Allah akuhifadhi na atujalie tupate mashekh kama wakina Muhammad bachu 10 nazaidi afrikanzima uislam utakua nanguvu na kuenea namasufi watapotea na uzushiwao
Mashallah shekh Mohamed bachu twakuomba uje kenya lamu kijiji cha mkunumbi japo siku moja mwezi waramadhan ututolee darsa na jaza yko utapata kwa Allah inshallah
SHEIKH nakushauri maana nakuona uko vizuri sasa siivii yako itashuka IKIWA utadili sana na kuwakosoa watu lkn ukiwaacha na wanayoyasema ukaangalia mambo yako kama kufundisha ilmu kupitia vitabu mbalimbali itakua kheri kwako na pia siivii yako itakua juu inshaallah Shukran 🙏🙏
Shehe ukitoa nasaha inapendeza ila ile sijui kuradi sii katika akhrack za mtume nawaombeni muaache. Tafuta mada fikisha kwa watu kama hivyo Allah atuongoze inshaalah
Radi ni lazma kwa masheikh waongo kwa sababu wasipofatilizwa wataupoteza ummah Na waislam WA ss hawataki kusoma kwaiyo lazma kwa masheikh waongo kwa sababu ili watu wazendunke Na uongo wao bila hivi hatitujua kama ni waongo
@@shikivokochabunu8011 sema unaweza ukahisi wanakosolewa lkn Kuna hekma inabidi zifuatwe mfano kunyamaza kimya ukafundisha watu msimo wako ni Bora zaidi kuliko kosoana kwenye Mambo ambayo wanawazuoni wamehitalifiana lazima ujenge mshangao kwa wale wenye kumfuata mwanawazuoni yule kwani Kama mtu unadanganywa ndio nafasi ya kushika kitabu ukasome ile sehemu sahihi Allah atakuongoza kwasababu unasoma ujue.
@@islamiczoneallytv2558 Sheikh hii ni dini ya Allah analazimisha itangazwe vile anavyotaka yy sio anavyotaka mtu yyte kwa matamanio yake pia kifo cha mtume Omar bin khatwab alisema mtume hajafa naatakaye sema amekufa nitamkata kitwa alitamka mbele za watu Abubakar alipoona mtume amekufa ukasema. Hii ni haki hatutokuogopa kukuambia kweli kama mtume amekufa sasa maskhehe wamezungumza mtandaoni lazma wakosolewe mtandaoni maana watu wengi wamesikiza masheikh waongo. Leo Mohammed bachu akirekebisha wale waliosikiza wakiona watafata haki Lakini wakifanya kwa Siri basi batwil itaendelea bila watu kujua wabillah taufiq
Wapy hujaekewa? Anaelezea namna ya kuoga janaba. 1.Kuweka Nia 2.Kuosha sehemu za Siri 3.kuosha mikono 4.Kutawadha 5.kujimwagia maji upande wa kulia kuanzia kichwani Hadi miguuni 6.Kujimwagia maji upande wa kushoto kuanzia kichwa Hadi chini mara tatu 7.Unajimwagia mwili mzima na unahakikisha Kila sehemu imepata maji.
Assalamu alaikum Sheikh. Nakuomba tafadhali utufafanulie Na kutueleza, JE INAFAA MWANAMKE KUA KADHI? TENA AWE ANAHUKUMU HASA NA MENGINEO?. JAZAKALLAHUL KHAIR
Subhanallah twahara ni lazima maji yaanzie kichwani uyo atakua hajatwaharika bado asipotia maji katika nywele Tena si kumwagia tu atakiwa kusugua kwa vitole maji yainguie adi kwenye ngozi
A.A. Sheikh Kuna Jambo hutokea kwa wanawake wengi. Mke amemaliza tendo la ndoa akataka kuoga janaba lakini wakati ajisafisha anaona Na hedhi imemfata NA bado hajamaliza josho lake. JE HAPO ATAOGA VIPI NA NIA ITAKUA VIPI? PLZ tusaidie hapo
Shukran sana shekh lkn mbona mwatutatiza mana wengine wanasema ukimaliza kujitoharisha ndio unatia udhu na udhu huohuo unaweza kuswalia ikiwa mda wa swala umeingia na ww wasema watia udhu kwanza ndio waoga mbona hamna kauli za kufanana mnatutatiza sisi maamuma jmn
Usitatizike vyote vimekubaliwa unaeza kutawadha ndio ukaoga na ukawa uko sawa na pia unaweza kutawadha kabla na baada ya kuoga na pia unaweza kutawadha baada ya kuoga😊
Shukran sana sheikh kwa taaluma. Allah akujaze kheri . Mimi nilikuwa nina swali kidogo. jee akikugusa mwanamme kwa bahati mbaya hali ya kuwa una udhu .jee itakuwa udhu wako umetenguka?
Shekh mi nina swali je katika hizi nyakati hizi mbili baada ya sala ya Subuhi eti hakuna sala eti baada ya sala ya Asri hakuna sala je hatakama sala imekupita mda huu huwezi kulipa hii sala katika huu muda mtume Alie ukataza?
Nakuomba Allah huyu mja waķo anaetuelimisha mlipe kheri duniani na Akhera Amina ya rabbi nakupenda shekh kwaajili ya ALLAH
Aamin ishaallh 🤲
Inshaallah
Nashukuru sana kaka mungu akuzdishie umri mrefu ishaalla
Amin amin
Ameen
MashaAllah uishi maisha marefuu mwalimu wetu🎉
allah akulipe sheikh allah ameondowa wasiwasi katika moyo wangu kupitia wewe
Allah akuhifadhi na atujalie tupate mashekh kama wakina Muhammad bachu 10 nazaidi afrikanzima uislam utakua nanguvu na kuenea namasufi watapotea na uzushiwao
Allah akulipe kila la heri mwalimu wangu ❤❤
Mashallah shekh Mohamed bachu twakuomba uje kenya lamu kijiji cha mkunumbi japo siku moja mwezi waramadhan ututolee darsa na jaza yko utapata kwa Allah inshallah
Mashaallah mungu akulipe ujira mwema 🙏❤
Maashaallah yaarab mlipe kher huu shekhe wetu
Amiin
SHEIKH nakushauri maana nakuona uko vizuri sasa siivii yako itashuka IKIWA utadili sana na kuwakosoa watu lkn ukiwaacha na wanayoyasema ukaangalia mambo yako kama kufundisha ilmu kupitia vitabu mbalimbali itakua kheri kwako na pia siivii yako itakua juu inshaallah Shukran 🙏🙏
Wamanisha wasimosolewe ili wazidi kudanganya ummah,tulia wachapwe vikoto mashekhe waongo
Anayefanya makosa yanayosababisha kupoteza watu mitandaoni lazima akosolewe mitandaoni ili kuonesha uongo na kuelekeza ukweli
Huwezi mwambia shekh asiwakosoe wanao potosh ummah anafany kaz mzry allah amlip khery🎉🎉🎉❤❤❤
Mashacllah❤mwalimu wetu kipenzi❤chetu nakupenda sana❤
Asantee San mungu akuzidishie inshallah kwa darasa
Ma Sha Allah THABAARAKA ALLAH 🙏 shukran shekh
Mashallah uko sawa bachu
😊
Masha Allah Allah azidi kukuongoa nakukueka kwa ajili y kutupa elimu zaid
Alhamdullirah kwa kutuelimisha....pia unaongea kwa utulivu mashaAllah
Jazkallah kheir
Mungu akujalie❤
Mashaallah shekh muhammad bachu
Maa Shaa Allah TabarakAllah Shukran Sheikh
JazzakaAllah khayra sheikh Muhammad
Ewe mwenyezi mungu utuze huyu mjawako
Amiin
Shukrani shekh wangu umeongea ufasaha kabisa jazaka llahu Khaira kathiiraa.
Asante shieh mungu akupe mwisho mwema
Shukran sana,Sheikh! Darasa lina mafunzo mazuri sana,lillah. Endelea kutufunza na,In Shaa Allah,Allah Atakulipa- Amiin!
Mashallah, shukraan sana shekh Mohammed kw darsa, jazakallah lkheyr
Unafafanua mashaallah nimependa
Alhamdullah.Allah akuweke inshaAllah nakuombea
MashaAllah Allah atakupa kila la kher InshaAllah kw kutuilimisha
Mashaallah
Asanteeee sana ustadhi nimeelewa somo
Mashallah mwenyewe nzimungu aku jalie iendeleee kutufunzaa ishaallah 🤲
Amina labilahala amina 🙏
ماشاءاللہ جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
Maashaallah Maashaallah shekh❤
Jazakallah khairan 🙏
Allah akulipe wema
Shukran jaza
Waalaykum Salam warahmatu llahi wabarakaatuh shukran jazaka ALLAHU Al kheyr
Jazzakkallah
Shehe ukitoa nasaha inapendeza ila ile sijui kuradi sii katika akhrack za mtume nawaombeni muaache. Tafuta mada fikisha kwa watu kama hivyo Allah atuongoze inshaalah
Radi ni lazma kwa masheikh waongo kwa sababu wasipofatilizwa wataupoteza ummah Na waislam WA ss hawataki kusoma kwaiyo lazma kwa masheikh waongo kwa sababu ili watu wazendunke Na uongo wao bila hivi hatitujua kama ni waongo
@@shikivokochabunu8011 sema unaweza ukahisi wanakosolewa lkn Kuna hekma inabidi zifuatwe mfano kunyamaza kimya ukafundisha watu msimo wako ni Bora zaidi kuliko kosoana kwenye Mambo ambayo wanawazuoni wamehitalifiana lazima ujenge mshangao kwa wale wenye kumfuata mwanawazuoni yule kwani Kama mtu unadanganywa ndio nafasi ya kushika kitabu ukasome ile sehemu sahihi Allah atakuongoza kwasababu unasoma ujue.
@@islamiczoneallytv2558 Sheikh hii ni dini ya Allah analazimisha itangazwe vile anavyotaka yy sio anavyotaka mtu yyte kwa matamanio yake pia kifo cha mtume Omar bin khatwab alisema mtume hajafa naatakaye sema amekufa nitamkata kitwa alitamka mbele za watu Abubakar alipoona mtume amekufa ukasema. Hii ni haki hatutokuogopa kukuambia kweli kama mtume amekufa sasa maskhehe wamezungumza mtandaoni lazma wakosolewe mtandaoni maana watu wengi wamesikiza masheikh waongo. Leo Mohammed bachu akirekebisha wale waliosikiza wakiona watafata haki Lakini wakifanya kwa Siri basi batwil itaendelea bila watu kujua wabillah taufiq
@@shikivokochabunu8011 swadakta maneno yako
Maa shaa Allah shukran kwa ukumbusho
Shukraan Sana sheikh wetu jazakallah khaira
Mashallah
Allah akulipe kheri inshaAllha
جزاك الله خيرا
الله يوفقك
ويحفظك
من كل
شر
Wewe umempenda sana Sheikh Mohammed bachu Allah ajaliye umpende kwaajili ya Allah
Hizo herufi za kiarabu unazipataje
Moja ktk majllisu nilifundishwa wakati wakukoga janaba usiposukutua kogo halijakamillika likoje hilli Al'akhi sheikh Muhammad Bch.
Hapa na mmi sijajuwa
Mashaallah jazakallahu khair
Masha Allah Shukraan shekhe wetu
Mashaallah shukurn
Jazzaka Allahu Khairan Ya Sheikh
Shkeh misija elewa
Wapy hujaekewa?
Anaelezea namna ya kuoga janaba.
1.Kuweka Nia
2.Kuosha sehemu za Siri
3.kuosha mikono
4.Kutawadha
5.kujimwagia maji upande wa kulia kuanzia kichwani Hadi miguuni
6.Kujimwagia maji upande wa kushoto kuanzia kichwa Hadi chini mara tatu
7.Unajimwagia mwili mzima na unahakikisha Kila sehemu imepata maji.
Maa sha Allah shukran sana sheikh
mashaAllah
Gid bless you
Shukran jazakallahu kheir 🤝
Jazzak Allah kheir
Jazakallah kheir bro
Safi shekh
Mashallah Jazaakallahul khayran Sheikh wangu
Mashallha mwalim wetu
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Cheikh tusayidiye utufanyiye vidéo ukiwa unatawadha mana tumeona watu wakitawadha tofauti.asante
Kabisa
alhamdulillah
Barakallahu feek
Baaraka llahu fik
Shukurani shekhe
Asnte jazaka llahukhayra amiin
Mashallh Allhu bariq
Allhamdulilah
Shukran ❤
Shukran shekh wangu
Shukran Jazeer
Jazakh Allah
Jazaaka Allaahu Khyra
Asalaam Alaikum...inshaaAllah...Fajazakumullah khairan
Hapo kwenye kutia wudhu ukiwa unaosha uso unatakiwa utamke ile nia au utaosha bila kusema chochote?
Maashaallah
Shukran
بارك الله فيك
"kwakuwa janaba mtu anakoga mara mbili au mara tatu"....
Asalamualeikum, je janaba ya zinaa nayo waoga vp shukran
Wapo wenyeswali hili mh
Waaleikum Salaam Janaba ni janaba tu unaoga kama alivyoelezea Ila zinaa ni Haraam
Assalamu alaikum Sheikh. Nakuomba tafadhali utufafanulie Na kutueleza, JE INAFAA MWANAMKE KUA KADHI? TENA AWE ANAHUKUMU HASA NA MENGINEO?. JAZAKALLAHUL KHAIR
Mwanmke hawezi kua kaadhi Allah ndoameshaeka ivo
Sheikh muhammad. Naomba kukuliza kuna baadhi ya wanawake wanapo oga janaba hawatii maji kichwani nn hkumu yke je inafaa au laa naomba unijibu.ahsante
Subhanallah twahara ni lazima maji yaanzie kichwani uyo atakua hajatwaharika bado asipotia maji katika nywele Tena si kumwagia tu atakiwa kusugua kwa vitole maji yainguie adi kwenye ngozi
Hukumu yake shekhe hapo hajakoga janaba maana mwili wake wote haujaenea maji ili ukamilike lazima mwili wake wote uwenee maji
Hukumu yake shekhe hapo hajakoga janaba maana mwili wake wote haujaenea maji ili ukamilike lazima mwili wake wote uwenee maji
Asante
Shukran 🙏
Mungu akubaliki Sana shehe
asalaam alkym
🙏
Wakati wa kustanji tunapaswa kutumia mkono upi wa kulia au kushoto? Shukraaan
A.A. Sheikh Kuna Jambo hutokea kwa wanawake wengi. Mke amemaliza tendo la ndoa akataka kuoga janaba lakini wakati ajisafisha anaona Na hedhi imemfata NA bado hajamaliza josho lake. JE HAPO ATAOGA VIPI NA NIA ITAKUA VIPI? PLZ tusaidie hapo
ACYA KULALA NA MWANAMME MAMBO HAYO HAYATAKUTOKEA😁😁😁
Nadhani waeza tia nia pamoja maana uogaji ni uleule
@@natafutamatatizo4382 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@@natafutamatatizo4382 Jina lenyewe tu linajieleza kwaiyo ngoja tu nikuache
Naomba video ya jinsi ya kuswali kwa mwanamke, nimeingia kwenye uislam miez 2 sasa siwezi kuswali
Maashaallah 💕💕
Shukran sana shekh lkn mbona mwatutatiza mana wengine wanasema ukimaliza kujitoharisha ndio unatia udhu na udhu huohuo unaweza kuswalia ikiwa mda wa swala umeingia na ww wasema watia udhu kwanza ndio waoga mbona hamna kauli za kufanana mnatutatiza sisi maamuma jmn
Tizama tenna hii video nahisi hujafahamu
Unaweza kuswalia
Kabisa
Usitatizike vyote vimekubaliwa unaeza kutawadha ndio ukaoga na ukawa uko sawa na pia unaweza kutawadha kabla na baada ya kuoga na pia unaweza kutawadha baada ya kuoga😊
Shukran sana sheikh kwa taaluma. Allah akujaze kheri . Mimi nilikuwa nina swali kidogo. jee akikugusa mwanamme kwa bahati mbaya hali ya kuwa una udhu .jee itakuwa udhu wako umetenguka?
Najibu kwa ufup hilo la bahat mbaya hutaenda kushika tena udhu
Shekhe udhu iko mingapi? Udhu wa swala ni upi na udhu wa kawaida ni upi.
Udhu uwo uwo wa swala hukumfaham vzr
Nauliza suala kujichua kwa mawanamke ni sawa au
So kwa mwanamk t ht kwa mwanamme haifai
Ashajibu kwa darsa ya tatu fatiliza utasikia
@@shikivokochabunu8011 Sasa ukiwa na nyege na hujaolewa utafanyaje
Shekh mi nina swali je katika hizi nyakati hizi mbili baada ya sala ya Subuhi eti hakuna sala eti baada ya sala ya Asri hakuna sala je hatakama sala imekupita mda huu huwezi kulipa hii sala katika huu muda mtume Alie ukataza?
Ni kwa swala za Ziada tuh ila km umepata dharura unaswali kwa swala ya faradhi tuh
Sasa kuhusu maji yale yakiruka yakiingia kwenye ndoa mule hayaja haribika au?
Hayajaharibik man mtume (sw) alikua akiog pamoja na bi khadija na maji yakiingia kwny debe la maji
Hapana
@@abdiomar954 sasa inakuaje apo
Icho kinyombo kwambali chakera.
Nyimbo
Mashaallah sheikh Allah akuhifadhi
S. B. Y
0776587704