ROSTAM; "HAKUNA NCHI DUNIANI ILIYOJENGA UCHUMI WAKE KWA KUTEGEMEA WAWEKEZAJI WA NJE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 209

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 หลายเดือนก่อน +4

    Milango, mageiti na madirisha. Asante rostam.

  • @IbrahimMassaw
    @IbrahimMassaw หลายเดือนก่อน +19

    Exactly, always investors they are after profit, that's why JPM prioritise Tanzanian first,
    Due to lack of knowledge we submitted our resources to the foreigner with zero management we end-up like slaves.

    • @TryphonRabson
      @TryphonRabson หลายเดือนก่อน

      Ongea kiswahili bwege ww mbona unakisikia ww cyo mzungu acha utumwa

    • @IbrahimMassaw
      @IbrahimMassaw หลายเดือนก่อน

      @TryphonRabson sawa broo nitafanya hivyo

    • @vusumuzi_mathumo
      @vusumuzi_mathumo หลายเดือนก่อน

      ​@@TryphonRabsonspeak english idiot

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 หลายเดือนก่อน

    Asante Rostam kwa kuwaelewesha mbumbumbu wanapita kila nchi kutembeza kibakuli cha mikopo kila iitwapo leo huku kiasi kikubwa wakiingiza mikopo hiyo kwenye matumbo yao. Ni umaskini ulioje! Hebu watupishe.

  • @mazartajmohamed1437
    @mazartajmohamed1437 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu jamaa aliwahi kuongelea wachina wanaofilisi wana kijiji kwa kuweka mashine za kamali vijijini alisema inawalemaza vijana kutokupenda kufanya kazi wakitegemea kamali hongera mwana wantemi igogo lya kaya likashenenegwa

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 หลายเดือนก่อน +35

    Huyu mtu hachanganyi kiswahili na Kiingereza... Safi sana

    • @stateofart1089
      @stateofart1089 หลายเดือนก่อน +1

      ACHA UPUMBAVU WA AKILI RANGI YAKE NYEUPE INAKUWEUSHA NINI??
      Hana tofauti na mtu wa Tandale tu Amelia kigoma waongea kingereza kigoma??

    • @fatumajohn703
      @fatumajohn703 หลายเดือนก่อน

      Ujumbe mmeuelewa au mnabisha visivyopo kama MASHOGA

    • @Daniel-g2f6v
      @Daniel-g2f6v หลายเดือนก่อน

      Umemuelewa kweli mwenzako​@@stateofart1089

    • @salehaljadidi8206
      @salehaljadidi8206 หลายเดือนก่อน

      @@fatumajohn703 acha kutukana watu hapa.

    • @ahz6907
      @ahz6907 หลายเดือนก่อน +1

      Anajielewa

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela หลายเดือนก่อน +1

    Pointi nzuri sana sijajua wakubwa kama wanasikiliza vizuri hii kitu ❤❤❤

  • @HermanSasuri-tu6we
    @HermanSasuri-tu6we หลายเดือนก่อน +14

    Nakubali kabisaa anavyosema mheshimiwa Rostam Aziz,nimefanya kazi Kenya kwa kweli wale ni wabinafsi saana tena saana,Tanzania tumeruhusu mpaka wachina wanaingia mpaka vijijini wanachimba sasa tunafikiri kupata ushuru kuliko masrahi ya watanzania wa baadae.

    • @laisamaujud1157
      @laisamaujud1157 หลายเดือนก่อน

      Nyie hamuna akili wakenya si mabwabwa

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il หลายเดือนก่อน +1

      Sawa je wamefikia wapi kimaendeleo au ndo uko kuandamana

    • @SharifuIssa-h5u
      @SharifuIssa-h5u หลายเดือนก่อน

      Ushuru wenyewe unatusahidia nn

    • @abedinegoraphael4774
      @abedinegoraphael4774 หลายเดือนก่อน

      ​@@laisamaujud1157kweli mwanangu sie waTz ni wapumbavu tunathamini wa nje kuliko wazawa

  • @NETIQIncorporation
    @NETIQIncorporation หลายเดือนก่อน +4

    Uko vizuri sana, nakuelewa sana

  • @adiliwasanga4521
    @adiliwasanga4521 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli kabisaa tanzania ndiyo nchi ambayo inakataza watanzania kuwekeza nchini mwao nakuwakandamiza ili washuke kiuchumi nakuwatetea wawekezaji wa geni

  • @ibrahimgamba8053
    @ibrahimgamba8053 หลายเดือนก่อน

    1.Reginal Mengi (R.I.P)
    2.Said Salim Bakheresa
    3.Rostam Aziz
    Ni miongo mwa wawekezaji wazawa ambao tunaweza tukawaamini. Ni wakati haujafika kuwaamini wawekezaji wazawa kupewa miradi mikubwa na wakaiendesha vizuri tu bila taabu.

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah mwamba rostam tangia nimeanza kukujuwa leo hii umeongea point

  • @salumualoyce5620
    @salumualoyce5620 หลายเดือนก่อน +1

    Umesomeka mzee 👊✔️

  • @RehemaAbas-v8m
    @RehemaAbas-v8m หลายเดือนก่อน +31

    Unaakili nyingi kushinda wabunge wote wanaomshabikia mama kukopa ela nje

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee หลายเดือนก่อน +4

      Tanzania ina sera za kiuchumi zisizotabirika, mfano kipindi cha JPM serikali ilizuia uuzaji wa madini ya bati ili biashara ifanywe na wazawa ikiwemo plant za kuchenjua madini watanzania wakakopa mikopo wakaanzisha miradi hiyo. Samia aliposhika madaraka akabadili sera jambo liliopelekea kufilisika kwa walioanzisha hiyo miradi. Misamaha ya kodi kwa wawekezaji wa nje isiyozingatia kanuni inalemaza wazawa kushindana hizi ni sehemu tu ya changamoto

    • @abedinegoraphael4774
      @abedinegoraphael4774 หลายเดือนก่อน

      ​@@RubenMtuwaMungu-bz8eekweli ndugu

    • @Mauya23
      @Mauya23 หลายเดือนก่อน

      Hukuwemo ktk wale waliomuita ROSTAM fisadi wakati ule? Mana sifa moja ya cc watz ni roho mbaya na unafiki, wengi tulimpopoa Rostam wakati ule tukamuita fisadi, leo eti cc cc tunamsifia na kumuelewa.

  • @faisalkamara6122
    @faisalkamara6122 หลายเดือนก่อน +2

    Magufuli aliona hii. Alitaka wazawa wapewe nafasi

  • @abdielfrancis
    @abdielfrancis หลายเดือนก่อน

    Rostam Aziz 👍🏽

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l หลายเดือนก่อน +5

    Mwamba mwenye historia TZ. Well said Azizi 🔥🔥🙏

  • @JuvenalKileo
    @JuvenalKileo หลายเดือนก่อน

    Broo Milad this two weeks before I was thinking of this , na hili n true. Ukiangaliaa mataifa yote makubwa uchumi wao umekuwa Kwa kutegemeaa matajiri WA ndani kukuza uchumi WA nchi. This can be traced long time ago those days we don't have country we we're having small society and it's how they had done

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 หลายเดือนก่อน +1

    Ameiweka kitaalam mno short and clear

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 หลายเดือนก่อน +5

    Upo sahihi sana

  • @rajabhussein-e3f
    @rajabhussein-e3f หลายเดือนก่อน +4

    Umeongea vizuri sana igunga boy angalia Nigeria uchumi wa nchi umeshikwa na wanaigeria wenyewe sisi huku tunajifanya wajuaji kuthamini wageni na kuwaweka kando wazawa mwisho wa siku wanaiba kila kitu wanahamishia kwao

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน +2

      Mbona wanaongoza Kwa kukimbia Nchi yao

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 หลายเดือนก่อน

      ​@@ndukulusudikucho_Kukimbia nchi hata ulaya wanazikimbia nchi zao

    • @rajabhussein-e3f
      @rajabhussein-e3f หลายเดือนก่อน +1

      @@ndukulusudikucho_ inategemea unakimbia nchi kwa mlengo gani hata Mimi na wewe Leo hii tunaweza kuikimbia bongo tukaenda kukaa nchi zingine,lakini Mimi nawewe mzawa mwenzangu tukisema tuanzishe hata kakiwanda kadogo tu ili tutoe ajira kwa ndugu zetu wabongo wenzetu tutakutana na vikwazo vingi ila Leo hii akija mtu wa nje atapewa mpaka mkopo ili kurahisha huo uwekezaji wake akitajirika tu anaenda kuifaidisha nchi yake

  • @mapatojuma
    @mapatojuma หลายเดือนก่อน +1

    Yuko sahihi 100%

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana kwa kutufumbua macho

    • @TryphonRabson
      @TryphonRabson หลายเดือนก่อน

      ww kama nikipofu utaona aliyokuonesha mengine utaendelea kua kipofu tu

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt หลายเดือนก่อน +1

    Yupo sahihi sana

  • @ibrahimgamba8053
    @ibrahimgamba8053 หลายเดือนก่อน

    Hata wewe Masoud kipanya Unaweza kuwa Mwekezaji 😊

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ndio ukweli,kwanza waitwao wawekezaji kutoka nje ni mawakala wa mataifa yao,wengi kwanza huwa majasusi,kwahio nchi makini huwatengeneza wawekezaji wazawa kwanza,

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 หลายเดือนก่อน +7

    Kama mfanyabiashara mkubwa kama huyu anaogea kuhusu maumivu ya wawekezaji oh my wawekezaji walio shika sehemu nyeti mpaka wakatuache tutatota sana ....MAGUFULI salama baba

    • @ibrahimkatunzi7851
      @ibrahimkatunzi7851 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa hapo magufuli anahusikaje

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 หลายเดือนก่อน

      @@ibrahimkatunzi7851 Alikuwa msimamiaji mzuri wa raslimali za nchi. Hakutaka washenzi kuja kujifanya kuwekeza. Iko wapi bandari, uko wapi uwanja wa KIA, Bagamoyo nayo vipi. Ndio maana mwenye kufikiri sawa sawa anamkumbuka Magufuli.

  • @Cyprianjohn
    @Cyprianjohn หลายเดือนก่อน +1

    JPM aliona hiki

  • @life_varieties9559
    @life_varieties9559 หลายเดือนก่อน +1

    Amemalizaa kila kitu. Akili kubwaaa

  • @ndewoyambise3114
    @ndewoyambise3114 หลายเดือนก่อน

    Yaani uyu Rostam ndiye mwenye uwezo wa kufanya wa Tanzania kuwa wawekezaji wakubwa sana ktk nchi yetu uyu anafaa kuwa mtu mwenye mamlaka ya maamuzi makubwa ya nchi maana uyu ni tajiri hawezi kuibia nchi maana yeye ni tajiri

  • @EdwinAugust-q8z
    @EdwinAugust-q8z หลายเดือนก่อน +5

    Ningekua na uwezo ningekufanya rais wetu

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward หลายเดือนก่อน

      Uwezo unao Cha msingi ni nia ya Kuutaka na Maono yako unataka kutuongoza tufanye nini.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 หลายเดือนก่อน +1

    Ungekuwa rais ungefanya hayo usemayo.....iwe heri kwa nchi na watu....natamani uwe rais ufanye usemayo

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 หลายเดือนก่อน +1

    Imekuwaje tena leo umeongea point mwanza mwisho,hayo yalikuwa maono ya jpm.

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa anaakili ya kuzaliwa wewe. Uwezi mfikia kamwe.

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 หลายเดือนก่อน

    Yuko sahihi kabisa tatizo letu na sisi watanzania hatutaki kuwekeza ukijaribu kuangalia hela ipo tunayo sisi wenyewe huku kama tunaweza jenga makanisa na misikiti mizuri kwa hivi vijisenti vyetu vidogo tunaweza pia kufanya makubwa zaidi cha msingi ni kuanza tuu.

  • @MathewMabula
    @MathewMabula หลายเดือนก่อน +1

    Umetoa somo

  • @innocentrichard2945
    @innocentrichard2945 หลายเดือนก่อน +1

    Rostam anaongea kiswahili kizuri sana

  • @pinielefraem4159
    @pinielefraem4159 หลายเดือนก่อน +1

    Nikweli hakuna mwekezaji wa nnje atakae kujengea nchi yako

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 หลายเดือนก่อน

    Mtu makini sana!

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 หลายเดือนก่อน +1

    Tumeruhusu magate na madirisha kwa wawekezaji. Hakuna nchi duniani iliyojenga uchumi wake kwa kutegemea wawekezaji, kwani hawa wanategemea kupata masilahi yao zaidi kuliko mwenye nchi yake. Lugha inayo pingana na taratibu za huyu Samia Suluhu Hasan. AHSANTE SANA Rostam Azizi umekuwa muwazi. Wenye masikio watayasikia. Acha tuibiwe tuwe weupeeeeeee na baadaye mama mama aelekee Kizimkazi kupumzika.

    • @abuuabdul1792
      @abuuabdul1792 หลายเดือนก่อน

      Ndo kilicho bakia

  • @islamicreligiontv2718
    @islamicreligiontv2718 หลายเดือนก่อน +2

    Nilijua hujui kiswahili rostam

  • @mdl6463
    @mdl6463 หลายเดือนก่อน

    Corruption Ina chukua nafasi

  • @jumannerajabu5288
    @jumannerajabu5288 หลายเดือนก่อน +2

    umeongea ukweli kabisa

  • @adaNahimana-y7b
    @adaNahimana-y7b หลายเดือนก่อน

    Sio Kweli Nchi Nyingi Zimeinuka Kutokana Na Wageni Kuja Na Mitaji. Mfano Mdogo Ni DUBAI Isingekuwahapo Ilipo

  • @smaahflix
    @smaahflix หลายเดือนก่อน +1

    Anacho sema yuko sahihi 💯

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ana akili sana.

  • @safeniubwa3588
    @safeniubwa3588 หลายเดือนก่อน

    Kikubwa ni sheria za nchi kulinda maslahi ya wazawa na nchi zidi ya wawekezaji, lazima kuwe vipengele vya ukomo na maslahi mazuri kwa wazawa kwanza ndio maana China ni wazalendo pengine kuliko sisi wabomgo, ila kuna wawekezaji wa nje na wananufaika nao, na ulaya na marekani wapo wa asia waliowekeza, kikubwa tuangalie vipengele vya katiba vinalinda vipi maslahi ya ndani.

  • @jut1161
    @jut1161 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa ana akili kama yangu.

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba NI vile samaki ana mengi ya kuongea shida maji mdomoni yamejaa, nahisi picha ya maneno haya NI hii wafanyabiashara wazawa kama wamebanwa halafu wageni ndiyo wamepewa nafasi

  • @lulyehomadale9009
    @lulyehomadale9009 หลายเดือนก่อน

    Ukweli unaosemwa na kutuamsha

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 หลายเดือนก่อน

    KWELI kabisa sisi tunafanya kazi sana lakini tunaliwa mno.. kuendelea itakuwa shida

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd หลายเดือนก่อน

    Mirlad Ayo anahisa clouds maana bland yake skuhz nikubwa inakaribiana na clouds, siku mirlad akifungua media zake akajitenga na clouds clodus itapungua Makari

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 หลายเดือนก่อน +1

    History ya dini na shule kwetu havijatufundisha kupenda vya kwetu. Ndo Maana made in Tanzania haviuziki Tanzania

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 หลายเดือนก่อน +6

    Vip bandari zetu juu ya waaarabu

  • @aman1leonard914
    @aman1leonard914 หลายเดือนก่อน

    #MIMI: DAAAH KWEL TUNAIBIWA😢
    @NCHI YANGU: NAHANGAIKA KUTAFUTA WAKEZAJI KWAAJILI YENU. 😂😂

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

    Duh ss kwann nchi yetu I ahangaika kutafuta wawekezaji jmn

  • @abdalaomari8430
    @abdalaomari8430 หลายเดือนก่อน +2

    Yupo sahihi lakini wawekezaji wa ndani kama wapo nao wajitokeze hawajakatazwa ili uchumu wa nchi uwe juu
    Unakuta sisi wenyewe choka mbaya ndiyo maana yeyote anaye kuja sawa tu

    • @amanijampion3045
      @amanijampion3045 หลายเดือนก่อน

      Kwani hawapo? Si wewe hapo

    • @Tiger-i8b6i
      @Tiger-i8b6i หลายเดือนก่อน

      Shida 10%

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania hawasikiyagi anko magu ashakga yasema hayo yote kitambo tu.kwamba tuwekeze kwetu kwanza kuliko kutegemeya wengine weje wekeza nchini mwetu.nchi ni tajiri lakini inaliwa na wengine kuliko kunufaisha wanainchi.

  • @MichaelCosmasi
    @MichaelCosmasi หลายเดือนก่อน

    Anayeongea ni mwekezaji wa yanga ajaye GSM by by😂😂😂😂

  • @DM_15
    @DM_15 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli ksbisa .mfano mchina anawekezaga nini zaidi ya kupigahela nakusepa. Hata majengoyao yakazizao maranyingi wanajenga yasio yakudumu wana piga piga mabodi na marine zamdamfupi jengo wana paua wanafanya kiwanda theni mkataba ukiisha anawaachia ma mbaombaotuu na aridhiyenu tuu hskunakitu anaacha zaidi ya taka taka.

  • @CarlMagi
    @CarlMagi หลายเดือนก่อน +1

    Sisi hadi misitu yetu tunakabidhi wageni wasimamie, tena wasio na huo uzoefu maana kwao hakuna misitu. Ajabu sana!

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 หลายเดือนก่อน

    Nchi tajiri dunia zimewezesha watu wake kuimalisha sector binafsi. Kwahiyo Tz yetu iendelee kuwezesha raia wake uchumi utapanda

  • @KulijeNovart
    @KulijeNovart หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anaongea maswala ya kiuchumi ambayo ni mazito katika lugha rahisi ambayo hata Mimi ambaye sijaenda shule naelewa

  • @mathiasmsila8387
    @mathiasmsila8387 หลายเดือนก่อน

    Namisemo Yao, (Mama amefungua nnchi) acha tuipate Habari yetu

  • @jifunzemengi1620
    @jifunzemengi1620 หลายเดือนก่อน

    Kwa heshima kubwa sana lkn hapo sikubaliani na muheshimiwa kwani kuna nchi nyingi sana zimekuwa kutokana na uwekezaji wa nje ikiweme china na brazil na nyenginezo

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui หลายเดือนก่อน

    kwanini Tigo ameibadilish jina?

  • @pasiensiabel7278
    @pasiensiabel7278 หลายเดือนก่อน +2

    Akili kubwa

  • @blacksomaly5822
    @blacksomaly5822 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzeh apewe ulinzi kaongea fact sana ani nimerudia kama mara 3 hii video kila kitu anacho kizungumza ni fact 🤝

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 หลายเดือนก่อน

    Madirisha mageti sawa lkn wageni wanalalamika akuna ichi ngumu kupata documents km hii utaishia kariakoo tu na wajanja wa uwamiaji

  • @benimlisa6056
    @benimlisa6056 หลายเดือนก่อน

    Sasa nimeelewa kwa nini makampuni mengi ya kichina ya ujenzi niya serikali... Jamaa yupo smart sana.... Kuna kitu ametufungua...

  • @btechie04
    @btechie04 หลายเดือนก่อน

    Hao unaowambia hawakuelewiii mzee😢😢

  • @JumaLulanje
    @JumaLulanje หลายเดือนก่อน

    Mzee ameongea kizalendo sanaa, viongozi wetu yachukue haya madini yafanyiwe kazi

  • @salama1113
    @salama1113 หลายเดือนก่อน +1

    Wachoyo au wanaakili awataki kibinasifwa malizao😂😂😂

  • @BablayEagle
    @BablayEagle หลายเดือนก่อน

    Hivi kwanini matajiri wa Tanzania hasa wale utajiri wao ranking za juu asili yao sio tanzania?

  • @vifarangakuku9098
    @vifarangakuku9098 หลายเดือนก่อน

    Kaongea madini matupu..tushikamane tuijenge nchi yetu

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 หลายเดือนก่อน

    Wamejazana bungeni kupiga makofi tu Yani ata kwaajili ya kawaida tu unaona kabisa aiwezekani lkn daaah katiba mbovu tuelewe ndo sababu ya yote Aya kutokea

  • @kisumbalufuor8512
    @kisumbalufuor8512 หลายเดือนก่อน

    Njo Congo utapewa na watoto😂😂😂😂😂 jaribu DRC

  • @c75923
    @c75923 หลายเดือนก่อน

    Hii message ilifikie pumbavu moja linajiita Madelu Mwigolo; tumbafu jizi kabisa wote na bi chura maizi wakubwa

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 หลายเดือนก่อน +3

    Hata mwekezaji wa ndani au mfanya biashara wa ndani asiye mzalendo (moigaji)hawezi leta maendeleo katika taifa lake(Tanzania)

    • @ce-08
      @ce-08 หลายเดือนก่อน

      Ataleta sababu wafanyakazi wake wengi ni wazawa pia yeye ni WA ndani hatazunguka lakini hapa ndiyo kwao lakini wa nje anaweza akanufaika then akasepa kwao

    • @tinejuxfrancis729
      @tinejuxfrancis729 หลายเดือนก่อน

      Iyo hela ataipeleka wapi Kama sio kwa wazawa?

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd หลายเดือนก่อน +1

    Sure wawekezaj.wanaongezea katk uchumi.wako sio kukujengea uchumi wa nchi yako

  • @AlliMohamed-q2y
    @AlliMohamed-q2y หลายเดือนก่อน

    Daah eti namadirisha😂😂

  • @jitumediatz
    @jitumediatz หลายเดือนก่อน

    Kwo starlink wasije co

  • @FrolenceNicodems
    @FrolenceNicodems หลายเดือนก่อน

    Nyie wafanya biashara wakubwa mnanyonya sana wananchi wa har ya chin mnapandisha ovyo bidhaa Bora zije kampuni nyingi Ili mshindane kwenye soko

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 หลายเดือนก่อน

    Sio milango tuuu na mageti na madirisha

  • @SaidKasomo
    @SaidKasomo หลายเดือนก่อน +3

    Wawekezaji wa nje ni moja wapo ya ajenda zinazokuja zikimbatana na misaada na mikopo kama sehemu ya masharti.
    Ikiwa tutaendelea kutegemea mikopo na misaada ya nje basi lazima tuendelee kukubali uwepo wao.

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 หลายเดือนก่อน

    Rostam yupo sahihi Tanzania imekuwa shamba la bibi tena mfano wahindi wamejaa Tanzania 🇹🇿 wengi wao wanafanya upuuzi tu hawana ujuzi yaani nashangaa unakuta mhindi yupo site naye ni formen wangine wanauza maduka hapa tanzania, siku hizi watuluki wamejaa Zanzibar kila sehemu wanaendesha mpaka magari na wanaopaleti mitambo sisi wazawa tunakosa kazi watuluki na wahindi wamechukuwa kazi zetu yani kweli Magufuli alikuwa sahihi kabisa kusema Tz ni shamba la bibi

  • @emmanuelelias7589
    @emmanuelelias7589 หลายเดือนก่อน

    Akili mingi Sana,,hata ruge nilishamnakilialipokuwa hai,,alisema lazima serikali ijikite kuinua watanzania ili tuijenge nchi yetu

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 หลายเดือนก่อน

    😢sawa

  • @juliusmvungi5087
    @juliusmvungi5087 หลายเดือนก่อน +1

    Kama hujasoma uchumi huwezi elewa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

      Mi nimemuelewa
      Gahiitahi hata elimu kubwa kuelewa

    • @amonalexander1513
      @amonalexander1513 หลายเดือนก่อน

      Sio mpaka usome uchumi, akili ya kawaida inatosha

  • @MICHAELSHESHE-x8r
    @MICHAELSHESHE-x8r หลายเดือนก่อน

    Unaruhusu wawekezaji kwa Sera ambazo zinamanufaa kwako na inchi,, piah unalinda wawekezaji wa ndani kwa Sera vivyo hivyo.

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 หลายเดือนก่อน +4

    Kwanini kila siku usingekuwa unaongea hivyo

    • @KelvinSimango
      @KelvinSimango หลายเดือนก่อน

      Mnafiki leo hii wanaikumbuka tawala ya magu wakati ndio walikuwa wakimpinga sana.

  • @christophernzige3913
    @christophernzige3913 หลายเดือนก่อน

    Kuna haja yakuchagua mfanyabishara kwenye mamulaka ,nadhani tutaendelea , other wise tutahangaika

  • @saidimhina6365
    @saidimhina6365 หลายเดือนก่อน

    Kitendo cha nyinyi matajiri kukubaliwa kuwa wa bunge na kushika nafasi za juu serikalini ndio kimefanya munatunyanyasa sisi waajiriwa wenu

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 หลายเดือนก่อน +5

    Kumbe rostam sio roma na stamina

    • @bonnaGerhald-mz7cp
      @bonnaGerhald-mz7cp หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 si ndio

    • @abdallahmhina8718
      @abdallahmhina8718 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @JamesLuis-y2c
      @JamesLuis-y2c หลายเดือนก่อน

      Wew kumbe ni mtoto wa 2000

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 หลายเดือนก่อน

    Ndio yale yale alichosema Bw. Ndugai.. Nchi itapigwa mnada... Lakini Rostam ameisema kwa makini na ustarabu...

  • @KamiliKapeta-yr3uc
    @KamiliKapeta-yr3uc หลายเดือนก่อน

    mpakavyoo

  • @vusumuzi_mathumo
    @vusumuzi_mathumo หลายเดือนก่อน

    Watanzania wajifundishe kuongea kiengereza wakumbafu !!

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 หลายเดือนก่อน

    Tufungue macho

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd หลายเดือนก่อน

    Tunafuata sheria au busara?

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 หลายเดือนก่อน

    Mpaka uwe nje ya ulingo ndio unaweza kuongea maneno mazuri kama haya. Huyu huyu akirudi ulingoni unaweza kubaki mdomo wazi! Sijui ulingoni huwa wanalishwa nini!!!

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

      Kwani yeye sio mtanzania?
      Halafu ile kwamba kasema ukweli ndo Cha mhimu

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c หลายเดือนก่อน

    Hiyo kauli aliyosema kwamba hakuna mwekezaji yeyote wa nje anauchungu na nchi hiyo huo huo mfano uwafikie wanaosomesha na kuishi na watoto wa watu wakizani ipo siku watafaidika nao message hiyo