RECAP: DIAMOND kuchukua TUZO ya GRAMMY kupitia KOMASAVA?? Zaingia GRAMMY vipengele viwili, ATATISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Diamond ni jiwe Africa, lazima ashinde na wasipo mpea watakua wako na corruption. Much Love from Kenya+254
Watu wanaomchukiya Simba ningewashahuli tu kuunganae ili mfurahi kila siku nae kumvimbiya wallah mtakufa na presha, love from burundi 🇧🇮 🇧🇮
Diamond Platnumz your the baddest 💪💪💪💪🦁
Diamond is now concentrate on work that’s why he’s doing good before that he was always busy with women and family but now he decided to put diamonds first 👏🏾👏🏾👏🏾
Kwl kaka this time Gramy award in East africa❤❤
Moto z akali diamond platinumz
Sema diamond hajapata tagi Kama wanalo pata wasanii wa West tu diamond Ana pambana mwenyewe na team yake akina Salam tu angepata tagi uyu asaivi angekua mbali kuliko hapa alipo kua sasa
Baba lao tyr ilishaingia concederation bro ktk kpengel cha best video
Mondi lazima achukuee anajua
Tumuombee achukue zote
Bro kweli dah nyimbo ya Diamond komasava ndonyimbo ambayo nimeona vitu vyakitofauti toka nianze kuangalia nyimbo za Africa
Fally Ipupa ni mutoto kwa diamond platnumz Bro
2ombe na kusali 😂na akichukua 2tawatukan San wa nigeria
Hii ni kubwa sana kwa diamond na TZ Kuna inchi zinatamani Sana kuwa n msanii wa kuwakilisha inchi yao kama hivi so musichukulie poa huyo ndio mwazo wa kungia grammar
Kila nchi zinatakiwa kupeleka kazi Ila diamondi ni mfitina anajipeleka mwenywe ili aonekane yy Kila siku ana roho mbaya sana kiukweli hachukui kitu hapo😢😢
Bro kweli huko sawa sasa unataka haende na mizigo ya wasanii wote wapi kila mtu anaenda na kipaji chake bro diamond sio mfitina ni shukrani hamna je Bongo fleva ya sasa hiko wapi sahii inajaribu kuvuka mipaka because of diamond bro nyiyi mashabiki ndo wafitina anajipambania pekeyake sio na wasanii wengine amesha saidia wengi sana hata hao hao ndo wana mzarau na kumuona ni mbaya na aliwatoa mbali sana @@BarakamussaBarakamussa-go7nv
@@BarakamussaBarakamussa-go7nvwe mbona umeongea km wanafuria mkundun!!kwan diamond ye anaimba ili awapeleke wenziye kwenye tuzo au kila mtu anaimba kwa kwaniaba yake!! Wanakufira ww siyo bure na tena had akili siyo nzur hujielewe
@@BarakamussaBarakamussa-go7nvyani ntu ahashe biashara yake, awapromote watu wengine, yani wewe kishaaa kweli. kusaidia anawasaidia, wasani wangapi kashawatoa?
Anapambana sana
Diamond kuchukua Grammy ningumu sana
Almando jitathimini hujui unachokiongea,kazi kusifia sifia tu usenge,unasifiaje amapiano ambayo siyo original sound ya Tanzania?
Ata n'a miye nita shanga sana bro kabisa Simba aki kosa grammy yani sita kazi Fati Liya tena grammy kama Simba aki kosa grammy tena
Diamond hawezi kuchukua Grammy kupitia comasava ambayo ni nyimbo ya amapiano,comasava siyo original sound ya Tanzania,ni sound ya south Africa...hivi unajua kuna amapiano ngp nzr south Africa?
Wewe mseji huna akili kura hata ww uwezi kupiga kura ha mama yake hawezi mpuuzi wewe kwanza siyo saundi yetu haiwezi kupita pora angepeleka zuchu 😅😅 huyu jamaa Ana roho mbaya kuliko hawezi shida hata njaa😅😅 kwann kapeleka za kwake tu Hana wasanii wake😅😅
Eti siyo sound yenu 😂😂😂 mbwa koko weeee!!! Kule kunakwenda vibaji na ingekuwa ni sound wangemchukua dulla makabila na singeli mbayoita sound yenu pumbavu zako, na huyo mbogo ajiitae mfalme wa bongo fleva itaiagaa duniya hajakanyaga huko mbele
Jamani jaman bado awaja taja wasani wakuwania Grammy 😂😂diamond ndo amepeleka goma lake 😂Kama nikweli nambie anao wania nao izotunzo
Atachukua kupitia p diddy si alishakwenda Kwa diddy??
Jmn inabidi mjue maana ya ku submit nyimbo na kuchaguliwa kuwania tuzo za Grammy😂
Mwambie msanii wako asabumit na yey kama ni rahis
@@peterreuben7510 I spoke facts in the right way I didn't mean to hate on anybody if so my bad then
P dedy hayopo
Hi video idea wameona Kwa black and white ya Micheal Jackson
Kamfufue msaidiyane kulalamika
Kwahiyo tukusaidiaje 😂😂😂😂😂😂
Awezi kuchukua maana wimbo unaomuwakilisha ni wa amapiano amapiano ni mziki wa SA
Akili Yako ilipoishia angalia vipengere alivyoomba kushindana vinaitwaje
@@malianonicass7029 we unajua vingi eti ni kweli kua burna alishinda grammy kwa sababu alienda kwa p.didy
Wewe umezidisha kujipendekeza jitafakari unacfia kila ck mbona ukemei uchafu anaiopotosha jamii acha kuongea pumba
Jamii yako amah?
Huyo si mke wa P.diddy, apewe tu, wamhurumie tu
Mtu huna mbele wala nyuma unapata wapi nguvu ya kumzihaki mtu mwenye nguvu yakuweza kukupoteza poteleya pote😢 😢
Ushsmba na ujinga unakuendesha
P.Diddy Kashampa nguvu muache atambe 😊
Ujielewi bado
@@kinganyamohamedi2271 Wewe pia ushapakwa mafuta vp
@@kinganyamohamedi2271 Wewe pia ushapakwa mafuta vp
Atcha ushamba bro fata Yako bro 😂😂 p didy ni baba yako