما يقال يقال في كل مكان
Allah awahifadhi shekh Abdulqadir na shekh kishk ❤❤❤❤❤ bimaan kuna wat wanaish kutafuta kasoro za wa2
Allah awahifadhi shekh Abdulqadir na shekh kishk ❤❤❤❤❤ bimaan kuna wat wanaish kutafuta kasoro za wa2