Songea mpya ndio hii inatusogelea...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ค. 2018
- Naona ule mradi wa ULGSP unalipitisha tabasamu kwenye mji wa Songea ikiwa ni moja ya Halmashauri 18 ambapo umesaidia Halmashauri hii kuwa miongoni mwa miji inayokuwa kwa kasi kubwa.
Hivi sasa Wananchi wanafurahia miundombinu amazing ya barabara, wanapumzika katika bustani ya kisasa, vilevile wanatumia stendi iliyoboreshwa huku wakisubiria stendi ya kisasa inayoendelea kujengwa.
Tusisahau pia kuongezeka kwa mapato ya ndani kulikosababishwa na ufungaji wa mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji wa mapato uitwao Local Government Revenue Collection Information System (LGRCIS),
safi sana wangoni na ss tuendelee na mji wetu na ifikie kua jiji LA songea
Mbona iyo stend inakua mbali sana na mjini
wow inaleta furaha sana milango inadinduka hapa na pale
Haya ndo ninayoyapenda NGONI BOY
Songea ndo home
home boy
Momba maneno ni mengi kuliko kichofanyika?
Nimekumis home
nimekumic kunyumba mm
Mbona naona ume zeeka ghafla meya we2 mjomba magu kabana sana nn
Kunyumba
Safi sana