Mimi naamini Chadema ni mwiba mkali kwa taifa hili endelea kupiga kwenye mshono vyama viko vingi Tanzania ila chama kinachoandamwa sana ni Chadema mimi naamini mna kitu endelea kupigana
amejimaliza mwenyewe maana haoni mbali ajifunze kwa akina nasali,waitara katambi,zito ,slaa, sumaye, lowasa,nyarandu, nawengine wengine msigwa alikuwa anataka cheo
Mtu anaeenda ccm ,ujue sio mtetezi wa wananchi ,siku zote wanaotetea na kujali kuvisemea vitu vya wananchi ni chadema ,ila huyo kaenda ccm kupiga hela tu wala sio mzalendo huyo
Msigwa alikuwa anawafundisha wanachadema jinsi ya kumjua msaliti ndani ya chama,sasa yeye kayafanya msaliti,kumbe hata alivyokuwa mkt wa Kanda ya Nyasa alikuwa kiongoz msaliti,
halima nae alikuwa maarufu..dr Slaa..Zito kabwe nawengine ni haki yake aende kokote tu ni sawa..mi ukiniuliza alishavamiwa huyo ni hatari kama angeendelea kuwepo kwenye chama chenu..pigeni na shampen kabisa
Ana Haki ya kwenda kokote. Ajiulize mara 2 huyo huyo aliyempokea na anamsifia kuwa anataka kushirikiana naye na anatoa hela za miradi! Ajiulize NYALANDU alipokelewa kama yeye ni miaka ngapi sasa imepita hatumsikii!! SUMAYE alirudi wapi unamsikia? Nenda salama! Kukosa tu uongozi kimekulamba!!
Uko sahihi kiongozi,Chadema haiwezi kusambaratika eti kisa Peter Msigwa.
Umeongea vizuri
Msigwa tamaa ya madaraka inamsumbua
Msigwa ni sawa na Mwajuma
Mimi naamini wanainchi mukilinde hiki chama maana hata uhuru tulionao nikwakua ccm wanaiogopa chadema vinginevyo tungepigwa viboko
EXCELLENT SAID, CHADEMA IMEWANOA NA KUWAIMARISHA WATU WENGI SANA, HASA VIJANA
Mimi naamini Chadema ni mwiba mkali kwa taifa hili endelea kupiga kwenye mshono vyama viko vingi Tanzania ila chama kinachoandamwa sana ni Chadema mimi naamini mna kitu endelea kupigana
Halitoka Siraa na Ziko lakini mapambano bado yanaendelea
Msigwa njaa imepanda kichwani na uvumilivu umemshinda sasa ajiandae ccm kumlisha matapishi yake mwenyewe..
Anaenda kupewa ukuu wa wilaya, siasa hawez tena
Kwanza ata ukiliona likichwa cha msigwa ni kama msukure
Sawa iwe kafanyiwa figisu nde ende ccm chama kinoumiza watu
Njaa tu imempeleka, ila ukweli utabaki moyon mwake amejifunga mdomo hataongea ukweli Tena nenda huko
Ameondoka pekee yake hata familia yake imemkataa
Mi binafsi, mtu yeyote anaendoka chadema, sioni shida, Kuna vipaji Vinahitaj nafasi
Safi sana kwa busara zako kiongozi wetu sisi tupo pamoja na hili lituimarishe zaidi
Ningemuona anaakili sana angehamia act kwenda kwa mafis em duu!?
Chadema wachen imani kuiweka pemben mnatakiwa mufurahi ALAH hukuondolea tafiki mnaf au hata mke ulikosalo lina heri na nyie unaweza ukaling'ang'ania jambo kumbe linashari na wewe unaweza ukaona unaikosa pesa kumbe heri yako
YEYE AKAPUMZIKE TU, SPEED NA NGUVU CHADEMA ATUACHIE SISI VIJANA WAPIGANIA HAKI NA UHURU WA WATU
Kumbe walikuwa wanalalamika rushwa kumbe walimtosa kwasababu alikuwa anagawa rushwa kutoka Kwa msukuma walimshitukia
amejimaliza mwenyewe maana haoni mbali ajifunze kwa akina nasali,waitara katambi,zito ,slaa, sumaye, lowasa,nyarandu, nawengine wengine msigwa alikuwa anataka cheo
Msigwa alihongwa pesa, haya sio maneno yangu ni maneno ya Msukuma aliongea mapema sana. Huyu Msigwa kajishushia kheshima.
Muache aende kwaniyeye Nani vijanawapo.
Mtu anaeenda ccm ,ujue sio mtetezi wa wananchi ,siku zote wanaotetea na kujali kuvisemea vitu vya wananchi ni chadema ,ila huyo kaenda ccm kupiga hela tu wala sio mzalendo huyo
Chadema ngome nzito.
Tuko pamoja makamanda
Aondoke mwenyewe ana njaa kali akaungane na mafisadi ya nchi hii
Good point
Labda kaingia ccm kuiharibu ccm
Ameenda kutafuta teuzi za mama Ma RC, DC wakurungezi na nyingine nyingi ana jipya.
Lakini Msigwa amewakeraaaaa na bado sana mtakerekaaa
Msigwa alikuwa anawafundisha wanachadema jinsi ya kumjua msaliti ndani ya chama,sasa yeye kayafanya msaliti,kumbe hata alivyokuwa mkt wa Kanda ya Nyasa alikuwa kiongoz msaliti,
Jamani msijadili tena ya msigwa amechagua lake hilo hana tena nguvu,maana kwetu acheni kabisa.
halima nae alikuwa maarufu..dr Slaa..Zito kabwe nawengine ni haki yake aende kokote tu ni sawa..mi ukiniuliza alishavamiwa huyo ni hatari kama angeendelea kuwepo kwenye chama chenu..pigeni na shampen kabisa
Msigwa kazeeka anataka aende ccm akapumzike siasa
Chadema kina mitambo miamba mingi fisiyemu toka waanze kununua haijaisha ndo inaongezeka kwa kasi mtajua hamjui
Ameona awai pesa za bandari na anaweza kupewa kauwazili ili nae apate pa kupigia dili uyu ni msigwa anakwambia yeye awezi kushindwa
Nilikuwa mfuasi wa msigwa ila kwa sasa siwezi kuwa mfuasi wa Yuda eskarioti tena hana mvuto tena amesha kufa kiasiasa
Jamaani huyu feki mchugaji mwacheni chama nikamali kula msigwa nitamaa atarudi tu
Watachanganya majina ya wapiga kura
Ana Haki ya kwenda kokote.
Ajiulize mara 2 huyo huyo aliyempokea na anamsifia kuwa anataka kushirikiana naye na anatoa hela za miradi!
Ajiulize NYALANDU alipokelewa kama yeye ni miaka ngapi sasa imepita hatumsikii!!
SUMAYE alirudi wapi unamsikia?
Nenda salama! Kukosa tu uongozi kimekulamba!!
MAJASIRI HAWACHOKII
Msigwa na mpina ni mapacha 😮ila chadema ni matapeli wazoefu
Mjinga sana musgwa chadema tupo imara
Wewe umeenza juzi naumezaliwa juzi kwenye Siasa sema mmechukia kwasababu anakiwango
Hana kiwango chadema itadumu milele magufuli alishindwa ataweza msigwa kweli
@@BraytonMwakitalima magufuli hakushindwa sipokua chadema nikitega uchumi ambacho kinakizi matakwa ccm nakwa wahusika wenyewe