Tatizo lake anakuja na anapotea kiufupi nampenda Sana tanasha na anakipaji chakuimba Ila Nikama anaishi maisha yakujificha sana Ata kwenye pejiyake anapotea potea 😢
Tanasha alimuogopa Mange make alikua akikaribia chibu anamuandika kua anatumika so yuko naribu na chibu ila anajificha watu wasimuone mange asimuandike,wakati wazazi wa chibu wanapenda kua nae waongelewe mfano zari anamtumia sana chibu yani lazima haongelewe na ndo anakutaka
T hayupo sawa depression inamsumbua saana post zake snapchart zinajieleza. Alisafiri na mwanae kwenda kwa mama yake amerudi juzi na mwanae anasoma Nairobi. T arudi Tz aje afanye interview na akubali kujibu maswali atarudi mjini😮
Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪
Wow
Diamond love zari sana kushinda tanasha Becoz tanasha aliongelia mama dangòte
May God's will be done
😢 anaboa na kujitengeneza sana
🤕🤕
Anafanya Music for Fan kwhy hyo n kawaida
Harmonize Mzee Popo ndio anaroga nyimbo za Wasanii wa WCB na wengine.. Harmonize analaa kubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Tatizo lake anakuja na anapotea kiufupi nampenda Sana tanasha na anakipaji chakuimba Ila Nikama anaishi maisha yakujificha sana Ata kwenye pejiyake anapotea potea 😢
Tatizo ni kizungu kingi kaka
Amepooza,hana uchangamfu. Music unataka heka heka,na asifanye surgery zingine alikuwa mrembo sana 😢
Ikowapi iyo link?
Kingine anafutafuta sana mziki wake ukiskiza leo ukienda keshokutwa unakuta kafuta sijuwi ana matatizo gani😭
Anakula hela ya malezi tu Hana pressure
Sio washabiki wanachomfanyia kama kitu kizuri kinaeda kama sio lazima uhisi hivyo.
Brown skin yuko na akili sana
Tanasha alimuogopa Mange make alikua akikaribia chibu anamuandika kua anatumika so yuko naribu na chibu ila anajificha watu wasimuone mange asimuandike,wakati wazazi wa chibu wanapenda kua nae waongelewe mfano zari anamtumia sana chibu yani lazima haongelewe na ndo anakutaka
tatizo tanasha ataki kutumika kigono y babamtto wake chengine Yule ana kiburi na jeuri
T hayupo sawa depression inamsumbua saana post zake snapchart zinajieleza.
Alisafiri na mwanae kwenda kwa mama yake amerudi juzi na mwanae anasoma Nairobi.
T arudi Tz aje afanye interview na akubali kujibu maswali atarudi mjini😮
😅😅😅😅😅
Afu tatizo ni kuwa ndoto ya tanasha sio mziki,tuseme ukweli
Apana tanasha anapenda sana mziki Ila anaogopa kusemwa vibaya na watu bilakujuwi asiposemwa basi mziki wake huwezi kuenda popote
Huyo ni Illuminati
Tana tena média munaboa ebu msemini na alikiba,harmoneze.